Saturday, April 11, 2009

KILI MUSIC AWARDS WINNERS ARE…


Hatimaye zile tuzo za Kili Music zilifikia kilele chake hapo jana ndani ya ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar-es-salaam.

Washindi walikuwa kama wafuatao;

1.Mwimbaji Bora wa Kike- Keisha(pichani)
2.Mwimbaji Bora wa Kiume- Mb Dogg
3.Albamu Bora ya Taarab- VIP( Jahazi Modern Taarab)
4.Wimbo Bora wa Taarab- VIP(Jahazi Modern Taarab)
5.Wimbo Bora wa Mwaka- Anita (Matonya ft Lady JayDee)
6.Wimbo Bora wa Kiswahili- Heshima kwa Mwanamke (FM Academia)
7.Albamu Bora ya Kiswahili- Pekecha Pekecha(Akudo Impact)
8.Wimbo Bora wa R& B- Natamani (Q Jay ft Makamua & Joslin)
9.Albamu Bora ya Muziki Asilia- Dela Dela( Che Mundugwao)
10.Wimbo Bora wa Hip Hop- Ngoma Itambae(Chid Benz)
11.Wimbo Bora wa Reggae- Ripoti (Tunda Man)
12.Msanii Bora wa Rap- Mangwea
13.Wimbo Bora wa Afrika Mashariki- Salary(Nameless from Kenya)
14.Mtunzi Bora wa Muziki- Karama Legesu
15.Mtayarishaji Bora wa Muziki- Hammie B
16.Mwandikaji Bora wa Muziki- Prof.Jay
17.Wimbo Bora wa Zouk- Nalivua Pendo(Mwasiti)
18.Mtayarishaji Bora wa Video- Kallaghe Production
19.Wimbo Bora wa Collaboration- Anita (Matonya ft Lady Jaydee)
20Wimbo Bora wa Asilia- Kazi ya Dukani(Dogo Mfaume)
Kwa habari na picha zaidi za tukio hili unaweza kutembelea hapa na hapa. Je uliodhani wangeshinda ndio walioshinda?Nini ushauri wako kwa kamati ya Kili Awards ili kuboresha zaidi hapo mwakani? Ukitaka kujua washindi walikuwa wakishindana na nani katika category zao bonyeza hapa. MK inawapongeza washindi wote.

No comments: