Saturday, March 8, 2008

Wasanii Milionea wa Bongo

Haya wadau,

nimejaribu kutafakari niliyoyasikia kwenye vyombo vya habari hapa kwetu lakini bado nadhani moyo wangu haujapata jibu kamili…naomba na nyinyi wadau wangu mniambie vipi kuhusu hawa wasanii matajiri hapa kwetu Tanzania?


WASANII HAO NI HAWA HAPA NA THAMANI ZA RASILIMALI ZAO

1; LADY JAY DEE - MILLION 500

2; JUMA NATURE – MILLION 300

3; BANANA ZORRO – MILLION 280

4; MATONYA - MILLION 180

5; FEROOZ - MILLION 140

6; PROFESA JAY - MILLION 130

7; STARA THOMAS -MILLION 80

8; AY -MILLON 60

9; KLYNN -MILLION 45

10; MWANA FA - MILLION 30

HAYA KAZI KWENU

No comments: