Wednesday, March 5, 2008

Mafisadi Benki Kuu kortini


Na Mwandishi Wetu
Watuhumiwa wote wa ufisadi katika akaunti ya malipo ya nje (EPA), uliohusu shilingi bilioni 133 wanatarajiwa kufikishwa mahakamani kujibu tuhuma za kujipatia fedha hizo kinyume na utaratibu.Hayo yalibainishwa na Mwenyekiti wa Chama cha Democratic Party (DP), Mchungaji Christopher Mtikila alipoongea na mwandishi wetu, jijini Dar es Salaam, mwanzoni mwa wiki hii....

No comments: