Na Mwandishi Wetu
Watuhumiwa wote wa ufisadi katika akaunti ya malipo ya nje (EPA), uliohusu shilingi bilioni 133 wanatarajiwa kufikishwa mahakamani kujibu tuhuma za kujipatia fedha hizo kinyume na utaratibu.Hayo yalibainishwa na Mwenyekiti wa Chama cha Democratic Party (DP), Mchungaji Christopher Mtikila alipoongea na mwandishi wetu, jijini Dar es Salaam, mwanzoni mwa wiki hii....
Wednesday, March 5, 2008
Mafisadi Benki Kuu kortini
Posted by Mafia Kisiwani at 3:08 PM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment