Bondia Francis Cheka (kushoto) akimuangalia Hassan Matumla kwa jicho la Simba wakati akitoa kipigo kikali kilichomtoa knock out katika mpambano mkali uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita Diamond Jubilee. Kabla ya kutoa kipigo hiki, Cheka ameshamchapa kaka mtu pia, Rashid Matumla, sasa imedhihirika Cheka hana mpinzani Bongo na familia ya Matumla imeanza kupoteza umaarufu katika ndondi.
Tuesday, March 4, 2008
SIKU FAMILIA YA MATUMLA ILIPOPATA KICHAPO TENA!
Posted by Mafia Kisiwani at 3:19 PM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment