Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika, Rais Jakaya Mrisho Kikwete (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Msuluhishi Mkuu wa Mgogoro wa Kenya ambaye ni Katibu Mkuu Mstaafu wa Umoja wa Mataifa, Bw. Kofi Annan (kushoto), Kiongozi wa ODM, Bw. Raila Odinga (wa pili kushoto), Rais wa Kenya, Bw. Mwai Kibaki (wa pili kulia) na Rais Mstaafu wa Tanzania, Bw. Benjamin Mkapa kwenye jengo la Harambee jijini Nairobi walikokuwa wakifanyia mazungumzo jana. (Picha na Freddy Maro)
Friday, February 29, 2008
Kibaki, Odinga mambo shwari
Posted by Mafia Kisiwani at 2:51 PM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment