Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, ametangaza siku saba za maombolezo kufuatia kifo cha aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania Mzee Rashid Mfaume Kawawa, aliyefariki duania leo saa 3:20 asubuhi baada ya kusumbuliwa na ugonjwa wa kisukari kwa muda mrefu kwa muda huo bendera ya Taifa itapepea nusu mlingoti.
Rais alisema kuwa taratibu zote mazishi zitasimamiwa na serikali na atapewa heshima kwa muasisi wa kupigania uhuru wa Tanzania.
Thursday, December 31, 2009
Mzee Kawawa afariki Taifa kuombeleza siku saba
Posted by
Mafia Kisiwani
at
11:04 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment