Friday, October 30, 2009

“DALADALA”-MAUNDA ZORRO


Je,imeshawahi kukutokea ukampenda mtu halafu yeye hakupendi na mbaya zaidi analichukulia penzi lako kama kichekesho au kitu kisicho na maana? Na inakuwaje mwenzako anapokuchukulia kama “daladala” kwa maana ya kwamba ni kitu huru kwa kila mtu kupanda na kushuka apendavyo au atakapo?

Hayo yamo kwenye wimbo wa Maunda Zorro ambaye bila shaka hivi sasa ni miongoni mwa wasanii wa kike wa muziki wa kizazi kipya wanaofanya vizuri.Maunda yupo katika ziara ndefu ya Fiesta ambayo hivi karibuni itatua jijini Dar-es-salaam.

No comments: