Kuna msomaji mmoja ametuuliza swali ambalo hatuna jibu.Yawezekana wewe ukawa na jibu na hivyo tunaomba msaada.Msomaji katuuliza alipo mwanamuziki Mad Ice kwani hajamsikia kwa muda mrefu.Mara ya mwisho tulisikia kwamba yupo nchini Finland.
Mad Ice aliwahi kutamba sana na kibao chake Baby Gal.
Saturday, March 14, 2009
UKO WAPI MAD ICE?
Posted by Mafia Kisiwani at 4:30 PM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment