Baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu kiasi kwamba mabango mitaani yakawa yanasoma kwamba Ferouz ndio imetoka kwenye anga za muziki, hatimaye amerejea tena.
Wimbo ambao amekuja nao unaitwa Mr.Polisi Man na kama kawaida umerekodiwa ndani ya Bongo Records chini ya producer wake wa muda mrefu,Majani.
Je ndio mwanzo mpya wa Ferouz ambaye hapo zamani alitamba sana na kundi zima la Daz Nundaz
Saturday, March 14, 2009
NEW SONG:MR.POLISI MAN-FEROUZ
Posted by Mafia Kisiwani at 4:20 PM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment