Friday, February 1, 2008

Jiji la Mwanza


Jiji la Mwanza(pichani) ni mojawapo kati ya miji inayokua kwa kasi sana nchini Tanzania.Kama ambavyo unaweza kuona katika picha hii,majengo mapya yanazidi kunyanyuka jijini Mwanza. Swali kubwa ambalo watu wengi wamekuwa wakijiuliza ni je,ukuaji wa jiji kama hili la Mwanza unaenda sambamba na uboreshwaji wa miundo mbinu na huduma za msingi za kijamii?

No comments: