Friday, February 1, 2008

Jaji Mkuu Tanzania


Nchi bila utawala wa sheria inakuwa ni kama sio nchi vile,haiongozeki wala kubebeka. Pichani ni Jaji Mkuu wa Tanzania,Augustino Ramadhani.Yeye ndio mwenye jukumu la kuhakikisha kwamba mhimili wa tatu wa dola(Mahakama) unafanya kazi inazotakiwa kufanya na si vinginevyo.

No comments: