Thursday, June 21, 2007

Madawa ya Kulevya



Hawa ni wakazi wa Cape flat mjini Cape Town wakiitia moto nyumba ya wanayemuamini kuwa ni muuza madawa ya kulevya

Vitendo kama hivi vikifanyika hapa kwetu nchini Tanzania nadhani tutaheshimiana kwa wale wote wanaodhani nchii hii ni ya kwao peke yao

Viongozi ama mtu yeyote ambaye anadhani kwamba yeye ndio yeye tunaweza tukawaonesha mifano kwa kufanya kama walivyofanya wenzetu

No comments: