Thursday, January 7, 2010

KUNAKO HARUSI…NGOMA LAZIMA ICHEZWE


Pichani ni Rais wa Afrika Kusini,Jacob Zuma,akicheza ngoma ya asili ya ki-Zulu na mkewe mpya,Thobeka Madiba,katika harusi yao iliyofungwa huko kijijini kwao katika jimbo la KwaZulu.

Kuna mtu kauliza,mbona kuna watanzania wanamshambulia Rais Zuma kwa kuwa na wake watatu?Mbona Rais wetu mstaafu alikuwa na wake wawili?

No comments: