Pichani ni baadhi ya wasanii wa kundi lililokuwa likijulikana kama The East Coast Team lililokuwa na makazi yake Upanga jijini Dar-es-salaam.Kundi hili limeshasambaratika.Unadhani kwanini makundi mahiri kama hili ambalo lilikuwa linaonekana kuwa lenye mafanikio huishia kusambaratika?Umoja sio nguvu tena?
Picha kwa hisani ya AY
Friday, February 1, 2008
Walikuwa wanajulikana kama East Coast Team
Posted by Mafia Kisiwani at 2:02 PM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment