Wednesday, June 13, 2007

Mgomo nchini Afrika Kusini


Hali kwa sasa si shwari nchini Afrika Kusini baada ya serikali na wafanyakazi wake kushindwa kuelewana kwenye mambo ya mshahara ambapo serikali imeofa asilimia 7.5% wakati wao wakiwa wanataka 12%
Na hawa ni wanafunzi wakionekana kuwaunga mkono walimu wao kwa kuchoma moto matairi
Tunaomba hali kama hii iwepo Tanzania maana serikali imezidi kuwapuuza raia wake

No comments: