<?xml version='1.0' encoding='UTF-8'?><?xml-stylesheet href="http://www.blogger.com/styles/atom.css" type="text/css"?><feed xmlns='http://www.w3.org/2005/Atom' xmlns:openSearch='http://a9.com/-/spec/opensearchrss/1.0/' xmlns:georss='http://www.georss.org/georss' xmlns:gd='http://schemas.google.com/g/2005' xmlns:thr='http://purl.org/syndication/thread/1.0'><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946</id><updated>2012-02-16T20:39:33.085Z</updated><title type='text'>Mafia Kisiwani</title><subtitle type='html'>Nakukaribisha mpenzi msomaji katika blog yetu hii,na jisikie uko nyumbani,nitumie maoni yako kwa email yangu hapo chini. I CAN'T WAIT TO FALL IN LOVE WITH MAFIA ISLAND..
Our Motto:::"Live and Let lIve"
The bigest dream we have are often the hardest to achieve.
Mambo ya Pwani bwana Mduara
ASANTE</subtitle><link rel='http://schemas.google.com/g/2005#feed' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/posts/default'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default?max-results=100'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/'/><link rel='hub' href='http://pubsubhubbub.appspot.com/'/><link rel='next' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default?start-index=101&amp;max-results=100'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><generator version='7.00' uri='http://www.blogger.com'>Blogger</generator><openSearch:totalResults>495</openSearch:totalResults><openSearch:startIndex>1</openSearch:startIndex><openSearch:itemsPerPage>100</openSearch:itemsPerPage><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-5891875150422503924</id><published>2011-11-16T13:36:00.000Z</published><updated>2011-11-16T13:37:55.196Z</updated><title type='text'>Wabunge: Chadema wanachochea vurugu</title><content type='html'>SIKU moja baada ya wabunge wa Chadema, kutoka nje ya Bunge na kutoshiriki mjadala wa Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Katiba wa mwaka 2011, wabunge wa CCM na CUF wamepinga hatua hiyo na kusema wenzao hao wana kusudio la kuchochea vurugu na kuvunja Muungano.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia wengi wa wabunge hao waliochangia wamemnyooshea kidole Msemaji wa Kambi ya Upinzani, Tundu Lissu, kuwa amewapotosha Watanzania na ni mwanasheria na mwanaharakati anayepaswa kurudi shule kusoma na pia ni mchochezi wa kutotaka Muungano na Wazanzibari.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sambamba na hilo, wabunge hao waliochangia Muswada huo juzi na jana, walitetea madaraka aliyonayo Rais wakisema si makubwa na anastahili kuwa nayo kama kiongozi wa nchi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tofauti na wabunge hao wa CCM na CUF, Mbunge wa NCCR-Mageuzi wa Kasulu Mjini, Moses Machali, alikuwa pekee aliyewatetea Chadema kwa uamuzi wao wa kususia majadiliano hayo akisema wametekeleza matakwa ya wananchi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Miongoni mwa waliochangia mjadala huo ni Mbunge wa Wawi, Hamad Rashid Mohammed (CUF) aliyesema “ni dhambi isiyosameheka kudharau Wazanzibari waliopiga kura ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa halafu unajifanya wewe (Chadema) ni mkombozi wa watu, Lissu anasema Bunge la kikatiba halitakuwa na haki kwa sababu wabunge wa Zanzibar watashiriki !&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Mna ajenda yenu (Chadema) ya siri, mnaleta ubaguzi ndani ya Bunge, sisi (CUF) ndio tuliandamana kudai Katiba na tulipeleka rasimu ya Katiba, Watanzania wenzangu tusishawishike, maoni ya mabadiliko ya Muswada yametokana na wananchi, taasisi na Kamati ya Bunge, tuaminiane na tupendane,” alisema na kupinga wananchi kuandamana nchi nzima kupinga Muswada huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alihoji kauli ya maoni ya Kambi ya Upinzani kuwa Rais ni dikteta wakati Rais huyo ndiye aliyeleta Katiba hiyo na kufafanua kuwa tangu mwaka 1977 hakuwahi kuona Muswada ulioshirikisha wananchi kama huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema madaraka ya Rais yameshapunguzwa vya kutosha kama rasimu ya Katiba kupelekwa kwa wananchi kujadiliwa kabla ya kupitishwa, pamoja na hadidu za rejea kutotungwa na Rais isipokuwa zimeshawekwa kwenye Muswada kitendo ambacho Rais amekikubali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa upande wa Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Ummy Mwalimu, alilalamikia wanasheria na wanaharakati bungeni kwamba ndio wanapotosha ukweli kwa makusudi na kuwataka kuacha kupinga madaraka ya Rais kwa kumwangalia kama Mwenyekiti wa CCM, bali kama taasisi yenye madaraka na Katiba ya sasa na kuacha kumwita Rais dikteta.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Mimi nimekuwa mwanaharakati, najua siasa za uanaharakati, waseme huko nyuma kuna maslahi ya nani...wakasome tena wanasheria hawa, si kuleta uchochezi katika nchi yetu,” alisema. Alisema Rais amefanya uungwana kuwaheshimu na kuleta Muswada huo bungeni kwa ajili ya kuunda Tume hiyo, vinginevyo Katiba iliyopo inamruhusu kuunda Tume bila hata kushirikisha wabunge.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbunge wa Simanjiro, Christopher ole Sendeka (CCM) pamoja na kutaka mamlaka ya Rais yasiingiliwe, alimtaka Lissu anayejiita mwanasheria na mwanaharakati kurudi darasani kuelimika kutokana na kupotosha historia ya nchi kwamba Mwalimu Julius Nyerere alihusika kumomonyoa Muungano kwa kutofuata haki za binadamu, wakati kipengele hicho kiliingizwa kwenye Katiba wakati wa utawala wake na Zanzibar kushirikishwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbunge wa Gando, Khalifa Suleiman Khalifa (CUF), alisema Chadema wakipata Dola hawatautaka Muungano wala Wazanzibari. Mbunge wa Viti Maalumu, Angela Kairuki (CCM), alishauri wajumbe wa Tume itakayoundwa walipwe kwa mujibu wa kanuni na malipo ya Serikali na si Waziri wa Katiba apange.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia Mwenyekiti wa Tume awasilishe ripoti bungeni na si Waziri wa Katiba na misingi na gharama za Bunge la Katiba ziainishwe kwa uwazi kwenye sheria.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbunge wa Tabora, Ismail Aden Rage (CCM) alisema wasiokubaliana na Muswada huo wanatafuta mwanya wa kuleta vurugu na kuongeza: “Wanaotaka kuhoji madaraka ya Rais ni wahuni … nimekerwa na kauli ya wenzetu wa Chadema, taarifa ya Lissu inalenga kuvunja Muungano”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo, Mbunge Machali tofauti na wenzake, aliwatetea akisema “watakaopitisha Muswada huu laana za Watanzania ziwe juu yenu kwa sababu hamkutaka usomwe mara ya pili”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema wabunge kujikita katika malumbano kunazidi kujenga chuki na aliwatetea Chadema kutoka ukumbi wa Bunge kutokana na kushindwa kuvumilia na walifanya hivyo kupinga mwenendo mzima wa kuwasilishwa Muswada huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika hatua nyingine, Mbunge wa Mbozi Mashariki, Godfrey Zambi (CCM), aliomba mwongozo wa Spika wa kitendo cha Chadema kutoka nje na kama vyama vingine vitatoka nje, mjadala wa Bunge utaendeleaje. Spika, Anne Makinda alijibu:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Tumekubaliana mikutano yote ya vyama ifanyike saa 7 mchana na watakaotoka katikati ya mjadala waombe ruhusa, Katibu wa Chadema hajaniomba wakutane baada ya kipindi cha maswali, nami nilivyowaona nimewachukulia kama wengine wanavyokwenda kunywa chai”.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-5891875150422503924?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/5891875150422503924/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=5891875150422503924' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/5891875150422503924'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/5891875150422503924'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/11/wabunge-chadema-wanachochea-vurugu.html' title='Wabunge: Chadema wanachochea vurugu'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-2596316065767392694</id><published>2011-11-16T12:48:00.002Z</published><updated>2011-11-16T13:36:26.716Z</updated><title type='text'>Mfanyabiashara kigagula!</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-cU3jRg0W6F4/TsO8HbhGJgI/AAAAAAAABFk/z_BT9gkTeUY/s1600/tanzania1.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 240px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-cU3jRg0W6F4/TsO8HbhGJgI/AAAAAAAABFk/z_BT9gkTeUY/s320/tanzania1.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5675586791248635394" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Mfanyabiashara maarufu wa mjini Iringa, Mama Mbilinyi akiingizwa ndani ya gari la Polisi kabla ya wananchi wenye hasira kali hawajamjeruhi kwa tuhuma za kufuga misukule. (Picha na Frank Leonard).&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-2596316065767392694?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/2596316065767392694/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=2596316065767392694' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/2596316065767392694'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/2596316065767392694'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/11/mfanyabiashara-kigagula.html' title='Mfanyabiashara kigagula!'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-cU3jRg0W6F4/TsO8HbhGJgI/AAAAAAAABFk/z_BT9gkTeUY/s72-c/tanzania1.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-5475344396029576437</id><published>2011-11-16T12:44:00.002Z</published><updated>2011-11-16T12:46:58.617Z</updated><title type='text'>Tanzania Yafungwa na Chad, Yapita Kwa Goli la Ugenini</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-UpCGlBTKlPM/TsOwZlSiMSI/AAAAAAAABFY/DYdmH3ngMa8/s1600/tanzania.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 239px; height: 244px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-UpCGlBTKlPM/TsOwZlSiMSI/AAAAAAAABFY/DYdmH3ngMa8/s320/tanzania.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5675573908970025250" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Taifa Stars ambayo wiki iliyopita iliizamisha Chad 2-1 kwenye uwanja wake nchini Chad, imeshindwa kuwika nyumbani na kukubali kipigo cha bao 1-0.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika mechi iliyochezwa jioni hii kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar esa Salaam, Taifa Stars ilifanikiwa kusonga mbele kwa faida ya goli la ugenini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chad walipata goli lao la ushindi kwenye kipindi cha pili dakika ya 48, mfungaji akiwa ni Mahamat Labbo ambaye ndiye aliyeipatia Chad goli lake la kufutia machozi kwenye mechi ya awali mjini N'Djaména.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa matokeo haya, Taifa Stars imefanikiwa kuingia hatua ya makundi ambapo itashiriki katika kundi C lenye jumla ya timu nne zikiwemo Ivory Coast, Morocco na Gambia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Fainali za Kombe la Dunia zinatarajiwa kufanyika mwaka 2014 nchini Brazil.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-5475344396029576437?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/5475344396029576437/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=5475344396029576437' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/5475344396029576437'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/5475344396029576437'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/11/tanzania-yafungwa-na-chad-yapita-kwa.html' title='Tanzania Yafungwa na Chad, Yapita Kwa Goli la Ugenini'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-UpCGlBTKlPM/TsOwZlSiMSI/AAAAAAAABFY/DYdmH3ngMa8/s72-c/tanzania.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-161122889871729029</id><published>2011-11-11T16:13:00.002Z</published><updated>2011-11-11T16:23:42.354Z</updated><title type='text'>MMEONA VIJUNGU</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-i6CsAAc4sfo/Tr1L9Z_6ymI/AAAAAAAABFM/M5WS5LcS5l8/s1600/kishuzi1.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 232px; height: 320px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-i6CsAAc4sfo/Tr1L9Z_6ymI/AAAAAAAABFM/M5WS5LcS5l8/s320/kishuzi1.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5673774623879776866" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-eju3Ili3AQ8/Tr1Lur0vpcI/AAAAAAAABFA/-mXHq7_FZuk/s1600/kishuzi.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 240px; height: 320px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-eju3Ili3AQ8/Tr1Lur0vpcI/AAAAAAAABFA/-mXHq7_FZuk/s320/kishuzi.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5673774370966709698" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-pQ7x5DWFVbw/Tr1LDjAr0zI/AAAAAAAABE0/RYqmNBxIORk/s1600/kishuzi.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 277px; height: 320px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-pQ7x5DWFVbw/Tr1LDjAr0zI/AAAAAAAABE0/RYqmNBxIORk/s320/kishuzi.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5673773629866496818" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-LNqlgoKVzoE/Tr1KPCL0xRI/AAAAAAAABEo/o3NKEgGjMbc/s1600/SHILOLE.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 240px; height: 320px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-LNqlgoKVzoE/Tr1KPCL0xRI/AAAAAAAABEo/o3NKEgGjMbc/s320/SHILOLE.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5673772727701652754" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;HAYA YETU MACHO&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-161122889871729029?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/161122889871729029/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=161122889871729029' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/161122889871729029'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/161122889871729029'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/11/mmeona-kijungu.html' title='MMEONA VIJUNGU'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-i6CsAAc4sfo/Tr1L9Z_6ymI/AAAAAAAABFM/M5WS5LcS5l8/s72-c/kishuzi1.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-4849908413183554584</id><published>2011-11-11T16:06:00.002Z</published><updated>2011-11-11T16:08:02.709Z</updated><title type='text'>KAFARA NZITO</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-6u7zjVOGRAY/Tr1IUud-F6I/AAAAAAAABEc/_c3vFT0NapA/s1600/kafara1.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 318px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-6u7zjVOGRAY/Tr1IUud-F6I/AAAAAAAABEc/_c3vFT0NapA/s320/kafara1.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5673770626465011618" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-_LDVl83cfdQ/Tr1IOFIW-OI/AAAAAAAABEQ/6vrd9Of4auw/s1600/KAFARA.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 258px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-_LDVl83cfdQ/Tr1IOFIW-OI/AAAAAAAABEQ/6vrd9Of4auw/s320/KAFARA.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5673770512289298658" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Na Luqman Maloto&lt;br /&gt;VIONGOZI wakuu wa Dini ya Shetani, Freemasons, wamefanya kafara nzito kuadhimisha kukamatwa, kuteswa kisha kuuawa kwa aliyekuwa Kiongozi wa Libya, Muammar Gaddafi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vyanzo vimesema kuwa ni kawaida kwa Freemasons kufanya sherehe yenye mrengo wa kafara kila mara, mpango wao unapofanikiwa sehemu yoyote ile.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa mitandao kadhaa inayojihusisha na utoaji wa habari za jamii ya Freemasons, kafara ambayo hufanywa ni ile ya mnyama hususan mbuzi mwenye pembe zinazofanana na zile za jini anayeitwa Lucifer (jini mkuu) ambaye huabudiwa na wafuasi wa Dini ya Shetani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mnyama huyo huchinjwa kisha damu na kichwa chake huhifadhiwa kwenye chombo chochote chenye muundo wa ndoo ili pembe zitokeze kwa juu na kutengeneza alama maarufu ya Freemasons ambayo wafuasi wake huitumia kwa njia ya vidole kutoa salamu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Habari zinasema Freemasons walifanya kafara hiyo usiku wa manane kwenye hekalu moja kubwa lililojengwa kwenye eneo la jangwa lililopo ndani ya Jiji la Misrata, Libya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inabainishwa kuwa viongozi mbalimbali wakubwa kwenye nchi zilizoendelea kiuchumi ambao wana vyeo vikubwa ndani ya jamii ya Freemasons, walihudhuria kafara hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MKAKATI HATARI&lt;br /&gt;Habari zinabainisha kuwa Freemasons ipo kwenye mkakati thabiti wa kuitawala dunia kabla ya Desemba 2012.&lt;br /&gt;Kutokana na mkakati huo, imebainishwa kuwa Freemasons wamekuwa wakiratibu sera zao kwa kuangusha utawala wa nchi mbalimbali ambao viongozi wake wameshindwa kuendana na matakwa yake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inaelezwa kuwa Gaddafi alikuwa kiongozi mwenye mrengo wa Kiislam japo alikuwa haweki wazi kwenye utawala wake na kwamba alikuwa anapingana vikali na Freemasons.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa mnajimu msomi, Maalim Hassan Yahya Hussein, Jeshi la Kujihami la Umoja wa Nchi za Magharibi (Nato), hutekeleza mipango ya Freemasons kama lilivyofanya Libya kumng’oa Gaddafi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Maalim Hassan ambaye ni mtoto wa aliyekuwa mnajimu maarufu barani Afrika, marehemu Sheikh Yahya Hussein, alisema kuwa dhumuni kuu la Freemasons ni kuzipiga vita dini za Kiislam na Kikristo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Ipo wazi kuwa wao lengo lao ni kuitawala dunia, kwa hiyo wanahakikisha hilo linawezekana kwa kudhoofisha Uislam na Ukristo ili ufe kisha Shetani ashinde hapa duniani,” alisema Maalim Hassan ambaye ni mrithi wa kazi za unajimu za marehemu Sheikh Yahya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aliongeza: “Mkakati mkubwa zaidi ni kuhakikisha dunia inaabudu Dini ya Shetani, wanataka kila mtu awe chini ya mamlaka ya jini mkuu (Lucifer). Dunia nzima itawaliwe na serikali moja na iwe na sarafu moja.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kauli ya Maalim Hassan inashabihiana na ile iliyopo kwenye maandiko kwamba zama za Dini ya Shetani kuishika dunia, kutakuwa na mfumo ambao utazuia mtu yeyote kupata huduma za kijamii mpaka awe mwanachama na atatambulika kwa chapa 666.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Habari zaidi zinaeleza kuwa Freemasons wanatumia njia mbalimbali kuhakikisha ulimwengu mzima hakuna anayeamini dini za Mungu na wanapambana kuhakikisha hata Yesu (Nabii Isa) atakaporejea akute hakuna aliye tayari kukombolewa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika kuhakikisha wanapambana na nguvu ya Yesu, Freemasons wamekuwa wakitumia damu ndiyo maana hutoa kafara kwa kuchinja mnyama hasa mbuzi au kondoo wenye pembe kwa imani kwamba huwaongezea nguvu ya kuishika dunia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kutokana na tishio la Freemasons, viongozi wa kidini hususan wale wa Mashariki ya Kati, wamekuwa wakiwataka Waislam na Wakristo kwa imani zao, kufunga na kusali ili Dini ya Shetani isipate mafanikio inayoyataka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;SAKATA LA USHOGA&lt;br /&gt;Habari zinasema kuwa Serikali ya Uingereza imekuwa ya kwanza kutumiwa na Freemasons katika kuhakikisha nchi zote zinazounda Jumuiya ya Madola zinapitisha sheria zinazokinzana na maandiko matakatifu yanayoaminiwa na waumini wa Dini za Kiislam na Kikristo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ushoga na usagaji ni vitendo ambavyo vinakemewa na dini hizo lakini hivi sasa, Freemasons wanadaiwa kuchochea mabadiliko ili watu wanaojihusisha na hulka hizo wawe huru kikatiba duniani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivi karibuni, Waziri Mkuu wa Uingereza, David Cameron, alitangaza kuwa mwanachama wa Jumuiya ya Madola ili apate misaada inabidi kwanza aruhusu ndoa za jinsi moja (ushoga na usagaji) kwenye katiba ya nchi yake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tanzania ikiwa moja ya wanachama wa Jumuiya ya Madola, inapitiwa kwenye rungu hili, ingawa Balozi wa Uingereza nchini, Diana Corner alisema nchi yetu haihusiki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe alishatoa tamko kwamba Tanzania haipo tayari kuruhusu ndoa za mashoga na wasagaji kisha akaonya kuwa kauli ya Cameron inaweza kuivunja Jumuiya ya Madola.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;SIYO FREEMASONS PEKE YAKE&lt;br /&gt;Mbali na Freemasons, dini nyingine zenye mrengo wa Shetani ni Illuminati na Skull &amp; Bones ambazo zinavuma zaidi Marekani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;VIGOGO WA FREEMASONS&lt;br /&gt;Viongozi wanaotajwa kuwa vigogo wa jamii hiyo ni marais wa 43 na 44 wa Marekani, Barack Obama na George Bush, Rais wa Ufaransa, Nicolas Sarkozy ambao wanaonesha alama za vidole ukurasa wa kwanza. Yupo pia Cameron na wengine wengi.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-4849908413183554584?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/4849908413183554584/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=4849908413183554584' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/4849908413183554584'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/4849908413183554584'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/11/kafara-nzito.html' title='KAFARA NZITO'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-6u7zjVOGRAY/Tr1IUud-F6I/AAAAAAAABEc/_c3vFT0NapA/s72-c/kafara1.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-5507164001129883194</id><published>2011-11-11T15:27:00.001Z</published><updated>2011-11-11T15:34:18.317Z</updated><title type='text'>Malema 'avuliwa gamba' ANC</title><content type='html'>Friday, 11 November 2011 &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mashirika ya habari, JOBURG, Afrika Kusini&lt;br /&gt;KIONGOZI wa Umoja Vijana wa chama cha ANC kinachotawala nchini Afrika Kusini, Julius Malema (30) amesimamishwa wadhifa huo kwa miaka mitano .&lt;br /&gt;Hatua hiyo imefikiwa jana, baada ya kamati  ya nidhamu ya chama hicho kutoa hukumu dhidi ya kiongozi huyo mwenye ushawishi mkubwa kwa vijana wa chama hicho.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Malema ambaye siku za nyuma alikuwa mshirika mkubwa wa kisiasa wa Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma lakini baadaye akamuasi, amekuwa katika malumbano makali na uongozi wa chama hicho na rais wake (Zuma).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo, katika kile kinachoonekana ni hatua mahususi ya kuzima uasi unaoweza kufanywa na Malema ndani ya ANC kutokana na nguvu na ushawishi aliyonayo kwa vijana, kiongozi huyo amesimamishwa na kuonywa kuwa iwapo ataonyesha kwenda kinyume na adhabu hiyo anaweza kufukuzwa katika chama hicho.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwenyekiti wa Kamati ya Nidhamu ya ANC, Derek Hanekom alisema tabia ya Malema imekishushia hadhi chama hicho na kwamba tabia yake siyo njia sahihi ya kuelezea hisia za kutoridhika na sera za chama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika tuhuma hizo, Malema alishtakiwa pamoja na maofisa wengine watano, akishutumiwa kuchochea mgawanyiko na kuvunjia heshima ya chama hicho. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Habari zaidi zilizopatikana jana zilidai kuwa,  huenda Malema akaondolewa  katika chama cha ANC.&lt;br /&gt;Hata hivyo, inasemekana kuwa iwapo Malema atatimuliwa huenda ushawishi wake kuhusu atakayekuwa kiongozi wa nchi hiyo mwakani ukadidimizwa.&lt;br /&gt;Malema ambaye hakuwepo kwenye makao makuu ya chama chake wakati hukumu hiyo ilipotolewa, amepewa siku 14 kukata rufaa dhidi ya uamuzi huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kamati hiyo ya ANC imempata Malema na hatia ya kuvuruga mkutano wa ANC, kukivunjia hadhi chama hicho kwa kudai mageuzi ya utawala nchini Botswana na kuchochea migawanyiko ndani ya chama hicho.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Viongozi wengine wa Umoja wa Vijana wa ANC, akiwemo  msemaji wake Floyd Shivambu, wamesimamishwa katika nyadhifa zao kwa muda wa miaka mitatu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo, kamati hiyo haikumpata Malema na hatia kwenye kosa la kuchochea ubaguzi wa rangi.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-5507164001129883194?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/5507164001129883194/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=5507164001129883194' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/5507164001129883194'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/5507164001129883194'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/11/malema-avuliwa-gamba-anc.html' title='Malema &apos;avuliwa gamba&apos; ANC'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-6310340166053880601</id><published>2011-11-11T15:25:00.001Z</published><updated>2011-11-11T15:27:30.242Z</updated><title type='text'>Stars leo mashambulizi mwanzo mwisho Inakamuana na Chad</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-EHn4tifsk3I/Tr0-1ZA3wYI/AAAAAAAABD4/6ZUBh4q7vmQ/s1600/ts.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 300px; height: 293px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-EHn4tifsk3I/Tr0-1ZA3wYI/AAAAAAAABD4/6ZUBh4q7vmQ/s320/ts.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5673760192525222274" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;*Inakamuana na Chad&lt;br /&gt;Na Edo Kumwembe, N’djamena, Chad&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;TAIFA Stars leo itacheza staili ya kushambulia mwanzo-mwisho dhidi ya wenyeji wao timu ya taifa ya Chad katika pambano muhimu la awali kuwania kufuzu kucheza fainali za Kombe la Dunia. Mechi inapigwa kwenye Uwanja wa Idriss Mahamat Ouya jijini N’Djamena. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kocha wa Stars, Jan Poulsen amekumbushia falsafa yake ya kucheza kwa kushambulia, ambapo atawatumia viungo wawili na kujaza washambuliaji mbele Abdi Kassim, Nizar Khalfan, Mrisho Ngassa na Mbwana Samata.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Stars iliyoingia jijini N’dJamena saa saba usiku juzi kwa ndege ya shirika la ndege la Kenya itaingia uwanjani ugenini kusaka matokeo bora katika pambano hilo la awali kabla ya kurudiana na wenyeji wao katika uwanja wa taifa Jumanne jioni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kabla ya pambano la leo, jana Stars walifanya mazoezi yao jioni katika uwanja wa Idriss Mahamat Ouya huku wakimkosa mlinzi wa kulia wa timu hiyo, Erasto Nyoni ambaye alianza kusumbuliwa na malaria tangu alipotua jijini N’Djamena.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa Poulsen, kiungo chipukizi, Shomari Kapombe anatazamiwa kuziba nafasi ya Nyoni huku winga mahiri Mrisho Ngassa akitazamiwa kuanza pambano hilo baada ya kukosekana katika vikosi vya kwanza vya kocha Poulsen katika mechi za karibuni.&lt;br /&gt;Kurudi kikosini kwa Ngassa kunatokana na kujitoa kwa mshambuliaji Danny Mrwanda ambaye amekuwa akianza katika mechi za karibuni kama mshambuliaji anayesaidia mashambulizi kuanzia upande wa kushoto.&lt;br /&gt;Poulsen ameimbia Mwananchi, haifahamu timu ya Chad lakini akaahidi kubadili fomesheni ya Stars dakika kadhaa baada ya kuanza kwa pambano hilo kutokana na jinsi atakavyowasoma wapinzani wake.&lt;br /&gt;“Siijui vizuri Chad. Nitawaangalia katika dakika 20 za mwanzo na kama kuna uwezekano wa kubadili fomesheni basi nitafanya hivyo. Lakini kama ilivyo kawaida yangu, asilimia 95 ya mchezo wa timu yangu unategemea zaidi na jinsi tunavyocheza wenyewe kuliko ambavyo mpinzani wetu anacheza.” alisema Poulsen.&lt;br /&gt;Hata hivyo, Poulsen alisema atafurahi zaidi kucheza soka la kushambulia kwa ajili ya kupata matokeo mazuri badala ya kucheza soka la kujihami ambalo haliisaidii timu.&lt;br /&gt;Naye kocha wa Chad ambaye kikosi chake kilifanya mazoezi ya mwisho katika uwanja wa Idriss Mahamat Ouya, Mohamed Omary alisema dakika tisini ndio zitaaamua mshindi wa leo na si vinginevyo.&lt;br /&gt;“Sichezi mpira nje ya uwanja. Nacheza ndani ya uwanja. Dakika tisini ndio zitaamua matokeo ya mechi ya kesho (leo).” Alisema Omary&lt;br /&gt;Endapo Stars itapata matokeo mazuri katika mechi zake mbili dhidi ya Chad ambazo zinachezwa ndani ya siku nne, itapata nafasi ya kucheza kundi la kufuzu kwenda kombe la dunia ikipangwa pamoja na Gambia, Ivory Coast na Morocco&lt;br /&gt;Mwamuzi wa pambano la leo ni  Ogunkolade Bunmi wa Nigeria akisaidiwa na Abidoye Tunde  na Baba Abel ambao wote pia ni Wanigeria.&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa Poulsen kikosi kamili cha Stars leo ni Juma Kaseja, Shomari Kapombe, Aggrey Morris, Juma Nyoso, Idrisa Rajab, Shaabani Nditi, Henry Joseph, &lt;br /&gt;Abdi Kassim, Nizar Khalfan, Mrisho Ngassa na Mbwana Samata&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-6310340166053880601?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/6310340166053880601/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=6310340166053880601' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/6310340166053880601'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/6310340166053880601'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/11/stars-leo-mashambulizi-mwanzo-mwisho.html' title='Stars leo mashambulizi mwanzo mwisho Inakamuana na Chad'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-EHn4tifsk3I/Tr0-1ZA3wYI/AAAAAAAABD4/6ZUBh4q7vmQ/s72-c/ts.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-3275466374552261479</id><published>2011-11-11T15:21:00.001Z</published><updated>2011-11-11T15:23:27.817Z</updated><title type='text'>Mamlaka ya rais yagawa Kamati ya Katiba</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-wTqA76AgL4A/Tr09uh0R4iI/AAAAAAAABDs/VeIeeekB4dM/s1600/kikwete.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 300px; height: 260px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-wTqA76AgL4A/Tr09uh0R4iI/AAAAAAAABDs/VeIeeekB4dM/s320/kikwete.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5673758975117615650" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;KAMATI ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala imeshindwa kufikia mwafaka kuhusu muswada wa Sheria ya Mapitio na Marekebisho ya Katiba wa mwaka 2011 unaotarajiwa kuwasilishwa bungeni Jumatatu ijayo. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Habari kutoka ndani ya kikao cha kamati hiyo, jana zinasema wajumbe hao bado wamegawanyika kuhusu suala la sheria inayokusudiwa kutungwa kumpa Rais mamlaka makubwa katika mchakato huo wa kupatikana kwa katiba mpya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Habari hizo zinaeleza kwamba wanabishania wanachodai kuwa ni muswada huo kumpa Rais madaraka makubwa ambayo ni pamoja na kuteua wajumbe wa tume ya Kukusanya Maoni, sekretarieti ya Tume hiyo na wabunge 116 kuingia katika Bunge la Katiba.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Kwa hali hii Katiba inaweza kuwa ni mali ya Rais, maana hata wajumbe wa sekretarieti anatakiwa kuteua yeye! Hii ni 'too much' (imezidi). Kwa maana hiyo, mchakato mzima unashikwa na Rais mwenyewe,” alisema mmoja wa wajumbe wa kamati hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Taarifa zaidi zinasema kutokana na mvutano huo, suala hilo sasa limechukua mtizamo wa itikadi za vyama, na kwamba wajumbe ambao ni wabunge wa CCM katika kamati hiyo wameanza kulegeza msimamo na kukubaliana na mapendekezo ya Serikali, huku wabunge wa upinzani wakitaka kufanywa kwa marekebisho.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa habari hizo, wajumbe hasa wale kutoka upinzani wanataka madaraka ya Rais yapunguzwe kwa kuipa Tume ya Kukusanya Maoni kutoka kwa wananchi ndiyo ipewe mamlaka ya kuteua sekretarieti yake badala ya suala hilo kufanywa  pia na Rais.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Juzi, Waziri wa Katiba na Sheria, Celine Kombani aliliambia Mwananchi kuwa tatizo la wanaodai kuwa Rais ana madaraka makubwa hawatoi mapendekezo mbadala na jinsi ya kurekebisha pendekezo hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Sasa Rais ndiye aliyepo, kwa nini hawataki kumwamini wakati alipigiwa kura na wananchi wengi? Lakini, basi waseme wao wanatakaje,” alisema Kombani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mmoja wa wajumbe alisema: “Mahali tunapofika, ni kama kila mmoja ataondoka na msimamo wake kwenda nao bungeni. Hata leo, mbele ya Waziri (Kombani) tumeshindwa kufikia mwafaka, sasa hiyo siyo dalili njema."&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hali hiyo ya kutoafikiana miongoni mwa wajumbe wa kamati hiyo inatoa ahueni kwa Serikali kuweza kupitisha mapendekezo yake bila kupata upinzani mkubwa kutoka kwa kamati hiyo kama ilivyokuwa awali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vikao vya Kamati hiyo vimekuwa vikivuta wabunge wengi hata ambao si wajumbe wake, ili kufuatilia kinachoendelea kwenye meza ya majadiliano baina ya wajumbe husika kwa upande mmoja, kamati na Serikali kwa upande mwingine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kutokana na unyeti wa suala la katiba, Spika wa Bunge Anne Makinda aliongeza wajumbe watano katika Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala ili kupanua wigo wa mjadala wa suala hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Makinda aliliambia Mwananchi mwanzoni mwa wiki hii kuwa wabunge hao watano wanaruhusiwa kupiga kura kwenye uamuzi. “Kikanuni hawa niliowateua mimi wanaruhusiwa kupiga kura na nimefanya hivyo kutokana na unyeti wa suala lenyewe,” alisema Makinda.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wajumbe hao ni Mwanasheria Mkuu wa zamani na Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge, Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR Mageuzi), David Kafulila, Mbunge wa Simanjiro (CCM) Christopher Ole Sendeka, Mbunge wa Wawi (CUF), Hamad Rashid Mohamed pamoja na Deogratius Ntukamazina ambaye ni Mbunge wa Ngara (CCM).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Muswada wa Sheria ya Mapitio ya Marekebisho ya Katiba wa mwaka 2011, sasa utasomwa bungeni kwa mara ya pili na umetengewa siku tatu kwa ajili ya kujadiliwa kabla ya kupitishwa na Bunge.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Muswada huo ulisomwa kwa mara ya kwanza Bungeni Aprili 5, mwaka huu, lakini, ukarejeshwa Serikalini ili kufanyiwa marekebisho kadhaa na kuandikwa kwa Kiswahili kabla ya kurejeshwa tena Bungeni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kutokana na hali hiyo Serikali ilipata upinzani mkali kutoka kwa wabunge na wanaharakati ambao walidai kwamba muswada huo ulipaswa usomwe kwa mara ya kwanza kutokana na kufanyiwa marekebisho makubwa tofauti na ule wa awali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo Kombani alisema juzi kuwa: “Muswada huu uliposomwa kwa mara ya kwanza haukuondolewa, bali ulipelekwa kwa umma ili ukajadiliwe”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Mabadiliko mengi yanayolalamikiwa yalitokana na hoja za wananchi, hii ni ishara kwamba tulizingatia hizo hoja, sasa kwa mujibu wa taratibu za miswada ni kwamba utasomwa kwa mara ya pili, kama mnavyoona kwenye ratiba,” alisema Kombani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mkurugenzi wa Huduma za Bunge, John  Joel aliliambia Mwananchi kuwa kwa mujibu wa taratibu, muswada huo hauwezi kutangazwa tena katika Gazeti la Serikali wakati ulishatangazwa Machi mwaka huu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ratiba ya Mkutano wa Tano wa Bunge inaonyesha kuwa Muswada huo utasomwa kwa mara ya pili Jumatatu, Novemba 14 mwaka huu na kuendelea kujadiliwa na Jumanne, Novemba 15 na Jumatano Novemba 16 mwaka huu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Hatua ya muswada huo kupangwa kusomwa kwa mara ya pili, inatafsiriwa kuwa ni “ushindi” kwa Serikali dhidi ya waliokuwa wakipinga hatua hiyo kutokana na sababu mbalimbali, kubwa ikiwa ni wananchi kupewa muda zaidi kwa ajili ya kuujadili. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mjadala wa muswada huo utatanguliwa na semina kwa wabunge wote itakayofanyika kesho Jumamosi hatua inayotafsiriwa kuwa ni kujaribu kupunguza hoja ambazo zinaweza kujitokeza na pengine kuukwamisha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baadhi ya wanaharakati wanaopinga muswada huo kusomwa kwa mara ya pili ni Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) na Jukwaa la Katiba ambao wameenda mbali na kudai kuwa Waziri Kombani, amechakachua muswada huo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-3275466374552261479?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/3275466374552261479/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=3275466374552261479' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/3275466374552261479'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/3275466374552261479'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/11/mamlaka-ya-rais-yagawa-kamati-ya-katiba.html' title='Mamlaka ya rais yagawa Kamati ya Katiba'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-wTqA76AgL4A/Tr09uh0R4iI/AAAAAAAABDs/VeIeeekB4dM/s72-c/kikwete.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-6145808059575334893</id><published>2011-11-11T15:17:00.003Z</published><updated>2011-11-11T15:21:15.482Z</updated><title type='text'>Mbowe apandishwa kizimbani</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-boaJ8HAdVzM/Tr08wzKUkVI/AAAAAAAABDg/sTmXJAlDPeE/s1600/mbowe.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 295px; height: 284px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-boaJ8HAdVzM/Tr08wzKUkVI/AAAAAAAABDg/sTmXJAlDPeE/s320/mbowe.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5673757914621579602" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;PINDA ASEMA MAANDAMANO CHADEMA YANATUNYIMA USINGIZI &lt;br /&gt;MWENYEKITI wa Taifa Chadema, Freeman Mbowe, amepandishwa kizimbani katika Mahakamani ya Hakimu Mkazi Arusha na kusomewa mashtaka mawili ya kufanya mkusanyiko kinyume cha sheria na kukataa kutii amri halali ya polisi iliyowataka kutawanyika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kutokana na mashitaka hayo, Mbowe ameunganishwa na washtakiwa wengine 27 wanachama wa chama hicho, waliofikishwa mahakamani hapo Jumanne iliyopita wakikabiliwa na mashtaka kama hayo, akiwemo Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa na Mbunge wa Singida  Mashariki, Tundu Lissu .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbowe ambaye pia Mbunge wa Hai na Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzania Bungeni, ameunganishwa kwenye kesi hiyo ya jinai namba 454/2011 ambapo watuhumiwa wote kwa kwa pamoja, wanadaiwa kufanya kusanyiko isivyo halali katika viwanja vya NMC, eneo la Unga Ltd, Manispaa ya Arusha Novemba 7 mwaka huu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo Mbowe ambaye anakuwa mshitakiwa wa 28 kwenye kesi hiyo, alikana mashitaka yote mawili yaliyosomwa mahakamani hapo na Wakili wa Serikali Haruna Matagane akisaidiwa na mwenzake, Agustino Kombe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Upande wa utetezi ukiongozwa na mawakili Method Kimomogoro na Issa Rajabu, uliiomba mahakama hiyo kumpa dhamana mteja wao kwa masharti sawa na wenzake. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakimu Devotha Kamuzora anayesikiliza kesi hiyo, alikubaliana na maombi hayo na kumpa dhamana Mbowe,  kwa masharti ya kuwa na wadhamini wawili wenye vitambulisho na barua ya utambulisho kutoka kwa Ofisa Mtendaji wa Kata ambao walitia saini hati ya dhamana ya Sh milioni tano kila mmoja. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwenyekiti huyo aliachiwa kwa dhamana baada ya kutimiza masharti . Kesi hiyo imeahirishwa hadi Novemba 22, mwaka huu itakapotajwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;    Maelezo ya wakili &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika maelezo ya hati ya mashitaka, Wakili Matagane alidai washitakiwa wote kwa pamoja walikusanyika isivyo halali kwenye viwanja vya NMC usiku wa Novemba 7  hadi Novemba 8 mwaka huu  saa 12.00 asubuhi  kwa lengo la kutenda kosa wakati shtaka la pili, ni kukataa kutii amri halalii ya polisi iliyotolewa na Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP), Peter Mvulla, kuwataka watawanyike.&lt;br /&gt;  &lt;br /&gt;Mbowe aliyejisalimisha mwenyewe polisi saa 5:45 juzi baada ya kutakiwa kufanya hivyo na Kaimu Kamanda wa Polisi, Akili Mpwapwa, alifikishwa mahakamani hapo chini ya ulinzi mkali wa Jeshi la Polisi akiwa ndani ya gari namba PT 1844 aina ya Toyota Land Cruiser, lililosindikizwa na gari jingine lililojaa askari waliovalia sare za jeshi hilo huku wakiwa wakiwa wamebeba silaha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwenyekiti huyo aliyefika eneo la viwanja vya Mahakama Saa 3:45 asubuhi, aliongozwa moja kwa moja kwenye chumba maalumu cha kusubiria kabla ya kufikishwa mbele ya hakimu kusomewa mashtaka yake saa  4:00 huku umati mkubwa wa wafuasi wa Chadema ukiwa umefurika ndani na nje ya mahakama hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;   Kauli ya Pinda kuhusu Chadema&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati hayo yakiendelea Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ametoboa siri kuhusu maandamano ya mara kwa mara yanayofanywa na Chadema kwa kutamka kwamba yanaiumiza kichwa serikali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akijibu maswali papo kwa papo bungeni jana, Pinda alisema ; "Staili yenu hiyo (Chadema)  ya maandamano, inatupa shida sana, tunapata taabu kila wakati kufikiria maandamano badala ya mambo ya msingi.” &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Waziri mkuu alikuwa akijibu swali la Mbunge wa Ubungo, John Mnyika, aliyetaka kujua, pamoja na mambo mengine dhamira na msimamo wa serikali ya kutatua mgogoro wa umeya wa Arusha. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mnyika alisema tatizo kubwa la mgogoro wa Arusha ni uchaguzi wa meya ambao Chadema imeonyesha dhamira ya dhati kutafuta suluhu hivyo, akataka msimamo Pinda kwa maelezo kuwa mgogoro huo umesambaa nchi nzima na kama haiwezekani kupatikana suluhu Chadema watajua cha kuwaeleza wanachama wao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika jibu lake Pinda aliitaka Chadema kutokuza jambo hilo kwa namna Inavyolichukulia ,“Tusikuze sana mambo kwamba mgogoro huo sasa umesambaa, wapi Mnyika? Wapi? Kwa staili yenu (Chadema) ya maandamano kila mahali, sisi serikalini tuna mengi ya kufanya, hatuwezi kila siku tuwe tunashughulikia matatizo yenu tu. 'People's Power' kila kukicha, haileti suluhu ya matatizo yenu, mnahitaji kubadilika,” alisema Pinda &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema wakati mwingine serikali inaacha kufikiria mambo ya maendeleo kwa wananchi na kujikuta inafikiria maandamano ambayo yamekuwa yakishinikizwa mara kwa mara na Chadema nchi nzima. &lt;br /&gt;  &lt;br /&gt;Pinda alisema staili hiyo ya Chadema kufanya maandamano kwa kile inachoiita, kutegemea nguvu ya umma, imekuwa ikimuuza zaidi yeye binafasi, "kwa kweli mimi naumizwa na hili".&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Aliongeza kwamba, maandamano hayo wakati mwingine yanaonyesha namna chama hicho kisivyo na dhamira ya kweli katika kupata suluhu ya matatizo mbalimbali ikiwemo ya mgogoro wa umeya wa Jiji la Arusha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“ Staili yenu ya 'People's Power, People's Power !' kila kukicha, inatunyima usingizi. Tunashindwa kufanya shughuli nyingine kwa sababu ya kuifikiria Chadema,” alisema Pinda.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema katika suala la Arusha, imeonekana ni jambo la kisiasa ambalo alimweleza Msajili wa Vyama awasiliane na pande zote mbili ikiwemo CCM ili kuona namna ya kukaa meza moja na kulimaliza .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Awali, Waziri Mkuu akijibu swali kama hilo kutoka kwa Mbunge wa Korogwe, Stephen Ngonyani, aliitaka Chadema kujitathmini ili kuona kama kweli kinahitaji suluhu katika mgogoro wa Arusha badala ya kuilaumu serikali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika swali lake la msingi, Ngonyani alionesha wasiwasi wake kwamba mgogoro wa umeya wa Arusha hivi sasa unatishia hata biashara ya utalii katika jiji hilo na kutaka Mbunge wa Arusha Lema apewe dhamana kama njia ya kupunguza mvutano.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Mheshimiwa Waziri Mkuu, siku hizi kila kukicha ni vurugu na migogoro Arusha. Sasa hivi Arusha utalii hakuna na biashara hazifanyiki. Kwa nini serikali inazuia dhamana ya Lema?”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akijibu swali hilo, mbali na kukiri kwamba migogoro jijini Arusha inaathiri sekta ya biashara na utalii, Waziri Mkuu Pinda, alikanusha fikra kwamba serikali  inahusika kwa namna yoyote katika kupalilia vurugu hizo, ikiwamo kuzuia dhamana ya mbunge huyo wa Arusha Mjini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Ni kweli Arusha kuna migogoro mingi lakini, bado ni tulivu. Ila kama Watanzania, lazima tuzingatie unalolisema. Sio kweli kwamba serikali inazuia dhamana ya Mheshimiwa Lema. Vurugu zote hizo, mara nyingi zinazaa kesi,” alisema Pinda na kuendelea;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Tarehe Oktoba 28,  2011  Lema na wenzake kadhaa walikamatwa, wakafikishwa mahakamani na kupewa dhamana hadi Oktoba 31, 2011 walipotakiwa kufika tena mahakamani.  Kimsingi mashtaka yale yote, yanastahili dhamana na mahakama ilikubali watuhumiwa wote wadhaminiwe.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Kilichotokea kwa Lema kwa sababu ambazo mimi sizijui, alikataa dhamana, akisema anataka kubaki gerezani. Wenzake walidhaminiwa na Lema alipelekwa gerezani kama alivyotaka hadi Novemba 14.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Ilipofika Novemba 7 (2011), Chadema walikubaliana na mawakili wao kupeleka maombi maalumu mahakamani ili wakamtoe Lema. lakini hakimu akawaambia kesi tumeiahirisha hadi Novemba 14. Sasa hii ni Mamlaka ya Mahakama sio serikali. Tutegemee tu kwamba siku hiyo yanaweza kutoka maamuzi ya kumtoa Lema garezani.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pinda alisema kwa mazingira yalivyo, hayuko tayari kutoa maagizo mapya juu ya mgogoro wa Arusha kwa kuwa haoni nia ya dhati ya Chadema kutaka suluhu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;         Maandamano Dar&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jijini Dar es Salaam, maandamano yaliyopangwa kufanywa na Baraza la Vijana la Chama hicho (Bavicha) Mkoa, kupinga kile walichokiita kukamatwa na kunyanyaswa kwa viongozi wao wa kitaifa, yamesitishwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwenyekiti wa Bavicha, John Heche alitangaza kusitishwa maandamano hayo baada ya kuwasili eneo lililopangwa  kufanyika maandamano hayo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika utekelezaji wa kusitisha maandamano hayo, viongozi wengine wa chama hicho waliwasili eneo hilo na  nakulazimika  kuwaomba  wafuasi wa chama hicho kutawanyika kutokana na  kwamba mpango huo umesitishwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mnamo saa  3:00  asubuhi, umati mkubwa wa wafuasi wa chama hicho ulitanda eneo la Kimara Kona pamoja na Ubungo, yalipopangwa kuanzia maandamano hayo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akizungumzia kusitishwa kwa maandamano hayo, Heche alisema wamefikia uamuzi huo baada viongozi wakuu wa chama hicho kufanya majadiliano na maofisa wa Jeshi la &lt;br /&gt;Polisi kuhusu madai ya kero zao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Tumepata maelekezo kutoka kwa  Mwenyekiti wetu Mbowe na Katibu Mkuu Dk Slaa ya kwamba tusitishe maandamano kwa sababu kuna majadiliano yanaendelea kati yao na maofisa wa Jeshi la Polisi,” alisema Heche.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aliongeza kuwa  kama hakutakuwa na muafaka katika majadiliano hayo, wataingia tena mtaani na kuandamana  mpaka kero zao zitakapopatiwa ufumbuzi.&lt;br /&gt;  &lt;br /&gt;   Hali ya ulinzi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo, Jeshi la Polisi liliimarisha ulinzi katika maeneo mengi ya jiji la Dar es Salaam huku kamatakamata ikiwakumba baadhi ya wafuasi wa chama hicho waliovalia mavazi ya chama hicho.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Saa 5: 10 katika eneo la Ubungo gari la polisi lenye namba PT 1818 ambalo lilikuwa limebeba askari waliokuwa na silaha za moto, walikuwa  wakiwatangazia wananchi waliokuwa wamekaa katika makundi kutawanyika .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Watu saba waliokuwa wamevalia mavazi ya chama hicho walikamatwa na kufikishwa katika kituo kidogo cha Polisi Urafiki, huku wengine wakiwa wamekamatwa na kubebwa kwenye  magari ya polisi ambayo yalikuwa yakizunguka mitaani .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baadhi ya viongozi wa chadema, walifika katika kituo cha polisi urafiki ambako wafuasi  hao saba waliokuwa wamewekwa  rumande kwa muda wa saa mbili.&lt;br /&gt;Viongozi hao walifanikiwa kuwatoa kwa dhamana na walitakiwa kubadilisha mavazi hayo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akizungumza na mwandishi wa habari hii kwa njia ya simu Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es salaam, Suleimani Kova alisema hali ya usalama katika jiji la Dar es Salaam ni shwari na hakuna tukio lolote la uvunjivu amani ambalo limejitokeza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Jeshi la Polisi limeimarisha ulinzi katika maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam na kwamba hakuna tukio lolote la uvunjifu amani ambalo limejitokeza “ alisema Kova.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kova alisema jeshi hilo limejipanga kuhakikisha linaimarisha ulinzi katika maeneo yote ya jiji.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-6145808059575334893?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/6145808059575334893/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=6145808059575334893' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/6145808059575334893'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/6145808059575334893'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/11/mbowe-apandishwa-kizimbani.html' title='Mbowe apandishwa kizimbani'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-boaJ8HAdVzM/Tr08wzKUkVI/AAAAAAAABDg/sTmXJAlDPeE/s72-c/mbowe.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-6918076974933218052</id><published>2011-07-24T10:16:00.000Z</published><updated>2011-07-24T10:17:41.640Z</updated><title type='text'>Nishati wafanya ufisadi kwa miaka minne</title><content type='html'>YABAINIKA JAIRO ALIHUSIKA MIAKA MIWILI, KAFULILA AWASHTAKI KWA JK&lt;br /&gt; Neville Meena, Dodoma&lt;br /&gt; IMEBAINIKA uchotaji wa mamilioni ya fedha katika Idara na taasisi za umma zilizoko chini ya Wizara ya Nishati na Madini kugharamia shughuli zinazohusiana na gharama  za bajeti ya wizara hiyo, ulianza mwaka 2004.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kuanzia Julai 2008, kila mwaka Ofisi ya Katibu Mkuu katika wizara hiyo imekuwa ikiandika barua kwa wakuu wa taasisi hizo kutaka fedha ambazo kwa namna moja au nyingine zinahusishwa na shughuli za bajeti ya wizara kusomwa bungeni au kughramia sherehe ambazo hufanyika baada ya kupitishwa kwa bajeti husika.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Fedha hizo kwa mujibu wa nyaraka husika, zimekuwa zikitumika kugharamia tafrija mara baada ya bajeti kupitishwa na bunge, posho za vikao, posho za kujikimu, vyakula, vinywaji na mafuta ya magari.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Hata hivyo mmoja wa watumishi wa idara ambazo zimekuwa vinara wa kudaiwa fedha wakati wa bajeti alilithibitishia Mwananchi Jumalipi kwamba, wakati wa vikao vyote vya Bunge kila taasisi huwagharamia watumishi wake wanaokwenda Dodoma.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;"Mara nyingi wakati wa vikao vya bajeti huwa nakuja hapa Dodoma, lakini utaratibu wa kukaa hapa lazima nijaze fomu ofisini na ipitishwe kwa mabosi wangu ndipo napewa fedha za kuishi, wizara hawawezi kukupa hela," alisema mtumishi huyo na kuongeza:&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;"Sana  sana hapa tukiwa na kazi huwa tunakunywa chai na luch (chakula cha mchana) na hii siyo kila siku, ni kama tuna kazi zinazotuunganisha na wenzetu kutoka ofisi nyingine na maofisa wa wizara."&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Matumizi mabaya ya fedha hizo za umma yamebainika kipindi ambacho Katibu Mkuu wa sasa wa Wizara hiyo, David Jairo, amesimamishwa na Ikulu kwa kupewa likizo ya malipo, ili kupisha uchunguzi wa tuhuma zilizotolewa bungeni dhidi yake.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Jairo anakabiliwa na tuhuma za kuwaandikia barua wakuu wa idara zote zilizoko chini ya wizara yake, ili watoe fedha kwa ajili ya kusaidia kupitishwa kwa bajeti ya wizara hiyo, fedha ambazo zinatafsiriwa kwamba zilikuwa ni kwa lengo la kutoa rushwa kwa wabunge.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kafulila ashtaki kwa JK&lt;br /&gt;Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila(NCCR - Mageuzi), jana aliliambia Mwananchi Jumapili kuwa amemwandikia barua Rais Jakaya Kikwete akitaka uchunguzi utakaofanywa na Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali katika Wizara ya Nishati na Madini uanzie miaka ya mitano iliyopita.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;"Nimemwandikia barua Rais Kikwete, maana inaonekana kuwa huu mchezo wa kuchota fedha za Umma katika wizara hii umeanza tangu 2008," alisema Kafulila ambaye pia aliwahi kuwalipua baadhi ya wabunge wenzake, akiwatuhumu kwamba waliomba rushwa katika&lt;br /&gt;Halmashauri ya Handeni, mkoani Tanga.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kafulila katika barua yake ambayo pia Mwananchi limeiona, alisema anakubaliana na hatua za awali za kumchunguza Jairo, lakini anapendekeza ufanyike uchunguzi mpana kwani mtindo si kwa mwaka huu pekee bali hata miaka iliyopita katika wizara hiyo na nyingine nchini.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;"Napenda kupendekeza kwako kuwa suala hili lifanyiwe uchunguzi mpana kwa kuwa upana wa kashfa hii ni zaidi ya mwaka mmoja wa fedha 2011/2012, ni zaidi ya Katibu Mkuu mmoja, David Jairo na pengine ni zaidi ya wizara moja ya Nishati na Madini, katika hicho kinachoelezwa kuwa ni kusaidia uwasilishaji wa bajeti," inaeleza sehemu ya barua hiyo.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Katika barua yake kwa Rais na kutoa nakala kwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Spika wa Bunge, Anne Makinda, Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Uttoh na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupamba na Rushwa (Takukuru), Kafulila anasema ana ushahidi unaothibitisha baadhi ya tuhuma hizo.  &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Uzoefu wa Jairo&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa nyaraka ambazo Mwananchi limeziona, hii ni mara ya pili kwa Jairo akiwa Katibu Mkuu katika wizara hiyo kuandika waraka wa kuomba fedha kutoka kwenye idara husika kwa ajili ya kusaidia mchakato wa maandalizi na uwasilishaji wa bajeti bungeni.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kwa mujibu wa nyaraka hizo, Mei 12, mwaka jana Jairo akiwa Katibu Mkuu, aliandika waraka kwenda kwa aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Stephen Mabada akitaka lichangie Sh20 milioni ili kusaidia kile alichokiita, ‘Gharama za kukamilisha mpango na bajeti ya wizara 2010/2011 na uwasilishaji wake bungeni."&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Barua kama hiyo pia iliandikwa kwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Maji na Nishati (Ewura), Haruna Masebu, ambaye taasisi yake iliombwa kuchangia Sh25 milioni, wakati Yona Killagane ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli nchini (TPDC), taasisi yake ilitakiwa kuchangia Sh20 milioni.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kwa mujibu wa barua hizo, gharama husika kwa ajili ya kazi hiyo ya kibajeti ilikuwa ni Sh186.6 milioni hivyo kuzitaka idara zote kwa pamoja kuchangia kiasi cha Sh90 milioni, wakati wizara ilibaki na jukumu la kuchangia kiasi cha Sh96.6 milioni.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Hata hivyo jumla ya fedha zilizoombwa kutoka Ewura, Tanesco na TPDC ni Sh65 milioni, ikimaanisha kuwa ipo idara au taasisi nyingine ambayo pia iliombwa kuchangia kiasi kilichobaki cha Sh25 milioni.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;"Gharama hizi kubwa zimesababishwa na kupanda kwa gharama za posho kutoka Sh60,000 mpaka Sh200,000, Sh50,000 hadi Sh150,000 na Sh30,000 hadi Sh100,000 kwa wenyeviti na makatibu, wajumbe na sekretarieti sawia," inaeleza sehemu ya waraka huo uliondikwa na Jairo na kuongeza:&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;"Kwa kuwa bajeti ya wizara ya 2009/2010 ilikadiriwa kwa viwango vya zamani, ni dhahiri wizara haiwezi kubeba gharama hizi peke yake. Hivyo inashauriwa Wizara igharamie 96,626,000 na wadau muhimu wa wizara wagharamie 90,000,000".&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Barua hiyo haifafanui kuhusu wenyeviti, makatibu, wajumbe na sekretarieti ambao wanapaswa kulipwa posho hizo.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Miaka iliyopita&lt;br /&gt;Mwananchi limethibtisha kuwa "utaratibu" huo wa kuchota fedha umekuwepo  kwa muda mrefu, kwani mwaka 2008 na 2009 Wizara hiyo iliandika barua kwa ajilia kutaka "ichangiwe" ili kughramia shughuli za kibajeti.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Julai 5, 2008 aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Arthur Mwakapugi, aliandika wakara kwa Dk Idris Rashid, aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Lutengano Mwakahesya na Killagane wa TPDC akitaka mchango wa kile alichoeleza kuwa ni&lt;br /&gt;"Kuchangia gharama za hafla fupi baada ya mawasilisho ya bajeti ya wizara bungeni Dodoma".&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Katika waraka wake huo, Mwakapugi alitaka kila taasisi kuchangia kiasi cha Sh5 milioni, hivyo kufanya jumla yake kuwa Sh15 milioni kwa lengo la kugharamia tafrija husika.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Juni 19, 2009 Mwakapugi aliandika waraka mwingine kwenda Tanesco, REA na TPDC akitaka michango kwa ajili ya kile alichokieleza katika barua yake kuwa ni "Fedha kwa ajili ya kuwezesha uwasilishaji wa hotuba ya bajeti ya 2009/2010 bungeni Dodoma, kazi ambayo anasema katika barua hizo kwamba, gharama zake ni Sh170,461,500.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;"Kama ilivyo desturi, maofisa, taasisi na mashirika yaliyo chini ya wizara hujumuika katika kutoa michango yao hasa katika hoja zote zinazojitokeza katika maeneo husika. Ili kufanikisha zoezi hilo, gharama mbalimbali huhitajika zikijumuisha, posho za vikao, uchapishaji wa vitabu, uchapishaji kwenye magazeti, vyakula na vinywaji posho za safari na mafuta kwa washiriki," inaeleza sehemu ya barua.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Barua hiyo inabainisha kuwa msingi wa kutaka kuchangiwa ni kutokana na hali mbaya kifedha katika wizara hivyo  na kuwataka Tanesco kuchangi Sh40 milioni, REA Sh30 milioni na TPDC Sh40 milioni.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Likizo ya Jairo&lt;br /&gt;Katibu Mkuu Kiongozi, Philemon Luhanjo ambaye ni Mkuu wa Utumishi wa Umma aliwaambia waandishi wa habari mjini Dodoma Alhamisi wiki hii kuwa Jairo ambaye yuko chini yake, analazimika kwenda likizo kuanzia juzi ili kupisha uchunguzi wa awali ambao unalenga kubaini iwapo ametenda kosa la kinidhamu kwa mujibu wa sheria zinazoongoza Utumishi wa Mmma.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Mbunge wa Kilindi (CCM), Beatrice Shellukindo ndiye aliyemlipua Jairo Bungeni Julai 18, 2011 wakati akichangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini akisema amekusanya fedha kiasi cha Sh1 bilioni kutoka idara 21 zilizopo chini ya Wizara yake, fedha zisizo na maelezo.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;"Nimeanzisha uchunguzi wa awali kwa lengo la kupata ukweli kuhusu tuhuma hizo. Wakati uchunguzi huo ukiendelea, Katibu Mkuu, Wizara ya Nishati na Madini amepewa likizo ya malipo kupisha uchunguzi wa awali," alisema Luhanjo na kuongeza:&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;"Hatua zitakazochukuliwa hapo baadaye zitategemea matokeo ya uchunguzi wa awali".&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Licha ya mchakato wa hatua dhidi ya mtumishi huyo wa umma ambaye ni mteule wa Rais kupitia katika mchakato mrefu, mwishoni mwa mchakato huo anaweza kushushwa cheo, kupunguzwa mshahara, kufukuzwa kazi, kuachishwa kazi au kurejeshwa kazini kwa kutegemea matokeo ya taratibu zitakazofuatwa.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Luhanjo alisema Jairo analazimika kwenda likizo kwa kuwa tuhuma dhidi yake ni nzito. "Zingekuwa tuhuma nyepesi ningeruhusu aendelee na kazi wakati uchunguzi huo wa awali ukifanyika, lakini tuhuma hizi ni nzito mno. Hivyo lazima aende likizo ili kupisha uchunguzi huo," alisema Luhanjo.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Alisema uchunguzi dhidi ya Jairo kwa kuwa unahusu masuala ya fedha, utafanywa na Ofisi ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ambayo inatakiwa kikamilisha kazi yake katika muda wa siku kumi kisha kuiwasilisha kwake kwa hatua zaidi.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Taarifa ya Luhanjo ambayo ni taarifa rasmi ya Serikali inatofautina na kauli ambazo zimekuwa zikitolewa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kwamba suala la kuchukua kwa hatua dhidi ya Jairo linamsubiri Rais Kikwete ambaye alikuwa katika ziara ya kikazi nchini Afrika ya Kusini.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-6918076974933218052?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/6918076974933218052/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=6918076974933218052' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/6918076974933218052'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/6918076974933218052'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/07/nishati-wafanya-ufisadi-kwa-miaka-minne.html' title='Nishati wafanya ufisadi kwa miaka minne'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-5562401457795955400</id><published>2011-07-24T10:15:00.002Z</published><updated>2011-07-24T10:16:51.867Z</updated><title type='text'>Seneta wa Marekani aahidi kusaidia wafugaji</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-E0cUT0o73mM/TivxA25NneI/AAAAAAAABDY/gxJr5gL3uM0/s1600/seneta%2B%2Bwinters.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 290px; height: 248px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-E0cUT0o73mM/TivxA25NneI/AAAAAAAABDY/gxJr5gL3uM0/s320/seneta%2B%2Bwinters.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5632860755994713570" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Joseph Lyimo,Simanjiro&lt;br /&gt;SENETA wa Jimbo la Oregon, nchini Marekani, Jacks Winter, ameahidi kuboresha miundombinu katika Kijiji cha Lengasti, wilayani Simanjiro,ili kuziwezesha jamii za wafugaji kuondokana na matatizo yanayowakabili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Seneta Winter alitoa ahadi hiyo juzi alipokuwa akizungumza na wakazi wa kijiji hicho, kilichoko katika Kata ya Naisinyai.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema kwa kushirikiana na watu wa jimbo lake, atahakikisha kuwa wananchi wa Lengasti wengi wao wakiwa ni jamii ya wafugaji, wanapiga hatua za kimaendeleo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Winter alisema lengo la ziara yake katika Wilaya ya Simanjiro, lilikuwa ni kujifunza mambo mbalimbali ya jamii na kutambua matatizo yanayowakabili wananchi wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema tayari ameshajifunza mambo mengi ikiwa ni pamoja na namna ya kuwasaidia wananchi wa eneo hilo, kuondokana na matatizo.Seneta Winter alisema kwa kushirikiana na watu wa Jimbo la Oregon, atahakikisha wananchi wa Lengasti wanatengenezewa miundombinu bora.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa upande wake, Diwani wa Kata ya Naisinyai, Kilempu Ole Kinoka, alimshukuru seneta huyo kwa kuwachimbia wananchi mabwawa mawili yanayoyatumiwa kwa shughuli za jamii na mifugo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema kwa sasa wakazi wa kijiji hicho, wanakabiliwa na tatizola ukosefu wa nishati ya umeme kwa ajili ya kuendeshea mtambo wa kuvutia maji ya kunywa na matumizi mengine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Huko nyuma wanawake katika kijiji hiki  walikuwa wanasafiri kwa umbali wa kilometa 15  wakitafuta maji, lakini sasa maji tatizo hio limepungua hasa baada ya kuchimbiwa mabwawa mawili,"aisema.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-5562401457795955400?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/5562401457795955400/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=5562401457795955400' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/5562401457795955400'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/5562401457795955400'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/07/seneta-wa-marekani-aahidi-kusaidia.html' title='Seneta wa Marekani aahidi kusaidia wafugaji'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-E0cUT0o73mM/TivxA25NneI/AAAAAAAABDY/gxJr5gL3uM0/s72-c/seneta%2B%2Bwinters.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-2678864840466800192</id><published>2011-07-24T10:14:00.000Z</published><updated>2011-07-24T10:15:04.651Z</updated><title type='text'>Kenya yaomba Tz iruhusu usafirishaji wa mahindi</title><content type='html'>Rehema  Matowo, Moshi&lt;br /&gt;WAKUU wa Wilaya za Taveta na Lotokitok,  nchini Kenya, wameiomba Serikali ya Tanzania  kuruhusu wafanyabiashara  wa mazao ya chakula wa nchi hiyo jirani, kuingia nchini kwa lengo la  kununua chakula ili kukabiliana na upungufu mkubwa  chakula unaoikumba Kenya kwa sasa.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Rai hiyo ilitolewa juzi na Mkuu wa Wilaya ya Taveta, Nkaduda Hiribae, alipokuwa akizungumza katika kikao  cha ujirani mwema, kilichofanyika mjini Moshi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kikao hicho kiliwahusha  wakuu wa wilaya hizo za Kenya na wakuu wa wilaya za Mkoa wa Kilimanjaro, ambao kwa pamoja, walisaini maazimio yanayotokana na kikao cha kudhibiti uhalifu mipakani, kilichofanyika Julai 13 mwaka huu,  katika eneo la Holili, wilayani Rombo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hiribae  alisema Serikali ya Kenya inaunga mkono agizo la Serikali ya Tanzania kuhusu kudhibiti usafirishaji wa chakula kwenda nje ya nchi, lakini ni vyema serikali hiyo ikaona umuhimu wa kusaidia majirani pale wanapokabiliwa na baa la njaa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema kwa sasa  Kenya inakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula uliofikia kiwango cha asilimia 70, hali ambayo ni tishio kwa usalama wa maisha ya wananchi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aliiomba Serikali ya Tanzania, kufungua milango kwa wafanyabiashara wa Kenya, kuingia nchini na kununua chakula kwa njia halali, jambo ambalo pia litaipatia mapato  serikali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akizungumzia ombi lililotolewa na  Hiribae ,Mkuu wa Wilaya ya Moshi, Alhaji Musa Samizi, alisema wao kama wakuu wa wilaya, hawana mamlaka ya  kutoa vibali vya kuruhusu wafanyabiashara wa  Kenya na Tanzania kununua  chakula na kukiuza Kenya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema wanachoweza kukifanya ni kuwasiliana na ofisi ya Waziri Mkuu na kufikisha ombi hilo kwa utekelezaji.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kuhusu maazimio waliyoyaazimia mwenyekiti wa kikao hicho, ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Rombo, Peter Toima,  alisema ni pamoja na pande zote mbili kushirikiana  katika kutoa taarifa zitakazosaidia kuzuia uvushaji haramu wa chakula na uhalifu mwingine.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Alisema azimio lingine ni kuangalia namna wakuu wa wilaya hizo watakavyowasiliana na wizara za Chakula katika pande zote mbili, ili kuona ni jinsi Serikali ya Tanzania inavyowaruhusu Wakenya kununua chakula kutika nchini hata kwa muda mfupi ili kutatua tatizo la njaa linalokabili Kenya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwenyekiti huyo alisema maazimio mengine ni kuanzishwa kwa soko la mazao katika maeneo ya karibu na mpaka wa Holili na Himo ili kuwezesha wafanyabiashara kutoka Kenya, kuja kununua mazao kwa kupitia njia halali na kulipa kodi.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Alisema pamoja na kuazimia kuanzishwa kwa soko la mazao pia wameazimia kufuatilia kwa pamoja  maghala yote yaliyoko katika maeneo ya mipakani na kuyachunguza kwani mengi yamekuwa yakitumika kuhifadhia magendo na hata wahalifu.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-2678864840466800192?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/2678864840466800192/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=2678864840466800192' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/2678864840466800192'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/2678864840466800192'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/07/kenya-yaomba-tz-iruhusu-usafirishaji-wa.html' title='Kenya yaomba Tz iruhusu usafirishaji wa mahindi'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-375345950307493396</id><published>2011-07-24T10:11:00.000Z</published><updated>2011-07-24T10:12:46.343Z</updated><title type='text'>Warioba asema Bunge limekosa nidhamu</title><content type='html'>Mwandishi wetu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;WAZIRI Mkuu Mstaafu, Joseph Warioba, amesema Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limekosa nidhamu na kwamba, linahitaji kuchukua uamuzi mgumu kurejesha hadhi yake.&lt;br /&gt;Warioba alisema hivi sasa chombo hicho cha kutunga sheria kimegeuka kuwa sehemu vichekesho badala ya kujadili masuala muhimu ya kitaifa.&lt;br /&gt;“Bunge limegeuka kuwa sehemu ya vichekesho, limekosa nidhamu linahitaji kuchukua uamuzi mgumu,” alisema Warioba.&lt;br /&gt;Warioba ambaye alikuwa akizungumza na Televisheni ya Taifa (TBC1) jana asubuhi hakueleza kwa undani ukosefu wa nidhamu wa Bunge hilo.&lt;br /&gt;Hata hivyo, matukio ya kila mara yanayoendelea kutokea bungeni ikiwamo kuzomeana, kuzungumza ovyo bila mpango na kuwapo kwa madai ya rushwa ni moja ya mambo yalimfanya atoe kauli hiyo.&lt;br /&gt;Vurugu zinazotokea bungeni mara kadhaa zimekuwa zikimfanya Spika na wenyeviti wa vikao vya Bunge kuwa katika wakati mgumu kusimamia mijadala.&lt;br /&gt;Mara kadhaa Spika amekuwa akisikika akikemea tabia hiyo hadi wakati fulani alifikia kuwalingananisha na watu wa sokoni Kariakoo.&lt;br /&gt;Hata hivyo Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema alisema wabunge kusingana bungeni si jambo la jabu sana na kwamba ni dalili ya kuelekea kwenye demokrasia kamili bungeni.&lt;br /&gt; Warioba ni Waziri Mkuu Mstaafu wa kwanza kulinyoshea kidole moja kwa moja Bunge katika siku za hivi karibuni.&lt;br /&gt;Moja ya kashfa ambazo hivi karibuni zimelighubika Bunge ni pamoja na baadhi ya wabunge kutuhumiwa kuchukua rushwa ili waweze kupitisha bajeti na miongoni mwa zilizotajwa ni ya Wizara ya Nishati na Madini.&lt;br /&gt;Kashfa hiyo ndiyo iliyosababisha Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, David  Jairo, kuingia katika kitanzi cha kuhusishwa kwake na kuandika barua kwenye taasisi zilizo chini ya wizara yake kuomba fedha za kupitisha bajeti hiyo.&lt;br /&gt;Kashfa nyingine ya Bunge ni lile tukio la wabunge kuzomeana na kumfanya kila mbunge kuwasha kipaza sauti kuongea bila ya kufuata taratibu.&lt;br /&gt;Lawama nyingine dhidi ya Bunge ni ile iliyoibuliwa na Mbunge wa Nyamagana, Ezekiel Wenje ya kutuhumu Kamati ya Bunge kuwa ilifanya mambo kinyume cha taratibu.&lt;br /&gt;Zipo hoja nyingine ambazo ziliibuliwa na kusemwa bungeni zikionya kuwa, Bunge limekuwa likitumika kama ‘rubber Stump’ (mhuri) ya kupitisha mambo mbalimbali bila kuyafanyia uchunguzi wa kina na kujiridhisha.&lt;br /&gt;Warioba akizungumzia Katiba Mpya alisema muswada uliopo katika mchakato umesahau mambo muhimu, kama vile ya uchumi na maendeleo ya jamii badala yake una mambo mengi ya kisiasa.&lt;br /&gt;Alisema masuala mengi yaliyomo ndani ya muswada huo yanalenga kulinda maslahi ya wanasiasa na kuacha kuzungumzia masuala muhimu kwa maendeleo ya wananchi.&lt;br /&gt;Warioba ambaye pia ni Jaji Mstaafu, mara kwa mara amekuwa akitoa kauli nzito za kuishauri Serikali katika masuala ya rushwa na utawala bora.&lt;br /&gt;Mwaka jana, Jaji Warioba alionya dhidi ya mwelekeo wa uongozi nchini kununuliwa kama bidhaa kutokana na vitendo vya rushwa vilivyokuwa vikifanyika karibu na Uchaguzi Mkuu.&lt;br /&gt;Alisema: “Kwa jumla sasa uongozi wa nchi unaanza kubinafsishwa kama biashara ambayo wenye fedha ndiyo watafaulu. Kwa kifupi fedha &lt;br /&gt;SOURCE:Mwananchi&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-375345950307493396?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/375345950307493396/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=375345950307493396' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/375345950307493396'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/375345950307493396'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/07/warioba-asema-bunge-limekosa-nidhamu.html' title='Warioba asema Bunge limekosa nidhamu'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-4972375128528227346</id><published>2011-07-24T10:09:00.000Z</published><updated>2011-07-24T10:11:17.791Z</updated><title type='text'>IGP Mwema apangua makamanda</title><content type='html'>Na Daniel Mjema&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;INSPEKTA Jenerali wa Polisi (IGP), Said Mwema, amefanya mabadiliko ya safu ya uongozi wa makamanda wa polisi kwa baadhi ya mikoa ya Tanzania bara.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika mabadiliko hayo, baadhi ya makamanda wa mikoa wamehamishwa huku maofia 122 wakipandishwa vyeo.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Mabadiliko hayo yameambatana na uteuzi wa vyeo vya juu ambapo Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Tanzania, Rais Jakaya Kikwete, amewapandisha vyeo maofisa watano na kuwa Manaibu Kamishina.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Miongoni mwa waliopandishwa vyeo kutoka kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi(SACP) kuwa Manaibu Kamishina ni pamoja na Kamanda Simon Sirro.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Habari za uhakika ambazo Mwananchi Jumapili inazo zimesema katika mabadiliko hayo, Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza, Sirro amehamishiwa makao makuu ya Polisi Jijini Dar kuwa mkuu wa operesheni maalumu za Jeshi hilo.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Nafasi ya Kamanda Sirro imechukuliwa na aliyekuwa kamanda wa Polisi mkoa Tabora, Leberatus Lyimo, huku Ofisa Mnadhimu wa Polisi namba moja wa mkoa huo, Anthony Rutashugurugukwa, akiteuliwa kuwa Kamanda wa Polisi wa Mkoa huo.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Mkuu wa Polisi wa Wilaya ya Tabora(OCD), Yusuph Mruma, ameteuliwa kuwa Ofisa Mnadhimu namba moja wa Mkoa wa Tabora kuchukua nafasi ya Rutashugurugukwa.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Taarifakuhusu mabadiliko hayo iliyotolewa na IGP Mwema Julai 22 mwaka huu ambayo Mwananchi Jumapili imefanikiwa kuiona, inaeleza pia kuwa tume ya utumishi wa polisi na Magereza imewapandisha vyeo maofisa 117.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kulingana na taarifa hiyo, maofisa 21 waliokuwa na vyeo vya warakibu wasaidizi waandamizi wa jeshi hilo (SSP), wamepandishwa vyeo na kuwa makamishina wasaidizi wa polisi(ACP) na kuwahamisha vituo vyao vya kazi.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Halikadhalika maofisa 96 waliokuwa na vyeo vya Mrakibu wa Polisi (SP) wamepandishwa vyeo na kuwa warakibu waandamizi wa polisi (SSP).&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Baadhi ya waliohamishwa ni OCD Monduli, Contantine Maganga na Mkuu wa Upelelezi Wilaya ya Moshi, Zakaria Benard, wanaohamishiwa ofisi ya Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro ambapo watapangiwa majukumu mapya.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Wengine ni Kihenya Kihenya, ambaye ni OCD Kasulu aliyehamishiwa Mkoa wa Kigoma kuwa Ofisa Mnadhimu namba moja na Alicheus Mtalemwa, ambaye ni Ofisa Mnadhimu namba moja wa Kigoma anakuwa Ofisa Polisi Jamii mkoa Rukwa.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Katika taarifa hiyo ya kipolisi, IGP Mwema amewapongeza maofisa wote waliopandishwa vyeo na Tume ya polisi na Magereza na kwamba upandishwaji huo wa vyeo ulianza rasmi Juni 30 mwaka huu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Msemaji wa jsehi hilo, Advera Sinso alithibitisha taarifa hizo, lakiniakasema: "Mi mabadiliko ya kawaida tu ya ndani."&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakuweza kuweka wazi juu ya mabadiliko hayo kwa kile alichodai yuko Dodoma, nje ya makao makuu ya polisi ambayo yapo Dar es Salaa, hivyo akashauri afuatwe kesho.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-4972375128528227346?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/4972375128528227346/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=4972375128528227346' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/4972375128528227346'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/4972375128528227346'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/07/igp-mwema-apangua-makamanda.html' title='IGP Mwema apangua makamanda'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-536459600504706618</id><published>2011-07-24T10:07:00.002Z</published><updated>2011-07-24T10:09:09.710Z</updated><title type='text'>Mandojo na Domokaya Baada ya kimya kingi, waibukia Fiesta 2011</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-PNMBb2hPMKk/TivvMTt0VuI/AAAAAAAABDQ/hn0Th4xRHLw/s1600/domokaya%2Band%2Bman.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 290px; height: 290px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-PNMBb2hPMKk/TivvMTt0VuI/AAAAAAAABDQ/hn0Th4xRHLw/s320/domokaya%2Band%2Bman.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5632858753686853346" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Herieth Makwetta,&lt;br /&gt;WASANII wakongwe wa muziki wa kizazi kipya,  Joseph Francis Michael 'Mandojo' na Precioust Juma 'Domokaya',  walikuwa kivutio kikubwa kwa mashabiki wa burudani ya muziki mjini Moshi na Arusha kwenye tamasha la Serengeti Fiesta wiki iliyopita.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pamoja na kuwepo kwa idadi kubwa ya wasanii waliopanda jukwaani kwenye tamasha hilo,  Wawili hao ambao waliwahi kutamba na kibao cha Wanokonoko mwanzoni mwa miaka ya 2000 walichomshirikisha Lady Jay Dee, walitumbuiza jukwaani kwa muda wa dakika 45 pasipo kuwachosha mashabiki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hii ni nadra sana hasa kwa wasanii wetu wa hapa nchini kwani wengi wao wamekuwa ni wavivu pindi wawapo  jukwaani na wengine wamediriki kuimba bila hisia wala hamasa kwa mashabiki wanaowapenda.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inaweza ikawa ni dalili kwamba muziki wa kizazi kipya unapoteza mwelekeo, kwani umahiri wa wasanii wakongwe unajionyesha hadharani na kupendwa zaidi na mashabiki ukitofautisha na ule wa chipukizi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika mahojiano na wasanii hawa waliweza kunieleza mawili matatu ambayo huenda ni maswali ambayo msomaji ulikuwa ukijiuliza kwa muda mrefu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwandishi: Imekuwa ni kama 'suprise' kuwaona hapa jukwaani ilikuwaje mbona ni kama mlipotea kwenye fani?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Domokaya: Ni muda mrefu sasa hatujawa kwenye fani, lakini si kwamba tumeacha muziki, bado tunafanya vema. Imekuwa kama kuwashtua mashabiki lakini si kwamba hatuwezi tena muziki ni wazi tumefanya vizuri na nadhani wengi wameona nini tumefanya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwandishi: Lakini ni kweli kwamba bado mna nguvu za kupambana na wasanii chipukizi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mandojo: Ng'ombe hazeeki maini. Bado tuna nguvu na kuhitajika na mashabiki. Chipukizi wana nafasi yao lakini hata sisi pia tuna nafasi zetu. Inapopatikana nafasi kama hii lazima tuhakikishe tunafanya kile ambacho tumekubaliana kimkataba na si lelemama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Domokaya: Unajua linapofikia suala kama hili, bila shaka hatuachi nafasi kubwa kati yetu na promota ambaye ametupa kazi. Hili ni tatizo ambalo wasanii wengi chipukizi wanalo, hawathamini ile nafasi wanayopewa na mapromota hawa wanaoandaa matamasha likiwemo hili la Fiesta, ni heshima kubwa. Hivyo lazima uhakikishe unawafanya mashabiki wako wakuone unafaa na kukonya nyoyo zao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwandishi: Mnadhani muziki wa bongofleva kwa sasa umepoteza mwelekeo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Domokaya: nadhani ni wakati mzuri kwa wapembuzi wa masuala ya burudani ya muziki kutambua kwamba wakongwe wana nafasi kubwa sana kuliko chipukizi kwa sasa, kwani bongo fleva ya zamani zi ile ya sasa kwani inadumu na haipotezi ladha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mandojo: Kwa upande wangu naona umepoteza mwelekeo, kwani sisi tuliimba mapenzi lakini yenye kufundisha na hata nyimbo zingine hazikuwa mapenzi lakini zilielimisha na kufundisha lakini kwa sasa mtu akiimba wimbo mapenzi yanazidi sana, licha ya hivyo bado hazikai zinachuja mapema.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwandishi: Mmesema kuwa mmerudi tena kwenye fani mmejipanga vipi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mandojo: Tuliwahi kuimba na Lady Jay Dee mwanzoni mwa miaka ya 2000 wimbo wa wanoknok, lakini hivi sasa tutarudi tena tukiwa na Jide na tunategemea kutoa kazi ambayo itakonga nyoyo za mashabiki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwandishi:  Bado mnaimba kwa vinanda kama zamani au?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Domokaya:Hapana kwa sasa tunafanya 'live band', kila siku ya Alhamisi tupo pale Nyumbani Loung kwa Jay Dee. Muda mwingi tumekuwa tukiandaa kazi zetu ambazo tunatarajia kuziachia mapema mwaka huu, kwa hiyo mashabiki wakae mkao wa kula.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mandojo: Tumeandaa nyimbo kama 'Baba Kidawa' ambao tumetengeneza katika studio ya  'Marko Chali' tukiwa katika kundi la Wamandavaku ambalo tumewaingiza vijana wawili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwandishi: Hii inamaanisha kwamba kwa sasa kundi la Mandojo na Domokaya halipo na badala yake kuna Wamandavaku?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mandojo: Hapana, sisi tutabaki kuwa kama sisi na kundi ni baadaye.&lt;br /&gt;Mwandishi: Je mna lolote la nyongeza?.&lt;br /&gt;Man na Domo: Zaidi ni kuwajulisha washabiki wetu kuwa tumerudi upya waje washuhudie mambo yetu.&lt;br /&gt;Mwandishi: Kazi njema&lt;br /&gt;Man na Domo: Pamoja&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-536459600504706618?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/536459600504706618/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=536459600504706618' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/536459600504706618'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/536459600504706618'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/07/mandojo-na-domokaya-baada-ya-kimya.html' title='Mandojo na Domokaya Baada ya kimya kingi, waibukia Fiesta 2011'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-PNMBb2hPMKk/TivvMTt0VuI/AAAAAAAABDQ/hn0Th4xRHLw/s72-c/domokaya%2Band%2Bman.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-3492821891377975348</id><published>2011-07-24T10:05:00.000Z</published><updated>2011-07-24T10:06:08.520Z</updated><title type='text'>Ripoti Maalumu:Tuhuma za rushwa zaivuruga Kamati ya Mrema</title><content type='html'>Neville Meena, Dodoma&lt;br /&gt; RUSHWA inayodaiwa kupenyezwa kwa baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), imeathiri uamuzi wa baadhi ya hatua ambazo kamati hiyo inapaswa kuchukua dhidi ya udhaifu uliobainika katika hesabu za fedha na miradi inayotekelezwa na halmashauri ambazo tayari zimefanyiwa ukaguzi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kawaida kamati hiyo inapofanya ziara katika halmashauri kwa ajili ya kutekeleza majukumu yake, hubainisha udhaifu katika maeneo husika na kutoa mapendekezo au hatua zinazopaswa kuchukuliwa dhidi ya udhaifu husika na wakati mwingine hutoa au kupendekeza adhabu wanazopaswa kupewa wahusika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sehemu ya tatu ya nyongeza ya nane ya Kanuni za Bunge, toleo la mwaka 2007 inabainisha kuwa LAAC ina wajibu wa kushughulikia maeneo yenye matatizo sugu ya matumizi mabaya ya fedha za Serikali za Mitaa yaliyoainishwa katika taarifa ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Kushughulikia maeneo yenye matatizo sugu ya matumizi mabaya ya fedha za Serikali za Mitaa yaliyoainishwa katika Taarifa ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali," kinaeleza kipengele cha 12(a) cha sehemu hiyo.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Hata hivyo, uchunguzi wa Mwananchi umebaini kuwa taarifa ya Kamati ndogo ya LAAC, iliyokuwa mkoani Tanga kwa ajili ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo, Mei 22- 28, 2011 inatia shaka kutokana na tofauti kubwa ya mapendekezo yaliyotolewa dhidi ya udhaifu uliobainishwa katika muhtasari wa kumbukumbu za kamati hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kutokana na udhaifu wa taarifa hiyo, baadhi ya wajumbe ambao walikuwa katika msafara huo wa Tanga wameikana wakidai kwamba wajumbe waliopewa kazi ya kuiandika, 'waliichakachua'.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;"Hii ripoti iliandikwa na (anawataja wabunge wawili), nasikia hata Mwenyekiti (Augustino Mrema) hakuwapo kutokana na dharura lakini tuliwaamini, ila walichoandika wanakijua wenyewe," alilalamika mmoja wa wajumbe wa kamati.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa muhtasari huo, kamati hiyo ndogo iliyoongozwa na Mrema kwenda Tanga ilibainisha udhaifu katika vipengele kumi na moja kwenye miradi ya Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto na kutoa mapendekezo 10 ya namna ya kuchukua hatua.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kadhalika, kamati hiyo inatoa maelekezo kwa lugha kali na kupendekeza hatua za kinidhamu kwa baadhi ya watendaji wa halmashauri za wilaya Muheza na Jiji la Tanga kutokana na kubaini uzembe katika usimamizi wa baadhi ya miradi ya maendeleo inayosimamiwa na mamlaka hizo. Lakini, jambo linalotia shaka ni jinsi kamati hiyohiyo ilivyoshughulikia matatizo yaliyojitokeza katika Halmashauri ya Wilaya ya Handeni kwani ilibainisha upungufu uliowekwa katika vipengele 12, lakini ikatoa mapendekezo matatu tu ya jumla ya jinsi ya kukabiliana na kasoro hizo.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Mmoja wa wajumbe wa kamati hiyo alisema "udhaifu" unaobainika katika uandishi wa hatua za kuchukua dhidi ya watendaji wa Handeni, unaweza kuwa uthibitisho wa tuhuma zilizotolewa dhidi ya baadhi ya wajumbe wa LAAC kwamba waliomba rushwa kwa uongozi wa halmashauri hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tuhuma hizo ni zile zilizotolewa Juni 13, mwaka huu na Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila ambaye pia ni mjumbe wa kamati hiyo kwamba aliwakamata wajumbe wenzake watatu wakiomba rushwa kwa viongozi wa Halmashauri ya Handeni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika maelezo yake bungeni, Kafulila aliwataja wabunge wawili kati ya watatu anaowatuhumu kuwa ni Mbunge wa Mbozi Mashariki (CCM), Godfrey Zambi na Mbunge wa Bahi (CCM), Omary Badwel na kwamba taarifa za tukio hilo alikuwa amekwishaziwasilisha kwa Mrema na Spika wa Bunge, Anne Makinda.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Yaliyojiri Lushoto, Handeni&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Taarifa ya kamati hiyo ndogo ya LAAC kuhusu Halmashauri za Mkoa wa Tanga inaweka bayana kwamba katika ziara yake wilayani Lushoto Mei 23, mwaka huu kamati hiyo ndogo ilijadili hesabu za halmashauri hiyo na kubaini kuwa kwa miaka mitatu mfululizo, imekuwa ikipata hati zenye shaka za ukaguzi wa CAG.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Miongoni mwa udhaifu mkubwa uliobanishwa ni malipo ya Sh117 milioni ya mishahara kwa watumishi hewa, kiasi cha Sh15 milioni kutumika nje ya bajeti, Sh65 milioni kukusanywa kwa kutumia stakabadhi za kughushi, uchache wa fedha zilizopelekwa katika shule za msingi ikilinganishwa na kiasi kilichotolewa na Hazina na kutopelekwa kwa Sh75 milioni ambazo ni ruzuku ya lazima ya Serikali Kuu kwa ajili ya maendeleo vijijini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wilayani Handeni, kamati hiyo pia ilibaini udhaifu kadhaa ikiwa ni pamoja na kiasi cha Sh18 milioni cha malipo ya mishahara kwa watumishi hewa, kutoonekana kwa lambo la kunyweshea maji mifugo lililodaiwa kujengwa eneo la Madebe kwa gharama ya Sh35.5 milioni na kutokuwapo kwa vitasa pia sakafu kubomoka katika soko la Sindeni ambalo limegharimu Sh24.5 milioni.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Udhaifu mwingine katika Halmashauri ya Handeni ni kutopeleka vijijini kiasi cha Sh105 milioni kwa ajili ya kufidia kodi zilizofutwa na matumizi ya mabati 466 ambayo yanadaiwa kutumika kujenga vyumba vinne tu vya madarasa ya Shule ya Sekondari Segera.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Hatua zilizochukuliwa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pamoja na udhaifu huo, Kamati hiyo ndogo inatoa mapendekezo ambayo mmoja wa wajumbe wake anayaita kuwa ni "dhaifu" yasiyolingana na uzito wa kasoro zilizobainishwa katika Halmashauri ya Handeni.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Mapendekezo hayo ni matatu ambayo yanaitaka ofisi ya ukaguzi ya halmashauri hiyo kujadiliana kuhusu kufungwa au kutofungwa kwa hoja ya uchakavu wa mali mbalimbali zenye thamani ya Sh520 milioni, halmashauri kuongeza bidii kudai fedha zake kiasi cha Sh133.3 milioni katika taasisi tatu tofauti na kuitaka kuweka wazi kwa madiwani na wananchi gharama zitakazotumika kujenga Bwawa la Kidereko.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;"Unaona! Hii ina maanisha nini? Taarifa haisemi kitu kuhusu malipo ya watumishi hewa, wala lambo ambalo halikuonekana, wala haimwajibishi mtu yeyote hata kwa kumpa barua ya onyo. Hapa lazima kuna kitu si bure," alisema mmoja wa wajumbe wa kamati hiyo ambaye alisema hakwenda Tanga wala Pwani kwa kuwa alipata dharura wakati wa ziara hizo.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Lakini, kwa upande wa Lushoto, tofauti na Handeni, kamati hiyo ilitaka ipatiwe majina ya watumishi hewa waliolipwa mishahara husika, nyaraka za fedha na taarifa za kibenki (bank statements) pia kuagiza Mkurugenzi Mtendaji apewe barua ya onyo na mamlaka yake ya kinidhamu kutokana na uzembe uliosababisha halmashauri yake kupata hati yenye mashaka.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Pia kamati hiyo iliagiza Halmashari ya Lushoto kupeleka mara moja fedha za maendeleo vijijini ili kufidia kodi zilizofutwa na kuhakikisha makato ya malipo ya pensheni yanapelekwa katika mamlaka husika.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Makundi ya wabunge&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa muhtasari wa kumbukumbu husika, kamati ndogo iliyokuwa mkoani Tanga ilikuwa na wabunge ambao ni Mrema, Kafulila, Badwel, Zambi, Mbunge wa Kondoa Kaskazini (CCM), Zabein Mhita na Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema), Susan Kiwanga.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Wengine ni Katibu wa Kamati hiyo, Mswige Dickson Aswile, Mwakilishi wa Ofisi ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesebu za Serikali (CAG), Denis Mbilinyi na Mary Assey ambaye alikuwa katika msafara wa wabunge hao akimwakilisha Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga (RAS). Kwa mujibu wa toleo la 10 la kitabu cha orodha ya wabunge cha Juni mwaka huu, LAAC ina wajumbe 17.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbali na wajumbe waliokwenda Tanga, wengine katika Kamati hiyo ni Makamu Mwenyekiti wa LAAC ambaye pia ni Mbunge wa Kinondoni (CCM), Iddi Azzan, Riziki Lulida (Viti Maalumu, CCM), Subira Mgalu (Viti Maalumu, CCM), Hasnain Mohamed Murji (Mtwara Mjini, CCM), Abdul Mteketa (Kilombero, CCM), Tauhida Nyimbo (Viti Maalumu, CCM), Joseph Selasini (Rombo, Chadema) na Kurthumu Mchuchuli (Viti Maalumu, CUF).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa kitabu hicho, makatibu wengine wa kamati hiyo mbali na Aswile ni Edwin Tongora na Chipanda Chilemeji. Hata hivyo, taarifa ya ziara ya kamati ndogo ya LAAC iliyofanya ziara mkoani Pwani haikuweka bayana majina ya wajumbe waliokuwa katika msafara mkoani humo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;LAAC ni kamati ambayo ilijizolea sifa nyingi kwa jinsi ilivyoanza kazi yake kwa kasi na kuwachukulia hatua watendaji wa halmashauri kadhaa nchini ambao walithibitika kuwa dhaifu katika usimamizi wa rasilimali za maeneo yao ya kazi kiasi kwamba baadhi yao walikatwa asilimia 15 ya mishahara yao kama adhabu mojawapo.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Tuhuma za rushwa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbali na tuhuma zilizotolewa na Kafulila kwa wajumbe waliokuwa ziarani Tanga, pia zimetolewa tuhuma mpya kwa baadhi ya wajumbe wa kamati ndogo iliyokuwa mkoani Pwani ambako inadaiwa kuwa kiongozi wa kamati hiyo, Azzan alikuwa akikumbana na upinzani mkali pale alipokuwa akijaribu kuhoji baadhi ya mambo katika halmashauri husika.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Habari zaidi zinadai kwamba hata kamati iliyokwenda Pwani baadhi ya wajumbe wake wanatuhumiwa kuomba rushwa kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe, ambaye baada ya kumpigia simu alitoa taarifa kwa kiongozi wa timu hiyo, Azzan.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hali hiyo inadaiwa kuitafuna Kamati hiyo kiasi kwamba imeshindwa kukutana tangu kuanza kwa mkutano wa nne wa Bunge la bajeti, licha ya Mwenyekiti Mrema kuitisha vikao mara tatu kwa nyakati tofauti.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Mrema aliliambia Mwananchi kuwa atamweleleza Spika kuhusu hali ya kamati yake ili kupata mwongozo wa nini kinachotakiwa kufanywa. Vikao vilivyokwama ni vile vilivyotishwa Juni 16, Juni 20 na Julai 19, mwaka huu na ajenda saba zilizokuwa zimepangwa kujadiliwa zimeendelea kuwekwa kiporo.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kikao cha Julai 19, kilikuwa kimepanga pamoja na mambo mengine, kupitia kumbukumbu ya yaliyojiri katika ziara za Tanga na Pwani, makubaliano ya kujadili taarifa za hesabu za baadhi ya halmashauri wakati kamati ikiwa bungeni, makubaliano kuhusu mwaka wa hesabu (2008/09) au 2009/10) zitakazoendelea kujadiliwa katika kipindi kijacho na Taarifa ya Katibu wa Kamati kuhusu barua kutoka kwenye halmashauri kwenda kwa Katibu wa Bunge.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mrema katika mazungumzo yake na gazeti hili alisema: "Nikiwaita akija Kafulila baadhi yao hawaji, lakini Kafulila asipokuwepo, wengine utawaona wamefika na hapo unakuwa huwezi kuwa na kikao kinachoweza kufanya uamuzi kwa manufaa ya nchi yetu".&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Habari zaidi zinadai kwamba, tuhuma za Kafulila bungeni dhidi ya Zambi na Badwel zinawatisha hata baadhi ya wale waliokuwa katika kamati ya mkoani Pwani kwani wanahofu kwamba huenda nao wakaanikwa ndani ya kikao cha kamati hiyo ya LAAC. Mmoja wa wajumbe wa kamati hiyo aanasema ili kuinusuru kamati hiyo, ipo haja ya kuvunjwa na kuundwa upya kwani hivi sasa ni kama imesambaratika kwani wajumbe husika hawaaminiani.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;"Ni bora ikaundwa upya, kazi hazifanyiki na sasa tuna viporo kwa sababu hesabu za mwaka 2009/2010 bado kabisa hatujazigusa na mwezi Aprili mwakani lazima tuwasilishe taarifa bungeni, sasa tutawasilisha nini kama kazi hazifanyiki?" Alihoji mjumbe huyo.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kanuni za Bunge&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pamoja na Kanuni ya 114 (3) kusema kwamba kamati zinaweza kukutana kila itakapotakiwa kufanya hivyo na Spika, Naibu Spika au Mwenyekiti wa Kamati husika kwa idhini ya Spika, kanuni hizo haziweki wazi hatua zitakazochukuliwa ikiwa wajumbe wa kamati watashindwa kukutana kama ilivyotokea kwa LAAC.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Ama kanuni za 113 (6) na (7) zinaeleza kuwa ujumbe wa mbunge katika kamati unaweza kukoma ifikapo mwishoni mwa mkutano wa kumi wa uhai wa bunge, ikimaanisha kuwa hakuna mbunge anayeweza kuodoka katika kamati yake ya sasa hadi mkutano wa kumi utakapofikia ukomo.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Huu ni Mkutano wa Nne wa Bunge la 10 na Mkutano wa 10 unatarajiwa kufanyika ifikapo Oktoba 2012, wakati kamati za kudumu za bunge zitakapopangwa upya.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kwa maana hiyo ni vigumu kwa sasa LAAC kufanyiwa marekebisho kwa mujibu wa kanuni au kuundwa upya, isipokuwa Spika aamue kutumia vifungu vingine vya kanuni vinavyompa mamlaka ya kifanya jambo kadri anavyoona yafaa.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-3492821891377975348?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/3492821891377975348/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=3492821891377975348' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/3492821891377975348'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/3492821891377975348'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/07/ripoti-maalumutuhuma-za-rushwa.html' title='Ripoti Maalumu:Tuhuma za rushwa zaivuruga Kamati ya Mrema'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-8213458911570149239</id><published>2011-07-24T10:01:00.000Z</published><updated>2011-07-24T10:05:09.031Z</updated><title type='text'>Madiwani Chadema 'ngangari'</title><content type='html'>Moses Mashalla, Arusha&lt;br /&gt;MADIWANI watatu wa Chadema waliotakiwa kujiuzulu nyadhifa zao katika Halmashauri ya Manispaa ya Arusha kufikia saa 7:02 mchana jana, wamegoma kufanya hivyo na badala yake wameutaka uongozi wa taifa wa chama hicho kuwasafisha kwa kuwataka radhi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kauli hiyo ya madiwani hao akiwamo Naibu Meya wa Jiji la Arusha, Estomi Mallah imekuja siku chache baada ya kuvuja kwa ripoti ya kamati iliyoundwa na Chadema kuchunguza mwafaka wa madiwani wake, wa CCM na TLP katika kumpata Meya wa jiji hilo ikibainisha kuwa hakukuwa na tuhuma za rushwa katika mchakato huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Badala ya kujiuzulu, madiwani hao wametoa masharti magumu kwa chama hicho, licha ya kutaka kusafishwa, pia wamemtaka Katibu Mkuu, Dk Willibrod Slaa na Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema kuwasafisha kwa kutoa taarifa kwa vyombo vya habari kueleza umma kwamba hawakuhongwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mallah ambaye ni mwenyekiti wa madiwani hao alisema jana kuwa wamekitaka chama chao kuwaomba radhi kupitia vyombo vya habari kwa kuwa ripoti hiyo imebainisha ukweli wa mambo. Alisema taarifa za wao kuhongwa zilizotolewa na uongozi wa chama chao ziliwasababishia usumbufu mkubwa ndani ya jamii zao kiasi cha kufanya baadhi yao kunusurika kupigwa mawe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akizungumzia agizo la kujiuzulu nyadhifa ndani ya manispaa hadi kufikia jana saa 7:02, alisema wamepanga kukata rufaa dhidi ya uamuzi huo kwa kuwa hawakutendewa haki. Mallah aliutaka uongozi wa Chadema kutambua misingi ya haki huku akibanisha kuwa migogoro ya ndani kwa ndani huenda ikakipeleka mahali kubaya akisema kama kuna tatizo, linapaswa kutatuliwa kupitia vikao na si vinginevyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwenyekiti wa Kamati ya Elimu, Afya na Uchumi ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Elerai (Chadema), John Bayo alikwenda mbali akimtaka Lema kupita katika maeneo yote ya Jiji la Arusha kuwasafisha mbele ya wananchi kutokana na tuhuma alizozitoa kuwa walipokea rushwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chadema kimetofautiana na madiwani hao kwa kile inachoeleza kuwa wamepingana na msimamo wa chama hicho kutotambua mwafaka katika mgogoro wa Meya wa Halmashauri ya Jiji la Arusha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chama hicho kikuu cha upinzani nchini kinapinga jinsi muafaka huo ulivyofikiwa kikisema haukufuata misingi ya kisheria ba kwamba ili mwafaka upatikane mambo kadhaa yalipaswa kujadiliwa kwa pamoja ikiwa ni pamoja na kufutwa kwa kesi iliyofunguliwa dhidi ya viongozi wa chama hicho kutokana na maandamano yaliyofanyika mapema mwaka huu kupinga matokeo ya uchaguzi wa meya, kulipwa fidia kwa familia za marehemu waliokufa kwenye maandamano hayo na uchaguzi wa meya wa jiji hilo kurudiwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uongozi wa taifa wa chama hicho unaona kwamba kitendo cha madiwani hao kukubali nyadhifa ndani ya Baraza la Madiwani wa Jiji la Arusha kabla mambo hayo hayajatekelezwa, kimetafsiriwa na Kamati Kuu ya Chama hicho kuwa ni usaliti uliotokana na rushwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wahudhuria kikao cha halmashauri ya jiji&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Licha ya madiwani hao kupuuza agizo hilo la makao makuu ya Chadema, jana walihudhuria kikao cha Baraza la Madiwani kilichokuwa kikifanyika kwenye Ukumbi wa Halmashauri ya Manispaa ya Arusha kama kawaida huku baadhi yao wakisema sasa wameamua kufanya kazi ya kuwatumikia wananchi waliowachagua ili kuwaletea maendeleo na kuweka pembeni tofauti za kisiasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dk Slaa alipoulizwa jana kuhusu msimamo wa madiwani hao, alisema Katiba ya Chadema itachukua nafasi yake katika kuamua suala hilo akisema asingependa kuibua malumbano katika suala hilo wala kutunishiana misuli. Alisema diwani yoyote anayeona kwamba hakutendewa haki ana haki ya kwenda mahakamani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Katiba ya Chadema itakwenda kufanya kazi, kamati kuu iliwataka wajiuzulu mara moja kama wamekataa sasa katiba itachukua mkondo wake na yoyote anayeona alichafuliwa yuko tayari kwenda mahakamani," alisema.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mgogoro huo wa umeya Arusha ulisababisha mauaji ya watu watatu katika maandamano yaliyofanyika Aprili mwaka huu, mmoja wao akiwa ni raia wa Kenya baada ya Chadema kuamua kuandamana kwa nguvu bila kibali cha polisi.&lt;br /&gt;SOURCE:Mwananchi&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-8213458911570149239?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/8213458911570149239/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=8213458911570149239' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/8213458911570149239'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/8213458911570149239'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/07/madiwani-chadema-ngangari.html' title='Madiwani Chadema &apos;ngangari&apos;'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-3580919276113277492</id><published>2011-07-15T09:53:00.001Z</published><updated>2011-07-15T09:55:38.471Z</updated><title type='text'>Lowassa: Nimeshtushwa</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-jCm3PN-GpdI/TiAOfm_g0QI/AAAAAAAABDI/poLbtOTu1T4/s1600/09lowassahabari.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 300px; height: 290px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-jCm3PN-GpdI/TiAOfm_g0QI/AAAAAAAABDI/poLbtOTu1T4/s320/09lowassahabari.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5629515470418792706" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Leon Bahati, Dodoma, Ramadhan Semtawa, Dar&lt;br /&gt;WAKATI uamuzi wa Rostam Aziz kung'atuka ubunge wa Igunga na ujumbe wa Halmashauri Kuu (Nec) ndani ya chama chake cha CCM ukiibua gumzo kubwa karibu kila kona nchini, mshirika wake mkubwa kisiasa, Edward Lowassa ambaye ni Mbunge wa Monduli ameeleza kushtushwa na tukio hilo.Juzi, Rostam, mmoja wa watu muhimu ndani ya CCM aliyeshiriki vyema katika mtandao uliomwingiza madarakani Rais Jakaya Kikwete mwaka 2005, alitangaza uamuzi mzito wa kung'atuka siasa akipinga kile alichokiita siasa uchwara za baadhi ya viongozi wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uamuzi huo mzito wa Rostam uliibua kwikwi na vilio kutoka kwa wapigakura jimboni kwake Igunga, wakiwamo wale waliomchagua kwa vipindi vitatu mfululizo tangu mwaka 1994 ulipofanyika uchaguzi mdogo kufuatia kifo cha aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, Charles Kabeho. Jana, Lowassa alisema: "Kwa kweli nimeshtushwa, nimesikitishwa...kilichonishtua zaidi ni vilio. Namna wananchi wa Igunga walivyokuwa wanalia na kusikitika."&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo, Lowassa ambaye naye amekuwa akitajwa katika orodha ya watu watatu wanaopaswa kuachia nafasi zao za uongozi CCM katika kile kinachoitwa chama kujivua gamba, alipoulizwa kuhusu taarifa za yeye kufuata njia ya mshirika wake huyo alijibu: "Siku ikifika nitatoa uamuzi na nitajibu wakati ukifika."&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lowassa alikuwa akijibu maswali ya waandishi wa habari katika Viwanja vya Bunge mjini Dodoma, kuhusu alivyopokea uamuzi huo wa Rostam na kama yuko tayari kufuata mfano na njia hiyo ya kujiuzulu nyadhifa zote ndani ya CCM.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini, juzi Rostam aliweka bayana kwamba uamuzi wake wa kujiuzulu hautokani na shinikizo lolote ikiwamo kile kinachoitwa mpango wa kujivua gamba, bali aliufanya uamuzi huo kuepuka kuathiri biashara zake kutokana na kuchafuliwa na siasa uchwara akieleza kuwa yeye ni mfanyabiashara wa kimataifa, lakini akaahidi kuendelea kuwa mwanachama mtiifu wa CCM.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo, Lowassa jana hakutaka kufafanua kuhusu kauli yake hiyo ya "Nitajibu wakati ukifika," ingawa alionyesha tabasamu wakati akiulizwa na kujibu swali hilo  la iwapo atafuata nyayo za Rostam au la.&lt;br /&gt;Mshirika wao mwingine, Andrew Chenge, jana alivumishiwa kuandaa mkutano na waandishi wa habari  ili naye atangaze uamuzi wa kujiuzulu nafasi zake zote kama hatua ya kutekeleza azimio la Nec la kujivua gamba.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini, alipotafutwa kwa simu na kuulizwa kuhusu taarifa za yeye kutaka kujiuzulu, Chenge alijibu kwa kifupi kuwa alikuwa Uingereza, kitu kilichothibitisha kuwa hakukuwa na mpango huo wa kujiuzulu huku akisisitiza: "Mimi niko nje ya nchi, nipo Uingereza."&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivi karibuni, Chenge, Mbunge wa Bariadi Magharibi, maarufu kama Mzee wa Vijisenti, aliwahi kuliambia gazeti hili: "Sijui kama mimi ni gamba CCM," huku akisisitiza kwamba anaheshimu taratibu za chama na asingeweza kukurupuka na kuanza kuzungumza mambo ya chama nje ya utaratibu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chenge alisema chama kina utaratibu wake wa kufanya maamuzi, hivyo kuanza kutoka nje ya taratibu na kuzungumzia mambo ya ndani ya chama isingekuwa rahisi kwake kwani anaheshimu taratibu zilizopo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;..Sendeka asifu ujasiri wa Rostam&lt;br /&gt;Kwa upande wake,  Mbunge wa Simanjiro (CCM), Christopher Ole-Sendeka, ambaye amekuwa akijipambanua kama mpambanaji wa ufisadi, alisema kujivua kofia zote alizokuwa nazo Rostam ni kitendo cha kuletea afya chama tawala.Sendeka alifafanua kwamba kuwapo kwa vigogo wanaotuhumiwa kwa rushwa ndani ya CCM ni sawa na mtu anayeugua na ili apone lazima waondoke ili chama kipate afya njema.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema kutokana na sababu hiyo, anamuunga mkono Rostam kwa uamuzi wake aliochukua wa kutii uamuzi wa chama wa kujivua gamba, kwani ni hatua moja ya kukiboresha chama na kuongeza: "Unaposhauriwa kwa afya ya chama chako na ukakubali ni uamuzi wa kijasiri."&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo, alionya kwamba  mkakati huo wa kujivua gamba ni zaidi ya vigogo watatu ambao wamekuwa wakitajwa mara kwa mara.Sendeka alisema wote wakifuata mkondo wa Rostam,  chama kitajijengea taswira nzuri ya kupendwa na watu ambao tayari wameanza kukata tamaa kutokana na kuona haya kutokana na tuhuma zinazowahusu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuhusu wale ambao bado hawajatekeleza hilo, ole-Sendeka alisema: "Cheo ni dhamana, uongozi ni utumishi, kama wale waliokupa dhamana wanakushauri uondoke, huna haja ya kubishana, tekeleza."Naye Ally Mohamed (Nkasi Kaskazini-CCM), alisema amefurahishwa na hatua ambayo Rostam ameichukua kwa lengo la kusafisha chama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini, akasema ni wakati mwafaka wa kuhakikisha CCM inasafishika mbele ya Watanzania kwa sababu, kuwapo kwa watuhumiwa hao wa ufisadi wanaozungumzwa mara kwa mara, kulionekana kuchafua chama chote."Sasa ni wakati wengine nao wachukue uamuzi kama huo. Tunajua wako wengi, waondoke chama kiimarike," alisema Mohamed.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tundu Lisu azungumzia uamuzi wa Rostam&lt;br /&gt;Tundu Lissu (Singida Mashariki-Chadema), alisema bado gamba la CCM halijavulika kwa sababu Rostam ni mmoja wa watuhumiwa 11, ambao walitajwa na Chadema kwenye orodha ya mafisadi, Mwembeyanga, Temeke mwaka 2007.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Bado kumi," alisema Lissu huku akijigamba kuwa mafanikio hayo ni juhudi zilizofanywa na Chadema ili kulinda rasilimali za Watanzania ili zitumike vizuri.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuhusu kauli ya Rostam kuwa amejing'oa kwenye nyadhifa zake kutokana na "siasa uchwara", Lissu alijibu: "Kama kweli siasa uchwara ndizo zimemwondoa Rostam, basi ndizo zinazofaa kuendelezwa hapa nchini."&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;　Ingawa Rostam alikataa kuhusisha uamuzi wake na kujivua gamba, tangu kikao cha Nec cha Aprili, Sekretarieti mpya ya CCM imekuwa ikitangazia umma orodha ya makada wake watatu ambao wanapaswa kujiuzulu ili kuleta kile inachokiita heshima kwa chama na kukisafisha.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-3580919276113277492?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/3580919276113277492/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=3580919276113277492' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/3580919276113277492'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/3580919276113277492'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/07/lowassa-nimeshtushwa.html' title='Lowassa: Nimeshtushwa'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-jCm3PN-GpdI/TiAOfm_g0QI/AAAAAAAABDI/poLbtOTu1T4/s72-c/09lowassahabari.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-8773042642024654585</id><published>2011-07-15T09:51:00.001Z</published><updated>2011-07-15T09:53:13.009Z</updated><title type='text'>Uamuzi wa Rostam kung'atuka watikisa nchi</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-6UN3v5LExqY/TiAN-hQ4FSI/AAAAAAAABDA/wbfHWKtKJVc/s1600/rostamazizi.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 180px; height: 173px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-6UN3v5LExqY/TiAN-hQ4FSI/AAAAAAAABDA/wbfHWKtKJVc/s320/rostamazizi.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5629514901945324834" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Waandishi Wetu&lt;br /&gt;TUKIO  la Mbunge wa Igunga, Rostam Aziz kuachia nyadhifa zote za uongozi ndani ya CCM, limepokelewa kwa hisia tofauti baada ya watu wa kada mbalimbali kutoa maoni tofauti huku baadhi yao wakimsifu na wengine kumponda.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo, chama hicho tawala kimeeleza kuwa hakijapata taarifa rasmi za uamuzi huo wa Rostam ingawa yeye alisema jana kuwa, barua yake ya kujiuzulu aliikabidhi kwa mwenyekiti  wake, Rais Jakaya Kikwete.&lt;br /&gt;Baadhi ya wanasiasa wamemponda mwanasiasa huyo, huku wasomi na baadhi ya viongozi wa dini wakisema kuwa hatua yake hiyo ni sahihi katika mwenendo wa sasa wa siasa ndani ya chama hicho.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa wasomi na viongozi hao wa dini, hatua hiyo ya Rostam imeelezwa kuwa ni mfano kwa viongozi wengine wa chama na Serikali yake wanaojiona kuwa wanaelemewa na tuhuma mbalimbali.&lt;br /&gt;Mwanasheria maarufu nchini, Profesa Abdallah Safari alisema kuwa, uamuzi huo  ni ujumbe kwa viongozi wengine wa CCM wanaonyoshewa kidole kila kukicha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; “Kwa maoni yangu, uamuzi  huo umemsaidia Rais Kikwete kwani kati ya watu waliokuwa wakinyoshewa sana vidole, mmoja wao ameamua kujiondoa, kwa kweli amemwondolea mtihani, lakini pia itasaidia chama ambacho nacho kilikuwa kikinyooshewa sana vidole,” alisema Profesa Safari.Hata hivyo, alisema hatua hiyo ya viongozi kujivua nyadhifa zao haitatosha kukisafisha chama hicho dhidi ya maovu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Kuna ubadhirifu mwingi ambao unatakiwa ufanyiwe kazi, mambo mengine kama EPA na Richmond hayawezi kumalizwa kwa watu kujivua nyadhifa zao,” alisema msomi huyo.Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Bashiru Ally, alisema hotuba ya Rostam aliyoisoma mbele ya wazee wa Igunga, inaonyesha kwamba amejiuzulu kwa shingo upande.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Nimesoma hotuba yake yote,  lakini inaonyesha wazi kwamba ameachia nyadhifa ndani ya chama hicho ikiwa ni kutekeleza kauli ya CCM  ya kujivua gamba, inaonyesha  kwamba amechukua uamuzi huo kwa shingo upande,” alisema Bashiru,&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;CCM: Hatujapata barua yake&lt;br /&gt;Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama, alilieleza Mwananchi jana kuwa mpaka wakati huo chama hicho hakikuwa kimepokea taarifa hizo rasmi na kwamba hata wao walizipata kupitia vyombo vya habari jana, hivyo hawapo katika nafasi nzuri ya kutoa tamko linaloweza kuwa msimamo chama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Hata sisi (CCM) tumepata taarifa hizo kupitia vyombo vya habari kama nyinyi, hivyo hatuwezi kutoa msimamo wa chama kwa sasa," alisema Mukama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rostam: Barua yangu ipo kwa Mwenyekiti&lt;br /&gt;Hata hivyo, Rostam mwenyewe akizungumza na Mwananchi jana, alisema tayari alishamwandikia barua Mwenyekiti wa CCM, Rais  Kikwete kuhusu uamuzi wake huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alifafanua kwamba, CCM ndiyo yenye mamlaka na inayopaswa kulieleza Bunge kwamba kiti hicho kiko wazi.&lt;br /&gt;Alisema tangu kutangaza uamuzi huo, hadi jana mchana tayari alikuwa amepata salamu na ujumbe mfupi (sms) kutoka kwa wanachama 11,872, wa CCM ambao walimpongeza kutokana na hotuba yake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa Rostam, wanachama hao walikubaliana naye kuhusu siasa uchwara zinazoendeshwa na chama hicho katika kipindi hiki, hadi kuamua kuchukua uamuzi huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rostam alisema mbali na ujumbe wa simu, pia alipata simu kutoka kwa wanaCCM wengi Kanda ya Ziwa ambapo waliunga mkono hotuba yake. Inaelezwa kuwa Rostam ana ngome kubwa ya wafuasi kwenye mikoa ya Kigoma, Mara, Mwanza, Tabora na Shinyanga.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nape akwepa&lt;br /&gt;Kwa upande wake, Katibu wa Idara ya Itikadi ya Uenezi, Nape Nnauye, alisema hakuwa na la kusema juu ya tuhuma ambazo ametupiwa na Rostam kupitia hotuba yake ya kujivua nyadhifa zake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati akizungumza na aliowaita wazee wake juzi, Rostam alituhumu Sekretarieti ya CCM kwamba ilieneza kwa kupotosha nia njema ya Mwenyekiti wao (Rais Kikwete) katika dhana ya chama hicho kujivua gamba akisema kuwa, ilienezwa kwa tafsiri na mwelekeo tofauti na ule wa awali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Wajumbe wawili wa Sekretarieti, Naibu Katibu Mkuu (Tanzania Bara),  John Chiligati na Katibu wa Idara ya Uenezi,  Nape Nnauye, walisikika wakitangaza kwamba Halmashauri Kuu ya Taifa (Nec) ilifikia uamuzi wa kuwapa siku 90 wale walioitwa watuhumiwa wa ufisadi kujitoa katika nafasi zao za uongozi vinginevyo watafukuzwa na chama," inaeleza sehemu ya hotuba hiyo ya Rostam.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hotuba hiyo ilieleza kuwa viongozi hao walikaririwa na vyombo vya habari wakieleza kuwa majina ya watuhumiwa hao yalikuwa yakifahamika kutokana na kuhusishwa katika kashfa za Richmond, EPA na ununuzi wa rada na hatimaye walitaja majina ya wanasiasa watatu kuwa ndiyo ambao walilengwa na uamuzi huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rostam Aziz alisema kuwa jina lake kutajwa katika orodha ya watuhumiwa hao ni ufinyanzi wa porojo na fitina za kisiasa, ambao ulimshangaza, kutokana na namna uamuzi halisi wa Nec, hususan kuhusu 'kujivua gamba'¯ ulivyopindishwa na wajanja wachache kwa maslahi binafsi ya kikundi  fulani cha watu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema mshtuko na mshangao wake umejikita katika viongozi wa chama hicho alichotumikia kwa bidii na uaminifu mkubwa, kufanya juhudi kubwa hata kufikia hatua ya kukivisha kikao alichokiita kitukufu cha Nec uamuzi ambao msingi wa hoja zake ni vita vya kimakundi ya siasa ndani ya CCM, propaganda za vyama vya siasa vya upinzani na vyombo vya habari kwa upande mwingine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika hotuba yake, Rostam alieleza kushangazwa na kushtushwa kwake na ujasiri ambao viongozi wa Sekretarieti mpya ya CCM wamekuwa nao, kiasi cha kutaja jina lake kwa kulihusisha na kile wanachokiita ufisadi ambao hata kimsingi ushahidi wa wazi umethibitisha kuwa ni porojo za kisiasa zinazotokana na makovu na matarajio ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2005 na ule ujao wa 2015.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mkoani Kilimanjaro&lt;br /&gt;Askofu Msaidizi wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Frederick Shoo, alisema hakuamini aliposikia taarifa hizo, lakini baadaye aliamini na kusema mbunge huyo amesoma alama za nyakati.&lt;br /&gt;“Ni uamuzi mgumu aliouchukua, lakini ulistahili kwa mazingira ya siasa za Tanzania na amesoma vizuri alama za nyakati…na wengine wote wanaotajwa kuwa na tuhuma nao wafuate nyayo hata kama hazijathibitishwa,”alisema Shoo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mkurugenzi wa Huduma za Ushauri, Chuo Kikuu Kishiriki cha Ushirika na Biashara Moshi (MUCCoBS), Michael Tiruhungwa, alisema Rostam angewatendea haki Watanzania kama angejielekeza zaidi kwenye tuhuma anazohusishwa nazo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naye Mtaalamu Mshauri wa Huduma za Biashara, Akwiline Kinabo, alisema kujiuzulu kwa Rostam ni mwanzo tu na  kama kweli CCM imedhamiria kujivua gamba, basi Watanzania watarajie mengi makubwa zaidi ya kujiuzulu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kutoka Mwanza&lt;br /&gt;Katibu wa Chadema Mkoa wa Mwanza, Wilson Mushumbusi, alisema  uamuzi wa Rostam kujiuzulu umetokana na wakati mgumu wa kisiasa alionao.&lt;br /&gt;Mushumbusi alifafanua kwamba mbunge huyo amekuwa akituhumiwa kwa kashfa nyingi, kujiuzulu kwake ni mwanzo wa mafanikio ya Chadema juu ya madai ya ufisadi ambayo yanamkabili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katibu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UV-CCM) Mkoa wa Mwanza, Josephat Ngolangwa alisema  Rostam ameonyesha ukomavu wa kisiasa na uamuzi wake umekinusuru chama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alifafanua kwamba,  hatua hiyo inadhihirisha Rostam ni muumini wa dhati wa chama chake na kuwataka wengine waliotuhumiwa ndani ya chama na hata katika Serikali, wafuate nyayo za Rostam ili kurejesha imani kwa chama.&lt;br /&gt;Alisema CCM kama taasisi ya kisiasa inafanya uamuzi kutokana na vikao na haya yote yanayotendeka ni uamuzi wa vikao vya chama wa kuwataka viongozi wote kusimamia uamuzi wa vikao vya chama ngazi ya juu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa msisitizo, alisema  kwa sasa viongozi wana kazi kubwa ya kuimarisha chama na siyo wakati wa kujadili nani atakuwa rais katika kipindi kijacho cha mwaka 2015 kwa kusema kuwa 2015 ni mbali sana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mkoani Tanga&lt;br /&gt;Nako mkoani Tanga watu wamepokea uamuzi huo wa Mbunge wa Igunga kwa mitazamo tofauti, huku wengine wakitaka mapacha wenzake ambao wamekuwa wakitajwa na viongozi wa CCM kuhusika na tuhuma za  ufisadi  wafuate nyayo zake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wasomi na wanasiasa waliozungumza na gazeti hili jana walisema kung’atuka kwa Rostam Aziz ni tukio ambalo lilitarajiwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mkereketwa wa CCM, Tarafa ya Mlalo, Wilayani Lushoto, Zahabu Mjata alisema kitendo cha Rostam kuachia ngazi ni cha kiungwana na kwa hiyo hastahili kusakamwa kama inavyofanywa na baadhi ya watu.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-8773042642024654585?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/8773042642024654585/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=8773042642024654585' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/8773042642024654585'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/8773042642024654585'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/07/uamuzi-wa-rostam-kungatuka-watikisa.html' title='Uamuzi wa Rostam kung&apos;atuka watikisa nchi'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-6UN3v5LExqY/TiAN-hQ4FSI/AAAAAAAABDA/wbfHWKtKJVc/s72-c/rostamazizi.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-7354634356707546840</id><published>2011-07-15T09:49:00.000Z</published><updated>2011-07-15T09:51:11.368Z</updated><title type='text'>Mtei amshika pabaya Wassira</title><content type='html'>Moses Mashalla, Arusha&lt;br /&gt;MUASISI wa Chadema hapa nchini, Edwin Mtei "amemshika pabaya" Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais (mahusiano na uratibu) ,Stephen Wassira  akitaka ajiuzulu kwa kulala bungeni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pamoja na kupongeza  picha ilivyotoka gazetini, alisema  kitendo cha kigogo huyo kuuchapa usingizi bungeni kimedhibitisha jinsi Serikali ya Rais Jakaya Kikwete isivyokuwa makini na kumtaka Wassira ajiuzulu mara moja.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mtei,alitoa kauli hiyo siku moja kupita baada ya wakazi wa Mkoa wa Kilimanjaro wakiwamo wasomi kuunga mkono hatua ya gazeti hili kumpiga picha waziri huyo akiwa amelala bungeni huku wakisema kuwa ni sahihi na kubeza kauli ya waziri huyo kuwa  kitendo hicho ni uchochezi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akizungumza na gazeti hili, Mtei alisema kitendo cha waziri huyo kusinzia bungeni kimemdhalilisha yeye mwenyewe pamoja na  Serikali ya Rais Kikwete na kusisitiza kwamba Serikali  haiko makini kutatua kero za umma.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Kitendo cha Wassira kusinzia bungeni kimetuonyesha ni jinsi gani Serikali ya CCM isivyokuwa makini kutatua kero za umma,amejidhalilisha&lt;br /&gt;kwanza yeye mwenyewe, lakini pia wananchi anakotoka na Serikali nzima mimi namshauri aachie ngazi tu"alisema Mtei.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema  mara kwa mara chama chao kimekuwa kikiilaumu Serikali kwa kutokuwa makini na kero zinazoligusa taifa hivyo kitendo cha waziri huyo kuuchapa usingizi bungeni kimetoa majibu ya madai yao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hatahivyo, alipuuza vikali hoja ya Wassira kuwa kitendo cha gazeti hilo kumpiga picha akiwa amelala kuwa ni uchochezi huku akisema kuwa&lt;br /&gt;kama alikuwa mgonjwa angeenda kupumzika nyumbani kwake na sio kusinzia bungeni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mtei,ambaye pia aliwahi kuwa gavana wa Benki Kuu hapa nchini alilipongeza gazeti la Mwananchi kwa kuwafichua wabunge wanaolala bungeni huku akisema kwamba kamwe lisirudi nyuma katika kusimamia maadili ya taaluma ya habari.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Mwananchi lisirudi nyuma, mnatusaidia sana kuwafichua viongozi wanaolala bungeni bila nyie sisi tusingejua endeleeni na msiogope"alisisitiza Mtei.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia alizungumzia kero ya mgao wa umeme uliolikumba taifa na kusema kuwa Serikali ya Rais Kikwete imeshindwa kutatua kero za taifa hali ambayo imesababisha taifa kuendelea kuwa maskini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema kuwa kero ya mgao wa umeme ni mzigo mkubwa wa Watanzania ambao hauvumiliki huku akionya ya kuwa endapo hali hiyo isipotatuliwa mara moja huenda nchi ikaingia katika matatizo makubwa ikiwa ni pamoja na vijana kukosa ajira,viwanda kufungwa kwa kushindwa kufanya kazi na uchumi kuporomoka. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;SOUCE:MWANANCHI&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-7354634356707546840?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/7354634356707546840/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=7354634356707546840' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/7354634356707546840'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/7354634356707546840'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/07/mtei-amshika-pabaya-wassira.html' title='Mtei amshika pabaya Wassira'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-5734026250381261717</id><published>2011-07-15T09:48:00.000Z</published><updated>2011-07-15T09:49:25.033Z</updated><title type='text'>MZIMU WA SERIKALI TATU WARUDI BUNGENI</title><content type='html'>Leon Bahati, Dodoma&lt;br /&gt;MTAZAMO tofauti miongoni mwa wabunge umeendelea kuwa chachu ya kutaka kuvunjwa kwa muungano wa Tanzania.Hali hii imejionyesha wazi wiki hii katika mkutano wa Bunge unaoendelea mjini Dodoma baada ya wabunge kuvutana kuhusu hatima yake, huku baadhi yao wakitaka uvunjwe na kuundwa upya na wengine kuutetea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chanzo cha mvutano huo ni kufutia baadhi ya wabunge kutoka Zanzibar kuubeza na kuonyesha wazi kuwa Tanzania bara inanufaika zaidi kuliko visiwani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hoja hii si tu kwamba iliwakoroga wabunge wa bara, bali pia wananchi walioisikia wamekuwa wakihoji sababu za wabunge hao kuubeza muungano kana kwamba hauwasaidii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kauli tata kuhusu muungano ambazo kwa ujumla zinadhoofisha uhusiano baina ya pande hizo mbili, ulianza muda mrefu hasa baada ya nchi kuingia katika mfumo wa vyama vingi vya saisa na unaendelea kukua kadiri muda unavyosonga mbele huku Serikali ikifanya jitihada za kuunusuru.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika mvutano ulioibika bungeni wiki hii, wabunge wa Chadema na baadhi wa Chama cha Wananchi (CUF), walioonekana dhahiri kutaka muundo wa sasa wa Muungano huo uvunjwe na kuundwa mwingine wenye serikali tatu; Tanganyika, Zanzibar na Serikali ya Muungano.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo, mfumo huo umekuwa ukipingwa kila mara kwa vile ni sawa na kumwondole madaraka na nguvu Rais wa shirikisho kwa vile hatakuwa na uwezo kuingilia mambo ya ndani ya serikali ya mbili zitakaozoundwa.Hata hivyo, wakati wabunge hao wakitetea hoja hiyo, wengine kutoka Chama tawala CCM, na baadhi ya mawaziri akiwamo Samuel Sitta wa Afrika Mashairiki, walisimama kudete kuutetea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hoja za wabunge&lt;br /&gt;Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, alishutumu tabia ya viongozi waliopo madarakani kuficha ukweli juu ya suala zima la muungano akiweka bayana kuwa sasa ni wakati mwafaka Watanzania wakajadili hatima ya Muungano huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akitumia vitabu vya watu mashuhuri kama vile Rais wa Pili wa Zanzibar, Aboud Jumbe na Profesa Issa Shivji, Lisu&lt;br /&gt;alisema matatizo na kero nyingi zinatokana na baadhi ya mambo kutowekwa wazi.Alitaja baadhi ya mambo aliyosema siri kuwa ni juu ya Mapinduzi ya Zanzibar na lengo hasa lililolazimu uwepo wa muungano huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mambo mengine alisema ni kuingizwa kinyemela kwenye katika ya Tanzania vipengele kuanzia cha 11 hadi 22.Halima Mdee wa Kawe, alisema kero za muungano zimekuwa hazitatuliwi kutokana na waziri mwenye mamlaka ya muungano kupuuzwa na viongozi wenye mamlaka ya juu katika kuamua kusu suala hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aliwataja viongozi hao ambao alidai hawana muda wa kutulia ili kutafuta ufumbuzi wa kero hizo kutokana na kuwa na kazi nyingi kuwa ni Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alilalamika kuwa kutokana na hali hiyo ni kero sita tu zimetatuliwa, huku saba ambazo ni za msingi, zikiendelea kupigwa danadana.Miongoni mwa kero hizo sugu, alizitaja kuwa ni suala la mafuta, ushiriki wa Afrika Mashariki na suala sahihi za waanzilishi wa Muungano huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Suala la kodi mbili ni kiini macho na kwamba wananchi wengi wamekuwa wakiathirika kutokana na tatizo hilo," alieza Mdee ambaye alipendekeza Katiba ijayo kuwa na mwanga wa kutatua kero za muungano.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mohamed Amour Chomboh (Magomeni) alitamba kuwa yeye ni miongoni mwa watu wachache walioshuhudia Mapinduzi ya Zanzibar yalivyofanyika na anatambua ni muhimu kuenziwa.Alisema  anaona kuna umuhimu wa muungano huo kuendelea kudumu lakini, akaasa kuwa kero zake zimekuwa ni tishio kubwa hasa kwa maslahi ya Zanzibar.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alilalamikia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuwa ndio moja ya kero ambazo zinaweza kusababisha Wazanzibari waje juu na hata kutaka kuvunja Muungano.Alisema Zanzibar inategemea zaidi bishara kwa ajili ya kuimarisha uchumi wake na kwamba TRA ndiyo imekuwa ikisababisha biashara kudorora visiwani humo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Waziri atwishwa mzigo&lt;br /&gt;Jaddi Sumail Jaddi (Mkwajuni-CCM) alisema Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano), Samia Hassan Suluhu ,ambaye ni Mzanzibar alikabidhiwa nafasi hiyo kama mtego wa kumbebesha lawama za kero za Muungano ambazo zinalalamikiwa na Wazanzibar.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Ndugu yangu Samia ni mchawi aliyepewa mtoto amlee akimnyonga, alamumiwe yeye," alisema Jaddi.&lt;br /&gt;Sitta alisema huo ni upotoshaji na kwamba alipewa kazi hiyo kwa vile Serikali inaamini kwamba ana uwezo wa kuifanya kazi hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Yalikuwepo malalamiko kwamba Wazanzibar wanaoajiriwa Bara ni wachache, lakini Sitta alipinga akitoa mfano wa wizara yake ina maofisa wakuu wa idara 12 na kati ya hao, wanne ni Wazanzibari.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sitta awatuliza&lt;br /&gt;Munkali wa wabunge hao ni kama ulizimwa na Sitta ambaye alifanikiwa kubadili kabisa hali ya hewa iliyokuwa inaashirikia kuwa wabunge wengi wanataka Mungano huo uvunjwe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akichangia mjadala huo Sitta alisema siku ambayo Watanzania wataamua kuwa na serikali tatu za muungano, itakuwa ndiyo tiketi ya kuuvunja muungano huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Kuunda tena Tanganyika ni kutengeneza mbia mwingine atakayekuwa anashindana na Zanzibar," alisema Sitta.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alifafanua kuwa hali hiyo itajenga mazingira ya mvutano kwa serikali ya Tanganyika na Zanzibar wa kila mmoja kupigania maslahi yake na Serikali ya Muungano haitakuwa na nguvu kwa sababu uwepo wake utategemea pande hizo mbili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alitoa mfano akisema linaweza kujitokeza suala la kuchangia uendeshaji wa Serikali ya Muungano na hapo yanaweza kujitokeza malalamiko kwamba pande zote zigharimie sawa kwa sawa na hapa Zanzibar ndiyo itakayonyanyasika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sitta ambaye alikuwa Spika katika Bunge lililopita alionya akisema kama ni mpango wa kuunda serikali tatu ni bora waridhie kabisa muungano usiwepo na serikali zote zijitegemee.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alitaka ieleweke kwamba wakati inaonekana kuwa Wazanzibar ndio wanaoonekana kulalamika sana wakati huu kwamba wananyimwa maslahi yao lakini ukweli wapo Watanzania Bara ambao nao wanalalamika vivyo hivyo ila nguvu hiyo inapungua kutokana na kuwepo serikali mbili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Amtetea Nyerere&lt;br /&gt;Kuhusu Baba wa Taifa kuwa dikteta, Sitta alisema kuwa huo ni upuuzi kwa sababu yapo matendo mengi ambayo yanaonyesha hakuwa mlafi wa madaraka na badala yake alipenda haki kwa wananchi wake na bara la Afrika kwa Ujumla.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alitoa mfano kuwa kama angekuwa dikteta angeweza kuamua kufuta kabisa uwepo wa serikali ya Zanzibar.&lt;br /&gt;"Lakini alikubali iendelee kuwepo serikali ya Zanzibar ndani ya Muungano," alisema Sitta ambaye pia ni mbunge wa Urambo Mashariki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika kuelezea kuwa Karume hakuwa mtu wa kuburuzwa alisema, Tanzania ilipoishiwa akiba ya fedha za kigeni na kwenda kuiomba serikali ya Zanzibar iwapatie kwa sababu wao walikuwa nazo nyingi kutokana na mauzo ya karafuu, alikataa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuhusu suala la picha ya siku ya Muungano kuonekana Mwalimu Nyerere peke yake akichanganya udongo wa Tanganyika na Zanzibar, Sitta alisema ni suala tu la heshima ambalo alipewa kutokana na wadhifa wake wa Rais wa Muungano.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alifafanua kuwa siku hiyo waliteuliwa watu wawili, mwanauma na Mwanamke, kutoka pande zote kushiriki katika kufanikisha tukio hilo lililoandika historia ya Tanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hoja nyingine aliyopangua ni ile ya wabunge wengi kueleza kuwa katiba ilibadilishwa ili Rais wa Zanzibar asiwe tene Makamu wa Kwanza wa Rais tofauti na makubaliano ya waasisi wa muungano kwa hofu ya CCM kwamba Rais wa visiwani anaweza kutoka chama cha upinzani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sitta alisema ukweli ni kwamba mabadiliko hayo yalitokea baada ya kuona kwamba nafasi hiyo ya pili itaonekana kuwa ni ya Wazanzibari tu, kwa vile serikali ya Zanzibar daima itaongozwa na mzanzibar.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Zanzibar na OIC&lt;br /&gt;Kuhusu suala la kutaka Zanzibar iruhusiwe ijiunge na Jumuia ya Nchi za Kiislamu Duniani (OIC) kwa vile Tanzania imeamua kutofanya hivyo, Sitta alisema tatizo ni kwamba kanuni haziruhusu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema kwamba OIC ilikataa kufanya hivyo kwa vile sheria zao ni kujenga ushirikiano na serikali ile inayotambuliwa na Umoja wa Mataifa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuhusu kipengele cha kwanza hadi 11 viliundwa kwa makubaliano ya pande zote lakini baadaye kifungu cha 12 hadi 22 vikaingizwa kinyemela, Sitta alisema, sio kweli.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa Sitta vipengele hivyo vilitokana na kuvunjika kwa Jumuia ya Afrika Mashariki 1977 ambapo baadhi ya mambo mengi yaliyokuwa yanasimamiwa na ushirikiano huo yalibaki bila usimamizi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alitaja miongoni kuwa ni Shirika la Posta, reli, bandari na ndege ambapo Tanzania Bara ilibidi iyabebe baada ya rais wa Zanzibar kuridhia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo alisema Tanzania bara ilibeba jukumu hilo kwa gharamna zake bila kuishirikisha Zanzibar hiyo ikawa ni nafuu kwa Wazanzibar kwa sababu faida zake zinaenda pande zote za Muungano.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama hiyo haitoshi, Sitta alisema rais wa Zanzibar aliiomba Bara ianzishe pia elimu ya juu kwa sababu isingeweza kufanya hivyo kutokana na uwezo wa kifedha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akipinga malalamiko kwamba Zanzibar haina uwakilishi kwenye Jumuia ya Afrika Mashariki (EAC), Sitta alisema katika vikao vyote vya majadiliano visiwa hivyo vimekuwa na uwakilishi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Isitoshe akasema kuwa katika kuthamini Zanzbar, EAC inajiandaa kuwekza katika miradi mitatu visiwani humo ambayo ni ujenzi wa kiwanja cha ndege cha kimataifa Pemba, ujenzi wa Bandari ya Maruhubi na chelezo ya kusafirisha mizigo na magari Zanzibar, Mombasa na Dar es Salaam.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;SOURCE:MWANANCHI&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-5734026250381261717?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/5734026250381261717/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=5734026250381261717' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/5734026250381261717'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/5734026250381261717'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/07/mzimu-wa-serikali-tatu-warudi-bungeni.html' title='MZIMU WA SERIKALI TATU WARUDI BUNGENI'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-1740231934557813735</id><published>2011-07-15T09:47:00.002Z</published><updated>2011-07-15T09:48:19.586Z</updated><title type='text'>Serikali imechukua hatua kuhusu ripoti za CAG?</title><content type='html'>Elias Msuya&lt;br /&gt;KWA muda mrefu sasa Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa fedha za serikali  (CAG) amekuwa akieleza jinsi idara mbalimbali za serikali zinavyotumia vibaya fedha za walipa kodi.Lakini taarifa hizo, serikali inaziona kama  porojo tu. Kwanini? Kwa sababu hakuna hatua zozote zinazochukuliwa na serikali dhidi ya watendaji wake wanaohusika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mfano taarifa iliyotolewa na CAG kwa wajumbe wa mkutano cha chama cha Serikali za Mitaa – ALAT, walipokutana Dar es Salaam hivi karibuni inaonesha kuwepo kwa ubadhirifu mkubwa wa fedha na rasilimali katika halmashauri nyingi nchini.Alitaja halmashauri tano zinazoonekana vinara kuwa ni pamoja na  Rombo, Kilosa, Rorya, Tarime na Manispaa ya Sumbawanga.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alitoa mfano wa  posho za safari walizolipana watendaji kwa halmashauri za Rombo na Kilosa, akisema kulikuwa na Sh 203,379,000 zilizolipwa isivyo halali huku  madaftari ya mahudhurio yakionesha kuwa watumishi hao walikuwepo kazini kwenye vituo vyao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika Halmashauri ya Wilaya ya Rombo mafuta ya magari yenye thamani ya Sh 64,581,030 yanaonekana kutumika bila kuwa na maelezo sahihi.Kwa upande wa elimu  taarifa hiyo inaonesha kuwa watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Rombo walitumia vibaya fedha za elimu kiasi cha Sh 31,020,000, ikijumuisha tuhuma za wizi wa wino wa mashine ya chapa wenye thamani ya Sh.14,635,000 na wino wa mashine ya kutolea nakala wenye thamani ya Sh 16,385,000.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vilevile imeonyesha kukosekana kwa hati za malipo zenye thamani ya sh 766,489,920 wakati wa ukaguzi katika  Halmashauri ya wilaya ya Kilosa.Kama hiyo haitoshi CAG ametaja matukio sita ya wizi wa fedha katika halmashauri ya Wilaya ya Kilosa yanayohusiana na ubadhirifu wa fedha wa kiasi cha Sh 277,026,849 uliosababishwa na udhaifu katika udhibiti wa mfumo wa ndani wa halmashauri ambapo, usuluhisho wa benki ulifanywa na watumishi wasio waaminifu, pia haukutengenezwa kwa wakati.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kulikuwa pia na malipo ya awali kwa wakandarasi kinyume na kiwango kinachokubalika ambapo baadhi ya wakandarasi wilayani Kilosa  walikuwa wakipewa malipo ya awali kwa kiwango cha asilimia 30 hadi 70 ya fedha ya mkataba kinyume na kiwango cha asilimia 15 kilichoidhinishwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma( PPRA).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wilaya hiyo pia imepata hasara katika ukusanyaji wa mapato ambapo imetumia jumla ya Sh 119,614,000 ili kukusanya kiasi cha Sh.57,226,690 hivyo kusababisha hasara ya Sh.62,387,110.Mbali na kupata hasara kwenye wilaya hizo kumekuwa pia na tatizo la kutoingiza mapato kwenye vitabu vya fedha. Kwa mfano kiasi cha Sh 7,380,000 kilichopatikana kutokana na mauzo ya viwanja katika mji wa Holili uliopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Rombo hazikuingizwa katika vitabu vya fedha vya Halmashauri.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kiasi hiki kinajumuisha Sh2,785,000 ambazo zilitokana na wizi wa kutumia kalamu na Sh4,595,000 zilizowekwa kwenye akaunti ya mtu binafsi.Hizo ni baadhi tu ya takwimu zilizotajwa na CAG hasa kwa kuwa ndiyo zimeshikilia rekodi ya ubadhirifu. Lakini upo ubadhirifu mwingine mwingi tu unaoendelea katika halmahsauri za wilaya na manispaa nchini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Licha ya kuwepo kwa ofisi ya mkaguzi na mdhibiti wa fedha za serikali anayejitahidi kufichua uozo huo, serikali imekaa kimya.Wakati fedha hizo zikifujwa, hali ya maisha ya wananchi huko vijijini ambao ndiwo walipa kodi hizo zinazofujwa inakatisha tamaa. Wanafunzi hawana madarasa, madawati wala vifaa vya kufundishia.  Walimu wanadai malimbikizo ya fedha zao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huduma ya maji ni kitendawili kisicho na mteguaji, umeme ndiyo haupo kabisa, barabara hazitamaniki wakati wa mvua. Siyo kwamba fedha hazipo, hapana. Tatizo kuna mchwa kwenye halmashauri hizo ambao kazi yao ni moja tu, kutafuna fedha za umma.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baadhi ya wakurugenzi kwenye mkutano huo walilalamika kuhamishiwa watendaji walioshindikana kwa wizi na ubadhirifu. Wakibainika kuwa na makosa wanakwenda wizarani na kuomba uhamisho, wanahamia halmashauri nyingine na kuendelea kutafuna kama kawaida. Hayo nayo Waziri wa Tamisemi hayajui?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Siyo kwamba watendaji hao hawajulikani. Hata wakati CAG akitoa taarifa yake waliohusika walikuwa wakimsikiliza na mwisho wa yote wamekomba marupurupu ya semina na kuondoka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mawaziri nao walikuwepo kwenye mkutano huo. Waziri mkuu Mizengo Pinda ndiye aliyefungua mkutano huo. Walikuwepo pia Waziri wa Sheria na Katiba Celina Kombani, Naibu Waziri wa Tamisemi Aggrey Mwanri na Waziri wa nchi katika ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu Steven Wassira.Wamesikiliza uozo huo na wamekuwa wakiusikia mara kwa mara, lakini hakuna hatua yoyote inayochukuliwa.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Nilitegemea kusikia katika mkutano huo, walau wajumbe wakatoka na azimio la kuwawajibisha wafujaji wa fedha za umma ili kujenga upya msingi wa maendeleo, lakini hakuna lolote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hii inaonyesha kuwa serikali yetu imejaa viongozi wa maneno, wasiojua kuchukua hatua hata kwenye makosa ya wazi.Nadhani hii sasa inatosha. Kama viongozi waliingia madarakani kuwatumikia Watanzania hebu wachukue hatua ili kunusuru maisha ya Watanzania yaliyozama kwenye ufisadi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Elias Msuya ni mwandishi wa makala wa gazeti la mnwananchi; 0754 897 287&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-1740231934557813735?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/1740231934557813735/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=1740231934557813735' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/1740231934557813735'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/1740231934557813735'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/07/serikali-imechukua-hatua-kuhusu-ripoti.html' title='Serikali imechukua hatua kuhusu ripoti za CAG?'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-7487147373222389299</id><published>2011-07-15T09:47:00.001Z</published><updated>2011-07-15T09:47:28.360Z</updated><title type='text'>Uhuru:Tujenge timu, hakuna aliyehongwa</title><content type='html'>Sosthenes Nyoni&lt;br /&gt;WINGA wa kimataifa wa Tanzania na klabu ya Simba, Uhuru Selemani  amewasihi mashabiki na viongozi wa timu hiyo kuacha tabia ya kuwahukumu wachezaji kwamba walihujumu na kufungwa na wapinzani wao Yanga bao 1-0 kwenye fainali ya Kombe la Kagame iliyofanyika Jumapili iliyopita kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kauli ya nyota huyo ambaye hivi karibuni amerejea dimbani baada ya kupona goti lililokuwa linamsumbua inafuatia kitendo cha baadhi ya mashabiki wa Simba kuwatuhumu baadhi ya wachezaji kuwa ndio sababu ya timu yao kufungwa na Yanga siku ya fainali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wachezaji wa Simba wanaoshutumiwa na mashabiki kuwa walifanya hujuma na kuchangia timu hiyo kufanya vibaya ni kiungo Mohamed Banka, mshambuliaji Musa Hassan Mgosi na beki  Kelvin Yondani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Simba ilikuwa haipewi hata nafasi ya kufika kwenye raundi ya pili kutokana na kuwa na kikosi dhaifu baada ya kutimua nyota wake wengi siku chake kabla ya michuano hiyo, lakini wachezaji hao waliweza kupigana na kufika fainali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akizungumza na Mwananchi jijini Dar  es Salaam jana Uhuru alisema kitendo cha kuwahukumu wachezaji katika mchezo mmoja tu kinaonyesha jinsi gani mashabiki wa timu hiyo  hawana uvumilivu na kusahau mazuri yaliyofanywa na wanaowatuhumu katika siku za nyuma.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Mpira hauko hivyo mashabiki wanatakiwa waelewe hauwezi kucheza vizuri siku zote, kuwalaumu wachezaji fulani sio sahihi na hii inaonyesha ni jinsi gani tunavyokosa uvumilivu na kusahau mazuri yaliyofanywa na hawa hawa tunaowalaumu."&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Kwa mfano Mgosi mimi namjua vizuri sana na yeye ananifahamu,  nina uhakika tukianza kucheza pamoja atafunga mabao mengi, wewe subiri ligi ianze," alisema Uhuru.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Selemani pia aliwaasa viongozi kuacha fikra za kuwafukuza wachezaji kutokana na matokeo yao na Yanga na badala yake waimarishe kikosi ili kiweze kufanya vizuri msimu ujao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Sawa inawezekana labda kuna ambao viwango vyao vimeshuka, lakini hili la kumwacha mchezaji kwa sababu ya matokeo ya mechi ya Simba na Yanga sio sahihi, hapa watatakiwa kutafakari kwa makini na pia ni vizuri kuimarisha timu ili iweze kufanya vizuri msimu ujao,"alisema Uhuru.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akizungumzia sakata la kutaka kuachwa na Simba kiungo Banka,  alilimbia gazeti hili kwa simu yake ya mkononi , "mimi sina taarifa rasmi zinazohusiana na kutemwa na klabu hiyo zaidi ya kusoma na kusikia kupitia vyombo vya habari kama watu wengine."&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Sina cha kuongea ndugu yangu kuhusu hilo kwa sababu sina taarifa rasmi za kiofisi, hebu ngoja tusubiri tuone kitakachotokea,"alimaliza Banka ambaye alicheza mechi zote za Simba kwenye kikosi cha kwanza kwenye mashindano ya Kagame, Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho msimu huu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Imekuwa ni jambo la kawaida kwa viongozi wa Simba na Yanga kuwashutumu wachezaji wao kwamba wamehongwa au kuhujumu mechi kila timu hizo zinapocheza na moja kufungwa, hakuna upande huwa unakubali matokeo hayo yalikuwa ya uwanjani.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-7487147373222389299?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/7487147373222389299/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=7487147373222389299' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/7487147373222389299'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/7487147373222389299'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/07/uhurutujenge-timu-hakuna-aliyehongwa.html' title='Uhuru:Tujenge timu, hakuna aliyehongwa'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-2906231666059524198</id><published>2011-07-15T09:46:00.001Z</published><updated>2011-07-15T09:46:44.204Z</updated><title type='text'>Sita wafa maji, wawili walipuliwa kwa bomu</title><content type='html'>Joyce Joliga, Songea&lt;br /&gt;WATU wanane wamekufa katika matukio mawili tofauti yaliyotokea mkoani Ruvuma, wakiwamo sita waliokufa maji katika Ziwa Nyasa na wawili waliolipukiwa na bomu.Habari zilizolifikia gazeti hili jana zilieleza kuwa  wakati watu hao sita walifariki , wengine sita walinusurika kifo baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kuzama katika Ziwa Nyasa wilayani Mbinga, kutokana na ziwa hilo kuchafuka kutokana na upepo mkali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Ruvuma, Michael Kamuhanda alisema jana kuwa boti hiyo iliondoka katika bandari  ndogo ya Mbamba Bay tangu Julai 11 ikiwa na abiria 12, ikielekea Malawi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akifafanua zaidi  Kamanda Kamuhanda alisema,  ikiwa katikati ya ziwa ilizama  na kusababisha watu sita kufa papo hapo na wengine sita kuokolewa baada ya kuogelea kwa umbali mrefu kwa kutumia madumu ya mafuta waliyokuwa nayo katika boti hiyo.Kwa mujibu wa Kamanda Kamuhanda, waliokufa ni Mussa Moses, Daniel Wilson, Kimanda Charahani, Vincent Kambona, Kassim Matembo pamoja na mwingine mmoja ambaye jina lake hadi sasa halijatambulika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aliwataja waliookolewa kuwa ni pamoja na Titus Mwakasegye (32), Anna Kalima (35), John Kamanga (36), John Komba (36), Davis Mapunda (33) na Michael Rombola (37), ambao wote wamelazwa katika Kituo cha Afya cha Mbamba Bay  na hali zao zinaendelea vizuri.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Katika tukio hilo, kamanda alisema boti hiyo, mali ya Frank Sumuni, raia wa Tanzania,  ilikumbwa na madhara hayo ambapo baada ya muda mrefu kupita bila mawasiliano,  wafanyakazi wa bandari walitoa taarifa polisi na ndipo juhudi za kuanza kuwatafuta zilianza na kufanikiwakuwaokoa watu hao sita.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya uokoaji huo, Kamanda  Kamuhanda alisema watu hao walikimbizwa katika kituo cha afya cha  Mbamba Bay kupatiwa matibabu na kuongeza kwamba, Jeshi la Polisi mkoani humo linaendelea kufanya uchunguzi  wa kina ili kubaini chanzo cha ajali hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kufuatia tukio hilo, kamnada huyo aliwashauri wamiliki wa vyombo vya usafiri majini kuacha kubeba mzigo mkubwa kuliko uwezo wao ikiwa ni pamoja na kuweka vifaa vya uokoaji katika boti zao ili pindi kunapotokea matatizo watu wapate vyombo vya kujiokolea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Hii ni mara ya pili kwa wiki hii kutokea kwa ajali katika Ziwa Nyasa ambapo juzi raia watatu wa Somalia walikufa maji katika ziwa hilo  na kufanya idadi ya watu waliokufa maji  kwa wiki hii kufikia  tisa na wengine  84 kunusurika kutokana na vyombo vyao vya usafiri kuzama wakiwa safarini kwenda Malawi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika hatua nyingine, wakazi wa Wilaya ya Songea Vijijini mkoani Ruvuma wamepatwa na hofu  baada ya wananchi wawili kufariki dunia baada ya  kulipuliwa  na bomu na vichwa vyao kupasuliwa vipande vipande na viungo vyao kutupwa ovyo  baada ya bomu  waliloliokota  kichakani kwa lengo la kuchomea matofali kulipuka ghafla na kusababisha vifo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Tukio hilo lilitokea jana katika Kijiji cha Mpitimbi B  ambako watu hao ambao wanadaiwa ni mafundi wa kufyatua matofali walipokuwa wakiendelea na shuguli zao katika moja ya vichaka vya kijiji hicho.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Akizungumza na Mwananchi jana, Kamanda Kamuhanda aliwataja watu waliokufa kuwa ni Alfred Luambano (23), mkazi wa kijiji hicho pamoja na rafiki yake ambaye anajulikana kwa jina la Bonge au Chinga (25), mkazi wa Tunduru ambaye alifika kijijini hapo kwa lengo la kufanya kibarua cha ufyatuaji na uchomaji wa matofali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kamanda huyo alisema, "Siku ya tukio Luambano (marehemu), alikwenda kichakani kujisaidia ambapo aliokota kitu kinachodhaniwa kuwa bomu na wakawa wakichezea yeye na mwenzake na ndipo ghafla kilipolipuka.&lt;br /&gt; Akifafanua, alisema bomu hilo lilipasuka na kumlipua  kichwani , kusambaratisha miguu na mikono ambako vipande vingine viliruka na kumpasua kichwa huku Bonge naye akifariki papo hapo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa kamanda huyo, baada ya wananchi kusikia mlipuko huo walianza kukimbia na baadaye walifanikiwa kukuta miili ya marehemu hao ikiwa imeharibiwa vibaya na kitu hicho ambacho kinasadikiwa kuachwa na wapiganaji wa waasi wa Msumbiji wa Renamo wakati wa vita ya wenyewe kwa wenyewe nchini mwao.Aliwatahadharisha watu  kuacha kuchezea vitu wasivyovifahamu na badala yake watoe taarifa kwa vyombo husika, ikiwamo polisi pindi wakatakapobaini uwapo wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Wakati huo huo, baadhi ya wananchi wametoa maoni yao ambapo wameiomba Serikali kutuma timu ya  wataalam wa mabomu toka Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) au Polisi  kufanya uchunguzi katika eneo hilo ili kuweza kuchunguza kama bado kuna mabaki ya mabomu ili yaweze kuangamizwa ili kupunguza hofu kwa wananchi ambao maeneo wanayoishi yalikuwa yakihifadhiwa mabomu hayo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa upande wake,  Wilbert Mahundi alisema amesikitishwa na tukio hilo na aliiomba Serikali isaidie kupeleka mbwa wa kunusa mabomu katika maeneo ya Mpitimbi na Muhukuru ili wasaidie kuyatafuta ili yasiendelee kuwaathiri wananchi na kuwasababishia kuishi kwa woga.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-2906231666059524198?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/2906231666059524198/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=2906231666059524198' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/2906231666059524198'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/2906231666059524198'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/07/sita-wafa-maji-wawili-walipuliwa-kwa.html' title='Sita wafa maji, wawili walipuliwa kwa bomu'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-6867350413576592893</id><published>2011-07-15T09:43:00.001Z</published><updated>2011-07-15T09:45:52.096Z</updated><title type='text'>Tanesco waingiza mitambo ya kufulia umeme</title><content type='html'>Elizabeth Ernest&lt;br /&gt;SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco), limeanza kuingiza mitambo yenye thamani ya Dola 120 milioni za Marekani kwa ajili ya kufulia umeme, katika Mkoa wa Dar es Salaam.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa Meneja Mahusiano kwa Umma katika Tanesco, Badra Masoud, mitambo hiyo itatumia gesi asilia kuzalishia umeme kwa kiwango cha megawati 100.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema kwa sasa shirika lina upungufu wa megawati 250 za umeme  yakiwa ni matokeo ya  kupungua kwa kina cha maji katika Mabwawa ya Kidatu na Mtera.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Badra ambaye alikuwa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, alisema tayari shirika limeshaingiza mtambo mmoja  na mingine miwili itaingia wakati wowote kuanzia sasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia alisema kiwango cha mgawo wa umeme kimeongezeka kwa saa 18 badala ya 12 na kwamba hiyo inatokana na sababu za kitaalamu, zilizolilazimisha shirika kuzima mitambo ya uzalishaji.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;"Wananchi wamekosa imani na Tanesco hata wanapotuona hii ni kutokana na mgawo wa umeme unaoendelea lakini tuna jitihada tunazozifanya ili kutatua tatizo hili hatujakaa kimya,"alisema.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia alisema, Tanesco inalazimika kukupunguza mgawo katika baadhi ya maeneo kutokana na  ukame katika mabwawa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema mitambo hiyo iliyoingia ina uwezo wa kuzalisha megawati 34 na kwamba itakapofungwa pamoja na ile itakayooingizwa baadaye, itazalisha megawati 100.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema inatarajiwa kuwa kazi ya kufunga mitambo hiyo, itakamilika  Desemba mwaka huu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Badra alisema mitambo hiyo itakayofungwa na  Kampuni ya  Jacob Sen Elektro, itasaidia kuongeza kiwango cha umeme katika gridi ya taifa na kupunguza tatizo la nishati.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema, pamoja na mitambo hiyo, Tanesco pia itakodisha mitambo ya Agreco itakayoingizwa nchini Agosti mwaka huu kwa ajili ya kuzalisha megawati 100 za umme.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Serikali inashughulikia  mafuta kwa ajili ya kuzalisha mitambo ya IPTL ambayo pia itazalisha umeme wa megawati 100 kwa hiyo tatizo lililopo litakuwa limepungua kwa kiasi kikubwa au kumalizika kabisa,"alisema.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Meneja mkandarasi wa Jacob Sen Elektro, French Richard, alisema tayari wamekwishaanza kujenga maeneo ya kufunga mitambo hiyo na kwamba mitambo iliyosalia inategemewa kuletwa nchini Jumamosi.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-6867350413576592893?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/6867350413576592893/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=6867350413576592893' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/6867350413576592893'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/6867350413576592893'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/07/tanesco-waingiza-mitambo-ya-kufulia.html' title='Tanesco waingiza mitambo ya kufulia umeme'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-6957153709626832572</id><published>2011-07-08T10:04:00.002Z</published><updated>2011-07-08T10:05:05.457Z</updated><title type='text'>Sumaye: Mafisadi lazima watoswe</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-IyDKnaejSp4/ThbWR9gP2tI/AAAAAAAABC4/mfrskx3Yk3M/s1600/09sumaye.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 207px; height: 211px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-IyDKnaejSp4/ThbWR9gP2tI/AAAAAAAABC4/mfrskx3Yk3M/s320/09sumaye.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5626920388501953234" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;ASEMA CCM NI CHAMA CHA WANYONGE&lt;br /&gt;Daniel Mjema, Moshi&lt;br /&gt;WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema tofauti ya  kipato kati ya matajiri na masikini, rushwa na ufisadi vinatishia mustakabali wa amani nchini na kusisitiza kuwa mafisadi ndani ya CCM lazima watoswe.Sumaye alitoa kauli hiyo jana katika viwanja vya Soko la Pasua, mjini Moshi alipokuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya chama cha TANU kutimiza miaka 57 tangu kuanzishwa kwake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Maadhimisho hayo yalihudhuriwa na viongozi mbalimbali CCM  na Serikali, akiwamo Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Meja Jenerali Mstaafu Said Kalembo, Mkuu wa Wilaya ya Moshi, Alhaji Mussa Samizi na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro, Vicky Swai.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“CCM ni chama cha wanyonge kwa maana  yawafanyakazi, wakulima na wafanyabiashara wanaofanya biashara halali…. Lakini kuna dalili inayoonyesha kuwa CCM sasa kimeanza kutekwa na wachache wenye uwezo wa kifedha,” alisema Sumaye.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika hotuba hiyo iliyovuta hisia za wananchi na wanachama wa CCM waliohudhuria mkutano huo, Sumaye alisema japokuwa mambo hayo yanauma, lakini ni lazima WanaCCM waelezane kuhusu mwelekeo wa chama chao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Mwelekeo huu ni hatari kwa chama chetu na kwa mustakabali wa taifa letu…,tusijidanganye ni lazima tujue kuwa Watanzania wengi wanaitegemea CCM, hivyo lazima ikae katika msingi unaoeleweka… Hatuwapigi vita wala kuwachukia matajiri ila ila wasikiteke nyara chama,”alisisitiza Sumaye.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jambo lingine alilosema ni hatari kwa mustakabali wa nchi, ni mgawanyo mbaya wa utajiri akisema katika nchi yoyote duniani, lazima watakuwepo matajiri na masikini, lakini tatizo ni pale kundi dogo linapohodhi utajiri wa nchi husika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Tatizo hapa ni kundi la watu wachache wanapotaka kuhodhi utajiri wa nchi… Hali hiyo si salama kwa matajiri na si salama kwa masikini na wala si salama kwa nchi nzima,” alisema sumaye huku akishangiliwa na wana CCM na wananchi wengine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aliongeza kusema”wale wasionacho kama ikitokea na dalili hiyo imeanza kujitokeza katika nchi yetu …wale masikini watapigana na wale walionacho bila kujali kama ulichonacho ulikipata kwa halali ama la”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sumaye aliwataka Watanzania kutofikia huko na kudokeza TANU ililisimamia vizuri jambo hilo na CCM ni lazima nayo ilisimamie akisema taifa ni lazima lijenge mfumo utaohakikisha utajiri hauwi kwa watu wachache kwani hiyo ni hatari kwa amani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuhusu suala la rushwa ambalo limekuwa likipigiwa keleke nchi nzima, Sumaye alisema tatizo hilo limeanza kuota mizizi nchini na kwamba, kama Watanzania hawatakuwa na ujasiri wa kuikata basi utaiua CCM na nchi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Tutaua chama chetu na hata nchi yetu….ni lazima tuwe na ujasiri wa kukata mizizi ya rushwa….tusiposimama kidete huduma za jamii zitakuwa zinapatikana katika kundi la watu wachache wenye uwezo wa kifedha,”alisema Sumaye.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sumaye alisema Ufisadi ni mbaya zaidi kuliko wizi akisema tatizo hilo lipo nchini na linaonekana kukua kwa kasi na kushika mizizi kwa nguvu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo alimpongeza Rais Jakaya Kikwete kwa kile alichosema ni ujasiri wake wa kulikemea suala hilo kwa nguvu zote za kutoa maelekezo kwa CCM  kujivua gamba akisema “kama Rais wa nchi amefikia mahali akalisemea basi tatizo ni kubwa”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Marehemu mzee Rashid Mfaume Kawawa Mungu amrehemu aliwahi kutuambia kama mnasafiri katika mtumbwi mmoja na mnamuona mwenzenu anaanza kuutoboa mtumbwi basi mtoseni yeye baharini vinginevyo wote mtazama,”alisema.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sumaye alifafanua kuwa Mtumbwi wa CCM ndio umebeba Watanzania wote hivyo ni azima uwe salama na kwamba CCM haitakubali mtu au kundi la watu kuutoboa mtumbwi huo ili watanzania wote wazame na kusisitiza lazima mtu huyo atoswe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kauli hiyo ya Sumaye ilionekana kuunga mkono tamko la Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) lililowataka wanachama wa chama hicho wanaotuhumiwa kwa ufisadi wakiwemo Wabunge, kujiuzulu wenyewe vinginevyo CCM itawawajibisha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini mbali na tamko hilo, lakini kauli ya Sumaye ambaye anaonekana kuwa na nguvu ndani ya CCM imekuja wakati kuna sakata la ufisadi katika ununuzi wa rada ambapo Mwanasheria mkuu wa serikali wa zamani, Andrew Chenge anatajwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vyombo vya habari jana vilimkariri katibu Mkuu wa chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema), Dk. Wilbroad Slaa na Waziri kivuli wa sheria na mambo ya katiba, Tundu Lissu wakisisitiza upo ushahidi wa kumtia hatiani Chenge.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chenge mwenyewe mara zote amekanusha tuhuma hizo na jana alikaririwa akiwataka wenye ushahidi kuuwasilisha Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa(TAKUKURU) huku akisema uchunguzi wa tuhuma hizo ulishafungwa.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-6957153709626832572?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/6957153709626832572/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=6957153709626832572' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/6957153709626832572'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/6957153709626832572'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/07/sumaye-mafisadi-lazima-watoswe.html' title='Sumaye: Mafisadi lazima watoswe'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-IyDKnaejSp4/ThbWR9gP2tI/AAAAAAAABC4/mfrskx3Yk3M/s72-c/09sumaye.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-3388086172595414481</id><published>2011-07-08T10:00:00.002Z</published><updated>2011-07-08T10:02:12.881Z</updated><title type='text'>Simba yanusa ubingwa</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-UoQr6xEAAdw/ThbVc5nr-4I/AAAAAAAABCo/qLAsyP_ig54/s1600/mgosi%2Bel.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 290px; height: 247px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-UoQr6xEAAdw/ThbVc5nr-4I/AAAAAAAABCo/qLAsyP_ig54/s320/mgosi%2Bel.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5626919476926348162" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Sosthenes Nyoni na Sweetbert Lukonge&lt;br /&gt;MABINGWA mara sita,&lt;br /&gt; Simba wamefanikiwa kulipiza kisasi cha mwaka 1994 baada ya kuichapa El Merreikh kwa mikwaju ya penalti 5-4 na kutinga hatua ya fainali ya Kagame Castle Cup na sasa inamsubili mshindi wa leo kati ya Yanga na St George.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika mchezo huo ulishudia timu hizo zikienda dakika 120 baada ya kutoka ya bao 1-1 kwa magoli yaliyofungwa na Adiko Rime dakika 12 kwa El Merreikh kabla ya Ulimboka Mwakingwe kuisawazishia Simba kwa dakika ya 20 kwa kichwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya kutoshana nguvu kwa dakika hizo ndipo changamoto ya mikwaju ya penalti ilitumika kumpata mshindi wa nusu fainali hiyo ya kwanza, lakini kipa wa Simba Juma Kaseja kama kawaida alifanikiwa kudaka penalti ya mwisho na kuwavusha mabingwa hao wa kishitoria kwenye fainali hapo Jumapili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wapigaji wa penalti wa Simba waliopata walikuwa Jerry Santo, Salum Kanoni, Ramadhani Nassor 'Chollo', Patrick Mafisango na Ulimboka aliyekosa ni  Salum Machaku.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mabingwa mara mbili El Merreikh wenye walipata wanne ambao ni Faisal Sido, Ahmed Elbasha, Badri Eldin na  Essam Elhadary na waliokosa ni Collins Kelechi na Jonas Sakwaha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mchezo huo ulianza kwa kasi kwa El Merreikh kufanya mashambulizi ya nguvu baada ya dakika 4, Gala Gabir kupiga shuti la mbali lakini Kaseja alikuwa makini na kupangua mpira huo kabla Partick Mafisango kuondosha hatari hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dakika ya 9, Ahmed Elbasha alipiga shuti la umbali wa mita 35, lakini Kaseja alipangua na kuwa kona ambayo haikuwa na madhara kwa Simba.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mashambuliazi hayo yalizaa matunda kwa El Merreikh baada ya dakika 12, kupata bao la kuongoza kupitia Adiko Rime aliyeunganisha vizuri krosi kutoka upande wa kulia ya Jonas Sekwaha ambayo mabeki wa Simba walikosa umakini kwenye ulinzi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kipa wa zamani wa timu ya taifa ya Misri, Isam Elhadary aliendeleza historia yake ya kutoa zawadi ya mabao kwa timu za Tanzania pale alipopangua kizembe krosi ya Shija Mkina na kutua kichwani kwa Ulimboka Mwakingwe aliyeusukimia mpira kimyani kwa kichwa cha kuogelea dakika ya 24.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kaseja alijikuta akipewa kadi ya njano na mwamuzi Kirwa Syvester kutoka Kenya baada ya kitendo chake cha kupiga mpira nje na kukaa chini kwa madai ya kuumia dakika 45 ili kupoteza muda.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mkina alishindwa kumalizia vizuri krosi ya Mafisango dakika 52, kabla ya Musa Hassan Mgosi kukosa bao dakika 71, alipojipiga kibuyu na kudondoka mwenye kabla ya mabeki wa El Merreikh kuokoa hatari hiyo jambo lililofanya maelfu ya mashabiki wa Simba uwanjani kushika vichwa wasiamini kilichotokea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Leo mabingwa mara tatu wa klabu bingwa Afrika Mashariki na Kati Yanga leo wanashuka uwanjani kupambana na St George ya Ethiopia kutafuta tiketi ya kutinga hatua ya fainali katika mashindano ya kombe la Kagame  kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Yanga ambayo mara ya mwisho ilitwaa taji hilo miaka 11 iliyopita mwaka 1999 ilipoifunga SC Villa kwa mikwaju ya penalti itakuwa na kazi ngumu mbele ya St George inayojitambia safu yake ya ushambuliaji katika mashindano ya Kagame.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kocha wa Yanga, Sam Timbe alisema vijana wake wapo tayari kwa mchezo huo licha ya juzi, kuonyesha kiwango cha chini katika mchezo wa robo fainali dhidi ya Red Sea ya Eritrea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo Yanga katika mchezo huo ilifanikiwa kuitupa nje ya michuano hiyo Red Sea kwa mikwaju ya penalti baada ya kumaliza dakika 90 kwa suluhu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akizungumza na Mwananchi jana Timbe ambaye ni kocha pekee mwenye rekodi ya kulitwaa kombe hilo mara tatu akiwa na timu tofauti tofauti alisema tayari ameshayafanyia kazi mapungufu yote yaliyojitokeza katika  mchezo dhidi ya Red Sea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Mchezo wa kesho (leo) utakuwa ni mgumu, lakini vijana wangu tayari wapo vizuri kupambana na kuhakikisha tunaibuka na ushindi katika mechi hiyo ambayo ni muhimu kwetu kushinda ili tuweze kutinga fainali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Tayari nimeshayafanyia kazi mapungufu yaliyojitokeza katika mchezo wetu dhidi ya Red Sea ni matumaini yetu kuwa tutashinda mchezo huo licha ya wapinzani wetu kihistoria kuonekana ni timu nzuri zaidi katika ukanda wetu wa Afrika Mashariki na Kati," alisema Timbe ambaye pia aliwahi kuchukua ubingwa wa michuano hii akiwa mchezaji wa timu ya KCC ya Uganda.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema kiufundi vijana wake wote wapo vizuri hakuna majeruhi na anatarajia kutumia mifumo yake ya kila siku ambapo ataanza na 4-4-2 na akiona mambo yanakuwa tofauti atalazimika kubadili na kutumia 4-3-3 ili kuhakikisha anaibuka na ushindi.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-3388086172595414481?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/3388086172595414481/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=3388086172595414481' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/3388086172595414481'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/3388086172595414481'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/07/simba-yanusa-ubingwa.html' title='Simba yanusa ubingwa'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-UoQr6xEAAdw/ThbVc5nr-4I/AAAAAAAABCo/qLAsyP_ig54/s72-c/mgosi%2Bel.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-1362056676748151637</id><published>2011-07-08T09:58:00.001Z</published><updated>2011-07-08T10:00:34.809Z</updated><title type='text'>Hivi Wassira amekuwa mufilisi wa hoja?</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/-2gncFVi37Yg/ThbVLqeO6_I/AAAAAAAABCg/hyDssm0-wLg/s1600/wassira.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 289px; height: 276px;" src="http://1.bp.blogspot.com/-2gncFVi37Yg/ThbVLqeO6_I/AAAAAAAABCg/hyDssm0-wLg/s320/wassira.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5626919180802386930" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;KATIKA toleo la jana la gazeti hili, tulichapisha habari zilizomnukuu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais anayeshughulikia masuala ya mahusiano na uratibu, Stephen Wassira akilishambulia vikali gazeti hili kwa kuchapisha picha yake gazetini wiki mbili zilizopita akiwa amechapa usingizi bungeni. Alilituhumu kwa kile alichokiita kuandika habari za uchochezi na kwamba lina asili ya nje, hivyo pengine lingependa nchi ikumbwe na vurugu kama ilivyo katika baadhi ya nchi.&lt;br /&gt;  &lt;br /&gt;Waziri Wassira ambaye alikuwa akifanya majumuisho ya matumizi ya Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu aliongeza: …”tunamwambia umechelewa, hapa hayawezekani”. Wakati anapigwa picha hiyo akiwa anauchapa usingizi, waziri huyo alikuwa anakaimu nafasi ya Kiongozi wa Shughuli za Serikali Bungeni.&lt;br /&gt;  &lt;br /&gt;Pamoja na kukiri kuwa alikuwa ameuchapa usingizi wakati Bunge lilikuwa linaendelea, alikiita kitendo cha gazeti hili kuchapisha picha iliyomuonyesha akiwa usingizini kwamba kilikuwa cha uchochezi. Alisema siku hiyo alikuja bungeni akiwa  mgonjwa na dawa aliyopewa katika Zahanati ya Bunge ndiyo iliyomuweka katika hali hiyo ya kusinzia.&lt;br /&gt;  &lt;br /&gt;Lakini waziri huyo alikwenda mbali zaidi na kunukuu vichwa vya habari ambazo gazeti hili lilikuwa limechapisha huko nyuma,  akisema zilikuwa za uchochezi. Moja ya habari hizo ilihusu sakata la posho za vikao kwa watumishi wa umma iliyosema kwamba Chadema ilikuwa imeibwaga Serikali. Habari nyingine ni ile iliyomnukuu Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa akisema bungeni  kwamba Serikali iliyo madarakani ilikuwa inaogopa kufanya maamuzi.&lt;br /&gt;    &lt;br /&gt;Tumeorodhesha mlolongo wa tuhuma zilizotolewa na waziri huyo dhidi ya gazeti hili siyo kwa kutaka kuonewa huruma, bali  kuwapa fursa  wasomaji wetu na wananchi kwa jumla ya kuamua kama kweli gazeti hili linastahili lawama na laana zinazoelekezwa kwake na Waziri Wassira. Rekodi yetu katika  muongo mmoja wa kuwapo gazeti hili imeonyesha kuwa, tumekuwa tayari kukosolewa na mara zote tumeomba radhi pale tunapofanya makosa.&lt;br /&gt;  &lt;br /&gt;Lakini tunapata wasiwasi pale waziri wa serikali anapoweza kupata ujasiri wa kutoa shutuma na tuhuma za uongo dhidi ya gazeti ambalo hata viongozi wa juu wa chama chake cha CCM wanakiri kwamba linaandika ukweli. Kwamba sisi ni wachochezi na gazeti hili lina asili ya nje, hivyo pengine lingependa nchi itumbukie katika vurugu kama ilivyo katika baadhi ya nchi ni tuhuma nzito zinazoweza tu kutolewa na mtu asiyewatakia wenzake mema.&lt;br /&gt;  &lt;br /&gt;Pamoja na kwamba dhima kubwa ya gazeti hili ni kuwafahamisha na kuwahamasisha wananchi, ukweli ni kwamba gazeti pia linafanya biashara na lishindana kibiashara katika soko ili lipate faida. Ili tuweze kufanikiwa kufanya biashara tunahitaji mazingira mazuri yenye amani, mshikamano na utulivu. Tuhuma za Waziri Wassira kwamba gazeti linataka nchi ikumbwe na vurugu hakika ni kichekesho cha karne.&lt;br /&gt;  &lt;br /&gt;Pengine tuchukue fursa hii kuwafahamisha wananchi kwamba, tuhuma hizi za waziri huyo ni mwendelezo wa mchezo mchafu wa baadhi ya washindani wetu katika sekta ya umma  wenye kusimamia dhana yenye matege kwamba, kwa kuwa wamiliki wa gazeti hili ni wawekezaji kutoka nje, basi waandishi wake hawana uzalendo kwa sababu ajenda wanazotekeleza zinaamuliwa na watu wa nje. &lt;br /&gt;  &lt;br /&gt;Lakini lazima tuseme tukiwa tunatembea vifua mbele kwamba, waandishi wa habari na wahariri wa Mwananchi na gazeti dada la The Citizen, wanaongozwa na Sera ya Uhariri inayozingatia weledi na inayowapa uhuru kamili wa kuendesha magazeti hayo pasipo kuingiliwa na mtu yeyote. Wasomaji wetu pengine watashangaa kujua kwamba, kati ya wafanyakazi 132 wanaofanya kazi katika magazeti hayo, ni wafanyakazi watatu tu tena wasio na nafasi za kufanya maamuzi ya uhariri ndio wanatoka nje ya nchi.&lt;br /&gt;  &lt;br /&gt;Tungependa kuwahakikishia wasomaji wetu na wananchi kwa jumla kwamba, hatutarudi nyuma katika kusimamia ukweli na tutafanya hivyo bila woga wala upendeleo. Kwa upande wa wabunge wanaochapa usingizi bungeni, tunawapa tahadhari kuwa tutawachongea kwa wapigakura wao ili siku ikifika wafanye maamuzi magumu.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-1362056676748151637?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/1362056676748151637/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=1362056676748151637' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/1362056676748151637'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/1362056676748151637'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/07/hivi-wassira-amekuwa-mufilisi-wa-hoja.html' title='Hivi Wassira amekuwa mufilisi wa hoja?'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/-2gncFVi37Yg/ThbVLqeO6_I/AAAAAAAABCg/hyDssm0-wLg/s72-c/wassira.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-6378578785036407555</id><published>2011-07-08T09:56:00.001Z</published><updated>2011-07-08T09:58:30.113Z</updated><title type='text'>'Serikali haitaingia gharama kutafiti mafuta,gesi'</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://2.bp.blogspot.com/-0k1orpYzv_Q/ThbUmXZE1vI/AAAAAAAABCY/PM6bNkBjdkQ/s1600/pindaloliondo.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 300px; height: 253px;" src="http://2.bp.blogspot.com/-0k1orpYzv_Q/ThbUmXZE1vI/AAAAAAAABCY/PM6bNkBjdkQ/s320/pindaloliondo.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5626918540025321202" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Mwandishi Wetu&lt;br /&gt;WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, amesema Serikali ya Tanzania haitaingia gharama zozote wakati meli ya Poisedon, itakapokuwa inafanya uchunguzi wa mafuta na gesi katika pwani ya Tanzania.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kwa mujibu wa taarifa ya Ofisi ya Waziri Mkuu, Pinda alitoa kauli hiyo jana baada ya kutembelea eneo la viwanda vya kujenga meli ili kuona hatua mbalimbali za ujenzi wa meli na kuikagua meli ya uchimbaji mafuta.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Meli hiyo ya Poisedon inajengwa katika Bandari ya Geoje, Kusini Mashariki mwa Seoul, Korea Kusini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Waziri Mkuu anatarajiwa kuizindua meli hiyo leo saa 4 asubuhi katika Bandari ya Geoje.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Alisema wanachofanya sasa  wataalamu kutoka Kampuni ya Petrobas ya Brazil ni kutafiti na kubainisha maeneo mawili ambako meli hiyo itachimba endapo matokeo yatakuwa mazuri.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Tunaishukuru Serikali ya Brazil kwa kuamua kuisadia Serikali ya Tanzania kufanya utafiti huo muhimu," alisema Waziri Mkuu Pinda.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Alisema hatua hiyo ni dalili njema kuwa uwekezaji unawezekana kufanyika Tanzania na kuahidi kuwa Serikali ya Tanzania itafanya kila iwezalo, kuweka ulinzi wakati wataalamu hao wakiwa kazini ili kuzuia hatari ya kupambana na maharamia.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Mapema, akitoa taarifa kwa Waziri Mkuu kuhusu ujenzi wa meli hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni Petrobas Tanzania, Samuel Miranda, alisema wanatarajia kwamba meli hiyo itafanya kazi katika ukanda wa pwani kwa muda wa miezi 20 katika maeneo ya kati ya Mafia na Mtwara.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kuhusu uendelezaji wa miundombinu, Miranda alisema hadi sasa wameshawekeza kiasi cha dola za Marekani milioni 11 na ifikapo Desemba mwaka huu watatoa Dola za Marekani milioni 14 ili kuendeleza Bandari ya Mtwara.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kuhusu utoaji ajira kwa Watanzania, alisema wameanza kutoa mafunzo kwa vijana 50 wa kike na wa kiume wa kutoka Mtwara ambao wakifaulu, watafanya kazi katika meli hiyo.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;"Meli hii itakuwa Mtwara na tunatarajia kuanza kazi mwanzoni mwa Septemba. Tumeanza na vijana 50 kuanzia Julai mosi, watapewa mafunzo maalumU ya miezi mitatu ya umeme,  umakenika na masuala ya uchimbaji mafuta na si kitu kingine," alifafanua.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;"Mafunzo haya yanaendeshwa kwa ubia baina ya TPDC, Veta, Petrobas na Taasisi ya Cenal ya Brazili ambayo inafanana na Veta ya hapa Tanzania, nia yetu ni kupata wakufunzi ambao wataendelea kufundisha vijana wengi zaidi katika fani hii,"alisema.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Mbali na hatua hiyo, Miranda alisema wana mkataba na wahandisi wanne wa Kitanzania ambao tayari wamepelekwa Brazil kwa mafunzo ya muda mfupi na kisha watapelekwa Uingereza ili kujifunza zaidi masuala ya uchimbaji mafuta.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Meneja Mradi wa Kampuni ya Ocean Rig ya Uingereza inayosimamia ujenzi wa meli hiyo, David Gray, alimweleza Waziri Mkuu kwamba kwamba meli hiyo yenye urefu wa mita 242 na upana wa mita 52, imegharimu Dola za Marekani milioni 800.&lt;br /&gt;SOURCE:Mwananchi&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-6378578785036407555?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/6378578785036407555/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=6378578785036407555' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/6378578785036407555'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/6378578785036407555'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/07/serikali-haitaingia-gharama-kutafiti.html' title='&apos;Serikali haitaingia gharama kutafiti mafuta,gesi&apos;'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://2.bp.blogspot.com/-0k1orpYzv_Q/ThbUmXZE1vI/AAAAAAAABCY/PM6bNkBjdkQ/s72-c/pindaloliondo.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-3513991624789014273</id><published>2011-07-08T09:52:00.001Z</published><updated>2011-07-08T09:56:05.125Z</updated><title type='text'>DPP aomba ushahidi wa Dk Slaa dhidi ya Chenge</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-HUQluTiuYKU/ThbUHIsO5II/AAAAAAAABCQ/5WB93xoIcuY/s1600/_dk%2Bwilbord%2Bslaa.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 207px; height: 201px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-HUQluTiuYKU/ThbUHIsO5II/AAAAAAAABCQ/5WB93xoIcuY/s320/_dk%2Bwilbord%2Bslaa.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5626918003503195266" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Geofrey Nyang'oro&lt;br /&gt;MKURUGENZI wa Mashtaka Nchini (DPP), Eliezer Feleshi, amemtaka Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa, kuwasilisha nyaraka zenye ushahidi dhidi ya watuhumiwa wa rada  serikalini ili ziweze kufanyiwa kazi.Feleshi aliliambia gazeti hili jana kuwa ofisi yake inayo sehemu ya ushahidi wa suala hilo, lakini hautoshi kumtia Chenge hatiani kama atafikishwa mahakamani."Kama Chadema wanao (ushahidi), kama alivyoeleza Dk Slaa, walete tutaulinganisha na ushahidi tulionao ili tuone kama unatosha kuitetea kesi hiyo mahakamani," alisema Feleshi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa Feleshi kuna uwezekano wa nyaraka alizonazo Dk Slaa kuwa na ushahidi unaotofautiana na ushahidi uliopo serikalini hivyo kuwasilisha nyaraka hizo, kutasaidia kufanikisha jambo hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Sheria zetu zina utaratibu mzuri wa kupokea ushahidi. Sheria ya Mwenendo wa Kesi na Makosa ya Jinai, kifungu cha Saba na ile ya kupambana na rushwa, kifungu cha 39, zinaeleza bayana kuwa mtu mwenye ushahidi anaweza kuuwasilisha kwenye vyombo vinavyohusika,” alisema Feleshi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Feleshi alitoa kauli hiyo jana alipotakiwa na gazeti hili kuzungumzia kauli ya Dk Slaa aliyoitoa juzi kuwa Serikali ina ushahidi dhidi ya watuhumiwa wa ufisadi wa rada ila imeamua kuwalinda.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Waupeleke serikalini ushahidi huo kama wanao ili ukalinganishwe, inawezekana ukawa tofauti na uliopo, hivyo kufanikisha kuwachukuliwa hatua watuhumiwa, hakuna mtu anayefurahia suala hilo,” alisema Feleshi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo, Feleshi alibainisha kuwa ushahidi pekee hauwezi kumtia mtu hatiani isipokuwa ushahidi unaoweza kuithibitishia mahakama kuwa mshtakiwa ametenda kosa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema ni vema Chadema na watu wengine wanaodai kuwa wana ushahidi wa kutosha kuhusu ushiriki wa Chenge kwenye ufisadi wa rada wauwasilisha serikalini ili ufanyiwe kazi badala ya kulalamika nje ya utaratibu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kauli ya Mwanasheria Mkuu&lt;br /&gt;Kauli hiyo ya DPP imeungwa mkono na Mwanasheria Mkuu wa serikali, Jaji Fredrick Werema, aliyesema kuwa nyaraka alizo nazo Dk Slaa kuhusu watuhumiwa wa rada zipo pia ofisini kwake, lakini hazina ushahidi wa kutosha kumtia Chenge hatiani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo akinukuu Katiba ya nchi, Mwanasheria huyo Mkuu wa Serikali alisema ofisi yake siyo ya mwendesha mashtaka, hivyo haina mamlaka kuwashtaki watuhumiwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Kuna mtu anayehusika na kazi hiyo, mimi siyo prosecutor (mwendesha mashtaka). Lakini uchunguzi ulifanyika na kuonekana kuwa ushahidi hautoshi kumtia Chenge hatiani,” alisema Werema na kuongeza:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Ungekuwa karibu tungeangalia Katiba na tungesoma Ibara ya 59 Sehemu ya Kwanza, Tano hadi 60. Yupo mtu wa kufanya kazi hiyo ya uchunguzi.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ibara ya 59 ya Katiba, Sehemu ya Tatu inaeleza kazi za Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuwa ni kuishauri serikali juu ya mambo ya sheria na kwamba, yeye ndiye atakayeshughulikia mambo yote yahusuyo sheria yatakayopelekwa kwake au kazi atakazoagizwa na Rais na nyingine zinazokabidhiwa kwake kwa mujibu wa katiba.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katiba imeeleza kuwa mwenye mamlaka ya kuendesha mashtaka ni Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP) na anafanya kazi hiyo akiwa huru bila kuingiliwa na mtu ama mamlaka yoyote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katiba inamtaja Mkurugenzi wa Mashtaka na Makosa ya Jinai katika Ibara ya 59(b), Sehemu ya Nne kuwa katika kazi zake hataingiliwa na mtu yeyote wala mamlaka yoyote na atafanya kazi kwa kuzingiatia nia ya kutenda haki, kuzuia matumizi mabaya ya taratibu za utoaji haki na maslahi ya umma.Kazi zake ni kufungua, kuendesha na kusimamia mashtaka yote nchini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Juzi ikiwa ni siku moja baada ya Serikali kumkingia kifua Mbunge wa Bariadi Mashariki (CCM), Andrew Chenge, ili asishtakiwe kwa rushwa katika mchakato wa ununuzi ya rada, Chadema imeweka hadharani kurasa 11 za ushahidi inaodai kuwa unaweza kumtia hatiani Mwanasheria Mkuu huyo wa zamani kama atashtakiwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ushahidi huo uliotolewa na Dk Slaa, ni ripoti ya uchunguzi uliofanywa na Shirika la Upelelezi la Makosa Makubwa ya  Jinai la Nchini Uingereza (SFO).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dk Slaa aliwaambia waandishi wa habari kuwa amefikia hatua hiyo baada ya kusikitishwa na majibu ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Utawala Bora), Mathias Chikawe, kuhusu suala hilo alipokuwa akijibu hoja za wabunge.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa Dk Slaa, ukurasa wa tano wa ripoti hiyo, unaeleza jinsi Chenge alivyoshinikiza utekelezwaji wa mkataba huo na jinsi alivyofaidika kwa malipo ya kitita cha Dolaza Marekani 1.5 milioni kupitia akaunti ya Benki ya Barclays iliyoko katika kisiwa cha Jersey, nchini Uingereza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Chenge alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali kati ya mwaka 1995 na 2006. Katika kipindi hicho, BAE na SPS walikuwa wakifanya majadiliano ya ununuzi wa rada kwa ajili ya Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam na Chenge alihusika moja kwa moja katika mchakato huo hasa kushinikiza ununuzi huo," alisema Dk Slaa akinukuu waraka huo alioutoa pia kwa waandishi wa habari.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aliendelea,"Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ilitakiwa kutoa maoni na kuthibitisha malipo hayo na bila Chenge kukubali, kusingeweza kufanyika chochote."&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa Dk Slaa, kauli ya Waziri Chikawe kuwa Serikali haina ushahidi unaowataja watuhumiwa wa kashfa ya rada moja kwa moja na kutaka mwenye ushahidi wauwasilishe kwake, ni hatari kwa kuwa inaonyesha kuwa haina dhamira ya kweli ya kushughulikia rushwa na ufisadi huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema ripoti hiyo ya SFO, ambayo anaamini Serikali inayo, ni ushahidi tosha unaoweza kumtia hatiani Chenge ambaye pia angeweza kusaidia kutaja wahusika wengine katika sakata hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kauli ya Dk Hoseah&lt;br /&gt;Katika katika hatua nyingine, Mkurugenzi wa Takukuru, Dk Edward Hosea, alisema taratibu za kuwasilisha ushahidi ofisini kwake ziko wazi, hivyo kumtaka Dk Slaa kuuwasilisha kwake ili akaufanyie kazi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dk Hosea alisema Ofisi yake inafanya kazi saa 24, lakini inahitaji ushahidi na ndio sababu Kifungu cha 39 cha Sheria ya kupambana na rushwa Takukuru kinamtaka mtu yeyote mwenye ushahidi juu ya masuala ya rushwa kuwasilisha hapo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuhusu hatua ambazo ofisi yake inafanya kuhusu tuhuma za rada ambazo juzi Dk Slaa alidai ana ushahidi, alisema swali hilo aulizwe waziri (Chikawe).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Kwanini usimuulize waziri , yeye ndiye aliyetoa kauli hiyo (Statement) muulize huyo ndiye anaweza kuwa na majibu kuhusiana na hilo,” alisema Dk Hosea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema wao ni watendaji na si wanasiasa na kwamba, ofisi yake inafanya kazi kwa kufuata kanuni, taratibu na sheria zilizopo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema kama kunamtu mwenye ushahidi auwasilishe kwao nao wataufanyia kazi mara moja  kwa sababu  hiyo ndiyo kazi yao.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-3513991624789014273?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/3513991624789014273/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=3513991624789014273' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/3513991624789014273'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/3513991624789014273'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/07/dpp-aomba-ushahidi-wa-dk-slaa-dhidi-ya.html' title='DPP aomba ushahidi wa Dk Slaa dhidi ya Chenge'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-HUQluTiuYKU/ThbUHIsO5II/AAAAAAAABCQ/5WB93xoIcuY/s72-c/_dk%2Bwilbord%2Bslaa.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-334867736028450011</id><published>2011-07-01T10:28:00.001Z</published><updated>2011-07-01T10:31:05.578Z</updated><title type='text'>Zitto alianika Baraza la Mawaziri</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://3.bp.blogspot.com/-p8gC3JF0C8g/Tg2htYQaPFI/AAAAAAAABCI/n2bK-gdNZuk/s1600/10zittomakinda.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 300px; height: 291px;" src="http://3.bp.blogspot.com/-p8gC3JF0C8g/Tg2htYQaPFI/AAAAAAAABCI/n2bK-gdNZuk/s320/10zittomakinda.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5624329310633081938" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;AWASILISHA USHAHIDI IUTHIBITISHA KWAMBA LILIRUBUNIWA&lt;br /&gt;Kizitto Noya na Edwin Mjwahuzi, Dodoma&lt;br /&gt;WAKATI Ofisi ya Bunge ikigoma kumsaidia Mbunge wa Kigoma)Kaskazini, Zitto Kabwe kupata nyaraka za Kikao cha Baraza la Mawaziri kwa ajili ya kuthibitisha madai yake kuwa Baraza hilo limerubuniwa, mbunge huyo amewasilisha kurasa nne za ushahidi huo akitumia dokezo la kikao hicho cha siri.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Habari zilizolifikia gazeti hili na kuthibitishwa na Kaimu Katibu wa Bunge, John Joel zilisema kuwa Zitto aliwasilisha ushahidi huo kwenye Ofisi ya Bunge jana mchana, huku taarifa zaidi zikionyesha kuwa aliwasilisha ushahidi huo ukiwa na hoja tatu kuthibitisha madai yake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa habari hizo, mbunge huyo aliwasilisha ushahidi wake uliosomeka “Tofauti kati ya mapendekezo ya Waraka wa Barazaa la Mawaziri na Pendekezo la Azimio la Bunge lililoletwa bungeni kuhusu kuongeza muda wa Shirika Hodhi la Mali za Mashnirika ya Umma, yaani Consolidated Holding Corporation (CHC)" .&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Amewasilisha ushahidi wake leo, uko hapa unafanyiwa kazi," alisema Joel alipoulizwa na gazeti hili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Juzi, Spika Anne Makinda alimwongezea muda Zitto hadi Jumatatu Juni 4 mwaka huu, kuthibitisha madai yake hayo baada ya kueleza kuwa alishindwa kufanya hivyo juzi, Juni 29 kutokana na ofisi ya Spika kugoma kumsaidia kupata nyaraka za Kikao cha Baraza la Mawaziri kwa kuwa ni siri.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akithibitisha hoja zake katika ushahidi huo ambao gazeti hili umefanikiwa kuuona, Zitto alisema, Azimio la Bunge lililowasilishwa bungeni na Serikali kabla ya marekebisho lilitaka CHC iongezewe muda wa mpito wa miaka mitatu na baadaye kazi zitakazokuwa zimebaki zipelekwe kwenye Ofisi ya Msajili wa Hazina ni tofauti na mapendekezo ya kitaalamu yaliyofikishwa mbele ya Baraza la Mawaziri.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa maelezo ya Zitto, waraka wa wataalamu ulikuwa na mapendekezo ya aina mbili na kwamba hakuna hata pendekezo moja katika mapendekezo hayo lililozungumzia CHC kuongezewa muda wa miaka mitatu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Pendekezo la kwanza linalopatikana katika Aya ya 11.0 ya waraka huo, lilitaka CHC ifanywe kuwa taasisi ya kudumu. Pendekezo la pili linalopatikana katika Aya ya 12.0 ya waraka huo, liligusia mpango mbadala wa kuiongezea CHC muda wa miaka 5," ilisema sehemu ya ushahidi huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika ushahidi huo, Zitto alisema Aya ya sita ya Azimio la Bunge ilianza kujenga hoja ya kutaka CHC iongezewe muda wa mpito na baadaye majukumu yake yahamishiwe kwenye Ofisi ya Msajili wa Hazina. Alisema aya hiyo ilisomeka hivi:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Na kwa kuwa Serikali inatambua umuhimu wa kuiongeza muda wa mpito wa shirika na Serikali inaandaa na kukamilisha utaratibu wa kuhamishia majukumu ya CHC kwenye Ofisi ya Hazina.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Wakati Azimio lililoletwa bungeni lilijenga hoja hiyo ya kutaka majukumu ya CHC yaje kuhamishiwa kwenye ofisi ya Msajili wa Hazina, Waraka wa Baraza la Mawaziri katika pendekezo lake la pili, umetahadharisha kuwa mpango wa kuhamishia kazi za CHC kwenye ofisi ya Msajili wa Hazina, utakabiliwa na changamoto kubwa,"ilisema sehemu ya ushahidi huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ushahidi wake huo kwenye hoja ya tatu ulisema kuwa, wakati Azimio hilo lililoletwa bungeni (kabla ya kurekebishwa) lilijikita katika kutaka CHC iongezewe miaka mitatu na baadaye majukumu yake yahamishiwe kwenye)ofisi ya Msajili wa Hazina, hitimisho la waraka uliowasilishwa kwa Baraza la Mawaziri katika Aya ya 13 linasomeka:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Waheshimiwa mawaziri, mnombwa kutafakari mapendekezo yaliyomo kwenye Aya ya 11 ya waraka huu na kumshauri Mheshimiwa Rais ayakubali na aagize utekelezaji wake&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Hivi ni dhahiri kuwa Baraza lamawaziri lilikiuka maoni na ushauri wa wadau na watalaamu wote waliotaka CHC ifanywe kuwa taasisi ya kudumu; na dhahiri kuwa Seriakli ilikiuka mapendekezo na sababu zake zote za msingi zilizowasilishwa katika kikao)hicho ambazo zilitaka CHC ifanywe kuwa taasisi ya kudumu" inahitimisha taarifa hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Juni 23 mwaka huu wakati anachangia Azimio hilo, Zitto alisisitiza mara tatu kwamba Baraza la Mawaziri limerubuniwa kufikia hatua hiyo na akawataka wabunge kwa umoja wao kutokubali kupitisha azimio hilo kwa kuwa lipo kwa maslahi ya watu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Waheshimiwa wabunge, nawaombeni kwa umoja wetu tulikatae azimio hilo, hicho sicho tulichokubaliana kufanya. Tayari tumeiagiza CHC kufuatilia madeni yetu kwenye kampuni za umma halafu leo, tunataka kuliua shirika hili? alihoji Zitto kabla Spika Makinda hajamtaka athibitishe kauli hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kadhalika, wakati Makinda akimwongezea Zitto muda wa kuthibitisha madai yake alisema “Waheshimiwa wabunge itakumbukwa kuwa tarehe 23 mwezi huu Mheshimiwa Zitto wakati akichangia Azimio la Serikali kutaka kuliongezea uhai Shirika Hodhi la Mashirika ya Umma (CHC), alitoa tuhuma bungeni kwamba Baraza la Mawaziri, limerubuniwa kufikia maamuzi hayo."&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aliongeza: "Itakumbwa pia kuwa baada ya kauli hiyo, nilimtaka (Zitto) alete ushahidi ifikapo tarehe 29 Juni yaani leo. Sasa kwa kuwa siku yenyewe ya kuleta ushahidi ni leo, naona bora nitoe taarifa rasmi kwenu."&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Kwamba siku ileile ya tarehe 23, Mheshimiwa Zitto aliniandikia barua kuniomba nimsaidie kumpatia nyaraka za Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichopitisha uamuzi huo. Amefanya hivyo kwa kutumia Kanuni ya Haki, Sura na Madaraka ya Bunge zinazompa haki mbunge kuiomba ofisi ya umma kumpa nyaraka anazozihitaji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo, Makinda alisema, ofisi yake haikuweza kumpatia Zitto nyaraka hizo kwa kuwa vikao vya Baraza la Mawaziri ni siri na nyaraka zake zote hazitolewi kwa umma.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-334867736028450011?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/334867736028450011/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=334867736028450011' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/334867736028450011'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/334867736028450011'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/07/zitto-alianika-baraza-la-mawaziri.html' title='Zitto alianika Baraza la Mawaziri'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://3.bp.blogspot.com/-p8gC3JF0C8g/Tg2htYQaPFI/AAAAAAAABCI/n2bK-gdNZuk/s72-c/10zittomakinda.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-277401365946108810</id><published>2011-07-01T10:27:00.002Z</published><updated>2011-07-01T10:28:22.567Z</updated><title type='text'>Katiba mpya kuzinduliwa Aprili 2014</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-2ZCsjgADmSo/Tg2hLnii8QI/AAAAAAAABCA/SvZiy7VX8IY/s1600/katiba.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 300px; height: 309px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-2ZCsjgADmSo/Tg2hLnii8QI/AAAAAAAABCA/SvZiy7VX8IY/s320/katiba.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5624328730620129538" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Daniel Msangya, Dodoma&lt;br /&gt;WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda ametangaza kuwa Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itazinduliwa katika maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano mwaka 2014.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pinda alitangaza kauli hiyo jana mjini Dodoma alipokuwa akifungua semina elekezi kwa wakuu wa mikoa, wilaya na makatibu tawala wa mikoa iliyohusu Mchakato wa kuelekea kuundwa kwa katiba mpya ya Tanzania kwa viongozi hao wa serikali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema mchakato wa maandalizi ya kuandika Katiba mpya unatarajiwa kukamilika Aprili 2014.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Mchakato wa maandalizi ya kuandika Katiba mpya unatarajiwa kukamilika Aprili, 2014. Katiba hiyo mpya inatarajia kuzinduliwa ifikapo Aprili 26, 2014 katika kilele cha maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar," alisema Waziri Mkuu Pinda.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hadi kufikia siku hiyo ya Aprili 26, 2014 ni imebaki miaka miwili na miezi kumi kuanzia sasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kutokana na hali jiyo Pinda aliwataka viongozi hao kujiandaa kikamilifu kutekeleza mpango wa  ukusanyaji wa maoni ya wananchi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akizungumzia muswada huo, Pinda alifahamisha kuwa umeainisha hatua mbalimbali zitakazopitiwa kuelekea mabadiliko ya katiba ya nchi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aliainisha hatua hizo kuwa ni pamoja na zinazomhusisha Rais wa Jamhuri Muungano wa Tanzania na wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar kufanya makubaliano ya kuunda Tume  itakayoratibu mchakato wa kukusanya maoni ya wananchi kuhusu mabadiliko hayo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia kutoa hadidu za rejea zitakazotumiwa na tume ya kukusanya maoni, kuweka mfumo wa kitaasisi wa kuandaa na kuwasilisha taarifa kuhusu maoni yaliyokusanywa kuhusu katiba mpya ya nchi.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;“ Pia mchakato huo utahusu kuweka utaratibu wa kuunda Bunge la Katiba litakalojadili rasimu ya katiba mpya, kuweka utaratibu wa upigaji wa kura ya maoni kuhusu kukubali au kuikataa katiba iliyopitishwa na Bunge la Katiba,” alifafanua Waziri Mkuu Pinda.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Alitaja majukumu ya Tume hiyo, kuwa ni pamoja na kuratibu na kukusanya maoni ya wananchi, kupitia na kutafiti usahihi na ulinganifu wa misingi ya kikatiba inayohusu mamlaka ya watu, mifumo ya kisiasa, demokrasia, utwala wa sheria na utawala bora.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Jukumu lingine la tume hiyo ni kutoa mapendekezo kwa kila hadidu za rejea, kuandaa na kuwasilisha taarifa ya maoni kwa wananchi.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Pinda alisema katika kukusanya maoni ya wananchi, maeneo muhimu yanayopaswa kuzingatiwa yametajwa kuwa ni nafasi na majukumu ya mihimili mitatu ya dola ikiwemo Mahakama, Serikali na Bunge na masuala ya haki za binadamu na utawala bora.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Waziri Mkuu alisema katika hatua hiyo, tume hiyo itazunguka nchi nzima kufanya mikutano ya hadhara na ya ndani na nafasi ya Ofisi ya Waziri Mkuu kupitia kwa wakuu wa mikoa na wilaya ni kutoa ushirikiano wa kutosha kwa tume kwa kuwezesha mikutano hiyo kufanyika pamoja na upatikanaji wa mahitaji yote katika uendeshwaji wa mikutano hiyo.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;“Ni matarajio yangu baada ya semina hii, mtawaelimisha wananchi kuwa hatua inayoendelea hivi sasa siyo ya kutunga katiba mpya, bali ni kuunda Tume ya Kuratibu na Kukusanya Maoni ya Wananchi, kuelekea kutungwa kwa katiba mpya,” alisisitiza Pinda.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Alitahadharisha viongozi hao kutoingiza siasa katika mchakato huo na kutowashawishi wananchi wakati wa kutoa maoni, badala yake wawape uhuru wa kupendekeza wanachoona ni bora pasipo kuwashinikiza.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Naye Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(Tamisemi), George Mkuchika, alisema: “Bahati mbaya katika hatua za mwanzo za mchakato huu, baadhi ya wananchi wameonekana kukosa uelewa juu ya dhamira ya Serikali kuhusu utekelezaji wa mchakato na hatimaye kuandikwa kwa katiba mpya.”  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mkuchika alimwambia Waziri Mkuu kuwa wizara yake imeandaa semina hiyo ili kuwawezesha viongozi wa Serikali katika ngazi ya mikoa na wilaya kupata uelewa sahihi kuhusu hatua zilizoanzishwa katika mchakato huo wa kuwa na katiba mpya.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-277401365946108810?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/277401365946108810/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=277401365946108810' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/277401365946108810'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/277401365946108810'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/07/katiba-mpya-kuzinduliwa-aprili-2014.html' title='Katiba mpya kuzinduliwa Aprili 2014'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-2ZCsjgADmSo/Tg2hLnii8QI/AAAAAAAABCA/SvZiy7VX8IY/s72-c/katiba.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-1560364316053677225</id><published>2011-07-01T10:26:00.001Z</published><updated>2011-07-01T10:26:43.018Z</updated><title type='text'>Sh 700 milioni kutumika kwa maji Muheza</title><content type='html'>Thursday, 30 June 2011 20:04&lt;br /&gt;0digg&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Steven William, Muheza&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;HALMASHAURI ya Wilaya ya Muheza kwa mwaka 2011/12  inatarajia kutumia Sh 700 milioni  kwa ajili ya miradi ya maji.Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, Ummy Ally  Mwalimu alitoa taarifa hiyo katika ukumbi wa Tarecu wakati wa hafla ya  kuchangia ujenzi wa mradi wa  kisima kirefu cha maji uliobuniwa na vijana wa Kanisa la Elimu Pentecoste Mtaa wa  Masuguru.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwaimu alisema Serikali kupitia halmashauri ya wilaya hiyo imepanga kuchimba visima virefu vitatu, kununua pump nne na kujenga matanki ya kuhifadhia maji, kulaza mabomba kilomita tatu hapa mjini ikiwa ni jitihada za kuboresha upatikanaji maji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema mpango wa Serikali wa muda mrefu ni kutoa maji ya mtiririko kutoka Mto Derema umbali wa kilomita 22 hadi Muheza mjini na kwamba mipango imekamilika na taarifa zipo wizarani za maradi huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naibu Waziri huyo alisema kuwa yeye kwa kushirikiana na Mbunge wa Jimbo la Muheza atahakikisha mradi huo wa Derema unaanza kama ulivyopangwa kwani hiyo ni ilani ya CCM kutatua matatizo ya wananchi wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwalimu alisema kuwa kuna mpango wa upatikanaji maji vijijini pia kuna mradi wa kuchimba visima virefu katika vijiji tisa na kazi tayari imeshaanza.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-1560364316053677225?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/1560364316053677225/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=1560364316053677225' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/1560364316053677225'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/1560364316053677225'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/07/sh-700-milioni-kutumika-kwa-maji-muheza.html' title='Sh 700 milioni kutumika kwa maji Muheza'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-8346559050261624822</id><published>2011-07-01T10:23:00.001Z</published><updated>2011-07-01T10:23:58.898Z</updated><title type='text'>Vijiji 165 kupata umeme wa MCA-T</title><content type='html'>Thursday, 30 June 2011 20:02&lt;br /&gt;0digg&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Steven William,Muheza  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;VIJIJI karibu 165 vilivyopo katika wilaya za Mkoa wa Tanga vitanufaika na nishati ya umeme kufuatia Mradi wa Changamoto Millennium Challenge (MCA-T) unaofadhiliwa na Marekani kuanza zoezi la kuimarisha miundo mbinu ya nishati hiyo.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hayo yalisemwa  juzi na mratibu wa mradi huo Yusuph Mkindi katika warsha ya siku mbili iliyofanyika Tanga na kushirikisha wafanyakazi wa halmashauri za wilaya nne ambako mradi huo utapita.  Alisema mradi huo unatarajia kuanza kutekelezwa mapema mwezi ujao na kwamba kwa sasa  wanajiandaa kufanya zoezi la kuwalipa fidia  wakazi waliopo pembeni ambako miundo mbinu ya umeme itapita.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mkindi alisema zoezi la kulipa fidia hiyo litaanza rasmi Julai 20, mwaka huu ambapo baada ya kuwalipa wataanza zoezi hilo.  Akifafanua zaidi alisema tayari mkandarasi atakayehusika na mradi huo amepatikana na tayari nguzo za umeme zimeshaanza kusambazwa katika vituo ambavyo vimepangiwa kupita mradi huo katika wilaya husika.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mkindi alisema kuna vituo 16 ambavyo vimetengwa kwa ajili ya kufunga mashine maalumu za kupoozea nguvu za umeme katika Jiji la Tanga, Wilaya za Lushoto, Handeni na Muheza ambako mradi huo umepangiwa.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa upande wake Ofisa habari wa mradi huo wa MCA-T, Magreth Musai alisema lengo la mradi huo ni kuwakwamua wanavijiji sehemu husika ili waweze kuondokana na umaskini kwa kutumia nishati katika miradi endelevu.  Alisema pamoja na kuwanufaisha wananchi, lakini lengo kuu zaidi ni  kukuza uchumi wa Tanga kupitia sekta ya viwanda.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Naye mtaalamu wa masuala ya jinsia ,Debora Sungusia alisema kuwa pia wanatoa elimu kwa maofisa wa maendeleo ya jamii waende kuelimisha jinsia ya kike waweze kujiendeleza kiuchumi na kupewa elimu ya kukabiliana na maambukizi ya Ukimwi inayofadhiliwa na Marekani.  &lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-8346559050261624822?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/8346559050261624822/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=8346559050261624822' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/8346559050261624822'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/8346559050261624822'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/07/vijiji-165-kupata-umeme-wa-mca-t.html' title='Vijiji 165 kupata umeme wa MCA-T'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-4931338710065346161</id><published>2011-07-01T10:22:00.000Z</published><updated>2011-07-01T10:23:12.491Z</updated><title type='text'>Zitto azidi kuichoma Serikali</title><content type='html'>Thursday, 30 June 2011 20:52&lt;br /&gt;0digg&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kizitto Noya, Dodoma&lt;br /&gt;WAKATI Bunge likiendelea kumsubiri Zitto Kabwe kuthibitisha madai yake kwamba Baraza la Mawaziri limeshawishiwa kuifuta Kampuni Hodhi la Mashirika ya Umma (CHC), mbunge huyo wa Kigoma Kusini jana alionekana kusisitiza kauli hiyo baada ya kutaka itungwe sheria ya kudhibiti ushawishi kwa viongozi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Mbali na kutaka itungwe sheria hiyo, Zitto pia alihoji "kwa nini Wizara ya Fedha tusiseme imehongwa wakati imeleta bungeni mambo ambayo hayakukubalika katika vikao vya kamati?"&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Zitto alisema hayo jana alipokuwa akichangia Makadirio ya Matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa kwa mwaka fedha 2011/12.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; "Mheshimiwa mwenyekiti, mimi naomba tutunge sheria ya ‘ku-regulate lobbying’ kuratibu ushawishi),  sio vizuri kumchukua Waziri Mkuu akafungue mkutano wa wawekezaji ambako atasaini pia mambo kadhaa,"alisema Zitto.&lt;br /&gt;Alihoji kwa nini watu wasisemi Wizara ya Fedha na Uchumi imehongwa baada ya kalieleza Bunge kuwa imepingana na maamuzi ya kamati kutaka wawekezaji katika sekta ya mafuta na gesi wasipewe msamaha wa kodi kwa miaka kumi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Kwa mujibu wa Zitto Kamati ya Fedha na Uchumi ya Bunge na Kamati ya Mashirika ya Umma yalipinga mpango huo wa Serikali,  lakini inashangaza kuona mapendekezo hayo bado yameletwa bungeni na kuthibitishwa.&lt;br /&gt;"Tanzania hatuhitaji kuweka ‘incentives’ katika sekta ya mafuta na gesi kwa kuwa hatuna mshindani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tuliiambia Wizara ya Fedha kuwa hatuhitaji kuzipa kampuni za uwekezaji misamaha ya kodi kwa miaka ya kumi katika mafuta na gesi lakini bado haikusikia. Sasa tukisema Wizara ya Fedha imehongwa watakataaje?"alihoji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Zitto alisema Tanzania ni tajiri katika mafuta na gesi na haina mshindani katika nchi zote za Afrika Mashariki hivyo haihitaji kuwavutia wawekezaji kwa kuwapa miasma ya kodi kwa miaka 10.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Kilichotakiwa hapa ni sisi (Tanzania) kujenga ‘plant’ mkoani Mtwara mapema tena kabla wenzetu wa Msumbuji hawajajenga. Tukifanya hivi hatuna sababu ya kuwapa muda wa kulipa kodi wawekezaji,"alisema.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Katika mchango wake huo, Zitto pia alitaka Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kufanya uchunguzi na kubaini tatizo lililoko katika mirabaha ya madini hata ikaonekana tofauti ya hasara ya Sh 20 bilioni kati ya fedha wawekezaji wanazodai.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Rais alienda Hait na akaahidi kulifanyia kazi suala hilo, haiwezekani kuwe na ‘descrepancy’ ya Sh20 bilioni. Inawezekana kuna mifuko miwili fedha hizo zinaenda kuwanufaisha baadhi ya watu," alisema&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Katika hatua nyingine Mbunge wa Rungwe Mashariki, David Mwakyusa, aliitaka Serikali iunde tume ya kuchunguza chanzo cha migomo na maandamano ya wanafunzi wa elimu ya juu ili kumaliza tatizo hilo linaloathiri taaluma vyuoni.Mwakyusa alitoa wito huo jana alipokuwa akichangia Makadirio ya Matumizi katika Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Migomo ya elimu ya juu ni hatari kwa taifa na vijana ambao ndio taifa la kesho na Serikali inatakiwa kuchukua jitihada za makusudi kuidhibiti hali hiyo”, alisema.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-4931338710065346161?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/4931338710065346161/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=4931338710065346161' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/4931338710065346161'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/4931338710065346161'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/07/zitto-azidi-kuichoma-serikali.html' title='Zitto azidi kuichoma Serikali'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-6634620320846512469</id><published>2011-07-01T10:20:00.001Z</published><updated>2011-07-01T10:22:20.159Z</updated><title type='text'>Yanga yaikandamiza Elman</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/-IZrxDZWdFxc/Tg2fv46dy7I/AAAAAAAABB4/qRwjQA78s50/s1600/mwape%2Byanga.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;width: 290px; height: 258px;" src="http://4.bp.blogspot.com/-IZrxDZWdFxc/Tg2fv46dy7I/AAAAAAAABB4/qRwjQA78s50/s320/mwape%2Byanga.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5624327154735893426" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Clara Alphonce, Dar na Doris Maliyaga, Morogoro&lt;br /&gt;"TUMERUDI, moto huu hadi ubingwa." Ni kauli ya kocha msaidizi wa Yanga, Fred Felix Minziro alipokuwa akijitapa baada ya mchezo wa timu yake na Elma ya Somalia uliomalizika kwa Yanga kuibuka na ushindi wa mabao 2-0.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mchezo huo wa Kundi B wa Michuano ya Kagame uliofanyika kwenye Uwanja wa taifa, umeifanya Yanga kufikisha pointi nne sawa na Bunamwaya ya Uganda inayoongoza kundi hilo kwa wastani wa mabao ya kufunga na kufungwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bunamwaya iliyoifunga Elman mabao 4-0, jana ilitoka sare ya 1-1 na El Merreikh ya Sudan ambayo sasa ina pointi mbili baada ya sare ya Yanga ya 2-2 mchezo wa kwanza. Bunamwaya yenyewe ina mabao matano na imefungwa moja wakati Yanga ina mabao manne lakini imefungwa mabao mawili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Elman haina pointi katika kundi hilo, Yanga itacheza mechi yake ya mwisho Jumapili dhidi ya Bunamwaya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Minziro alisema kuwa moto wa Yanga hautazimika hadi fainali na hiyo ni kutokana na usongo iliyokuwa nao kuwa nje ya mashindano tangu mwaka 2008.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukiacha hayo, Yanga ilianza mchezo wa jana kwa kasi na kushambulia lango la Elman karibu vipindi vyote, lakini washambuliaji wake, Kenneth Asamoah, Davis Mwape na Julius Mrope walishindwa kujipanga kupachika mabao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Yanga ingeweza kutumia nafasi zaidi kwani Elman muda mwingi walikuwa hawashambulii zaidi ya kulinda lango lao licha ya kufungw amabao hayo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo, Yanga iliandika bao katika dakika ya 27, kupitia kwa Mwape baada ya kuunganisha kwa kichwa krosi ya Godfrey Taita. Dakika ya 42, Nurdin Bakari alishindwa kuunganisha wavuni krosi ya Mrope baada ya kupiga kichwa ambacho kilipaa juu na kutoka nje.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dakika ya 44, Elman ilipeleka shambulizi kwenye lango la Yanga, ambapo Mohamed Abubakar waalikosa bao baada ya kuwatoka mabeki wa Yanga na kupiga shuti ambalo lilitoka nje.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Safu ya ulinzi ya Elman ilikuwa imara kwa muda mwingi wa mchezo pamoja na Yanga kufanya mashambulizi ya mara kwa mara huku Elman ikionekana haitaki kufungwa idadi kubwa ya magoli.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dakika ya 87, Hamis Kiza wa Yanga alikosa bao baada ya kupishana na krosi ya Mrope, na muda mfupi baadaye kocha wa Yanga, Sam Timbe alimtoa Mrope na kumuingiza Shadrack Nsajigwa aliyekuwa kwenye fungate la harusi wakati Asamoah alitoka na nafasi yake kuchukuliwa na Jerry Tegete.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mabadiliko hayo yaliisaidia Yanga kuongeza nguvu katika ushambuliaji na Kiza aliipatia Yanga bao la pili katika dakika ya 90.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akilizungumzia pambano hilo, kocha wa Yanga, Sam Timbe alisema wachezaji wake walicheza chini ya kiwango kwa sababu muda mwingi walikuwa wanatembea uwanjani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Awali Bunamwaya na El Merreikh zilifungana bao 1-1, huku El Merreikh ikitangulia kupata bao katika dakika ya 32 baada ya beki wa kati wa timu hiyo, Sergi Pascal kukokota mpira kutoka katikati ya uwanja na alipofika kwenye 18 alipiga shuti lililokwenda moja kwa moja nyavuni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;El Merreikh inaonekana ina bahati mbaya ya kujifunga katika mashindano haya kwa sababu ilipigwa kona na nahodha wa Bunamwaya, Kimuli Robert akaruka juu kuucheza mpira huo, lakini beki wa El Merreikh, Mustafa alijikuta akiunganisha mpira golini kwake na kujifunga kwa kichwa katika dakika ya 38.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mjini Morogoro kwenye Uwanja wa Jamhuri, Ulinzi ya Kenya ilipanda kileleni mwa Kundi C baada ya kutoa onyo kali kwa kuichapa mabao 9-0 Port FC ya Djibouti.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mpaka mapumziko Ulinzi ilikuwa imeishachapa Ports mabao 4-0. Bao la kwanza la Ulinzi lilifungwa katika dakika ya 13 mfungaji akiwa Steven Waruru kwa mkwaju wa penalti baada ya Mohamed Ahmed kumchezea vibaya George Otieno.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bao la pili lilifungwa katika dakika ya 18 mfungaji akiwa Lawrence Owino aliyemalizia krosi ya Stephen Waruru. Waruru aliifungia tena Ulinzi bao la tatu katika dakika ya 31 kwa shuti kali. Bao la nne lilifungwa na Lawrence Owino katika dakika ya 42.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika mechi hiyo Port waliokuwa wakicheza kichovu huku kipa wao Khalid Ally akionekana kutojiamini langoni, hata kucheza chini ya kiwango.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ulinzi ilianza kipindi cha pili kwa kasi na katika dakika ya 49, ilipata bao la tano lililofungwa na Lawrence Owino kwa penalti tena baada ya beki wa Ports kuunawa mpira kwenye eneo la hatari.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dakika ya 53, Ulinzi ilipata bao la sita lililofungwa na Evance Amwoka kwa shuti kali.  Amwoka aliingia kuchukua nafasi ya Waruru.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ulinzi ilipata bao la saba katika dakika ya 60 mfungaji akiwa Vincent Onyango aliyekuwa ameingia kuchukua nafasi ya Ibrahim Ismail na bao la nane la Ulinzi lilifungwa na katika dakika ya 65 na Vincent Onyango.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati wa mapumziko Port walimtoa kipa wao Khalid Ally aliyekuwa amefungwa mabao manne akaingia Mohamed Said na yeye alifungwa mabao matano pia, idadi ya magoli iliendelea kuongezeka katika dakika ya 76 baada ya Mohamed Hussein kuifungia Ulinzi bao la tisa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kocha wa Ulinzi alisema wachezaji wake wamejituma hata kupata mabao hayo lakini kocha wa Ports, Mahmoud Ahmed alilalamikia Uwanja wa Jamhuri kuwa hauna sifa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika mechi iliyofuatia ambayo ilitarajiwa kuwa na ushindani mkali St. George ya Ethiopa waliwachapa mabingwa watetezi, APR mabao 3-1.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bao la kwanza la St. Goerge lilifungwa katika dakika ya 18 na Suleiman Mohamed, lakini katika dakika ya 23 Jean Cloud Iranzi aliisawazishia APR kwa bao murua.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Washindi walipata bao la pili lililofungwa na Prince Godwin katika dakika ya 51 baada ya mchezaji huyo kuwalamba chenga mabeki wa APR na kufunga bao hilo kirahisi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Prince ambaye ni raia wa Ghana alifunga bao la tatu katika dakika ya 52 kwa shuti kali  lililomshinda kipa, Jean Cloud Ndoli.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Michuano hiyo inaendelea leo kwa pambano kati ya Simba ambayo itamkosa Ulimboka Mwakingwe aliyeumia itakapocheza na Etincelles ya Rwanda, pambano litakalotanguliwa na mechi kati ya Red Sea ya Eritrea na Vital'O ya Rwanda.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-6634620320846512469?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/6634620320846512469/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=6634620320846512469' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/6634620320846512469'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/6634620320846512469'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/07/yanga-yaikandamiza-elman.html' title='Yanga yaikandamiza Elman'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/-IZrxDZWdFxc/Tg2fv46dy7I/AAAAAAAABB4/qRwjQA78s50/s72-c/mwape%2Byanga.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-3083566927693169847</id><published>2011-02-25T18:54:00.000Z</published><updated>2011-02-25T18:55:21.232Z</updated><title type='text'>Simba, Yanga zawindana</title><content type='html'>na Dina Ismail&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;   &lt;br /&gt;HOMA ya pambano la watani wa jadi katika soka hapa nchini, Simba na Yanga imeanza kupanda ambapo kamati za utendaji za timu hizo zikijipanga kukutana kwa ajili ya kuweka mikakati ya kuibuka na pointi tatu muhimu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati Yanga ikitarajiwa kukutana keshokutwa Jumapili, Simba inatarajiwa kukutana wakati wowote kuanzia sasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vigogo hao wanatarajiwa kumenyana Machi 5, katika mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom itakayopigwa kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Timu hizo, zinaendelea kujifua kwa ajili ya mechi nyingine za ligi hiyo, ambako wachezaji wa Simba waliingia kambini juzi, huku Yanga wakifanya mazoezi ya kwenda na kurudi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ofisa habari wa Yanga, Louis Sendeu alisema jana kwamba, kamati ya utendaji itakutana Jumapili kujadili masuala mbalimbali ya timu hiyo, hususani mwenendo wake katika ligi hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Pamoja na hilo, pia watajadili mustakabali wa timu katika harakati za kuwania ubingwa,” alisema.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sendeu alisema, wachezaji wote wako katika hali nzuri, huku kiungo wake aliyekuwa majeruhi Shamte Ally akianza mazoezi magumu na wenzake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa upande wa Simba, wachezaji wake wote wameingia kambini hoteli ya Lamada jijini Dar es Salaam, huku wachezaji wote waliokuwa majeruhi wakipona isipokuwa Uhuru Seleman.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika hatua nyingine, kituo cha televisheni cha Super Sports cha Afrika Kusini, jana kilirekodi mazoezi ya timu ya Yanga yaliyokuwa yakifanyika uwanja wa Kaunda.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha, kituo hicho kilifanya mahojiano na kocha mkuu Sam Timbe, nahodha Shadrack Nsajigwa ‘Fusso’ na kipa Ivan Knezevic.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-3083566927693169847?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/3083566927693169847/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=3083566927693169847' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/3083566927693169847'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/3083566927693169847'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/02/simba-yanga-zawindana.html' title='Simba, Yanga zawindana'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-1233396318055937375</id><published>2011-02-25T18:51:00.000Z</published><updated>2011-02-25T18:54:30.518Z</updated><title type='text'>CHADEMA inatisha</title><content type='html'>•  Wafanya maandamano makubwa ya kihistoria jijini Mwanza&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;na Sitta Tumma, Mwanza&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;   &lt;br /&gt;MAELFU ya wakazi wa jiji la Mwanza na viunga vyake, jana walilazimika kusimamisha shughuli zao na kujiunga katika maandamano makubwa na ya kihistoria, yaliyoongozwa na viongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA, huku mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe, akitoa msimamo mkali kuwa chama chake sasa kimedhamiria kuwakomboa Watanzania kutoka katika hali ngumu ya maisha na mgawo wa umeme, ikiwa serikali ya Rais Jakaya Kikwete haitachukua hatua za dharura kulinusuru taifa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Maandamano hayo yaliyoongozwa na Mbowe na Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk. Willbrod Slaa, yalianzia katika shule ya Nyakato Buzuruga na kupita barabara za Pamba, Kenyatta, na Makongoro zilizo katikati ya jiji hili na kuhitimishwa katika viwanja vya Furahisha kulikofanyika mkutano mkubwa wa hadhara.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbowe alipata wakati mgumu kutoa hotuba yake kutokana na maelfu ya watu kumkatisha mara kwa mara wakitaka Rais Jakaya Kikwete ajiuzulu pamoja na mawaziri wake wa Ulinzi, Dk. Hussein Mwinyi, na Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja, kwa sababu ya kushindwa kusimamia majukumu yao vizuri.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema uzembe na ufisadi ndio uliolifikisha taifa katika mgawo wa umeme na hali ngumu ya maisha kwamba hivi sasa Watanzania wameingizwa kwenye ufisadi mpya kutokana na serikali kuamua kutenga sh bilioni 400 kwa ajili ya kukodi mitambo ya kuzalishia umeme. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Bilioni 400 zimepangwa na serikali ya Kikwete kwa ajili ya kukodi mitambo ya kuzalisha umeme na kila mwezi sh bilioni 23 zitalipwa...huu ni ufisadi mkubwa na mauaji kwa Watanzania,” alisema Mbowe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akiwageukia polisi na maofisa wa usalama wa taifa walioamiminika uwanjani hapo, Mbowe aliwataka wakafikishe salamu kwa Rais Kikwete na CCM yake, kwamba CHADEMA sasa imedhamiria kulikomboa taifa kutoka kwenye makali ya maisha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alionya kuwa kama Rais Kikwete hatachukua hatua za dharura kulinusuru taifa basi yaliyotokea katika nchi za Misri, Tunisia na Libya kwa wananchi wenyewe kuamka na kuing’oa serikali madarakani, yanaweza pia kutokea Tanzania. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati wakitoa msimamo huo, umati ulisikika ukisema “tufanye sasa hivi, tuko tayari kwenda Ikulu hata sasa hivi” lakini alisema wataendelea kuwasha moto wa mabadiliko nchi nzima na kwamba Rais Kikwete wataenda naye hatua kwa hatua kuangalia kama anachukua hatua za kunusuru nchi au la.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Rais Kikwete tunakwenda naye kwa stepu, tutawasha moto wa maandamano nchi nzima, tukimaliza tutaangalia kama atakuwa amechukua hatua. Tunampa siku tisa,” alisema Mbowe na kushangiliwa.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dk. Slaa aliyekuwa wa kwanza kuhutubia katika mkutano huo, alisisitiza sana msimamo wa chama hicho kumpa Rais Kikwete siku tisa za kuhakikisha anaondoa kodi kwenye maeneo yote yaliyosababisha bei za vyakula na bidhaa mbalimbali kupanda na kufanya maisha ya wananchi kuwa magumu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katibu Mkuu huyo aliyekuwa pia mgombea urais kupitia uchaguzi mkuu uliopita hakusahau kuzungumza makovu ya uchaguzi huo ambapo alisisitiza kuwa kura zake zilichakachuliwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Tunajua walichakachua kura zangu, ila hatupotezi muda kwa sasa, twende kwenye kazi hadi kieleweke,” ambapo wananchi waliitikia tena wakisema “iwe kama Misri, Libya” na kusisitiza kuwa wako tayari kwa hilo muda wowote wakati huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha, katika hotuba yake hiyo iliyotumia takriban dakika 45 hivi jukwaani, Dk. Slaa alisisitiza kuwa Rais Kikwete aliwajua vizuri sana wamiliki wa kampuni ya Dowans tangu awali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema kama Rais Kikwete, Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja na Rostam wanataka Dowans ilipwe basi watoe fedha zao mifukoni na sio kutumia fedha za umma kujilipa wenyewe kupitia kampuni ya Dowans.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha, Dk. Slaa aliwaambia wananchi waliofurika katika viwanja hivyo kuwa mmiliki wa Dowans ni Rostam Aziz kwani ndiye aliyehusika kubadili mkataba wa kampuni tata ya Richmond, kwa kuwatuma watu wawili Marekani kubadili mkataba huo ili uweze kumilikiwa na Dowans. Majina ya waliotajwa tunayahifadhi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Rostam Aziz alifanya mawasiliano yote na serikali katika hatua za kubadilisha mkataba wa Richmond kuwa wa Dowans, sasa Kikwete atakataaje na atakwepaje kwamba haijui Dowans na mmiliki wake? Ina maana Rostam alifanya mawasiliano haya na serikali ya nani kama si ya Kikwete?”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Rostam alituma watu wawili ambao ni (….) kwenda Marekani kubadili mkataba wa Richmond kwenda Dowans...na ujanja huu umekuwa ukifanywa sana katika nchi na Kisiwa cha Costa Rica ambako huwa wanauza makampuni kwa mtu yeyote anayehitaji kumiliki kampuni! Tuliambiwa na kamati ya kina Mwakyembe kwamba kampuni ya Richmond inafanya kazi ya Stationary,” alisema Dk. Slaa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wabunge wa CHADEMA nao waliwasha moto&lt;br /&gt;Mbunge wa Jimbo la Ubunge, John Mnyika, ambaye pia ni Waziri Kivuli wa Nishati na Madini alisema kupanda kwa gharama za bidhaa kumesababishwa na tatizo la mgawo wa umeme unaoendelea ambao kwa namna moja ama nyingine unawanufaisha wakubwa wachache ndani ya serikali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha, Mnyika aliwakumbusha wananchi wakumbuke kauli za wakubwa akiwemo Rais Kikwete kuhusu ujio wa kampuni ya Dowans kwamba hawamfahamu mmiliki na hapahapo aliwataka viongozi hao sasa watoe maelezo baada ya kumwona.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbunge wa Kawe, Halima Mdee alisema kuwa wakati wa CCM kutawala umefika mwisho na kuwataka kuwapisha ili waweze kufanya kazi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Kama wananchi mtakubali mabadiliko yanawezekana …leo hii tuko Mwanza kwa ajili ya kuiondoa CCM madarakani pamoja na kudai kuwa kufanya kwetu maandamano kuna maana kuwa hatuna kazi,” alisema Mdee.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbunge wa Nyamagana Ezekiel Wenje alisema kama mikoa ya Kanda ya Ziwa, ndiyo yenye rasilimali na utajili mkubwa kwa nini wananchi wake wapigike kimaisha, aliwataka wananchi hao kuanza mapambano ya kuhakikisha wanauaga umaskini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Kama dhahabu, almasi, samaki na malighafi nyingine zinapatikana katika ukanda wetu na kuchukuliwa na watu wachache …kwa nini tusibadilike na kuwa na nguvu moja ya kukataa, sasa tuanze kazi ya kujikomboa,” alisema Wenje.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbunge wa Ilemela, Highness Kiwia, aliwataka wananchi hao kutoa wasiwasi kuhusu hatma ya mgogoro wa ardhi ambao unaendelea na kuahidi kuwa Waziri wa Ardhi na Makazi, Anna Tibaijuka, atalitatua mwezi Mei mwaka huu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema ingawa CCM mkoa wa Mwanza umemfungulia mashtaka kuwa alishinda kwa wizi wa kura, nguvu ile ile iliyompa ushindi wa kishindo, ndiyo itakayoleta maendeleo ndani ya miaka mitano. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, alimtaka Rais Kikwete kuchukua tahadhari kutokana na mwenendo mzima wa mambo unavyoendeshwa ndani ya serikali yake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akisisitiza kauli hiyo, Lema alisema kama jiji la Mwanza limeweza kufanya mkutano na maandamano ya amani, kwa nini katika jiji la Arusha, hali ya hewa ilichafuliwa na viongozi wake?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema, “JK akiona wenzake wananyolewa , yeye atie maji ..ndugu zangu, namaanisha kuwa JK anatakiwa kuwaangalia viongozi wenzake kule Misri, Tunisia na sasa Libya wanavyofanywa na nguvu ya umma.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha, Lema aliendelea kusisitisa kauli yake aliyoitoa bungeni kuwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, alisema uongo kuhusu tukio la Januari 5 mwaka huu kule Arusha na kwamba ukweli upo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huku akishangiliwa kwa kuongea kwa lugha ya kisanii, Mbunge wa Mbeya Mjini,  Joseph Mbilinyi, maarufu kama Mr. Sugu, alisema kama jimboni kwake, Manzese, Nyamagana na kwingineko wanalia njaa, kwa nini CCM isiondoke?&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-1233396318055937375?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/1233396318055937375/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=1233396318055937375' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/1233396318055937375'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/1233396318055937375'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/02/chadema-inatisha.html' title='CHADEMA inatisha'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-774866546274706276</id><published>2011-02-04T16:20:00.000Z</published><updated>2011-02-04T16:21:31.422Z</updated><title type='text'>BoT: Noti mpya zachakachuliwa</title><content type='html'>•  Gavana Ndulu afundisha wananchi kuzitambua noti feki&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;na Ratifa Baranyikwa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;   &lt;br /&gt;BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imekiri kuwa noti mpya ilizozitoa kuanzia mwezi uliopita zimeanza ‘kuchakachuliwa’ na wahalifu kwa kutengeneza noti bandia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hayo yalisemwa jana na Gavana wa BoT, Profesa Benno Ndulu, wakati akizungumza na waandishi wa habari juu ya dukuduku na maswali mbalimbali toka kwa wananchi kuhusiana na noti hizo mpya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akizungumzia suala la kuwapo kwa noti bandia za toleo jipya, Ndulu alisema ‘wajanja’ wameishaanza kujaribu kutengeneza noti mpya kabla ya wananchi kuzifahamu vyema.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Mimi mwenyewe tayari nimeiona moja...wanaotengeneza noti bandia hata dola ya Marekani wanatengeneza. Wajanja lazima watajaribu tu hasa katika kipindi hiki lazima watatumia fursa hiyo kabla watu hawajazijua haraka noti za toleo jipya,” alisema.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Gavana huyo aliwaasa wananchi kuwa makini katika kuzielewa alama zilizoko kwenye noti hizo za shilingi 500, 1,000, 2,000, 5,000 na 10,000.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akielezea jinsi ya kuzitambua noti halali, Ndulu alisema kuwa kuna mstari ambao umepita pembeni, ukiuchezesha kuna lensi inayocheza ambayo imeshonewa ndani ya karatasi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema teknolojia hiyo ya lensi hiyo kuonekana ikichezacheza haiwezi kuonekana au kuigwa na wahuni wanaotengeneza noti bandia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alifafanua kuwa ukiiweka kwenye mwanga utaona picha ya Mwalimu Nyerere na nyuma ya noti kuna alama ya twiga inayobadilika rangi, mambo ambayo hayawezi kufanyika katika katika noti bandia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema wao kama BoT wamejipanga kutoa elimu kwa kina zaidi na kwamba mkakati huo wataendelea nao wakati wowote ambapo elimu inahitajika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Gavana huyo alisema hatua ya BoT kubadili fedha kila baada ya miaka mitano hadi saba ni moja ya njia ya kuweka alama bora zaidi za usalama ambazo ni ngumu kuzighushi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia ubadilishwaji huo husababishwa na maendeleo ya teknolojia ya uchapaji wa noti katika kuongeza uhai wa noti katika mzunguko.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika hilo alisema hata Marekani au Uingereza zimekuwa zikibadili noti zake kwa sababu hizo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akijibu maswali na madukuduku kadhaa ambayo yamekuwa yakiulizwa tangu kutolewa kwa noti mpya, Ndulu alisema miongoni mwa maswali waliyopokea ni malalamiko kuwa noti mpya zikisuguliwa kwenye karatasi nyeupe zinaacha rangi na zikiloa hutoa rangi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akitolea ufafanuzi suala hilo alisema kuacha rangi noti zinaposuguliwa kwenye karatasi nyeupe ni jambo la kawaida kwani noti zote zilizochapishwa kwa teknolojia maalumu inayojulikana kwa kitaalamu kama ‘Intaglio Printing’ hufanya hivyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema aina hiyo ya uchapishaji inazifanya noti kuwa na hali ya maparuzo zinapopapaswa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa maelezo yake, teknolojia hiyo imetumika ili kuimarisha kingo za noti kwa lengo la kupunguza uwezekano wa kuchanika au kuchakaa kwa haraka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Hata dola au euro ukizisugua kwenye karatasi zinatoa rangi na kitendo hicho kinathibitisha kuwa noti hiyo ni halali…noti ya bandia haiwezi kuacha rangi ukisugua,” alisema Ndulu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aliongeza, “Kuna watu wanasema ukiloweka inatoa rangi, sasa ni hivi rangi iliyotumika kutengenezea haichuji, kiwandani zinapotengenezwa zinapitia kwenye jaribio kama kuzipitisha kwenye mashine ya kufulia, kuziloweka na zikitolewa hazitoi rangi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pamoja na watu kudai kuwa noti mpya zinaonekana kutokuwa imara kwa sababu ya wepesi wake, gavana huyo alisisitiza kwamba noti hizo mpya ni bora zaidi kuliko zile za zamani kwa kuwa zimewekewa dawa inayojulikana kitaalamu kama ‘Anti Soiling Treatment’ inayozuia zisichafuke au kuchanika kwa haraka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia alisisitiza kuwa noti za zamani bado ni halali na zitaendelea kuwa katika mzunguko pamoja na zile mpya mpaka zitakapotoweka kwenye mzunguko kwa sababu ya uchakavu wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema huenda noti hizo za zamani zikatoweka katika mzunguko kati ya miezi 12 hadi mwaka mmoja na nusu hadi pale BoT itakapoutangazia umma.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuhusu upatikanaji wa noti mpya nchi nzima, Ndulu alisema kuwa ipo akiba ya kutosha ya noti hizo mpya na kwamba Benki Kuu inaendelea na mchakato wa kuziingiza kwenye mzunguko kwa kupitia benki za biashara.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo, alisema kutokana na mtandao wa baadhi ya matawi ya benki hizo kuwa ni mpana imechukua muda mrefu kwa baadhi ya maeneo kufikiwa na noti hizo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbali na hilo Ndulu pia amewatoa hofu wale wote wanaofikiri kuwa umbile dogo la noti mpya kuwa ni upungufu wa thamani na kusisitiza kuwa zina thamani licha ya kuwa na umbile hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha, akijibu swali ambalo wananchi wamekuwa wakijiuliza kuwa kwa nini BoT haikutoa noti kubwa zaidi ya 10,000 ili kurahisisha malipo katika biashara, Ndulu alisema kuwa BoT hawakuona haja ya kutoa noti yenye thamani kubwa zaidi kwa sasa kwani malipo makubwa yanahimizwa kufanywa kupitia njia nyingine za kibenki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia alisema uchumi wetu bado haujatuelekeza kutengeneza noti kubwa zaidi ya hapo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akigusia gharama iliyotumika kuchapishia toleo jipya la noti mpya, Ndulu alisema ni pungufu ya asilimia 30 ukilinganisha na ile iliyotumika kuchapishia zile za zamani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuhusu tatizo la kukwama kwa pesa ama kushindwa kutoka katika baadhi ya mashine za ATM, Ndulu alisema kuwa mabenki yapo kwenye utaratibu wa kuziwezesha mashine zao ziweze kusoma noti hizo mpya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema kwa sasa wenye mabenki wanazifanyia marekebisho mashine zao za ATM kwa kuziwekea programu zitakazokuwa na uwezo wa kusoma fedha hizo mpya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akiichambua hali ya uchumi, gavana huyo alisema kwa sasa hali ya uchumi ni nzuri na kwamba nchi ina uwezo wa kulipa huduma kwa miezi sita bila kutegemea sehemu yoyote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ndulu alisema kwa fedha za kigeni tu kuna kiasi cha zaidi ya dola bilioni 3.8, kiwango ambacho hakijawahi kufikiwa na nchi yoyote ndani ya Afrika Mashariki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akizungumzia grafu ya uchumi, alisema kwa mwaka 2010 katika robo ya kwanza uchumi ulikua kwa asilimia saba, wakati robo ya pili ulikuwa kwa asilimia 7.1 na robo ya tatu ulikuwa kwa asilimia 6.2.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema, dhahabu pekee imeongoza kwa kuingiza bilioni 1.4 wakati sekta ya utalii ambayo ilikuwa juu ya dhahabu imeingiza kiasi cha bilioni 1.3.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa upande wa mauzo ya nje ya bidhaa, alisema yameingiza milioni 900, mazao ya kilimo yaliingiza milioni 400 wakati huduma za bandari zilifanikiwa kuingiza milioni 380.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika hilo alisema uwezo wetu wa kuzalisha fedha za nje umekua sana ukilinganisha na miaka ya nyuma.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alipoulizwa kama tatizo la umeme limeathiri vipi uchumi katika kipindi cha robo ya mwaka huu, Ndulu alisema suala hilo litatolewa ufafanuzi na waziri husika hivyo asingependa kumuingilia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini alisisitiza, “Tutakua kiuchumi zaidi ya mwaka 2010.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo, takwimu na maelezo hayo ya Gavana Ndulu yanayosifia hali nzuri ya uchumi, vinapingana na hali halisi ya kupanda kwa gharama za maisha, hususan bei za vyakula mbalimbali ambazo zimepanda kwa zaidi ya asilimia 100 na kuzua malalamiko mengi kwa wananchi.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-774866546274706276?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/774866546274706276/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=774866546274706276' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/774866546274706276'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/774866546274706276'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/02/bot-noti-mpya-zachakachuliwa.html' title='BoT: Noti mpya zachakachuliwa'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-4142821485986876647</id><published>2011-02-04T16:19:00.002Z</published><updated>2011-02-04T16:20:37.207Z</updated><title type='text'>Mengi amenivunjia heshima - Manji</title><content type='html'>na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;   &lt;br /&gt;MFANYABIASHARA maarufu nchini, Yusuf Manji (35), jana aliieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, kuwa kashfa zilizotolewa na Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP Ltd, Reginald Mengi kuwa yeye ni Fisadi Papa zimemvunjia heshima na kupoteza uaminifu wake mbele ya wabunge.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha Hakimu Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, anayesikiliza kesi hiyo inayovuta hisia za wengi nchini, Aloyce Katemana, alikubali kupokea vielelezo vya hati ya barua ya mwaliko wa Kamati ya Bunge zisizo halisi, jambo ambalo ni kinyume cha sheria.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Manji alitoa nyaraka nane zisizo halisi (Original) ambazo ni mialiko ya shughuli za kiserikali ya ndani na nje ya nchi zilizodai kumtaka awe mgeni rasmi na kutoa hotuba mbalimbali za masuala ya kiuchumi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia alitoa magazeti ya This Day na Kulikoni pamoja na DVD, ambavyo vyote vilipokelewa na mahakama kufanya jumla ya vielelezo vilivyopokelewa kufikia tisa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Manji ambaye jana ilikuwa ni mara yake ya kwanza kupanda kizimbani hapo, alitoa maelezo hayo wakati akitoa ushahidi wake juu ya kesi hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mfanyabiashara alikuwa akitoa ushahidi wake huku akiongozwa na jopo la mawakili maarufu wa kujitegemea nchini: Mabere Marando, Dk. Ringo Tenga, Richard Rweyongeza, Sam Mapande na Beatus Malima.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Manji ambaye anadai alipwe fidia ya sh moja kwa madai ya kukashfiwa na Mengi, aliwasili mahakamani na msafara wa magari mbalimbali likiwemo gari aina ya fuso lilobeba lundo la magazeti ambayo yanadaiwa kuchapisha habari iliyomnukuu Mengi akimkashifu ambayo yaliwasilishwa mahakamani hapo kama kielelezo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika ushahidi wake, Manji alidai Aprili 23-27 mwaka 2009, Mengi kwa kutumia kituo cha televisheni cha ITV, alitoa madai kuwa Manji na wafanyabiashara wengine kuwa ni mafisadi papa, wanahamisha rasilimali za taifa kupeleka nje ya nchi na kwamba wameshiriki kikamilifu katika ufisadi wa ununuzi wa magari ya JWTZ, rada, mradi wa makaa ya mawe wa Mchuchuma, mifuko ya hifadhi ya jamii ya PSPF na NSSF, Dowans na Richmond.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa Manji, Mengi alidai zabuni hizo walizipata kwa rushwa na fedha walizonazo zimetokana na ufisadi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mkanda wa kipindi hicho maalum, ulionyeshwa mahakamani hapo kama kielelezo cha ushahidi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Mheshimiwa hakimu kupitia matamshi hayo ya mdaiwa (Mengi) kwenye kipindi hicho maalum, kwa kweli, kimenivunjia heshima ndani ya familia yangu, wafanyakazi wangu zaidi ya 4,000, wafanyabiashara wenzangu wa ndani na nje ya nchi na jamii iliniona kama mtu mchafu na wabunge wamepoteza imani na mimi kwa ajili ya matamshi hayo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Na kuthibitisha kuwa wabunge hawana imani na mimi hasa wabunge waliokuwa wabunge wa Bunge lilopita….Kamati ya Uchumi ya Bunge, ilinialika kwenye moja ya kikao chao nikatoe hotuba lakini cha ajabu nilivyofika kwenye kikao hicho, kuna baadhi ya wabunge wa kamati hiyo walinikataza kutoa hotuba yangu kwa sababu ni mtu mchafu kwenye jamii na Mengi alikwishanitaja hadharani kuwa mimi ni Fisadi Papa, nililazimika kuondoka kwenye mkutano huo na kurejea nyumbani kwa aibu,” alisema Manji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aliendelea, “Kashfa zilizoelekezwa na mdaiwa kwangu, si za kweli kabisa kwani sijawahi kujihusisha na biashara za rada, Dowans, Richmond, ununuzi wa magari ya jeshi, kuhamisha fedha nchini kuzipeleka nje ya nchi na wala sijawahi kushtakiwa kwa kutoa rushwa ili nipate tenda za serikali na hadi nina umri huu sijawahi kutoa fedha zangu mfukoni kujenga nyumba hata moja hapa nchini wala nje ya nchi…hapa jijini naishi kwenye nyumba ya familia pale Upanga na Marekani kuna nyumba ya familia aliyoiacha marehemu baba yangu Meibou Manji,” alidai Manji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili Marando alipomhoji Manji anatafsri vipi neno Fisadi Papa aliloitwa na Mengi; Manji alijibu kuwa analitafsiri kwamba yeye ni mtu anayekabiliwa na skendo na kwamba papa ni aina ya samaki mkubwa aishie baharini na kukana kwamba yeye siyo samaki aina ya papa bali ni binadamu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakimu Katemana aliahirisha usikilizaji wa kesi hiyo hadi leo asubuhi ambapo Manji ataendelea kutoa ushahidi wake na baadaye kuhojiwa na mawakili wa Mengi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mapema mwaka juzi, Manji alimfungulia kesi ya madai ya kashfa Mengi na kituo cha televisheni cha ITV akitaka amlipe fidia ya shilingi moja kwa madai kuwa alitumia televisheni yake kumkashfu kwa kumuita ‘Fisadi Papa’ na mmoja wa watu wanaopora rasilimali za taifa.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-4142821485986876647?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/4142821485986876647/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=4142821485986876647' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/4142821485986876647'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/4142821485986876647'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/02/mengi-amenivunjia-heshima-manji.html' title='Mengi amenivunjia heshima - Manji'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-6095105816367679009</id><published>2011-02-04T16:19:00.001Z</published><updated>2011-02-04T16:19:48.397Z</updated><title type='text'>DAWASCO yashambuliwa kwa ufisadi Ubungo</title><content type='html'>na Ambrose Jimmy&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;   &lt;br /&gt;WAKAZI wa jimbo la Ubungo na wadau mbalimbali wa maji nchini wamesema ufisadi katika Mamlaka ya Maji Safi na Majitaka Dar es Salaam (DAWASCO) na serikali kupuuza malalamiko ya wananchi ndivyo vinavyokwamisha upatikanaji wa maji kwa wakazi wa jiji la Dar es Salaam.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakazi hao walitoa hitimisho hilo baada ya kujadili kwa kina tatizo la maji katika jimbo la Ubungo kupitia kongamano lililoitishwa na mbunge wa jimbo hilo, John Mnyika, hivi karibuni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa wajumbe wengi waliohudhuria kongamano hilo, vioski vya kuuza maji huchangia kwa kiasi kikubwa tatizo la uhaba wa maji kwa madai kuwa ni biashara ya vigogo wa mamlaka hiyo hasa katika maeneo ya Mbezi, Kimara, Ubungo, Msigani, Saranga, Goba na Manzese.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wajumbe wa kongamano hilo walisisitiza kwamba vigogo hao wa DAWASCO hukata maji kwa muda wa wiki tatu ili wayauze wakisingizia uchakavu wa miundo mbinu. Pia ilielezwa katika kongamano hilo kwamba magari mengi ya kuuzia maji ni ya vigogo wa mamlaka hiyo au watu walio karibu nao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Ufisadi hata kwenye maji ya kunywa?! Ule upendo wa Watanzania wa zamani umeenda wapi?!” alisema mama mmoja huku akiungwa mkono kwa kushangiliwa na wajumbe wengine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo, hakufika mwakilishi yeyote kutoka DAWASCO licha ya mamlaka hiyo kupewa wito na mbunge huyo takriban wiki tatu kabla.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-6095105816367679009?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/6095105816367679009/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=6095105816367679009' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/6095105816367679009'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/6095105816367679009'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/02/dawasco-yashambuliwa-kwa-ufisadi-ubungo.html' title='DAWASCO yashambuliwa kwa ufisadi Ubungo'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-8555205291984452542</id><published>2011-02-04T16:18:00.001Z</published><updated>2011-02-04T16:18:51.697Z</updated><title type='text'>Siri ya Bitchuka kutoka Mlimani Park kwenda Safari Sound</title><content type='html'>Juma Kasesa &lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;   &lt;br /&gt;AHALAN wasahlan mpenzi msomaji wa Jamvi la Kulonga ikiwa ni Ijumaa nyingine tunapokutana Jamvini katika kujadili na kuchambua hili na lile yaliyojiri na yanayotarajiwa kutokea katika tasnia ya sanaa na burudani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika Jamvi letu la leo ningependa kumzungumzia nguli mwingine wa muziki wa dansi ambaye ni mtunzi na mwimbaji wa bendi ya Mlimani Park Orchestra zamani ikijulikana DDC Mlimani Park Sikinde ‘Ngoma ya Ukae’ naye si mwingine ni Hassan Rehani Bitchuka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kubwa ambalo Jamvi hili limepanga kukudadavulia kuhusu Bitchuka ni sababu ipi ilimfanya yeye na kundi la wanamuziki wenzake kuchukua uamuzi wa kuitosa DDC Mlimani Sikinde Ngoma ya Ukae na kwenda kuiasisi bendi ya Orchestra Safari Sound ‘Wanandekule’.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huyu ni mwanamuziki ambaye alizaliwa katika Kijiji Kagunga kilichopo pembezoni mwa Ziwa Tanganyika mkoani Kigoma na kwa mujibu wa wachambuzi wa masuala ya muziki wa dansi Tanzania hakujatokea mwanamuziki aliyevunja rekodi yake ya kuimba sauti kali licha ya uwepo wa kina wa hayati Suleimani Mbwembwe, Nico Zengekala na wengineo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mchango wake ni mkubwa katika medani ya muziki wa dansi kutokana na kutunga nyimbo nyingi zenye kuelimisha na kuburudisha jamii, akiwa ameng’ara katika kila bendi ambayo amewahi kupitia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jamvi la Kulonga linapenda kukufahamisha kuwa nguli huyu wa muziki wa dansi alisoma katika Shule ya Msingi Kipampa Ujiji, mkoani Kigoma na kuishia darasa la sita kutokana na kujikita zaidi katika uhuni wa utotoni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uwezo wa sauti yake kali ya kuimba na yenye kuleta hisia kwa msikilizaji ni kipaji alichojaaliwa na Mungu kikiongezewa na mafunzo ya madrasa ambako alikuwa msomaji mzuri wa Kurani na kughani kaswida hali ambayo ndiyo chachu ya mafanikio ya kuwa na sauti kali hadi leo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bitchuka ambaye katika familia yao yeye ndiye mwanamuziki pekee alianza shughuli za muziki mwaka 1972 katika bendi ya Nationality iliyokuwa ikifanya maonyesho yake mkoani Arusha kabla ya bendi ya Jumuiya ya Wazazi Tanzanaia JUWATA Jazz kuja jijini humo na kumuona akiwa na bendi na kuvutiwa naye.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jamvi hili linakujuza kuwa nguli huyu alijiunga na Juwata mwaka 1973 baada ya kufanyiwa majaribio ‘Ikiwa kama Hunitaki’ na kuimba sauti kali iliyowasisimua wakongwe aliowakuta katika bendi hiyo Joseph Lusungu, Abel Baltazar, Kiza Husein, Ahmed Omary, Mabruk Khalfan, Saidi Mabera, Juma Kitambi na Muhidin Maalim Gurumo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya kufuzu majaribio ya kuimba nyimbo yake ya kwanza kutunga ilikuwa ni ‘Msondo wa NUTA’ ambako pia aliweza kutunga na kuimba nyimbo kadhaa ambazo ni ‘Mpenzi Zarina’ ambalo ni jina la mkewe, ‘Dada Rehema’, ‘Dada Asha’ akishirikiana na wakongwe hao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kutokana na maudhi aliyokuwa akiyapata kutoka ndani ya bendi hiyo mwaka 1980 aliamua kujitoa na kwenda kuiasisi DDC Mlimani Park ambako alishirikiana na Abel Baltazar, Joseph Mulenga, Michael Enock ‘King Michael’ na wengineo ambako wimbo wake wa kwanza kutunga ulikuwa ni ‘Duniani Kuna Mambo’, ‘Wafanyakazi’ na ‘Mume wangu Jerry’.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jamvi la Kulonga linakujuza kuwa nyimbo hizo zilimng’arisha Bitchuka na kupata mafanikio katika medani ya muziki huo ndani ya ukanda wa Afrika Mashariki na Kati ambako hadi leo nyimbo zake zinaendelea kupigwa kabla ya kutunga wimbo ‘Nawashukuru Wazazi Wangu’ ambao ulimuongezea umaarufu zaidi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya kukudadavulia kwa kifupi historia fupi ya nguli huyo turudi katika hoja ya Jamvi letu la leo ambayo nataka kukudadavulia kwanini Bitchuka licha kupata mafanikio akiwa na bendi hiyo aliamua kujitoa 1990 akiwa na wenzake na kwenda kuasisi Orchestra Safari Sound.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aliamua kujitoa Mlimani Park akiwa na Abel Baltazar, Muhidin Maalim Gurumo, Charles Ngosha, Kassim Rashid ‘Kizunga’, ‘Ally Makunguru’ baada ya kiongozi mmoja wa bendi hiyo aliyekuwa akisimamia suala la nidhamu marehemu Mpoto kuwatusi kuwa kama wameshindwa kuimba na kutunga atawafukuza kazi, kauli ambayo iliwaudhi wanamuziki hao wakiongozwa na Bitchuka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jamvi la Kulonga linakujuza wakati huo Bitchuka alikuwa akilipwa mshahara wa shilingi 90,000 lakini kibaya zaidi Mpoto alitishia kushusha mishahara yao kwakile ilichoelezwa ni kubana matumizi ya bendi, hali ambayo ilimfanya yeye na wenzake kufanya uamuzi wa kwenda kuasisi Safari Sound na wimbo wake wa kwanza kutunga ulikuwa ni ‘Chatu Mkali’ akafuatia na ‘Shukrani kwa Mjomba’, ‘Pole Kaka Mudi’ na ‘Wajifanya Wajua’.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nyimbo hizo zilimpandisha chati zaidi kiasi cha DDC Mlimani Park kuamua kumshawishi kurejea kundini mwaka 1992 ambako alirejea na kutunga na kuimba nyingi zenye mafunzo na kuburudisha kwa jamii kabla ya viongozi wa JUWATA kumchukua tena mwaka 1994 hadi mwaka 2003 alipoamua kurudi Mlimani Park ambako yupo hadi sasa akiwa na kina Shabani Dede, Abdalah Hemba, Joseph Bernad na wengineo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huyu ndiye Hassan Bitchuka ambaye ni shabiki wa kutupwa wa mabingwa wa soka Tanzania Bara, Wekundu wa Msimbazi (Simba) ambaye Jamvi la Kulonga lilitaka kukujuza nini hasa kilimfanya kujitoa Sikinde na wenzake na kwenda kuiasisi Orchestra Safari Sound.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa leo nalikunja Jamvi hadi Ijumaa ijayo nikikutakia wikendi njema tukutane Jamvini kama ilivyo ada yetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tuwasiliane kwa barua pepe: &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;jkasesa@hotmail.com, simu 0715-629298&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-8555205291984452542?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/8555205291984452542/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=8555205291984452542' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/8555205291984452542'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/8555205291984452542'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/02/siri-ya-bitchuka-kutoka-mlimani-park.html' title='Siri ya Bitchuka kutoka Mlimani Park kwenda Safari Sound'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-6710383952861488557</id><published>2011-02-04T16:17:00.001Z</published><updated>2011-02-04T16:17:56.745Z</updated><title type='text'>Kagasheki agawa Katiba jimboni kwake</title><content type='html'>na Asha Bani, Bukoba&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;   &lt;br /&gt;MBUNGE wa Bukoba mjini Balozi Khamis Kagasheki (CCM), amewataka wananchi kuisoma na kuijua Katiba ya zamani ili utakapofika wakati wa mabadiliko wajue wanachotakiwa kufanya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akizungumza na waandishi wa habari mjini Bukoba jana baada ya kukabidhi nakala 50 za Katiba kwa Meya wa mji huu, mbunge huyo alisema hiyo ni moja ya ahadi zake kwa wananchi wakati wa kampeni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Balozi Kagasheki aliahidi kugawa nakala 100 za Katiba na kwamba ameanza kutimiza ahadi hiyo ili wapigakura wa Bukoba mjini waisome na kuifahamu vema Katiba hiyo kabla ya kuifanyia mabadiliko.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Ukweli ni kwamba watu wengi hawaitambui hata hii Katiba iliyopo ndiyo maana nimewaleteeni muisome kabla ya kudai mabadiliko ili mchakato wa kukusanya maoni utakapoanza mjue pa kuanzia wapi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Mabadiliko ya Katiba kwa sasa hayaepukiki… iwe kwa upya au kufanyiwa marekebisho lakini ni lazima kuwepo na mabadiliko katika Katiba ili kukidhi haja za wananchi wengi,” alisisitiza mbunge huyo ambaye ni Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naye Meya wa jiji hilo Dk. Anatory Amani alisema kwa kuanza atagawa nakala za Katiba hiyo kwa madiwani wote bila kujali itikadi za vyama na zilizosalia zitapelekwa kwa wenyeviti wa serikali za mtaa.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-6710383952861488557?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/6710383952861488557/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=6710383952861488557' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/6710383952861488557'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/6710383952861488557'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/02/kagasheki-agawa-katiba-jimboni-kwake.html' title='Kagasheki agawa Katiba jimboni kwake'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-837707802189171704</id><published>2011-02-04T16:16:00.000Z</published><updated>2011-02-04T16:17:02.595Z</updated><title type='text'>Chiligati apata wakati mgumu Maswa</title><content type='html'>na Samwel Mwanga, Maswa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;   &lt;br /&gt;HALI si shwari ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Wilaya ya Maswa, Mkoa wa Simiyu, baada ya viongozi wa ngazi ya juu wa chama hicho wilayani humo kutakiwa kuachia ngazi kutokana na kuendeleza migogoro ya mara kwa mara na kukidhoofisha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hayo yamejitokeza juzi katika kikao cha Kamati ya Siasa ya wilaya hiyo kilichohudhuriwa pia na viongozi wa ngazi za juu wa Mkoa wa Shinyanga chini ya Katibu Mwenezi wa CCM Taifa, Kapteni John Chiligati, kilichofanyika katika ukumbi ofisi za chama hicho, mjini Maswa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Habari za kuaminika kutoka ndani ya kikao, zilisema kuwa Chiligati ambaye pia ni mlezi wa CCM Mkoa wa Shinyanga, alitaka kufahamu kilichosababisha wakakosa viti vya ubunge katika majimbo ya Maswa Mashariki na Maswa Magharibi katika uchaguzi mkuu uliopita.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ndipo aliposimama Katibu Mwenezi wa CCM Wilaya ya Maswa, Jeremiah Shigalla na kueleza kwamba kulikuwa na usaliti uliofanywa na baadhi ya watendaji wa chama hicho na wanachama kwa kukiunga mkono Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), hususan Katibu wa UWT wilayani humo, Nuru Mselemo na hivyo kupendekeza atimuliwe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia waliendelea kumtupia lawama Mselemo kuwa ndiye anaendeleza migogoro ndani ya chama hicho ambaye anatuhumiwa kuchakachua jina la Pili Lameck, katika nafasi ya udiwani wa viti maalum ambaye alishindwa kupata nafasi hiyo licha ya kuongoza kwa kupata kura nyingi katika mkutano mkuu wa UWT wilayani humo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati tuhuma hizo zikielekezwa kwa Katibu huyo wa UWT baadhi ya wajumbe walipinga maelezo hayo akiwemo Katibu wa CCM wa Mkoa wa Shinyanga, Bakari Mbonde, ambaye alieleza wazi kuwa migogoro ndani ya chama hicho wilayani humo, inasababishwa na Mwenyekiti wa CCM, Peter Bunyongoli, pamoja na Katibu Mwenezi, Jeremiah Shigala, hivyo kupendekeza waondolewe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Baada ya kumtuhumu kwa muda mrefu Mselemu, wajumbe wengine tulikataa kwani tunajua chanzo cha wananchi na wanachama kukichukia chama chetu ni hawa viongozi wawili wa wilaya ambao ni Mwenyekiti, Bunyongoli na Katibu Mwenezi, Shigala,” alisema mzee Bonde.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Walisema viongozi hao wamekigeuza chama kama kikundi cha watu binafsi, jambo ambalo limezua mgawanyiko mkubwa ndani ya chama hata kushindwa kufanya kazi na makatibu wa CCM wanaoletwa wilayani humo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo Chiligati alipata wakati mgumu kujibu sababu hizo, lakini aliahidi kwamba angeyachukua mapendekezo hayo na kuyafikisha katika ngazi ya taifa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika hatua nyingine, Chiligati alishindwa kuhutubia mkutano wa hadhara uliondaliwa na chama hicho katika viwanja wa MADECO kutokana na wananchi kutohudhuria mkutano huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chiligati ambaye alipaswa kuhutubia mkutano huo majira ya saa 10:00 jioni kulingana na matangazo yaliyokuwa yakitolewa kupitia vipaza sauti kwenye gari lililozunguka mitaa yote ya mji wa Maswa, hakuna watu waliojitokeza kuhudhuria.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ilipofika majira ya saa 11.56 jioni ambapo mwandishi wa habari hizi alikuwepo katika viwanja hivyo, kulikuwa na watu wanne tu wakiwa eneo la mkutano, huku wakilalamika kutokuwa na taarifa ya mkutano huo..&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Shinyanga, Hamis Mgeja alipotafutwa kuzungumzia kitendo cha Chiligati kutofika eneo la mkutano alisema kuwa walipata taarifa ya misiba mitatu, hivyo watu hawakuweza kuhudhuria, ndiyo maana waliahirisha.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-837707802189171704?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/837707802189171704/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=837707802189171704' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/837707802189171704'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/837707802189171704'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/02/chiligati-apata-wakati-mgumu-maswa.html' title='Chiligati apata wakati mgumu Maswa'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-8826889358720588676</id><published>2011-02-04T16:15:00.001Z</published><updated>2011-02-04T16:15:46.810Z</updated><title type='text'>Simba yaipumulia Yanga</title><content type='html'>na Mwandishi wetu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;   &lt;br /&gt;MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba jana waliiadhibu African Lyon kwa mabao 3-0 katika mchezo wa ligi hiyo uliopigwa Uwanja wa Uhuru, jijini Dar es Salaam, jana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa ushindi huo, Simba imefikisha pointi 30 ndani ya michezo 13 hivyo kuipumulia Yanga ambayo iko kileleni kwa pointi 31 na mchezo mmoja mbele.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Simba waliouanza mchezo huo kwa kasi ya aina yake, walifanikiwa kupata bao la kwanza dakika ya tano lililofungwa na Amri Kiemba kutokana na kona ya Haruna Shamte.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kabla ya bao hilo, kipa wa African Lyon Noel Lucas aliumia katika harakati za kuokoa hatari langoni mwake, hali ambayo ilifanya mchezo huo kusimama kwa dakika 15.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Simba waliendelea kufanya mashambulizi langoni mwa Lyon, ambako dakika ya 18 Mussa Mgosi alipiga shuti karibu na lango la Lyon lakini mpira ulipaa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lyon ilijibu mapigo dakika ya 29, baada ya shuti la Mohamed Samata kupaa juu ya lango la Simba.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika dakika ya 39, Rashid Gumbo alipiga shuti kali langoni mwa Lyon, lakini kipa Lucas alipangua na kuwa kona.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hadi mwamuzi wa mchezo huo, Oden Mbaga, anapuliza filimbi ya mapumziko, Simba walikuwa mbele kwa bao 1-0.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kipindi cha pili, Simba walirejea uwanjani kwa nguvu na kufanikiwa kufunga bao la pili dakika ya 46 na mfungaji akiwa Mbwana Samata aliyeambaa na mpira kutoka katikati ya uwanja na kufumua shuti kali lililojaa wavuni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya bao hilo, Simba waliendelea kulisakama lango la Lyon ambapo wapinzani wao kila walipojaribu kusaka namna ya kuliona lango la wana Msimbazi mabeki wa timu hiyo walikuwa makini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Samata alifunga bao la tatu katika dakika ya 82 baada ya kazi nzuri ya Haruna Shamte.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika dakika ya 83, mshambuliaji wa Simba Ahmed Shiboli alipiga shuti kali karibu na lango la Lyon baada ya pasi safi ya Mohamed Banka, lakini likapaa juu ya lango.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dakika ya 85, Mohamed Banka alikosa bao la wazi baada ya kazi nzuri ya Juma Jabu aliyeambaa na mpira kutoka upande wa kaskazini mwa uwanja wa Uhuru. Hivyo hadi mwisho wa mchezo Simba iliibuka kidedea kwa mabao 3-0.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Simba iliwakilishwa na Ally Mustafa, Haruna Shamte, Juma Jabu, Meshack Abel, Kelvin Abel, Jerry Santo, Rashid Gumbo/Aziz Gilla, Patrick Ochan, Mussa Mgosi/Ahmed Shiboli, Mbwana Samata na Amri Kiemba/Mohamed Banka. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;African Lyon iliwakilishwa na Noel Lucas, Rajab Zahir/Stephano Nkomola, Hamis Shengo/Haji Dudu, Zubery Ubwa, Bakari Omar, Hamis Yusuf, Hamis Thabit/Samuel Ngassa, Mohamed Samata, Adam Kingwande, Idrissa Rashid na Sunday Bakari.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwisho&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-8826889358720588676?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/8826889358720588676/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=8826889358720588676' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/8826889358720588676'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/8826889358720588676'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/02/simba-yaipumulia-yanga.html' title='Simba yaipumulia Yanga'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-7571762471705135467</id><published>2011-01-24T11:07:00.001Z</published><updated>2011-01-24T11:07:35.680Z</updated><title type='text'>CCM sasa balaa</title><content type='html'>•  Makundi ya chuki, fitina yaibuka upya&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;na Waandishi wetu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;HALI ya mambo ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) si shwari na huenda makada wake wakajiengua au kufukuzwa ndani ya chama hicho, Tanzania Daima Jumapili limedokezwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hatua hiyo inatokana na kuibuka upya kwa makundi yanayohasimiana ambayo sasa yanadaiwa kufikia hatua mbaya zaidi kuliko ilivyowahi kutokea huko nyuma.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tanzania Daima Jumapili limedokezwa kuwa makundi hayo hivi sasa yanashutumiana kwa kuendesha kampeni za chini kwa chini kuhakikisha baadhi ya watu wanapoteza madaraka yako ndani ya chama na serikalini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Miongoni mwa watu wanaoonekana kuwa katika wakati mgumu ni Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta na Naibu Waziri wa Ujenzi, Dk. Harrison Mwakyembe, ambao wameonekana kukosoa hadharani uamuzi wa wizara nyingine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sitta na Mwakyembe walipinga hatua ya Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja, kutangaza kuwa serikali itailipa Kampuni ya Dowans sh bilioni 94 baada ya kushinda kesi waliyoifungua dhidi ya Shirika la Umeme (TANESCO).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) ulimtaka Rais Jakaya Kikwete achukue maamuzi magumu ya kuwashughulikia makada wa CCM wanaokiyumbisha chama na serikali kiasi cha kuifanya ikose imani kwa wananchi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo kikao cha Kamati Kuu ya CCM (CC) kilichoketi juzi kiliweka bayana kuwa hatima ya Sitta na Mwakyembe ipo serikalini na Rais Jakaya Kikwete ndiye atakayejua mustakabali wa viongozi hao waliojizolea umaarufu kwa kupinga ufisadi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, jana alijitosa kutuliza upepo mbaya ulioanza kuvuma ndani ya chama hicho, kwa kuwaonya wabunge wake kuacha malumbano na serikali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ingawa hakuwataja makada wanaolumbana hadharani, lakini mazingira yanaonyesha anawalenga Sitta na Mwakyembe, ambao wameweka wazi msimamo wao juu ya kulipwa fidia kwa Kampuni ya Dowans.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kauli hiyo ya Pinda, inachukuliwa ni kuwafunga kufuli Sitta, Mwakyembe na makada wengine wa chama hicho walio mstari wa mbele kupinga malipo hayo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Onyo hilo alilitoa jana kwenye ufunguzi wa semina ya wabunge wa CCM, iliyofanyika katika ukumbi wa Ubungo Plaza, jijini Dar es Salaam, ambapo alisema malumbano yanayoendelea kujitokeza miongoni mwa wabunge wa CCM si ishara nzuri kwa wananchi dhidi ya serikali yao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pinda alisema kuwa umefika wakati kwa wabunge hao kutoa maoni yao ya wazi bila jazba, hasa wakati wa mijadala ya kitaifa ili kujiepusha na kauli zinazoweza kulivuruga taifa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Chama chetu na serikali haiwezi kuwa imara kama wabunge hamtakuwa makini na kauli mnazozitoa kwa umma,” alisema Pinda.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pinda alisema Bunge la tisa lilitawaliwa zaidi na wapinzani kwa sababu wabunge wa CCM hawakuitumia nafasi hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aliongeza kuwa wapinzani walionekana kwa wananchi kuwa ndio wenye uchungu na masilahi ya taifa kuliko wa CCM, jambo ambalo kwa kiasi kikubwa lilikiangusha chama tawala.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Tumieni vizuri kipindi cha maswali ya papo kwa hapo, kwa Waziri Mkuu, lakini Bunge lililopita wapinzani walifanikiwa kutumia nafasi hiyo na wananchi wakapima uwezo wao…kumbukeni kuhudhuria vikao vya wabunge wote ili kujua msimamo wa pamoja kuhusu utendaji wa serikali,” alisema.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pinda alisema kuwa wabunge na mawaziri wanapaswa kuhudhuria vikao vya Bunge na kuchangia hoja kwa kuzingatia kanuni za Bunge.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alibainisha kuwa kipimo sahihi na uwezo wa mbunge ni uchangiaji wa mijadala ya kitaifa na wananchi hupima uwezo huo na kwa chama kilichompa fursa ya kuchaguliwa na wananchi katika Uchaguzi Mkuu uliopita.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pinda alisema kukosa umoja miongoni mwao ni hatua ya kukifanya chama pamoja na serikali kuonekana havifanyi kazi ipasavyo kama ilivyokusudiwa na wananchi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema vitendo vya kuchangia mijadala kwa jazba bila kujali misingi ya umoja na mshikamano ni hatari kwa chama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pinda, alisema ni lazima wabunge wote wa CCM wawe kitu kimoja na kutambua kuwa chama hicho ndicho kinachoongoza dola.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema madhumuni ya semina hiyo ni kuwafanya wabunge hao wa CCM kutambua wajibu wao hasa wanapokuwa ndani na nje ya Bunge.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aliongeza kuwa leo Rais Jakaya Kikwete anatarajiwa kuhudhuria semina hiyo na kusikiliza mijadala ya wabunge pamoja na mada ya wajibu wa wabunge wa CCM katika mfumo wa vyama vingi, ambayo itawasilishwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Pius Msekwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Awali akimkaribisha Waziri Mkuu kufungua semina hiyo, Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara na Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), George Mkuchika, alisema wabunge wa CCM hawana sababu ya kuwa wanyonge kwa sababu chama chao ndicho kinachoshikilia dola.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema umoja ni muhimu kuimarishwa ndani ya chama na kuwataka kujipanga sawasawa katika Bunge, ili kulifanya liwe rahisi kwa uchangiaji wao wa mijadala itakayowasilishwa au kuibuka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Umoja ndani ya chama ni muhimu tuuimarishe na tunatakiwa kujipanga hadi ndani ya Bunge na kuchangia mijadala itakayowasilishwa ili kulinda na kutetea masilahi ya wananchi wote wa Tanzania,” alisema Mkuchika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema mbunge ni haki yake kusema lakini ni muhimu kukumbuka kuna mahali pengine hapaswi kuropoka na kuwataka kutambua umuhimu wa kuendelea kuilinda na kuihami CCM.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Semina hiyo ya siku tatu ambayo itafikia tamati kesho, imehudhuriwa na wabunge wote 260 wa Chama Cha Mpinduzi (CCM).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mkoani Dodoma, Katibu Mkuu wa CCM, Yusuph Makamba, ametakiwa kujitafakari upya na ikiwezekana aachie ngazi ili awapishe wengine waongoze.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kauli hiyo imetolewa na mjumbe wa Baraza Kuu la UVCCM, kutoka mkoani Mara, Anthony Mtaka, wakati wa kikao cha viongozi vijana wa chama hicho.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema umefika wakati kwa Makamba na viongozi wenzake wa sekretarieti ya chama hicho kutafakari wanavyomsaidia Rais Jakaya Kikwete.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Nawataka makada wa CCM akiwamo Makamba waeleze wamemsaidiaje rais katika utendaji wao wa kazi za chama na wajikosoe na kama haitoshi wajitoe,” alisema.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mtaka alisema viongozi hao wakijikosoa na kubaini upungufu wao wanaweza kumshukuru Rais Kikwete kwa kuwapa nyadhifa hizo na kumwambia wanajitoa kwa sababu ya kushindwa kuwajibika ipasavyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema kwa kufanya hivyo watakuwa wamemsaidia sana rais katika kurahisha utendaji wake wa kazi, kwani ndani ya chama kuna Wana CCM wengi wanaoweza kushika nyadhifa hizo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naye Mwenyekiti wa wenyeviti wote (UVCCM) taifa, ambaye pia ni Mwenyekiti wa umoja huo mkoani Mbeya, Fadhili Ngairo, amesema ndani ya CCM kuna maadui wakubwa watatu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema adui wa kwanza yumo ndani ya chama hicho na ambao wameingia kwa kadi na masilahi yao binafsi na si kwa moyo, ambao wanafanya kazi ya kukihujumu chama na wamejipanga kugombea urais mwaka 2015.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema maadui wa pili wako nje ya chama, ambao ni wanaharakati na wapinzani, wao wamekuwa wakifanya kazi ya kuchochea na kuendeleza maandamano kwa lengo la kuvuruga amani ya nchi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alibainisha kuwa maadui wa tatu wako nje ya nchi, ambao amewaita kuwa ni mabeberu wanaofanya kazi ya kuingia na kuvuruga nchi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema mabeberu hawa wanawatumia Wana CCM ambao ni viongozi ndani ya chama kuvuruga nchi kwa njia ya fedha na kutoa misaada mbalimbali ambayo inawanufaisha wao na wajanja wachache.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-7571762471705135467?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/7571762471705135467/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=7571762471705135467' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/7571762471705135467'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/7571762471705135467'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/01/ccm-sasa-balaa.html' title='CCM sasa balaa'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-8431646975595816988</id><published>2011-01-24T11:06:00.000Z</published><updated>2011-01-24T11:07:00.987Z</updated><title type='text'>CCM, udini na kisa cha mfalme na nyuki</title><content type='html'>Prudence Karugendo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;RIWAYA ni habari ya kufikirika iliyo katika tungo za kubuni, lakini mara nyingi riwaya hueleza visa vilivyo sawa na matukio ya kweli katika jamii za wanadamu. Kisa kimojawapo katika riwaya ni cha mfalme na nyuki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mfalme mmoja aliyependa kutukuzwa sana na watu wake bila yeye kuutumia utukufu wake kuwafanyia watu wake mambo yaliyolingana na utukufu waliokuwa wanampatia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ilifikia wakati akajiangamiza mwenyewe kwa ulevi wake uliosababishwa na tabia yake ya kupenda utukufu kupita kiasi na kutaka abaki yeye tu aliyetukuka milele yote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kilitokea kipindi himaya ya mfalme huyo ikakumbwa na matatizo yatokanayo na nguvu za asili, ukame na njaa, watu wakaanza kufa kwa njaa, utukufu wake ukaanza kupungua na kuelekea kupotea kabisa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini badala ya mfalme yule kufanya jitihada za kuwatafutia watu wake chakula yeye akawa anahangaika kuwatafuta wachawi waliosababisha hali ile kutokea, imani yake ilikuwa kwamba ile ni hali iliyosababishwa na wabaya wake ili atolewe kwenye kiti cha enzi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwahiyo jitihada zikaanza, siyo za kuwatafutia watu wake chakula, bali za kuidhibiti hali ile ambayo kwake ilikuwa kama uasi wa makusudi, iliyoanza kujitokeza ikichochewa na hatari ya watu kufa kwa njaa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akiwa anajitahidi kuurudisha juu utukufu wake ulioanza kuporomoka kwa kasi. Kwake madaraka na utukufu vilikuwa muhimu kuliko uhai wa watu aliowatawala.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ndipo mfalme akapata ushauri kutoka kwa wapambe wake na kuukubali, akashauriwa itafutwe mizinga ya nyuki kwa wingi kadiri ilivyowezekana ili ikazungushwe katika himaya nzima.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alikubaliana na wapambe wake kuwa wakati ukifika mizinga ile ikafunguliwe na nyuki waanze kuwashambulia watu, hususan wabaya wa mfalme, waliokuwa wakiaminika kwamba ndio waliokuwa wanachochea uasi dhidi ya utukufu wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mawazo ya mfalme yule mlevi wa utukufu yalikuwa kwamba kwa nguvu za utukufu wake angeweza kuwaamrisha nyuki kwa kuwaambia acha nao wakatii amri.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Matokeo yake nyuki walipofunguliwa wakaanza mara moja kuwashambulia kwa hasira wapambe wa mfalme na kuwaangamiza wote, baada ya hapo nyuki wakabisha hodi Ikulu kwa mfalme na kumuangamiza naye.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hawakumgusa mtu mwingine yeyote kwenye himaya ile. Kwa ujinga na ulevi wa madaraka aliokuwa nao mfalme wao, watu wa himaya ile wakawa wamepata ukombozi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hiyo ni riwaya, lakini hata hivyo kisa kizima tunaweza kukifananisha na yanayotokea nchini mwetu kwa sasa. Chama tawala, CCM, baada ya kubanwa na upinzani kila upande.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Upinzani ambao kwa muda mrefu kilikuwa hakikuuzoea, kwa kuwa ni chama ambacho hakikutokana na ushindani wa kisiasa, sasa kimeanza kufanya viroja!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mfano tuliyaona yaliyotokea kwenye kampeni za uchaguzi ulioisha. Baada ya CCM kupelekwa mchakamchaka kwa kasi ambayo chama hicho hakikuizoea wala kuitarajia, mara tukasikia linatoka tamko la ajabu ambalo ni la kwanza tangu tupate uhuru.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tamko hilo ni lile la vyombo vya ulinzi na usalama kuingilia mchakato wa kisiasa. Vyombo hivyo vikatoa vitisho kwa kadri vilivyoweza bila kuweka bayana kiini cha vitisho hivyo, huku CCM ikiwa nyuma ikitetea kila kitu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni mwendawazimu peke yake anayeweza kuamini kuwa zile ni juhudi binafsi za vyombo vile bila maelekezo kutoka kwingine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uchaguzi ukafanyika katika mazingira ya uchakachuaji wa kutisha, mshindi akatangazwa kwa mabavu kuwa ni CCM. Baada ya hapo CCM ikatulia ikiamini kwamba kazi imekwisha, ikiwa imesahau kwamba mwisho wa harakati moja ni mwanzo wa harakati inayofuata.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chama kikuu cha upinzani, CHADEMA, kwa uerevu wa historia walio nao makada wake kwamba Roma haikujengwa kwa siku moja, kikaendelea kuwasha moto kikiwa kimeiteka nchi nzima kiasi ambacho tunaweza kusema kwa kimombo kwamba “CHADEMA is now reigning though not ruling”, (CHADEMA inaongoza hata kama haitawali).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hilo limeichanganya CCM na hivyo chama hicho kuamua kubuni njia mpya za kukabiliana na upinzani wa CHADEMA.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ikumbukwe kwamba CCM ni chama kilicho na mbinu kongwe za kuukandamiza upinzani, iwe ndani ya chama chenyewe au nje yake. Kama nilivyosema hiki ni chama ambacho hakikuzoea upinzani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Niseme hakiujui upinzani kwa vile hakikutokana na ushindani wa kisiasa. Hakizijui siasa za ushindani. Ni sawa na mtoto aliyelelewa kwa deko.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ndiyo maana chama hicho kimeona mbinu inayokifaa kwa sasa ni ile mbinu chafu ambayo kimekuwa kikiitumia muda wote kuwanyoosha wanachama wake kiliowaona kuwa wanakisumbua, tena usumbufu wenyewe ukiwa ni wa kukitaka chama kuzingatia maadili yake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbinu ambayo imekuwa ikitumiwa na CCM ni ya kuwapachika sifa mbaya waadilifu hao, si mwenzetu huyo, na baabaye kuwavua uraia! Na kwa vile wengi wa makada wanaokifanya chama hicho kikatoka kwenye misingi yake ya maadili ni wale walio wazito katika kujenga hoja zinazoeleweka na kushawishi, kinachowawia chepesi ni fitina za fulani na fulani wavuliwe uraia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ndipo tukashuhudia makada kadhaa wa chama hicho wakivuliwa uraia katika mazingira ya ajabu ajabu, lakini lengo kuu likiwa ni la kuwanyamazisha waadilifu hao wachache.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini kwa vile mbinu hiyo ya kuwavua uraia wale wanaotokea kuukumbatia uadilifu haiwezi kutumika kwa chama kizima cha siasa kinachotanguliza uadilifu kama mwongozo wake kisiasa, kama vile kusema makada wote, wanachama na wapenzi wa CHADEMA, kwa mfano, wavuliwe uraia, ndipo zikatengenezwa mbinu mbadala za ukabila na udini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mfano tuliona NCCR- Mageuzi mwaka 1995 kikidaiwa kwamba ni chama cha kikabila, cha Wachaga, ingawa ukweli ni kwamba chama hicho muasisi wake ni Mjaluo kutoka mkoa wa Mara.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baadaye kikafuata Chama cha CUF, tukaelezwa ni chama cha kidini, cha Kiislamu na cha kikabila, cha Wapemba, wakati ukweli ni kwamba muasisi wa chama kile ni Mkristo na Mnyamwezi wa Tabora.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Cha ajabu sasa hivi chama hicho kilichodaiwa ni cha kidini kimefunga ndoa rasmi na chama tawala kule Visiwani na ndoa tunayoweza kuiita ya mkeka huku Bara, ili kuendesha serikali pamoja bila CCM kutueleza ule udini wa mwenzake huyo umeishia wapi!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hizo zote ni propaganda chafu za kisiasa ambazo pasipo kuziendea kwa umakini zinaweza kumfanya mtu asahau hata jinsia yake. Mfano zinaweza kuanzishwa propaganda kwamba wanawake wamezidi kudai hiki na kile.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kila wakati wanadai, kumbe katika madai hayo yamo pia yanayowagusa wanaume, lakini kwa vile propaganda zimewalenga wanawake, inaweza ikatokea hata wanaume wanaoguswa na madai hayo wakajiona nao ni wanawake!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sasa hivi Chama Cha Mapinduzi kimeanzisha propaganda maalumu kwa ajili ya kukabiliana na nguvu za CHADEMA. Naweza kusema kwamba propaganda hizi ni za kijinga kwa sababu mbali na kuwa chafu pia ni hatari hata kwa CCM yenyewe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni kwamba eti Chama cha Demokrasia na Maendeleo kina ajenda ya udini! Sielewi ni udini gani unaosemwa ndani ya CHADEMA, sijui ni Uislamu au Ukristo. Watoa hoja hawafafanui vizuri.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nikiangalia naona chama hicho kimesheheni watu wa dini zote, na kwa vile CCM wanaelewa kuwa wanachokisema ni uongo inawawia vigumu kututamkia kuwa udini unaosemwa ni huu. Hiyo inabaki ni mikakati ya “Divide and rule”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini hata hivyo propaganda hizi ni chafu na hatari, sawa na ushauri wa kuleta nyuki ili wawaangamize wabaya wa mfalme, zinalenga kuifanya CHADEMA ionekane ina udini, sana sana Ukristo, ingawa Ukristo pekee ni vigumu kuuita udini kutokana na kugawanyika katika madhehebu mbalimbali mengi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;CCM hawajatamka ni udini gani isipokuwa tunasoma tu sura zao, ingawa baadaye wanaweza wakageuka kwa vile wana kauli zinazokwenda na upepo kwa maana ya kauli zao kutokuwa na mizizi ya ukweli.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hebu tuangalie orodha hii ya wabunge wa CHADEMA halafu tuutafakari udini wa chama hicho: Sabrina Mlasi, Zitto Kabwe, Said Arfi, Maulida Kommu, Abubakary Akonaay, Mariam Msabaha, Chiku Abwao, Raya Suleiman, Mwanamrisho Abama, na Muhonga Said Ruhanywa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hao ni baadhi ya wabunge wa CHADEMA kutoka katika madhehebu ya Kiislamu, waliobaki ndio wanaotoka katika madhehebu mengine zaidi ya 100. Hivyo udini uko wapi na ni upi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tofauti na ilivyo katika CCM kwa mfano, ambako Mwenyekiti wa chama ni Mwislamu, tena akafanya chini juu kuhakikisha Mkristo aliyekuwa Katibu Mkuu anaondoka kwenye nafasi hiyo na yeye kumteua Mwislamu mwenzake kushika nafasi hiyo. CHADEMA Mwenyekiti ni Mlutheri na Katibu Mkuu ni Mkatoliki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hawa ni watu wa madhehebu mawili tofauti, kama ni kusali kila mmoja anakwenda kwenye nyumba ya ibada iliyo tofauti na ya mwenzake, kinyume na Mwenyekiti na Katibu Mkuu wa CCM wanaosali kwenye nyumba moja ya ibada, msikitini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Itakuwa ni ujinga kuuangalia udini katika CHADEMA, chama ambacho tabaka lake la juu linaonyesha mchanganyiko wa madhehebu na kuacha kuutazama udini katika chama ambacho tabaka lake la juu linajihakikisha ni la madhehebu ya aina moja tu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini hata hivyo hilo la udini katika CHADEMA limeibuliwa baada ya kukiona chama hicho kimeanza kunguruma nchi nzima. Mwanzoni tuliambiwa kuwa ni chama cha kikabila, Wachagga, kwa vile muasisi wake anatoka katika kabila hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini CCM hakijawahi kuitwa chama cha Wazanaki kutokana na Baba wa Taifa, muasisi wake, kutoka katika kabila hilo na ukweli ni kwamba bado mpaka sasa wapo makada wengi wa chama hicho wanaotoka katika kabila hilo dogo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tukirudi nyuma, wakati Rais Kikwete alipopendekezwa kwa mara ya kwanza na chama chake kuwa mgombea urais, viongozi wa dini mbalimbali, kwa kujua au kutokujua walichokuwa wakikifanya, waliitisha kongamano la kumuunga mkono katika viwanja vya Jangwani, jijini Dar es Salaam.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lengo lilikuwa kuwakatisha tamaa wagombea urais wengine kwa madai ya kwamba Kikwete lilikuwa ni chaguo la Mungu. Je, hawa mafundi wa kuangalia udini walikuwa wapi wakati huo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ilikuwaje wasione udini ulivyokipamba Chama Cha Mapinduzi na kukiwezesha kupata kilichoitwa ushindi wa kimbunga?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Maaskofu walioona kuwa Kikwete ni chaguo la Mungu mwaka 1995 sasa hivi wanaona vingine, maana hata Mwenyezi Mungu aliumba malaika wengine wakageuka mashetani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mauaji ya Arusha, maaskofu wamelaani, wasingekosa kufanya hivyo kwa vile eti walishatamka kwamba Kikwete ni chaguo la Mungu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inawezekana hapo ndipo CCM inapouona udini! Lakini katika mauaji hayo ya kinyama mtu wa kwanza kupigwa risasi alikuwa ni Mwislamu. Kwa hiyo CCM watueleze, maaskofu wanaingia hata misikitini siku hizi? Watueleze huo udini umekaaje ambapo maaskofu wamemkataa meya bandia ambaye ni Mkatoliki wakidai hawatamtambua kama hakuchaguliwa kihalali?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kada mmoja wa CCM amenikabili akionyesha mimi nisivyofahamu kitu, anataka anishawishi nikubali kuwa mauaji ya Arusha ni matakatifu hivyo nisiyafananishe na yale ya Sharperville wala Soweto, Afrika Kusini, wakati aina ya mauaji ni ileile moja.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hoja yake ni kwamba kule Afrika Kusini walikuwa ni Wazungu wanawaua weusi, lakini mweusi kumuua mweusi mwenzake eti haina neno!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimalizie kwa maoni yangu kwamba, CCM walichopaswa kukifanya ni kukabiliana na changamoto za upinzani wala siyo kukabiliana na upinzani wenyewe kama wanavyofanya sasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vinginevyo kwa hili la udini ni lazima waelewe kwamba wanatengeneza mizinga ya nyuki ambayo si ajabu wakawaangamiza wao na huo kuwa ukombozi wa nchi yetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;prudencekarugendo@yahoo.com&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-8431646975595816988?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/8431646975595816988/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=8431646975595816988' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/8431646975595816988'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/8431646975595816988'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/01/ccm-udini-na-kisa-cha-mfalme-na-nyuki.html' title='CCM, udini na kisa cha mfalme na nyuki'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-4905710419695807714</id><published>2011-01-24T11:05:00.000Z</published><updated>2011-01-24T11:06:17.449Z</updated><title type='text'>Slaa airushia UVCCM kombora</title><content type='html'>•  Asema yupo tayari kupimwa akili nzuri&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;na Mwandishi wetu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Dk. Willibrod Slaa, amesema yupo tayari kupimwa akili nzuri alizonazo za kupambana na wanaotafuna rasilimali za taifa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili juzi, Dk. Slaa alisema kuwa yeyote mwenye kutetea rasilimali za taifa zisitafunwe na walafi wachache waliopo ndani ya Chama Cha Mapinduzi hawezi kuwa na matatizo ya akili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kauli hiyo aliitoa baada ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), kuitaka serikali imkamate kiongozi huyo na kumpeleka katika hospitali kumpima akili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katibu Mkuu wa UVCCM (taifa), Martin Shigela, alisema wameamua kutoa kauli hiyo baada ya kujiridhisha kuwa kiongozi huyo wa upinzani hakutakiwa kukataa matokeo ya urais kwa kudai kura zake zimechakachuliwa (kuibwa).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aliongeza kuwa Dk. Slaa ni miongoni mwa vinara waliochangia kuhamasisha vijana wafanye maandamo yaliyopigwa marufuku na Jeshi la Polisi mkoani Arusha, ambako vijana watatu walifariki dunia na zaidi ya 20 kujeruhiwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Umoja huo ulisema Dk. Slaa amekuwa akitoa kauli mbalimbali za kichochezi ili kuwafanya wananchi wasiiamini na kuipenda serikali ya CCM chini ya utawala wa Rais Jakaya Kikwete.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akijibu mashambulizi hayo ya UVCCM, Dk. Slaa amesema yuko tayari kupimwa akili zake nzuri alizonazo kutokana na kuwa mstari wa mbele kuibua hoja nzito dhidi ya serikali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Unakwenda kunipima akili kwa kitu gani? Mimi naona nipimwe kwa akili nzuri, maana siku zote nimekuwa nikisimama kidete kutetea rasilimali za nchi, likiwamo suala la Dowans kutolipwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sasa kati ya mimi, Shigela na vijana wenzake wa CCM, nani akapimwe akili zisizofaa?” alihoji Dk. Slaa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema umaarufu wa mtu na umakini wake unatokana na ujengaji wa hoja na anavyozitetea pamoja uungwaji mkono wa jamii, hivyo haoni sababu kwa watu wa aina hiyo wapimwe akili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha, mkoani Mwanza, Mbunge wa Ilemela, Highness Kiwia, (CHADEMA), amemtaka Rais Jakaya Kikwete, asome alama za nyakati, ili asije kuitumbukiza nchi katika migogoro na machafuko ya umwagaji wa damu kama ilivyotokea nchini Zimbabwe, Kenya na Ivory Coast.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alimtaka Rais Kikwete kuwaongoza Watanzania kwa misingi mizuri na kufuata matakwa ya Katiba ya nchi, vinginevyo atasababisha kutoweka kwa amani na upendo ulioachwa na Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbunge huyo alitoa kauli hiyo juzi jimboni humo wakati akiwahutubia mamia ya watu katika mikutano miwili tofauti ya hadhara ya kuwashukuru wananchi kwa kumpigia kura na kumwezesha kuwa mbunge.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Highness alisema dalili zinavyoonekana hivi sasa zinaashiria serikali kushindwa kuwaongoza vema Watanzania, jambo ambalo ni hatari kwa mustakabali wa maendeleo ya nchi. “Namtumia salamu Rais Kikwete ahakikishe analiongoza taifa letu kwa kufuata Katiba ya nchi, asije akalizamisha kwenye machafuko kama yaliyotokea Kenya, Zimbabwe...hatutaki kuona wananchi wetu wanapigwa mabomu na kuuawa na polisi,” alisema.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Highness alitumia fursa hiyo kulaani mauaji yaliyotekelezwa na Jeshi la Polisi mkoani Arusha, Januari 5, mwaka huu wakati wakiwazuia wanachama na viongozi wa CHADEMA kufanya maandamano ya amani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema ni heri serikali ikajikita zaidi katika uboreshaji wa maendeleo ya wananchi, ikiwa ni pamoja na kutatua kero na matatizo mengi yanayolikabili taifa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aliongeza kuwa ni vema Rais Kikwete akalionya Jeshi la Polisi liache kufanya kazi kwa misingi ya kisiasa kama inavyoonekana sasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Highness aliwahakikishia wananchi wa Jimbo la Ilemela kuwa ahadi zote alizoahidi atazitekeleza, ikiwa ni pamoja na kujenga kituo cha polisi Kata ya Bugogwa-Igombe, kuboresha sekta ya elimu, barabara, maji na afya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika mikutano aliyoifanya Highness, wananchi walimtaka mbunge wao huyo kuhakikisha anaporudi bungeni asimame kidete kupinga dhamira ya serikali ya kutaka kuilipa Kampuni ya Dowans sh bilioni 94.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wananchi hao wamemtaka mbunge huyo asimamie suala hilo ili fedha hizo zielekezwe kupeleka maendeleo kwa wananchi na zisaidie kupunguza umaskini.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-4905710419695807714?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/4905710419695807714/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=4905710419695807714' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/4905710419695807714'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/4905710419695807714'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/01/slaa-airushia-uvccm-kombora.html' title='Slaa airushia UVCCM kombora'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-5640154304821494737</id><published>2011-01-24T11:04:00.000Z</published><updated>2011-01-24T11:05:38.391Z</updated><title type='text'>Mengi awatahadharisha viongozi wa dini</title><content type='html'>•  Walemavu nao walilia Katiba mpya&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;na Mwandishi wetu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MWENYEKITI Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi, amewataka viongozi wa dini nchini kuacha kuhubiri kwa kutoa maneno ambayo yanaweza kusababisha uvunjifu wa amani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mengi alisema hayo jana jijini Dar es Salaam katika hafla ya chakula cha mchana na watu wenye ulemavu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Ninawaomba viongozi wa dini zote nchini kutohubiri kwa kutoa maneno ambayo kwa namna moja ama nyingine yanaweza kuwa chanzo cha kuhatarisha amani na utulivu wa nchi,” alisema.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwenyekiti huyo alisema pindi kunapotokea uvunjifu wa amani kundi la walemavu huwa la kwanza kuathirika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema amani na utulivu uliopo nchini unatakiwa kuwa endelevu ili nchi iendelee kusifiwa ndani na nje.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aliongeza kwamba walemavu wanaweza kupata fursa sawa na kundi lingine la jamii endapo suala la amani na utulivu litazidi kushamiri nchini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Kwa niaba ya kundi hili na wengine wote nchini, ninatoa rai ya kuwataka kudumishwa kwa amani na utulivu nchini,” alisema Mengi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Awali, Mwakilishi wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu Tanzania (Shivyawata), Lupi Naswanya, alisema wanahitaji Katiba mpya kwa maslahi ya taifa na jamii hiyo kwa ujumla.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lupi alisema serikali haina budi kuwashirikisha katika mchakato wa kuandaa Katiba mpya kama moja ya jamii ya Watanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Tunahitaji kushirikishwa katika mchakato wa kuandaa Katiba mpya, Katiba iliyopo inahitaji mabadiliko makubwa kutokana na kutotupa fursa sawa katika jamii,” alisema.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aliongeza kwamba endapo Katiba itakuwa nzuri, jamii yote itaboreka, hivyo bado kunahitajika maboresho katika Katiba ya sasa,” alisema.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mengi amekuwa na utaratibu wa kila mwaka wa kuandaa tafrija kwa ajili ya jamii ya watu wenye ulemavu na kupata nao chakula cha mchana na kubadilishana nao mawazo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-5640154304821494737?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/5640154304821494737/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=5640154304821494737' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/5640154304821494737'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/5640154304821494737'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/01/mengi-awatahadharisha-viongozi-wa-dini.html' title='Mengi awatahadharisha viongozi wa dini'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-4775584362509419508</id><published>2011-01-24T11:01:00.000Z</published><updated>2011-01-24T11:03:40.333Z</updated><title type='text'>Si muda mrefu Azam itazizima Simba, Yanga</title><content type='html'>Ojuku Abraham&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;TANZANIA bado iko katika ugonjwa sugu wa kuzipenda timu kongwe za Simba na Yanga. Popote walipo mashabiki wa soka, lazima watagawanyika kwa misingi ya timu hizo mbili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Moja kati ya vitu vya kusikitisha ni kwamba wakongwe hao walioasisiwa miaka mingi iliyopita, bado wanaendesha timu zao kizamani mno.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini katika miaka michache iliyopita, imeanzishwa timu ambayo mwanzo wake, watu waliona kama nguvu ya soda, Azam FC.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Azam ilianzishwa na kuanza kucheza madaraja ya chini, kila mmoja akiamini ingekuwa na mwisho muda siyo mrefu kama klabu nyingi zilizowahi kuanzishwa kwa mbwembwe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini hatimaye msimu ya 2008/9 ulishuhudia Azam ikifanikiwa kuingia Ligi Kuu na kudumu hadi sasa. Msimu uliopita ilifanikiwa kushika nafasi ya tatu katika msimamo wa Ligi Kuu na hadi hivi sasa ligi hiyo ikiwa katika mzunguko wake wa pili, timu hiyo inashika nafasi kama hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika kuhakikisha timu hiyo inafanya mambo vizuri zaidi, imejenga uwanja wake wa kisasa ulioko nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam, huko Mbagala.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kuangalia mikakati inayoelezwa na viongozi wa klabu hii inayomilikiwa na familia ya mfanyabiashara mkubwa, Said Salim Bakhressa, ni wazi kuwa muda siyo mrefu ujao, klabu hii itakuwa juu ya Simba na Yanga timu zilizodumu kwa miaka mingi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na itakuwa juu kwa maana zote, kwani licha ya kuwa na uwezo wa kifedha wa kuweza kushindana na klabu hizo katika usajili wa wachezaji nyota, hata michakato yao juu ya makocha wa kuifundisha timu hiyo inaonyesha wazi dhamira waliyonayo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika kipindi cha hivi karibuni, timu hiyo imewahi kunolewa na makocha watatu wa kigeni: Wabrazil Neider dos Santos, Itamar Amorin na sasa chini ya Mwingereza, Stewart Hall.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Moja ya kitu kitakachosaidia sana kupanda kwa haraka kwa umaarufu wa klabu hii, ni kuendelea kwa mipango mibovu, migogoro na soka la magazetini la klabu zingine, hasa Simba na Yanga.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukiangalia kwa mfano, katika uwanja wao ambao pia watautumia katika Ligi Kuu utakapokamilika, wanayo shule ya watoto wenye vipaji ya kwao kwa ajili ya wachezaji wao vijana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na timu hii imekuwa ya kudumu kwa kipindi kirefu sasa ambayo hadi sasa imeweza kuwapandisha hadi kikosi cha kwanza wachezaji wake kadhaa wakiwemo Sino Augustino, Himid Mao, Mau Ali, Tumba Swed, Ali Mkuba na Samih Nuhu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kitu kimoja ambacho klabu hiyo inakosa kwa sasa ni kupata nafasi kubwa katika vyombo vya habari ambavyo vyote navyo bado vimeendelea na utaratibu na fikra mgando za miaka yote kuzikumbatia Simba na Yanga.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama ingekuwa inaandikwa mara kwa mara, klabu hiyo ndiyo yenye wachezaji wazuri na mahiri kuliko wanaokuzwa na magazeti katika Simba na Yanga.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na bila shaka, itakuwa ndiyo klabu inayolipa mishahara mizuri zaidi kwa wachezaji wake, tena kwa uhakika kabisa, tofauti na mishahara inayolipwa kwa fedha binafsi za watu katika Simba na Yanga.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Binafsi ninafurahishwa sana na uendeshaji wa timu hii, kuanzia benchi lake la ufundi lililojitosheleza, uongozi wake na hata wachezaji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na mashabiki watakaoipenda timu hii, watakuwa ni hawa hawa kutoka ndani ya Simba na Yanga, lakini waliochoshwa na madudu ya uongozi wa timu hizo zisizokuwa na dira.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Badala ya kupanga mikakati ya kuziingiza katika nyakati mpya, viongozi wake hadi leo wanagombea uhalali wa kuzungumza!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pamoja na kuwa na uzoefu wa miaka mingi katika fitina za soka, upo uhakika wa wazi kuwa miaka si mingi ijayo, kama siyo mwakani, Azam itaanza kuiwakilisha Tanzania katika mashindano ya kimataifa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ikifika huko, ni wazi kuwa zitakuwa ni fikra za klabu hiyo kuanza kuona ni kwa jinsi gani inaweza kuwa yenye mafanikio katika Afrika kama ilivyo TP Mazembe au zile timu kutoka Afrika Magharibi na Kaskazini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nichukue nafasi hii kuwapa moyo Azam FC, waendelee na mipango yao ya kuwa klabu ya mfano wa kuigwa katika Tanzania, licha ya kuwa haina mtaji wa mashabiki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Itakapofanikiwa katika mipango hiyo mingine, kazi ndogo iliyobaki ili kuwapata mashabiki, ni kutandaza kandanda la kuvutia na watu wa kweli wa mpira watakuwa pamoja nao kama zamani ilivyokuwa kwa Pan African, Pamba ya Mwanza na Ushirika ya Moshi.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-4775584362509419508?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/4775584362509419508/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=4775584362509419508' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/4775584362509419508'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/4775584362509419508'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/01/si-muda-mrefu-azam-itazizima-simba.html' title='Si muda mrefu Azam itazizima Simba, Yanga'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-8526225866322948479</id><published>2011-01-24T11:00:00.001Z</published><updated>2011-01-24T11:00:49.892Z</updated><title type='text'>‘Mbunge aliyeshindwa’ atekeleza ahadi</title><content type='html'>na Janet Josiah, Tandahimba&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;ALIYEKUWA mgombea ubunge wa jimbo la Tandahimba kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Katani Ahmed Katani, ameanza kutekeleza kwa vitendo ahadi alizozitoa kwa wananchi kwa kuwaletea mradi wa maji na kujenga kituo cha afya cha kijiji hicho.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akizungumza katika mkutano wa kuwashukuru wananchi wa Luagala, Katani alisema ingawa alinyang’anywa nafasi yake ya ubunge na kufuatilia haki yake mahakamani, ameweza kutekeleza ahadi ya kuwapa wananchi wa Luagala mifuko 200 ya simenti kwa ajili ya kujenga kituo cha afya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbali na kuanza kujenga kituo cha afya, Katani aliwaeleza wananchi hao kuwa tayari amekwishazungumza na wafadhili wa mradi wa maji kutoka Ujerumani ambao wataanza kuwasambazia huduma hiyo Aprili mwaka huu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sambamba na miradi hiyo, Katani alisema anaendelea kujipanga kujenga shule za msingi katika vijiji ambavyo bado vinapungukiwa shule na kuwalazimu watoto wa vijiji hivyo kutembea zaidi ya kilometa 12.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Huku nikiendelea kusubiri haki yangu toka mahakamani na si siku nyingi ni miezi sita tu ijayo …. Naendelea kutekeleza ahadi zangu kwani uwezo wa kufanya hivyo ninao,” alisema Katani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati wa kampeni za uchauzi mkuu uliofanyika Oktoba mwaka jana, mgombea huyo aliwaahidi wananchi hao kuwatatulia tatizo la maji, kujenga shule za msingi, kituo cha afya cha Luagala, tarafa ya Kitama pamoja na kushughulikia uuzaji na zao kuu la korosho.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo katika uchaguzi huo, aliyekuwa mgombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Juma Njwao alitangazwa kuwa mshindi.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-8526225866322948479?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/8526225866322948479/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=8526225866322948479' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/8526225866322948479'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/8526225866322948479'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/01/mbunge-aliyeshindwa-atekeleza-ahadi.html' title='‘Mbunge aliyeshindwa’ atekeleza ahadi'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-6584972567108815883</id><published>2011-01-24T10:59:00.000Z</published><updated>2011-01-24T11:00:03.110Z</updated><title type='text'>Wafanyakazi Mbeya wamkataa RC</title><content type='html'>na Gordon Kalulunga, Mbeya&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;WAFANYAKAZI wa sekta za taasisi na mashirika mbalimbali ya umma na binafsi mkoani hapa wamemkataa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, John Mwakipesile, kupokea maandamano yao ya amani ya kupinga ongezeko la gharama za nishati ya umeme yanayotarajia kufanyika Januari 29, mwaka huu, Tanzania Daima limebaini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Maazimio hayo yalifikiwa katika kikao cha pamoja cha Shirikisho la Wafanyakazi (TUCTA) kilichofanyika wiki iliyopita mjini hapa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kikao hicho kilichojumuisha wajumbe 83 wa matawi ya vyama 11 vya wafanyakazi vilivyounda shirikisho hilo, walikubaliana kumteua Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (CHADEMA), maarufu kwa jina la Sugu kuwa mgeni rasmi wa maandamano hayo kwa kile walichodai kuwa mkuu huyo wa mkoa (RC) hana uwezo wa kufikisha kilio chao kwa wahusika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa upande wake, Kaimu Katibu wa TUCTA Mkoa wa Mbeya, Thomas Kasombwe, alisema wajumbe hao amethibitisha kuwepo kwa maandalizi ya maandamano hayo na waliridhia kufanya maandamano ili kupinga hatua ya Shirika la Umeme (TANESCO) kupandisha gharama za umeme, hali itakayoongeza ugumu wa maisha kwa wafanyakazi kutokana na kipato kidogo wanachokipata.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;‘’Kupanda kwa gharama za nishati hiyo ni kuongeza kilio kwa Watanzania walio wengi, kwani watashindwa kumudu gharama za maisha katika familia zao hasa kuwapeleka watoto shule,” alisema Kasombwe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kasombwe alisema tayari shirikisho hilo limewaagiza viongozi wa matawi ya wanachama katika maeneo yote kuhamasisha wafanyakazi kujitokeza siku hiyo ili kupinga ongezeko hilo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-6584972567108815883?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/6584972567108815883/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=6584972567108815883' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/6584972567108815883'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/6584972567108815883'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/01/wafanyakazi-mbeya-wamkataa-rc.html' title='Wafanyakazi Mbeya wamkataa RC'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-5088302510012589775</id><published>2011-01-24T10:58:00.000Z</published><updated>2011-01-24T10:59:21.079Z</updated><title type='text'>Yanga wabariki Mwalusako kubwaga manyanga</title><content type='html'>•  Papic, Mpangala nao kuiacha timu Shamba la Bibi leo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;na Juma Kasesa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;BAADA ya Kamati ya Utendaji ya Yanga jana kubariki kujiuzulu kwa Katibu Mkuu wa klabu hiyo, Lawrence Mwalusako, mzimu huo utarajiwa leo kuliandama benchi la ufundi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Habari za uhakika zilizopatikana jana jijini Dar es Salaam, zilieleza kuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo Mserbia Kostadin Papic na Meneja Emmanuel Mpangala nao wamedhamiria kufuata nyayo za katibu huyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inadaiwa kuwa Papic na Mpangala wamekerwa na hujuma dhidi Mwalusako zilizomfanya abwage manyanga, hivyo nao wanatarajiwa kuwasilisha barua zao leo kwa mwenyekiti wa klabu hiyo, Llyod Nchunga, baada ya kikao cha Kamati ya Utendaji kilichoketi jana kubariki kuachia ngazi kwa Katibu Mkuu huyo ambaye hajatimiza hata mwaka tangu akabidhiwe mikoba hiyo mwaka jana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwalusako alilithibitishia gazeti hili kuhusu kuwasilisha kwake barua ya kujiuzulu, huku akigoma kufafanua sababu za kufanya hivyo na kuahidi kuzungumza na vyombo vya habari leo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini habari za uhakika kutoka kwa mmoja wa watu wa karibu na Mwalusako zilisema, uamuzi huo wa kujiuzulu umetokana na kushinikizwa na mmoja wa wadhamini wa klabu hiyo, kutokana na kitendo chake cha kumkana mwenyekiti wake Nchunga, kuwa hakushirikishwa katika barua iliyoandikwa kwenda kwa mmoja ya wadhamini wa klabu hiyo, Francis Kifukwe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Imeelezwa, kitendo cha Mwalusako kukana kufahamu barua ya mwenyekiti wake ikimuagiza Kifukwe kutafuta wakurugenzi 10 wenye uwezo wa kutoa shilingi milioni 50 kila mmoja ili kuunda kampuni itakayokuwa ikitengeneza bidhaa za Yanga, kimemkera mdhamini huyo na kuona kuwa katibu huyo hafai kuendelea kuingoza klabu hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Barua hiyo ya Nchunga kwa Kifukwe ni kati ya sababu zilizosababisha mwishoni mwa wiki iliyopita, viongozi wa matawi ya Yanga kuitisha mkutano wa dharura kumjadili mwenyekiti huyo kwa kitendo hicho, ambacho walikiita ni ukiukwaji wa katiba uliofanywa kwa makusudi, ikiwemo suala la uteuzi wa kiholela wa Mbunge wa Temeke, Abass Mtemvu, kuwa mmoja ya wadhamini wa klabu hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika mkutano huo wa viongozi wa matawi, Mwalusako na mjumbe wa Kamati ya Utendaji Mohamed Binda walihudhuria kwa niaba ya uongozi ambapo alikana kulifahamu suala hilo na kwamba hakushiriki kubariki uanzishwaji wa kusaka wakurugenzi hao, hivyo kumtupia msala mwenyekiti wake, jambo lililomkera mdhamini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha chanzo hicho kimefafanua, sababu nyingine ya kujiuzulu kwa Mwalusako, ni kufahamu njama za muda mrefu za kundi moja la wanachama, kupania kumng’oa yeye na meneja wa timu hiyo Emmanuel Mpangala kutokana na kutofautiana na baadhi ya viongozi wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Imeelezwa, Mwalusako amesoma alama za nyakati kwani hali ya amani imeanza kutoweka ndani ya klabu hiyo, kutokana na kundi hilo la wanachama kumfanyia fujo, Mpangala mara baada ya mechi baina ya Yanga na AFC ya Arusha, mchezo uliopigwa jijini Dar es Salaam na kulazimika meneja huyo kuondoka uwanjani saa 2:00 usiku chini ya ulinzi mkali wa polisi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chanzo hicho kilibainisha kuwa katibu huyo amechukua uamuzi huo mzito, baada ya kuona akielemewa na mzigo wa utendaji wa majukumu ya Yanga kutokana na ukata wa fedha uliotanda klabuni hapo, hivyo kulazimika kufanya kazi ya ziada kuhakikisha timu hiyo inasonga mbele katika Ligi Kuu Tanzania Bara na michuano ya kimataifa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Hivi ninavyozungumza, Yanga haina fedha za kuwagharamia waamuzi na timu ya Dedebit ya Ethiopia kwa ajili ya mechi ya Kombe la Shirikisho na huyo aliyeshinikiza ajiuzulu, amesema atatoa fedha hizo mara baada ya Mwalusako, Mpangala na Papic kuondoka, hivyo ndiyo ujue Yanga inaelekea kubaya, kwani mtu mwenye pesa akiwa hakutaki atafanya kila hila uondoke,” kilisema chanzo hicho.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Imeelezwa kuwa Kocha Papic ambaye ameishatafutiwa msaidizi wake Fred Felex Minziro ‘Majeshi’ anatarajiwa kuicha Yanga leo katika dimba la Uhuru wakati Yanga itakaposhuka dimbani kuumana na polisi Dodoma, katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-5088302510012589775?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/5088302510012589775/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=5088302510012589775' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/5088302510012589775'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/5088302510012589775'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/01/yanga-wabariki-mwalusako-kubwaga.html' title='Yanga wabariki Mwalusako kubwaga manyanga'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-8861362720290320323</id><published>2011-01-24T10:57:00.000Z</published><updated>2011-01-24T10:58:19.252Z</updated><title type='text'>Simba wautafuta mpira kwa tochi Dar</title><content type='html'>na Makuburi Ally&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba, jana walianza mzunguko wa pili Ligi Kuu bara vibaya baada ya kukubali kichapo cha mabao 3-2 mbele ya ‘Watengeneza Koni’ Azam Fc kwenye Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Simba waliuanza mchezo huo kwa kasi na kufanikiwa kufunga bao lao la kwanza katika dakika ya tisa, mfungaji akiwa Nico Nyagawa baada ya kazi nzuri ya Mussa Mgosi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya bao hilo, Azam nao walibadilika na kuanza kulisakama lango la Simba na kufanikiwa kusawazisha dakika ya 14 kupitia kwa John Bocco baada ya kuvunja mtego wa kuotea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Azam waliendelea kulisakama lango la Simba na kufanikiwa kufunga bao la pili katika dakika ya 24 lililowekwa wavuni na Mrisho Ngassa aliyemlamba chenga kipa Juma Kaseja na kudumu hadi mapumziko. Kipindi cha pili, Simba walirejea uwanjani wakiwa na nguvu mpya baada ya kutolewa Nyagawa na nafasi yake kuchukuliwa na Ali Ahmed Shiboli ambaye alipiga mashuti mengi langoni mwa Azam, lakini umahiri wa kipa Vladimir Niyonkuru, uliokoa jahazi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Azam walifunga bao la tatu dakika ya 54 kupitia kwa Bocco aliyemzidi ujanja beki Juma Nyosso na kipa Kaseja na kuukwamisha mpira wavuni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya bao hilo Azam waliendelea kulisakama lango la Simba, kwa kugonga zaidi ya pasi 20 ambazo ziliwafanya Simba ‘wausake mpira kwa tochi’, lakini kucheza huko hakukuisaidia Azam kuongeza bao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Simba ilipata bao la pili la Simba likifungwa na Hilary Echesa dakika ya 87 akitumia vema pasi ya Mohammed Banka; bao lililowaongezea nguvu kutaka kusawazisha, lakini hadi mwamuzi Ibrahim Kidiwa Mdudu anamaliza mpira, Azam 3 Simba 2 hivyo kulipa kisasi cha kichapo cha 2-1 mzunguko wa kwanza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kocha Simba, Patrick Phiri, alisema kipigo hicho kimesababishwa na mawasiliano mabaya kati ya mabeki na kipa Kaseja huku Stewart Hall akisema ingawa wameshinda wapinzani wao ni wazuri.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Simba iliwakilishwa na Juma Kaseja, Haruna Shamte, Amir Maftah/Juma Jabu, Meshack Abel, Juma Nyoso, Jerry Santo, Rashid Gumbo/Mohamed Banka, Hillary Echesa, Patrick Ochan, Mussa Mgosi na Nico Nyagawa/Ally Ahmed Shiboli.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Azam iliwakilishwa na Vladimir Niyonkuru, Ibarahim Shikanda, Mutesa Patrick, Erasto Nyoni, Aggrey Morris, Obrahim Mwaipopo, Jamal Mnyate/Himid Mao, Salum Abubakar, John Bocco/Ssenyonjo Peter, Ramadhani Chombo na Mrisho Ngassa.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-8861362720290320323?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/8861362720290320323/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=8861362720290320323' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/8861362720290320323'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/8861362720290320323'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/01/simba-wautafuta-mpira-kwa-tochi-dar.html' title='Simba wautafuta mpira kwa tochi Dar'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-2486018758456668310</id><published>2011-01-14T14:37:00.000Z</published><updated>2011-01-14T14:41:16.758Z</updated><title type='text'>Historia potofu ya Vita ya Majimaji</title><content type='html'>Evaristy Masuha&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;NI takriban miaka mitatu sasa tangu nilipotoa mfululizo wa makala yenye kuelezea ukweli wa historia ya Vita ya Majimaji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Historia ambayo ilibeba sehemu kubwa ya ukamilifu wa taifa la Tanganyika lililopata uhuru wake mwaka 1961.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukweli wa kihistoria niliojaribu kuuelezea katika tukio hilo linalostahili heshima kama kielelezo cha ushujaa kwa Watanzania liliwagusa wengi, lakini kubwa zaidi ni kualikwa na kushilikishwa kwenye kamati iliyokuwa ikiandaa kumbukumbu ya maonyesho ya miaka 100 tangu vita hiyo iishe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sherehe zilizokuwa zifanyike huko Kilwa ambako ndiko chimbuko la vita hiyo kama nilivyojitahidi kuiandika katika usahihi wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilipokuwa katika mfululizo huo nilijaribu kuangalia baadhi ya kasoro za kihistoria ambazo aidha zilibadilishwa makusudi ili kuwapa ufahamu tofauti vizazi vipya vya Tanzania ambavyo vitashiriki historia hiyo kwa njia ya masimulizi au kwa kusoma.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pengine makosa hayo yalitokea katika mazingira ya kawaida ya ukomo wa akili ya binadamu kadiri Mungu alivyomuwezesha, au yalikuwa ni makusudi ya viongozi wetu waliohusika kuweka kumbukumbu hiyo wakakusudia kuweka kumbukumbu isiyo sahihi kwa sababu zao binafsi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Waswahili husema: “Safari moja huanzisha nyingine,” baada ya kuianza historia hiyo, Mengi yenye kufichua ukweli wa historia hiyo yamejitokeza na kunipa udadisi ambao nimeona ni vema nikawashirikisha wasomaji wangu katika hili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tathmini ilinionyesha uhitaji mkubwa sana wa kuelewa mengi yaliyofichika katika historia nyingi zinazomzunguka Mtanzania na hasa hii vita ya majimaji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika mfululizo huu ambao ama kwa hakika utafichua mengi nitafurahi kama nitapokea changamoto mbalimbali za kukosoa, kurekebishana na hata taarifa zaidi nitakazokuwa sijaziambatanisha katika haya ninayoyajadili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pamoja na changamoto hizo, katika makala hii nakusudia kujibu maswali yafuatayo ambayo kwa hakika majibu yake ndiyo yatakayotufikisha katika ukweli wa vita hii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vita ya Majimaji ilianza Julai 15, 1905. Wapiganaji wa majimaji waliamini uwezo wa dawa kubadili risasi kuwa maji. Mwezi mmoja baadaye yaani Agosti 24, kiongozi wake, Kinjekitile Ngwale, alinyongwa. Je, muda huo ulitosha kumhukumu kwamba ni muongo na kwamba dawa zake hazikuwa na uwezo wa kubadili risasi kuwa maji?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wapiganaji wa Kimatumbi waliokuwa katika mazoezi yaliyokuwa yakijulikana kama Lininda, waliingia vitani bila kibali cha kiongozi wao Kinjekitile. Je, yaweza kuwa sababu ya kushindwa?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hoja nyingine ambayo pia nitaenda nayo hatua kwa hatua ni juu ya moja ya masharti ya kutumia dawa ya Kinjekitile ambapo mpiganaji alitakiwa asishiriki tendo la ndoa wakati wa vita. Pia asichukue chochote kutoka kwa adui aliyeshindwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je, hayo masharti yalifuatwa? Na kama hayakufuatwa je, yaweza kuwa sababu ya kushindwa?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika utafiti wangu huu ambao naamini utaibua hoja nyingi zenye kutufikisha katika ukweli nitajaribu kuyaangalia maisha binafsi ya Kinjekitile katika Kijiji chake cha Ngalambe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika hilo nitajaribu kuangalia uhalisia wa umaarufu aliokuwa amejitwalia katika ukanda huo wa kusini. Hasa uwezo wake binafsi wa kuishi na mifugo ambayo kwa mazingira ya kawaida siyo rahisi binadamu kuweza kuishi nayo. Hasa uwezo wake wa kufuga wanyama kama simba, chui, nyoka na wanyama wengine wa mwituni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ili kuiweka historia katika usahihi wake nitavitumia vitabu mbalimbali na hasa vile vilivyoandika historia ya awali kabisa. Kwa hapa sitaweza kukwepa kuvitumia vitabu vya Wazungu na hasa Wajerumani wenyewe kwani vitabu vingi vya historia ya awali ni vile vilivyotungwa na Wajerumani wenyewe ambao hawasiti kukiri ajabu ya Kinjekitile kuishi na wanyama hao kama Mmasai wa leo hii anavyoishi na ngombe lakini waandishi hawa wakiwa na tafsiri yao ambayo pia nitaiangalia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Masuala kama hayo yanaweza kuambatana na fikra zingine zenye kuweza kuiweka historia katika usahihi wake pale tunapoweza kujiuliza ni kiasi gani na ni kwa vipi mwambao wa kusini mwa Tanzania hadi pwani ya Afrika Mashariki na kwingineko walihusika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Makabila ya Wazaramo, Wangindo, Mbunga, Wapogoro, Wamatumbi, Wangoni, Wamwera na makabila yote yanayozunguka mwambao wa bahari  wote waliweza kuamini fikra za mtu mmoja tu na kuingia vitani wakiamini uwezekano wa risasi kugeuza maji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wazee wa Kimatumbi leo hii wanaamini kungekuwa na ushindi wa wapiganaji wa Vita ya Majimaji kabla ya upepo kubadilika baada ya kukiuka baadhi ya taratibu muhimu ambazo ziliwafikisha kuanza kupoteza ushindi ulioanza kushangiliwa mapema.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kuuangalia ushindi huo nitatoa sababu za msingi ambazo ndizo pengine zilizowaweka waandishi wa historia hii ambayo ina kipindi cha miaka zaidi ya 100 kuibadili ili tuweze kuipokea kimakosa kabisa. Makosa hayo yakapokewa hivyo na kuenezwa hadi leo hii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini la mwisho kabisa tutahitaji kuchunguza vyombo mbalimbali vyenye kuthibitisha kama kweli uchawi upo au la. Naomba tuwe pamoja Alhamisi ijayo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-2486018758456668310?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/2486018758456668310/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=2486018758456668310' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/2486018758456668310'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/2486018758456668310'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/01/historia-potofu-ya-vita-ya-majimaji.html' title='Historia potofu ya Vita ya Majimaji'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-5637001846425007725</id><published>2011-01-14T14:34:00.001Z</published><updated>2011-01-14T14:34:35.678Z</updated><title type='text'>Wakili: Dowans itadhohofisha nchi</title><content type='html'>•  Ataja mashahidi walioiponza TANESCO ICC&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;na Happiness Katabazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;MMOJA wa mawakili mahiri wa kujitegemea nchini, Kennedy Fungamtama, ameiomba serikali na umma upuuze ushauri wa aliyekuwa Spika wa Bunge, Samuel Sitta, wa kutaka serikali kukataa kuilipa fidia ya sh bilioni 94 Kampuni ya kuzalisha umeme ya Dowans, kwani ushauri huo unaweza kulidhohofisha taifa kwa kuliingiza katika matatizo makubwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Fungamtama aliyasema hayo juzi katika mahojiano maalumu na Tanzania Daima yaliyofanyika ofisini kwake jijini Dar es Salaam, ikiwa ni muda mfupi baada ya gazeti hili kupata taarifa kuwa wakili huyo ni miongoni mwa wanasheria walioisoma hukumu iliyotolewa na Mahakama ya Kimataifa ya Kusuluhisha Migogoro ya Uwekezaji (ICC).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwanasheria huyo ambaye alimuelezea Sitta kuwa mtu anayejaribu kucheza na akili za Watanzania, kwa sababu ya kutojua kwao undani wa hukumu ya ICC, alisema endapo serikali itakaidi kulipa fidia hiyo ni wazi taifa linaweza kukabiliwa na madhara makubwa mawili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema moja ya madhara hayo ni kwa wafadhili kuiweka nchi kwenye orodha ya kunyimwa misaada, kwa sababu ya kutoheshimu sheria na mikataba ya kimataifa ambayo imeridhia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili huyo alisema madhara mengini ni pamoja na wawekezaji kuingiwa na hofu ya kuja kuwekeza hapa nchini na kuongeza kuwa hilo likitokea taifa ndilo litakalopata hasara na si Waziri Sitta binafsi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Fungamtama alisema amefikia uamuzi wa kuzungumzia jambo hilo baada ya kuisoma na kujiridhisha kwamba hukumu hiyo yenye kurasa 150 ya kesi namba 15947/VRO kati ya Kampuni ya Dowans na TANESCO ilipokewa na ICC Novemba 20, mwaka 2008 na ikatolewa hukumu Novemba 15 mwaka jana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema mkataba kati ya TANESCO na Dowans ulisainiwa Juni 23, mwaka 2006 na mkataba huo unajulikana kama ‘Power Off - Take Aggreement (POA)” chini ya kifungu cha 14 (e) cha POA, na kufafanua kwamba pande zote mbili katika mkataba huo zilikubaliana kwamba uamuzi wa Mahakama ya ICC ndio utakuwa wa mwisho na utazibana pande zote mbili na hautaweza kukatiwa rufaa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Fungamtama alisema kifungu cha 14 (f) cha POA, kinasomeka: “The parties waive any right to challenge or contest the validity or enforceability of this arbitration agreement or any arbitration proceeding or award brought in conformity with this section.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa tafsiri nyepesi, Fungamtama alisema kifungu hicho kinasema, TANESCO na Dowans katika mkataba wao walikubaliana kwa maandishi kuweka kando haki za kupinga au kuhoji mwenendo na tuzo zitakazotolewa na baraza la usuluhishi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema Waziri Sitta amenukuliwa na vyombo vya habari akitaka serikali itumie kifungu cha 16 cha Sheria ya Tanzania ya Usuluhishi Sura ya 15 kama ilivyofanyiwa marekebisho ya mwaka 2002, kwamba serikali inaweza kutumia kifungu hicho kutengua hukumu ya mahakama ile ya kimataifa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Ni kweli Mahakama Kuu ya Tanzania imepewa mamlaka ya kutengua maamuzi yanayotolewa na mahakama za kimataifa endapo tu itadhihirika kuwapo kwa mambo mawili yafuatayo:&lt;br /&gt;Moja; msuluhishi wakati akiendesha kesi alikuwa akiegemea na kupendelea upande mmoja (arbitrator has miss - conducted himself. Pili: Mazingira ya kufikia uamuzi ule yalitawaliwa na rushwa au shauri lilifikishwa mahakamani bila kufuata taratibu za kisheria (an arbitration or award has been improperly procured).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Hayo ndiyo mambo mawili peke yake yanayoweza kusababisha Mahakama Kuu ya hapa nchini kutengua hukumu zilizokwisha kutolewa na mahakama za kimataifa za usuluhishi na si kwa jambo jingine lolote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Sasa kama Sitta ana ushahidi, vigezo hivyo viwili vya kisheria katika lililokuwa shauri baina ya Dowans na TANESCO kwamba wasuluhishi wale ambao ni majaji waliipendelea Dawans, au walikura rushwa, ingekuwa ni vyema haraka apeleke ushahidi huo kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ili aweze kuwatuma wanasheria wake wakafungue kesi Mahakama Kuu ili iweze kutengua hukumu hiyo kupitia huo ushahidi wake kama anao na si kama anavyofanya hivi sasa kupayukapayuka kwenye vyombo vya habari,” alisema wakili huyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha, alisema kwa mujibu wa kifungu cha 3 cha jedwali la 3 katika Sheria ya Usuluhishi ya Tanzania, Sura ya 15 ya mwaka 2002 kinasomeka hivi:&lt;br /&gt;“Each contract state undertakes to ensure the execution by its authorities and in accordance with the provisions of its national laws of arbitrarily awards made in its own territory under the preceding articles”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Kwa tafsiri rahisi, kifungu hicho utaona tayari nchi imejifunga mikono na utekelezaji wa hukumu zinazotolewa na mahakama za kimataifa kwa sababu ni nchi yetu yenyewe imeridhia sheria na mikataba ya kimataifa.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema kwa hiyo maelezo ya Waziri Sitta ya kutaka Dowans isilipwe, ni kutaka kuishawishi serikali na umma kukaidi kutekeleza maamuzi halali chini ya sheria na mikataba ambayo serikali iliiridhia kuitii na kuitekeleza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha, alisema jambo jingine lililojitokeza wakati kesi hiyo ikiendelea baina ya Dowans na TANESCO ni TANESCO walitaka kujua wamiliki wa Dowans ni kina nani na Mahakama ya ICC iliona hoja hiyo ya TANESCO ya kutaka kumjua mmiliki haina umuhimu wowote katika mgogoro uliokuwa mbele yao na ikatupilia mbali, kwa sababu iliona hoja hiyo haina maana yoyote mbele yao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Kwa hiyo kwa kitendo cha Waziri Sitta kulianzisha suala hilo la kutaka kujua wamiliki wa Dowans wakati hoja hiyo tayari ilikwishatolewa uamuzi na ICC, kisheria hawezi kulianzisha tena jambo hilo la kutaka kujua wamiliki kwa njia anayoitumia ya vyombo vya habari.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Kwa hiyo maelezo yote yanayoendelea kutolewa kuhusu hukumu hiyo ni kutaka kujinasua katika lawama wakati yeye na baadhi ya maswahiba zake enzi zile akiwa Spika wa Bunge ndio waliokuwa chanzo cha TANESCO kuvunja mkataba na Dowans, hivyo mwisho wa siku shirika hilo la umeme kujikuta likiburuzwa katika korti ya ICC.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Na ifike mahala wananchi na vyombo vya habari na serikali itoke usingizini na ijiulize maswali yafuatayo kwamba Sitta hakuwepo kwenye usikilizwaji wa shauri hilo? Sitta hakuwa akijua kwamba TANESCO imefunguliwa kesi na Dowans katika Mahakama ya ICC?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Kwa kuwa Sitta alikuwa mstari wa mbele kuzipiga vita Dowans na Richmond, ni wazi alikuwa akifahamu kwamba TANESCO imeburuzwa mahakamani na kama kweli Sitta ni mzalendo wa kweli na hana chuki binafsi katika hili ni kwanini hayo madai anayoyasema asingeiomba serikali imuweke kama shahidi wa upande wa TANESCO ili akatoe ushahidi anaousema kila kukicha kwenye vyombo vya habari?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Amesubiri tayari shirika letu la umeme ambalo ndilo lilikuwa mdaiwa katika shauri hili limeshindwa kufurukuta kwenye kesi hiyo na tumetakiwa tulipe kiasi hicho kikubwa cha fidia ndiyo kila kukicha anazungumza kwenye vyombo vya habari kuhusu hukumu hiyo, tena ukitazama maoni anayoyatoa utafikiri si mtu aliyesomea sheria kabisa….naomba sana hasa serikali ipuuze ushauri wa Sitta kwani ni wazi kabisa anataka kuliingiza taifa kwenye matatizo mengine makubwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Watanzania na huyo Waziri Sitta ambao hawajaisoma hukumu ile naomba niwaeleze wazi mimi nimeisoma hukumu hiyo kwa zaidi ya mara saba, kama taifa kupitia hukumu hiyo tumeshikwa pabaya, hivyo hatuwezi kukata rufaa, isipokuwa tu kama tutathibitisha sababu zile mbili nilizozitaja,” alisema wakili Fungamtama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha, Fungamtama aliviasa baadhi ya vikundi mbalimbali vya kijamii na baadhi ya vyombo vya habari kuacha kuzungumzia hukumu hiyo ambayo hata wengine hawajawahi kuisoma wala kuiona, kwani tayari kuna baadhi ya waandishi wa habari wamekuwa wakiandika makala kwamba wakati kesi hiyo ikiendeshwa TANESCO haijawahi kuleta shahidi hata mmoja kutoa ushahidi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jambo ambalo Fungamtama alisema si kweli na linalenga kuhadaa umma, kwani majibu na nakala ya hukumu hiyo ambayo anayo inaonyesha TANESCO ilipeleka mashahidi watano na walitoa ushahidi wao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakili huyo aliwataja mashahidi hao kuwa ni Subira Wandiba, ambaye ni Mwanasheria wa TANESCO, ambaye pia ni mjumbe wa Bodi ya Zabuni iliyotoa tenda kwa Dowans, Balozi Fulgence Kazaura, ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi ya shirika hilo, aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO, Dk. Idrisa Rashid, Mhasibu Mkuu wa shirika hilo, Jamhuri Ngeline na Boniface Njombe.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-5637001846425007725?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/5637001846425007725/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=5637001846425007725' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/5637001846425007725'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/5637001846425007725'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/01/wakili-dowans-itadhohofisha-nchi.html' title='Wakili: Dowans itadhohofisha nchi'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-7142873191226186130</id><published>2011-01-12T11:10:00.001Z</published><updated>2011-01-12T11:16:54.666Z</updated><title type='text'>DOWANS kuvunja Baraza la Mawaziri</title><content type='html'>•  LHCR wamuunga mkono Sitta, Wafungua kesi kuipinga Dowans.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;na Nasra Abdallah na Betty Kangonga&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;SAKATA la malipo ya fidia kwa Kampuni ya kufua umeme wa dharura ya Dowans Tanzania Ltd limechukua sura mpya baada ya kuwapo mpasuko mkubwa ndani ya serikali unaotishia kumeguka au kuvunjwa kwa Baraza la Mawaziri la Rais Jakaya Kikwete, Tanzania Daima Jumatano limebaini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili kwa siku kadhaa sasa, umebaini kuwa tangu serikali ilipoamriwa kuilipa Dowans sh bilioni 185, kumekuwa na mzozo mkali wa wazi na wa chinichini miongoni mwa mawaziri, baadhi wakiapa kwamba wako tayari kujiuzulu kuliko kuona fedha hizo zikilipwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kundi la mawaziri wanaopinga kulipwa kwa fedha hizo, linaongozwa na Spika wa zamani wa Bunge, Samuel Sitta, ambaye kwa sasa ni Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki (EAC).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa upande wa pili, kundi la mawaziri walioridhia malipo ya fedha hizo linawajumuisha Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema, na Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja, ambao kwa nyakati tofauti wamepata kunukuliwa wakisema taifa halina njia ya kukwepa faini hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Taarifa kutoka serikalini zinaeleza kuwa kundi la mawaziri wanaokubaliana na maamuzi ya ICC limekumbwa na mgawanyiko mkubwa miongoni mwao kuhusu hatua anazopaswa kuchukuliwa Sitta.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baadhi ya watu walio ndani ya serikali waliozungumza na Tanzania Daima Jumatano wanasema wako wale wanaotaka kuona Waziri Sitta akipuuzwa huku wengine wakimtaka Rais Jakaya Kikwete amfukuze kazi kwa kile kinachoelezwa kuwa ni kukiuka kwake misingi ya uwajibikaji wa pamoja.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Habari nyingine ambazo gazeti hili halijazithibitisha zinaeleza kuwa wako baadhi ya mawaziri ambao wamefikia hatua ya kutafakari uamuzi wa kuendelea kubakia ndani ya Baraza la Mawaziri iwapo suala hilo litashughulikiwa isivyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tangu Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Migogoro ya Biashara (ICC Court), ilipotoa hukumu yake Novemba 15 dhidi ya Shirika la Umeme nchini (TANESCO), kutaka ilipe fidia ya sh bilioni 94, Sitta amekuwa waziri wa kwanza kupinga hadharani hukumu hiyo akiitaka serikali isilipe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kundi la mawaziri linalounga mkono msimamo wa Sitta, linadaiwa kufanya vikao vya faradha katika siku za hivi karibuni kupanga mkakati wa kupinga ulipaji wa fedha hizo na msimamo wao wanatarajia kuuweka hadharani katika kikao cha Baraza la Mawaziri, kinachotarajiwa kufanyika wakati wowote mwezi huu, chini ya uenyekiti wa Rais Kikwete.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Duru zaidi za siasa zinasema kuwa nje ya Baraza la Mawaziri suala la malipo ya Dowans, linatarajiwa kulitikisa tena Bunge, kupitia hoja binafsi ya Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), na mjadala huo unaweza kusababisha baadhi ya mawaziri kuachia ngazi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akizungumza na Tanzania Daima Jumatano, Sitta alisema anashangazwa na hatua ya Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja, kutangaza msimamo wa serikali kuilipa Dowans bila suala hilo kujadiliwa na kupitishwa na Baraza la Mawaziri.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Nimekuwa wa kwanza kupinga serikali kulipa fedha hizi na anaendelea kusisitiza hatuna sababu ya kuzilipa, bado tuna nafasi kisheria ya kupinga, lakini kibaya zaidi nashangaa kusikia Waziri wa Nishati na Madini, ameutangazia umma kwamba serikali inajiandaa kuilipa Dowans. Uamuzi huo umepitia Baraza gani la Mawaziri,” alihoji Sitta.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema fedha hizo ni nyingi kuilipa Dowans ambayo alisema ina mkono wa mafisadi watatu, wanaotaka kuzitumia fedha hizo kwa maslahi yao kisiasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wiki iliyopita, Ngeleja alikaririwa akisema, Serikali imekubali kuilipa Dowans dola za Marekani za Kimarekani milioni 65, sawa na sh bilioni 94.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema sh 185 bilioni zilizokuwa zikitajwa kwenye vyombo vya habari ndizo ambazo kampuni ya Dowans iliiomba ICC ilipwe fidia kwa TANESCO kwa kukatiza mkataba walioingia wa kufua umeme, lakini mahakama iliafiki ilipe dola 65 milioni za Marekani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema fedha hizo zitalipwa baada ya pande husika kusajili uamuzi huo katika Mahakama Kuu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Serikali tumekwishaamua kuwa tutailipa Dowans dola za Marekani 65 milioni, kama ilivyoamuliwa na ICC ambazo ni sawa na sh 94 bilioni, kuchelewa kuwalipa kutatufanya tulipe riba ya asilimia 7.5,” alinukuliwa akisema.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika mkutano huo, Ngeleja pia aliwataja wamiliki wa Dowans Tanzania Ltd na hisa wanazomiliki katika mabano kuwa ni Dowans Holding S.A ya Costa Rica (81) na Portek.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huku akirejea barua ya Wakala wa Usajili wa Kampuni (Brella), aliwataja wakurugenzi na nchi wanazotoka kuwa ni Andrew James Tice (Canada) na Gopalakrishnan Balachandaran (India).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wengine ni Hon Sung Woo (Singapore), Guy Picard (Canada), Sulaiman Al Adawi (Oman) na Stanley Munai (Kenya).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati Ngeleja akitamka kwamba serikali inajiandaa na kulipa fidia hiyo haraka, Waziri wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkullo, ameibua utata mwingine baada ya kuutangazia umma kwamba wizara yake haina fedha na haina mpango wa kutenga fedha katika bajeti ijayo kwa ajili ya kuilipa Dowans.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mkullo alisema TANESCO kupitia wizara yake ya Nishati na Madini, inatakiwa ijipange kusaka fedha za kuilipa Dowans na kamwe fedha hizo hazitatoka Hazina.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kiini cha sakata hilo kilianza mwaka 2006, wakati TANESCO ilipoingia mkataba wa mauziano ya umeme wa TANESCO na kampuni ya Richmond Development LLC.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Miezi sita baadaye mkataba huo ulihamishiwa kwa kampuni ya Dowans Holdings ya nchini Costa Rica na baadaye kwa Dowans Tanzania Ltd.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati wa utekelezaji wa mkataba huo, ilizuka hoja kutoka kwa watu mbalimbali wakiwemo wabunge kwamba mkataba baina ya TANESCO na Richmond haukuwa halali kisheria hivyo usingeweza kurithiwa na Dowans.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Suala hilo lilizua mjadala mkubwa hali ambayo TANESCO kwa kuwatumia mawakili wa kampuni ya Rex Attorneys ya jijini Dar es Salaam walivunja mkataba huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya kuvunjwa kwa mkataba huo, ndipo kampuni hiyo ikalipeleka suala hilo ICC kama walivyokubaliana na TANESCO kwenye mkataba.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uamuzi huo wa ICC ulizua mjadala katika siku za hivi karibuni baada ya viongozi wa serikali kutofautiana kuhusu kuilipa kampuni hiyo au kutoilipa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika hatua nyingine, Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHCR), kinatarajia kufungua kesi Mahakama Kuu kupinga uamuzi wa serikali kukubali kuilipa Dowans.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;LHCR, pia inapinga kusajiliwa kwa tuzo hiyo Mahakama Kuu kwa sababu mikataba ya awali ilipatikana kwa rushwa na kukiuka maslahi ya umma.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mkurugenzi wa kituo hicho, Fransis Kiwanga, alisema walitarajia kufungua kesi hiyo jana na itasimamiwa na Kampuni ya Uwakili ya The South Law Chembers Advocates.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sambamba na hilo pia kituo hicho kimeitaka TANESCO kutokubali kuilipa Dowans hata senti moja kwa kuwa haikuridhia kurithishwa na kuhamishwa kwa mkataba wa Richmond kwenda Dowans.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha ameitaka Wizara ya Nishati na Madini kuacha mara moja kuwabebesha Watanzania mzigo wa kulipia gharama zinazotokana na uzembe, ubadhirifu na ufisadi wake yenyewe huku ikiingilia uhuru na utendaji wa Tenesco kwa kuitaka iilipe Dowans.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Kwa taifa maskini kama letu lenye matatizo mengi kama ukosefu wa umeme, mfumko wa bei na mengineyo, kutumia hela nyingi hivyo kulipa kampuni ambayo iligundulika kwa uchunguzi sahihi kuwa ni hewa, inatia shaka kwenye umakini wa serikali,” alisema.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mkurugenzi huyo alisema katika suala la Dowans kuna mambo ya kujiuliza ikiwemo kama Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, lilithibitisha kama Richmond ni kampuni hewa, inawezekanaje kuwa na mkataba wa kurithisha mali zake kwa Dowans kwani uhalali wa kisheria wa milki ya Dowans kwa mali ya Richmond, haupo na kuhoji kwa nini serikali haikutaifisha mali za Ricmond tangu awali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Maswali mengini ni ikiwa Dowans haikurithi kwa uhalali mali ya Richmond, inawezaje Dowans kuwa na madai halali dhidi ya serikali&lt;br /&gt;kuhusiana na mali iliyopatikana kwa uhalifu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Halikadhalika serikali kuharakisha kuilipa Dowans kuhusiana na mali iliyopatikana kwa uhalifu, je nini hasa maslahi ya Wizara ya Nishati na Madini na kuhoji wizara hiyo inamuwakilisha nani katika suala la Dowans.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo wanaharakati hao walionyesha wasiwasi wao kwa serikali inaposema kuwa inalazimika kuilipa Dowans huku wakihoji kama imefuata taratibu za kisheria na kama shauri hili lilipowasilishwa katika mahakama ya ICC, wananchi walijulishwa kuhusu shauri hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa Kiwanga sababu za kuliendesha shauri hilo kwa siri na kutohudhuria mahakamani kwa mawakili wa serikali, zinatia dosari mwenendo mzima wa suala hili ukizingatia kuwa limegubikwa na ufisadi tangu awali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alitoa wito kwa wananchi wote kujitokeza kupinga hukumu hiyo ya kimataifa na nyingine kama hizo pamoja na maamuzi yoyote ya serikali yasiyokuwa na maslahi kwao zisitekelezwe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naye Mkurugenzi wa Tamwa, Annelia Nkya, alivitaka vyombo vya habari kuendelea kupigia kelele sakata hili hadi kuona fedha hizo hazilipwi kwa Dowans.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-7142873191226186130?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/7142873191226186130/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=7142873191226186130' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/7142873191226186130'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/7142873191226186130'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/01/dowans-kuvunja-baraza-la-mawaziri.html' title='DOWANS kuvunja Baraza la Mawaziri'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-6163759932087646412</id><published>2011-01-12T11:07:00.000Z</published><updated>2011-01-12T11:10:08.557Z</updated><title type='text'>Serikali yaomba radhi mabalozi</title><content type='html'>•  Mbowe, Dk. Slaa kuongoza mazishi ya kishujaa leo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;na Mwandishi wetu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;HATIMAYE serikali imekiri kwamba jeshi lake la polisi lilikurupuka na kuua watu kikatili mkoani Arusha Januari 5 mwaka huu baada ya kuyaingilia maandamano ya amani ya wafuasi na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) waliokuwa wakishinikiza kurudiwa kwa uchaguzi wa Meya na Naibu Meya wa jiji hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Serikali kupitia kwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernald Membe, jana ililazimika kuwaomba radhi mabalozi wa nchi wahisani wanaowakilisha nchi zao hapa nchini kwa kitendo cha Jeshi la Polisi alichokiita ni “cha kukurupuka” kilichosababisha mauaji hayo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kauli hiyo ambayo ni ya kwanza kutolewa na serikali tangu kutokea kwa mauaji hayo ilitolewa na Membe wakati wa mkutano wake na mabalozi hao uliofanyika ofisini kwake jijini Dar es Salaam jana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Membe alilazimika kutoa kauli hiyo baada ya kupata kibano toka kwa mabalozi hao waliotaka kujua sababu ya polisi kuwafyatulia risasi za moto na kutawanya maandamano ya amani ya wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakitoa kauli yao juu ya mauaji hayo, mabalozi hao walisema Afrika inahitaji amani na Tanzania imekuwa taifa la kupigiwa mfano, lakini mauaji ya Arusha yameipa sura nyingine na kuathiri sifa yake ya kuwa kisiwa cha utulivu na amani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Tumesikitishwa na mauaji hayo ya Arusha, Tanzania ambayo inasifika kama kisiwa cha amani duniani kote na kuendelea kuwa mshauri wa masuala ya amani barani Afrika, nayo imeingia doa. Hili limetusikitisha sana,” alisema mwakilishi wa mabalozi hao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mabalozi hao pia walitaka kujua sababu za serikali kuwa kimya bila kutolea ufafanuzi kwa muda wote tangu mauaji hayo yalipotokea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akionekana kutikiswa na hoja za mabalozi hao, Membe alisema polisi wanapaswa kufanya kazi zao kwa kuzingatia maadili, lakini katika suala la Arusha, walikurupuka na kuamua kuwafyatulia risasi waandamanaji na hivyo kusababisha mauaji ya watu watatu na wengine kadhaa kujeruhiwa vibaya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Membe aliwaahidi mabalozi hao kuwa serikali inatarajia kutoa kauli yake nzito hivi karibuni na kauli hiyo itatolewa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, huku akiwahakikishia kuwa Tanzania itaendelea kuwa kisiwa cha amani na utulivu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Tunawaomba radhi wote kwa tukio la mauaji lililotokea mjini Arusha, lakini tunawaahidi kwamba serikali itatoa tamko lake hivi karibuni ili kuhakikisha tukio la aina hiyo halijitokezi tena nchini,” alisema Membe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Waziri Membe alitumia nafasi hiyo kuliasa Jeshi la Polisi kufanya kazi kwa uadilifu na kuacha kufanya maamuzi ya kukurupuka ambayo yanaweza kuleta maafa kama ilivyotokea Arusha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Serikali imechukua mawazo yenu kama changamoto kwetu, hivyo tunaahidi kwamba ufafanuzi wa mauaji unatarajiwa kutolewa siku chache zijazo,” alisema Waziri Membe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati serikali ikiomba radhi kwa kufanya mauaji hayo, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) leo kinafanya mazishi ya “kishujaa” kuwaaga watu wawili waliofariki kwa kupigwa risasi katika maandamano hayo ya Januari 5 mwaka huu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe, aliyeambatana na mbunge wa Arusha mjini, Godbless Lema, katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika mjini hapa jana alisema shughuli za kuwaaga marehemu hao zitafanyika katika viwanja vya NMC kama ilivyokuwa imetangazwa awali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Taratibu za utoaji heshima za mwisho na ibada za kuwaaga marehemu hao ambao ni Ismai Omary (40) na Denis Michael Shirima (30) zitaanza saa 4 asubuhi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia kutaendeshwa mchango wa hadhara kwa ajili ya kukusanya fedha za kusaidia familia zilizoachwa na mashujaa hao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbowe ambaye pia ni mbunge wa Hai na kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni alisema majeneza ya marehemu hao yatafunikwa na bendera za CHADEMA.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema viongozi wa chama hicho wilaya na mkoa walikutana na uongozi wa polisi mkoani hapa na wamekubaliana kuwa shughuli hiyo ifanyike kwenye viwanja hivyo ambavyo awali vyombo vya habari (si Tanzania Daima) viliripoti kuwa shughuli hiyo imekatazwa kufanyika kwenye viwanja hivyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha, taarifa nyingine za uhakika zilisema viongozi wa Jeshi la Polisi mkoa wa Arusha mapema jana walikwenda nyumbani kwa muasisi wa CHADEMA, Mzee Edwin Mtei, na kumsihi awashawishi viongozi wa chama hicho wasitishe mpango wao wa kufanya shughuli kubwa ya mazishi katika viwanja vya NMC na badala yake waache mazishi hayo yafanywe nyumbani kwa marehemu hao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Leo walikwenda kwa Mzee Mtei na kumuomba asaidie kuwazuia CHADEMA wasiiage miili NMC, wakidai eti wanaogopa kutatokea vurugu....,” alisema mtoa taarifa wetu kwa sharti la kutotajwa jina lake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo, Mbowe alipoulizwa kama polisi wamezuia kufanyika kwa maandamano hayo alisema hawajazuia na shughuli hiyo ya kuaga miili ya marehemu itafanyika kwenye viwanja vya NMC kama ilivyopangwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema kwenye viwanja hivyo kutafanyika ibada kulingana na imani za marehemu hao pamoja na wananchi kutoa heshima zao za mwisho na CHADEMA watatoa tamko lao juu ya tukio zima lililopelekea msiba huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema kutakuwa na msafara wa magari utakaoanzia chumba cha kuhifadhi maiti cha Mount Meru kuanzia saa mbili asubuhi; msafara ambao utapita barabara za Goliondoi kuelekea Sokoine mpaka viwanja vya NMC.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbowe alisema baada ya kumalizika kwa shughuli za ibada na kutoa heshima za mwisho, miili ya marehemu hao itaondolewa viwanjani hapo kwa kupitia barabara za Sokoine kuelekea Goliondoi kupitia AICC mpaka Sanawari ambako wataingia kwenye barabara kuu ya Moshi Arusha na kuelekea kijiji cha Laki Tatu kata ya USA River kutakakofanyikia mazishi ya Ismail.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema mwili wa Shirima utapelekwa  Rombo Mkuu mkoani Kilimanjaro ambako utahifadhiwa na kuzikwa siku inayofuata (Alhamisi) ili kutoa fursa kwa viongozi na wananchi kuweza kushiriki maziko hayo ambayo aliyaita ni ya kishujaa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa upande wake, Lema alisema mwili wa raia wa Kenya, Paul Njuguna Kayele, ambaye polisi walidai anaitwa George Waitara bado hawajajua utazikwa lini ila kwa sasa  chama hicho kinaendelea kufanya mawasiliano na balozi mdogo wa Kenya pamoja  na ndugu wa marehemu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mazishi hayo yatahudhuriwa na viongozi waandamizi wa CHADEMA akiwemo katibu mkuu wake Dk. Wilbrod Slaa huku akisema tayari wabunge 18 wameshawasili jijini hapa pamoja na madiwani wote wa chama hicho toka mikoa ya Kilimanjaro, Manyara na Arusha kushiriki msiba huo mzito.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;CHADEMA imegharamia mazishi hayo kwa kutoa ubani wa sh 500,000 kwa kila familia ya marehemu mbali na gharama nyingine na shughuli hizo zinaratibiwa  na kamati ndogo ya mazishi ya chama hicho inayoongozwa Magoma Derrick Jr.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Januari 5 mwaka huu CHADEMA ilifanya maandamano ya amani kumpinga meya na naibu meya wa jiji la Arusha kwa hoja kuwa hawakuchaguliwa kihalali kwani kulikuwa na ukiukwaji wa taratibu, kanuni na sheria wakati wa kuendeshwa kwa uchaguzi huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Maandamano hayo ya amani  yaliyokuwa yakiongozwa na Mbowe yalipofika eneo la Tangi la Maji,  polisi waliyaingilia na kuanza kuwapiga wananchi kwa  virungu, mateke huku wakitumia mabomu ya machozi na risasi za moto kuwatawanya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha, polisi walienda kwenye eneo la NMC ulipokuwa ukifanyika mkutano wa hadhara  na kuwatawanya wananchi kwa kutumia mabomu ya machozi, risasi za moto na maji ya kuwasha ambapo wananchi kadhaa walijeruhiwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia majira ya saa kumi jioni mara baada ya kumalizika mkutano polisi walitumia mabomu ya machozi, risasi za moto na maji ya kuwasha kuwatawanya wananchi ambapo pia walikuwa wakizunguka maeneo ya katikati ya mji wakirusha risasi za moto na mabomu ya machozi hali iliyosababisha wananchi wengi kujeruhiwa huku wengine mali zao zikiharibika vibaya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ingawa polisi ilisema waliofariki ni watu watatu, baadhi ya vyombo vya habari viliripoti kuwa walifariki watu 10.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-6163759932087646412?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/6163759932087646412/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=6163759932087646412' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/6163759932087646412'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/6163759932087646412'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/01/serikali-yaomba-radhi-mabalozi.html' title='Serikali yaomba radhi mabalozi'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-7266441238347334942</id><published>2011-01-12T11:05:00.002Z</published><updated>2011-01-12T11:07:14.443Z</updated><title type='text'>Umeya Arusha wazidi kuitesa CCM</title><content type='html'>na Ramadhani Siwayombe, Arusha&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;UONGOZI wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha, umeiomba Ofisi ya Waziri Mkuu kutoa tamko kuhusiana na uchaguzi wa Meya jiji la Arusha, ili kuondoa utata.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Akitoa taarifa kwa waandishi wa habari jana Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha, Onesmo ole Nangole, alisema suluhisho la mgogoro wa uchaguzi wa umeya jiji la Arusha ni Ofisi ya Waziri Mkuu ama Waziri Mkuu mwenyewe kutoa tamko juu ya uchaguzi huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema kila uchaguzi una taratibu zake na usimamizi wake na katika uchaguzi wa halmashauri zote uko katika kanuni zinazoandaliwa na Ofisi ya Waziri Mkuu kupitia Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), hivyo wao ndio wanaopaswa kutoa tamko juu ya hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alifafanua kimsingi hakuna ugomvi wowote baina ya vyama vya CCM na CHADEMA hadi kuwe na wazo la kusema vikutane kusuluhisha suala hilo ambalo ni la kikanuni na kisheria.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Uchaguzi wa kumpata meya ulifanyika na kusimamiwa na mkurugenzi na matokeo kutangazwa na msimamizi ambaye alikuwa mkurugenzi; kutokana na hali iliyojitokeza naomba Waziri Mkuu atoe tamko ili kumaliza tatizo,’’ alisema Nangole.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Naye Katibu Mkuu wa CCM Mkoa wa Arusha, Mary Chatanda, ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalumu, alisema anashangazwa na utata unaojitokeza kuhusiana na yeye kuwa mbunge Arusha wakati alipigiwa kura mkoani Tanga.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema kila chama cha siasa kina utaratibu wake katika kupata wabunge wake wa viti maalumu na kuwapangia mahala pa kufanyia kazi, hivyo chama chake kimempangia kufanya kazi mkoa wa Arusha   na ndivyo kilivyowasilisha ofisi ya Bunge.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akitolea mfano CHADEMA alisema wao kama chama walikuwa na utaratibu wao kupata wabunge wa viti maalumu na kuwapangia mahala pa kufanyia kazi na ndio maana wabunge kama Lucy Owenya na Grace Kiwelu wa Moshi wamepangiwa wilaya ya Hai ambako ndiko walikopigia kura katika baraza la madiwani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha, akizungumzia tamko la Makamu Mwenyekiti wa chama hicho na Waziri Mkuu Mstaafu, John Malecela, kumtaka awaombe radhi maaskofu kwa tamko lake kuwataka wavue majoho ya uaskofu na waingie katika siasa, Chatanda alisema hayo ni mawazo ya Malecela.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Nasema hivi hayo ni mawazo yake na mimi namheshimu mzee wetu huyo, hata hivyo siwezi kuomba radhi kutokana na mawazo binafsi ya mtu. Mimi naamini nilichokisema ni sahihi,’’ alisema Chatanda.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya maaskofu mkoa wa Arusha kutoa tamko la kutomtambua meya wa Arusha na kuwa hawatatoa ushirikiano kwake, Chatanda naye alitoa tamko kuwataka maaskofu hao kuvua majoho yao na kujiingiza katika siasa.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-7266441238347334942?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/7266441238347334942/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=7266441238347334942' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/7266441238347334942'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/7266441238347334942'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/01/umeya-arusha-wazidi-kuitesa-ccm.html' title='Umeya Arusha wazidi kuitesa CCM'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-8297921188289382709</id><published>2011-01-12T11:05:00.001Z</published><updated>2011-01-12T11:05:44.980Z</updated><title type='text'>Wahadhiri UDOM waendeleza mgomo</title><content type='html'>na Danson Kaijage, Dodoma&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;WAHADHIRI wa Chuo Kikuu cha Dodoma wameendeleza msimamo wao wa kutoingia madarasani hadi watakapopata maelezo ya kutosha kutoka kwa Rais ama Hazina juu ya marekebisho ya mishahara yao mipya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwenyekiti wa Umoja wa Wanataaluma chuoni hapo (UDOMASA), Paul Loisulie, akizungumza na Tanzania Daima  jana nje ya ukumbi wa mikutano katika jengo la utawala la zamani, alisema mkutano wa wanataaluma utaendelea hadi hapo atakapokuja Rais Jakaya Kikwete ama maelezo ya kutosha kutoka Hazina.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema mpaka sasa bado hawajafikia mwafaka, kwani bado hawajaweza kupata maelezo ya kutosha juu ya kutopata mishahara yao kwa wakati lakini pia mishahara hiyo imekuwa na utofauti mkubwa tofauti na kazi yao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Msimamo huo unatokana na tukio la juzi la wahadhiri kuanzisha mgomo wa kutoingia darasani na kufanya kile walichokiita mkutano endelevu, ili kujadili hatma ya maslahi  yao  ikiwa ni pamoja na mshahara mpya na fedha za kujikimu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema uongozi wao tayari umeshaandika barua kwa Rais Kikwete na kupeleka malalamiko  yao  ambapo nakala wamezituma Ofisi ya Wizara ya Elimu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Wizara ya Fedha, Ofisi ya Makamu wa Rais na Ofisi ya UDOM.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema wahadhiri hawana mpango wa kugoma lakini hawataingia madarasani mpaka hapo watakapopata ufumbuzi wa suala lao kutoka kwa rais.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Loissulie alisema tangu mshahara mpya uanze kulipwa wao  kama  wafanyakazi wa UDOM hawajawahi kupata fedha hizo ikiwa ni pamoja na zile za kujikimu ambazo ni haki ya kila mwajiriwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Loisulie alisema licha ya Hazina kutoa fedha hizo na kuufikia uongozi wa UDOM bado wao kama  waajiriwa hawajawahi kulipwa mshahara huo mpya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema wamelazimika kusimamia msimamo wao baada ya kugundua kuwa wafanyakazi wa UDOM hupewa 'Pay Slip' badala ya kupewa 'Salary Slip' inayotoka Hazina.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo, Makamu Mkuu wa UDOM, Profesa Idris Kikula, alisema madai ya wahadhiri si ya msingi bali ni kutokana na kutokuwa na uelewa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema madai yao ya kukosa mishahara na fedha za kujikimu ni suala ambalo liko katika hatua ambazo zinaweza kutatuliwa badala ya kuendeleza migomo na kususa kuingia madarasani.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-8297921188289382709?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/8297921188289382709/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=8297921188289382709' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/8297921188289382709'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/8297921188289382709'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/01/wahadhiri-udom-waendeleza-mgomo.html' title='Wahadhiri UDOM waendeleza mgomo'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-7301643484945064199</id><published>2011-01-12T11:04:00.000Z</published><updated>2011-01-12T11:05:00.979Z</updated><title type='text'>Kila la kheri Mapinduzi ya Zanzibar</title><content type='html'>LEO Watanzania tunaadhimisha siku ya Mapinduzi ya Zanzibar ambayo ni sehemu moja ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Januari 12, 1964, siku kama ya leo, yalitokea Mapinduzi yaliyouondoa utawala wa Sultan kwenye kisiwa cha Zanzibar; Mapinduzi ambayo yalitekelezwa na Wazanzibari weusi tena kwa kutumia silaha za jadi kama mapanga, majambia na kadhalika.  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ulikuwa ni ujasiri wa hali ya juu kuamua kupambana na askari wa Sultan ambao walikuwa na silaha za moto na hatimaye wazalendo wakashinda vita ile na kuuondosha utwana wa wana Zanzibar.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa miaka 48 sasa Zanzibar imekuwa huru, miezi zaidi kidogo ya mitatu, ikiwa nchi inayojitegemea; na miaka 47 na ushehe ikiwa ndani ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar unaoitwa Tanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunachukua nafasi hii kuwapongeza Watanzania wote na hasa mashujaa waliojitoa mhanga kuundosha utawala wa Sultan visiwani humo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo, tunavyosherehekea miaka hiyo 48 ya Mapinduzi ya Zanzibar ni vema tukakumbushana kwamba maendeleo ya visiwa hivyo yakilinganishwa na umri wa kujitawala wa miaka 48 hayalingani kabisa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Miaka 48 ni mingi na tungetarajia kuona maendeleo makubwa yakiwa yamefanywa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ); umaskini, ujinga na maradhi vimeendelea kuwa matatizo makuu visiwani humo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Zanzibar ilipaswa kuwa na maendeleo makubwa hasa tukitilia maanani raslimali zilizopo kama ardhi yenye rutuba na hali ya hewa nzuri kwa kilimo (cha mazao ya biashara hasa karafuu), bandari, vivutio vya utalii ikiwemo pwani ya kuvutia ya Bahari ya Hindi inayofaa pia kwa shughuli za uvuvi na uwezekano wa kupatikana kwa mafuta.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunaamini kama raslimali zote zilizopo kisiwani humo zingetumika vizuri kuiingizia SMZ mapato na kisha mapato kugawanywa kwa usawa katika kufanikisha miradi ya maendeleo kwa wananchi wa maeneo yote ndani ya visiwa hivyo, basi Wazanzibari na Zanzibar yetu ingekuwa na maendeleo makubwa na ingestahili hadhi ya kuitwa Dubai ya Afrika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa maoni yetu, chanzo kikuu cha umaskini ulioko Zanzibar leo hii ni ukosefu wa uwajibikaji wa kutosha ndani ya serikali na mgawanyo mbaya wa raslimali za visiwa hivyo katika kushughulikia maendeleo ya wananchi, huku kero za Muungano nazo zikichangia kwa upande mwingine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha, matatizo ya kisiasa yaliyokikumba kisiwa hicho ndani ya uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi mwaka 1995 kwa kiasi kikubwa yalichangia kukwamisha harakati za maendeleo kwani hakukuwa na amani ya kutosha wala umoja wa kitaifa ambao ni muhimu kwa maendeleo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa hiyo, Tanzania Daima tukiwa chombo huru cha habari kinachopigania haki, uhuru na maendeleo ya Watanzania wote, wa bara na visiwani, tunawasilisha salamu zetu za kheri katika maadhimisho haya ya Mapinduzi ya Zanzibar, tukipongeza kufikiwa kwa muafaka wa kisiasa visiwani humo lakini pia tunawahamasisha Watanzania wa Zanzibar kufuatilia na kusimamia uwajibikaji wa serikali iliyopo ili iwajibike kwao na kuwaletea maendeleo wanayoyastahili kulingana na utajiri wa visiwa hivyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunawahimiza viongozi wa serikali ya umoja wa kitaifa huko Zanzibar kuharakisha maendeleo ya visiwa hivyo kwa kupiga vita ubadhirifu na ufisadi, kusisitiza utawala bora na kubuni mipango ya maendeleo kwa faida ya watu wa Zanzibar.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-7301643484945064199?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/7301643484945064199/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=7301643484945064199' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/7301643484945064199'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/7301643484945064199'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/01/kila-la-kheri-mapinduzi-ya-zanzibar.html' title='Kila la kheri Mapinduzi ya Zanzibar'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-85160544725189737</id><published>2011-01-12T11:03:00.002Z</published><updated>2011-01-12T11:04:09.467Z</updated><title type='text'>Nadharia 30 kuhusu ufisadi</title><content type='html'>Mwandishi wetu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;NADHARIA hii imeandikwa baada ya kutafakari matukio mbalimbali duniani yaliyotokea katika vipindi mbalimbali vya historia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nadharia hii inajaribu kuchambua ufisadi pamoja na athari zake na namna ya kupambana nao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwandishi alipoandika nadharia hii hakusoma kitabu au kazi ya mtu yeyote; wala hakuandika kwa mtiririko maalumu bali alijaribu kutafakari na kuyaandika mawazo yake kama yalivyojitokeza ili kuchokoza mjadala, utafiti, au mchango zaidi kutoka kwa watu mbalimbali, ikiwa ni pamoja na wasomi, wataalamu wa sayansi ya jamii, na wahanga wa ufisadi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini pamoja na kwamba nadharia hii ni ya awali, naamini inaweza kuwasaidia wana jamii kuufahamu kidogo ufisadi ulivyo na kufikiria namna ya kujipanga kupambana nao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa watafiti na wasomi, itakuwa ni nafasi nzuri ya kuchambua zaidi, kutafiti na kuelimisha jamii zaidi juu ya adui huyu mkubwa wa mwanadamu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mosi, ufisadi ni aina fulani ya tabia inayojitengeneza ndani ya moyo wa mtu mwenye asili ya uchoyo na ubinafsi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huanza kidogo kidogo katika maisha ya watu, hasa wale wanaopenda daima kuweka maslahi yao binafsi mbele zaidi kuliko ya wengine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama haupigwi vita mapema katika jamii, ufisadi unakua na kujieneneza na kasi ya kukua kwake inaongezeka kama kuna watu wanaoshabikia ‘mafanikio’ yanayotokana na ufisadi huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nne, ufisadi ulioachiliwa (ama kwa sababu ya hofu, kuoneana aibu, au vinginevyo) hujiimarisha kwa kujitengenezea mtandao wake mwenyewe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mtandao wa ufisadi usipovunjwa mapema hukomaa na kutengeneza tabaka la mafisadi katika jamii, ambao hutafuta namna ya kuhalalisha ‘matunda’ ya ufisadi wao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mojawapo ya njia inayotumika kuhalalisha matunda ya ufisadi ni kusaidia katika jamii, kutoa michango katika jamii au vyama, kuwekeza katika biashara, kusaidia wanasiasa kushinda uchaguzi, au kuingia serikalini na ikibidi husaidia mafisadi wenzao kuingia kwenye siasa au shughuli nyingine muhimu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati wote, tabaka la mafisadi huteteana kwa siri, lakini wakishajiona wamekomaa hukosa aibu hivyo huteteana kwa wazi. Na kwa hiyo fisadi mmoja hawezi kumwadhibu fisadi mwingine isipokuwa wamekosana katika mambo au masilahi yao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ufisadi uliojitengenezea tabaka huwa ni ngome ngumu kuivunja, kwani unatafuta mbinu zote kujilinda, kujitanua, na kujihalalisha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ufisadi uliokomaa hauna huruma, aibu, wala staha. Na unakuwa mkali kwa wale wanaojaribu kuupiga vita.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbinu kubwa ya ufisadi ni kusema uongo, kutumia vitisho, au kutumia nguvu yoyote ilioyokaribu nao (ya kipesa, kicheo, kichawi, kisilaha, kisiasa, kijeshi, kikabila, n.k.).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbinu ya uongo ikishindwa, vitisho vinatumiwa, vitisho vikishindwa nguvu hutumika kutetea maslahi yao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ufisadi ukipigiwa sana kelele na wananchi, unajipaka chokaa nyeupe kwa nje na kujifanya unaongoka na hivyo kuwahadaa wananchi kwa namna hiyo ufisadi hautenganishwi na unafiki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Unafiki wa mafisadi una mbinu tatu. Mbinu ya kwanza ni ya kujisafisha kwa juu juu pasipo toba la kweli. Hilo lisiposaidia, mbinu ya pili hutumika ambayo ni kuwachafua watu wengine waliosafi ili kuiaminisha jamii kuwa kila mmoja ni fisadi hivyo wasifuatwefuatwe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hilo lisipofaa, mbinu nyingine hutumika ambayo ni ya kuwachafua baadhi ya mafisadi wenzao wachache na hasa waliobainika, ili watolewe kafara na wengine wapate kupona.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbinu zote zikishindikana, mafisadi wanaweza kudhuru watu ili kujitetea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mtandao wa ufisadi unaweza ukawa wa sehemu moja kijiografia au ukasambaa nchi nzima, na hata kuchukua sura ya kimataifa. Na unapovuka mipaka kuingia nchi nyingine, unatumia hila ya kuhadaa na kuwalainisha watu mashuhuri wa nchi au sehemu husika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama jamii ya wapenda HAKI na KWELI isipojizatiti na kupambana na ufisadi, na ukiachiwa utawale jamii kama unavyopenda, matokeo katika jamii yanakuwa ni mabaya sana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jamii inakuwa mtumwa wa ufisadi, na mafisadi wanakuwa kama wafalme wa kudumu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ufisadi unajidhihirisha katika sura mbalimbali kama vile rushwa kubwa na ndogo, ukandamizaji wa wanyonge, unyonyaji, kikundi kimoja kunyanyasa kingine, ubabe wa kiuchumi au kisiasa, biashara haramu (kama vile ya utumwa, madawa ya kulevya, bidhaa feki, biashara ya magendo, n.k.), uporaji wa mali na haki za wengine, demokrasia bandia, utawala mbovu, udikiteta, ajira mbaya kama vile ya watoto, n.k.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baadhi ya matokeo mabaya ya ufisadi ni kuongezeka unyonge na umaskini, kuporomoka maadili, chuki za kitabaka, kisiasa, kikabila, au kivikundi; vita vya wenyewe kwa wenyewe; mauaji ya kikabila, kikoo, au kisiasa; kukosa kuaminiana katika jamii, ukoloni wa sura mbali mbali, maisha ya wasiwasi, n.k.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mantiki hiyo, ufisadi sio kitu cha kuchekea kabisa (hata kama unafanywa na ndugu wa kuzaliwa). Ni janga, aibu, na hatari kwa jamii au nchi yoyote ile. Pia ni ugonjwa mbaya unaoua kabisa maadili ya jamii, kwa maana vizazi vipya vinakosa mifano mizuri ya kuiga; pia vinakosa maongozi sahihi, licha ya kukosa haki zao za msingi na msaada wa kweli.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini jamii pia lazima ifahamu kuwa ufisadi uliokomaa hauwezi kujiondoa wenyewe, maana unajikita kama ufalme mdogo ndani ya jamii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ili kupambana nao, umoja wa wananchi, nguvu, busara, na maarifa yanahitajika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ufisadi hauwezi kupigwa vita na mafisadi, bali utapigwa vita na watu walio safi, wapenda maendeleo, haki, na kweli. Mwenye madoa ya kifisadi akipigana na mafisadi ataumbuliwa; ndio maana si rahisi kwa asiyesafi kupambana na mafisadi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vita ya kupambana na ufisadi inatoka ndani ya moyo wa dhati wa mpenda haki, amani, na maendeleo ya watu; inahitaji uvumilivu, ni vita ya muda wote, haitafuti mafanikio binafsi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vita ya kupambana na ufisadi inahitaji viongozi safi, wenye maono safi, wenye uadilifu, wanaoweze kuelezea umma malengo yao na kuhamasisha haki na kweli, na wanaoonyesha mfano wa kweli kupitia maisha yao wenyewe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vita ya kupambana na ufisadi sio lele mama, ina hitaji kujitolea kwa hali ya juu. Lakini matunda yake ni mazuri, yanaleta faraja kwenye jamii, na yanadumu kwa muda mrefu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kila mwana jamii aukemee ufisadi wakati wote na mahali popote anapouona, pasipo kujali kama ungemletea yeye faida fulani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Viongozi wa taasisi zote za jamii, serikali, kidini, na kitaaluma wapige vita ufisadi wa namna zote, na wahamasishe watu wao kuupiga vita ufisadi. Wanapofanya hivyo wajisafishe kwanza ili wawe mfano kwa wananchi wao wenyewe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vyombo vya habari vina nafasi kubwa kusaidia wananchi katika vita hii, kwa kuendelea kufichua vitendo vya ufisadi, kuandika taarifa kwa busara, na kuhamasisha haki, kweli, na uadilifu katika jamii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inawezekana kupambana na kuushinda ufisadi, unyonge, na umasikini kama wanajamii wakimaanisha na wakikusudia kujiletea maendeleo ya haki na kweli.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ikumbukwe kuwa ufisadi hauwezi kujiondoa wenyewe; wala malalamiko tu na kusimanga mafisadi haviwezi kuuondoa ufisadi. Wala ushabiki tu wa juu juu hauwezi kuuondoa ufisadi. Kinachohitajika ni juhudi na nguvu za dhati na za pamoja kati ya wananchi na viongozi wao, pamoja na taasisi za dini na zile zinazotetea haki za watu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kuwa ufisadi unatumia mwanya wowote na hasa udhaifu fulani katika jamii, ni vema kuhakikisha kuwa maeneo yote ya kijamii yanaboreshwa (kama vile sheria za nchi na serikali za mitaa, kanuni na taratibu za taasisi, utendaji wa vyombo vya kusimamia haki na sheria, utawala bora, utendaji wa vyombo vya habari, demokrasia na ushirikishwaji umma, maadili ya viongozi, n.k.)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ili kusaidia vizazi vijavyo, elimu na itolewe kuanzia ngazi ya shule za msingi. Elimu hiyo ilenge kuwasaidia vijana kuwa waadilifu, kuuchukia na kupambana na ufisadi. Kama vile tunavyopambana kulinda mazingira yetu, ni lazima kupambana pia kulinda jamii zetu na utu wetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mazingira ni muhimu, lakini ni kweli pia kuwa utu wetu ni muhimu zaidi. Maana utu wetu ukiharibiwa, na jamii ikiharibiwa na ufisadi, je, mazingira hayo yatamsaidia nani?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mawasiliano kuhusu makala hii, tafadhali wasiliana kwa simu namba 0713260071.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-85160544725189737?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/85160544725189737/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=85160544725189737' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/85160544725189737'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/85160544725189737'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/01/nadharia-30-kuhusu-ufisadi.html' title='Nadharia 30 kuhusu ufisadi'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-4776825830056170548</id><published>2011-01-12T11:03:00.001Z</published><updated>2011-01-12T11:03:34.692Z</updated><title type='text'>Mauaji ya kisiasa Arusha: Intelijensia, Usalama wa CCM umehusika</title><content type='html'>Bakari M. Mohamed&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;TANGU kumalizika kwa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 31, 3010 Arusha limekuwa jiji lenye harakati na vuguvugu kisiasa. Uchaguzi Mkuu uliopita umeifanya CCM kupoporomoka kisiasa na CHADEMA kuchukua uongozi wa kisiasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa jinsi hiyo, kumekuwapo mbinu za kimkakati zinazofanywa na taasisi za ulinzi na usalama (hususan Intelijensia na Usalama wa CCM) katika kuweka hali-tete na au hali-joto ndani ya viunga vya kisiasa vya Jiji la Arusha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya CHADEMA kulitwaa Jiji la Arusha kwemye kinyang’anyiro cha kiti cha ubunge kwa kumuangusha mwanasiasa aliyeandaliwa na kuenziwa na vigogo wa saisa za CCM akiwemo aliyekuwa Waziri Mkuu (aliyelazimishwa kujiuzulu) Mheshimiwa Edward Ngoyai Lowassa kumekuwapo kwa hali iliyokuwa inaashiria kwamba hila na mizengwe ya kisiasa itatawala jiji hilo ili kuifanya serikali ya jiji (Halmashauri ya Jiji la Arusha) imezwe na CCM.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pamoja na hali hiyo, tayari mizania ya uwiano wa kisiasa jijini humo ilishaipa CHADEMA umiliki wa siasa za jiji hilo lenye upinzani mkali unaohanikizwa na maeneo jirani ya Hai (kwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Aikaeli Mbowe) na Moshi Mjini (kwa Philemon Ndesamburo). Ukweli utabaki kuwa Arusha imeanza kuchemka kisiasa na inachukua mkondo wenye vuguvugu halisi la mabadiliko.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kutokana na harakati za maisha ya kila siku ya kisiasa, kiuchumi, na kijamii ni rahisi sana kwa jiji hilo kuwa na taarifa nyingi zinazoibuka kila kukicha kutoka sehemu mbalimbali zinazozunguka jiji hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Taarifa nyingi (ghafi) hupatikana kwenye sehemu mbalimbali muhimu zikiwemo sehemu za biashara (maduka, migahawa, hoteli, masoko, vilinge, na vijiwe vya kahawa), kwenye ofisi za umma na za mashirika mbalimbali ya ndani na ya kimataifa. Hali hii hulifanya Jiji la Arusha lichemke kama bahari!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Taarifa za kiuchunguzi zinaonyesha kwamba Arusha kwa sasa ina nguvu kubwa ya upinzani na inaweza kuwa ndiyo “ngome” ya upinzani kwa Ukanda wa Kaskazini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sababu kubwa ni kule kuangushwa kwa Dakta Batilda Burian aliyewahi kuwa Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais – (Mazingira).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati wa mchakato wa Uchaguzi Mkuu uliofanyika tarehe 31 Oktoba, 2010 Mheshimiwa (Dakta) Batilda Burian alipewa aina zote za msaada kutoka kwa vigogo wa siasa za CCM akiwamo Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete. Hata hivyo, aliangushwa na Mheshimiwa Godbless Lema wa CHADEMA.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuchukuliwa kwa kiti cha ubunge Arusha Mjini kulifanyika sanjari na CCM kupoteza sehemu muhimu ya uwakilishi kwenye Baraza la Jiji la Arusha, hali iliyoifanya CCM kutafuta hila na mizengwe ya kubakisha nguvu zake kwenye umiliki wa halmashauri (Baraza la Jiji). Songombingo na sintofahamu zilianzia kwenye uchaguzi wa Mstahiki Meya wa jiji ambapo hila zilitumika na hatimaye CCM kukitwaa kiti cha umeya kwa mizengwe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hali ya songombingo na au sintofahamu ya vuta-n-kuvute baina ya CCM na CHADEMA ikiambatana na vurugu la kimyakimya na au za chinichini ilianza kufukuta na kuweka fukuto la kisiasa kwa takriban muda wote wa matokeo ya uchaguzi wa kiti cha umeya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kuwa CCM walipora kiti cha umeya; na kwa jinsi chama hicho (tawala) chenye nguvu za dola (Polisi, Usalama wa Taifa, JWTZ, Magereza, Askari wa Siri, na kadhalika) kilivyojipanga kuendesha siasa za kibabe; Jiji la Arusha lilishawekwa kwenye hali-joto (kwa alama nyekundu) ya kiusalama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pamoja na hali hiyo, bado CHADEMA walikuwa na wana kila sababu ya kudhani kwamba haki yao imeporwa na walikuwa na wapo tayari kutumia “nguvu ya umma” kuuonyesha umma wa Jiji la Arusha juu ya uporwaji wa nafasi ya Mstahiki Meya uliofanywa na CCM kwa njia ya maandamano ya amani na hatimaye kufanyika kwa mkutano wa hadhara.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwanzo na kutokana na hali-joto na hali-tete iliyokuwapo hapo kabla, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha hakuona busara kuruhusu maandamano na hatimaye mkutano wa hadhara ambao ungeamsha hisia za kudhulumiwa na hali hiyo ingeweza kuleta uvunjifu wa amani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa utumizi wa busara na hekima viongozi wa CHADEMA walikubaliana na maoni na au mawazo (yenye hekima na busara) ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Afande Thobias Andengenye na kusitisha maandamano na mkutano wa hadhara ambao ungefanyika kwenye eneo lililokusudiwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya joto na au gafugafu la kisiasa kupoa, CHADEMA waliiandikia Polisi Arusha kuomba kufanyika kwa maandamano na hatimaye mkutano wa hadhara, ombi ambalo kimsingi lilikubaliwa na Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Arusha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Maandalizi ya maandamano na mkutano yalianza kufanyika na hatimaye viongozi wa kada na ngazi mbalimbali wa CHADEMA kuwasili Jiji la Arusha kwa shughuli ya kisiasa ya tarehe 05 Januari, 2011.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kinyume na matarajio ya CHADEMA, siku moja kabla (na si zaidi ya saa 36) Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP) Afande Said Mwema, akatangaza kupitia vyombo vya habari kwamba maandamano yaliyopangwa kufanywa na CHADEMA Arusha yamefutwa, isipokuwa wanaruhusiwa kufanya “mkutano wa hadhara.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Taarifa ya zuio la kufanyika maandamano lilikuja baada ya kile kilichotajwa kuwa ni “taarifa za ki-intelijensia na ki-usalama.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni ukweli usiyopingika kwamba Afande (IGP) Said Mwema ni mtaalamu wa masuala ya ulinzi na usalama na zaidi anaijua vema intelijensia ya usalama. Sidhani kama amezingatia weledi kwenye “amri” ya kuzuia maandamano ilhali ruhusa ilishatolewa na Kamanda wa Polisi, Afande Thobias Andengenye, ambaye kwa maarifa na ustadi (na hata maadili) ya kazi ya usalama wa raia ndiye anayejua hali halisi ya usalama wa Jiji la Arusha na siyo Afande (IGP) Said Mwema ambaye si mkaazi wa Arusha!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Taarifa za ki-intelijensia na ki-usalama nadhani kwanza zilianza kupatikana Arusha kwa: kukusanywa; kupembuliwa; kuchakatwa; kusanifiwa; na hatimaye kutolewa maamuzi kwamba maandamano na mkutano wa hadhara kwa CHADEMA ruhusa kufanyika! Sasa suala la kujiuliza hapa linaweza kuwa: Ni taarifa zipi za ki-intelijensia na ki-usalama zilizosababisha zuio la maandamano ya CHADEMA?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakuna shaka wala wasiwasi kwamba, vyombo vya ulinzi na usalama (pamoja na Askari wa Siri na Usalama wa Taifa – TISS) vinafanya kazi kwa falsafa ya amri baada ya amri (chain of command) na amri ya kijeshi mara zote hutoka juu kwenda chini na haipingwi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapa pana jambo la kujifunza juu ya nani anayetoa “amri” na nani anayepokea!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rais wa CCM ndiye Amiri Jeshi Mkuu wa majeshi ya Ulinzi na Usalama – yeye (Rais) ndiye mwenye amri ya mwisho juu ya utendajikazi wa majeshi yote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na ndiyo maana hata ilipotolewa amri ya Afande (IGP) Said Mwema juu ya zuio la maandamano pamoja na ukweli kwamba Polisi Arusha walishayaruhusu, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha hakuweza kupinga amri ya mkuu (boss) wake. Na suala la pili hapa linaweza kuwa: Ni wapi Afande (IGP) Saidi Mwema amepata amri ya kuruhusu matumizi ya nguvu kupita kiasi na hatimaye kufanyika mauaji ya raia wasio na ulinzi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ili kuielewa vema nukta hii ni vema tukirejea historia ya harakati za maandamano Tanzania. Haijalishi maandamano hayo ni ya nini na yaliongozwa na nani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwanza, mifano ya karibuni ni mauaji yaliyofanywa na Jeshi la Polisi Tanzania katika Jiji la Dar es Salaam eneo la Msikiti wa Mwembechai ambapo watu watatu waliuawa na wengine kutiwa vilema vya maisha (akiwemo aliyekuwa kijana wa shule ya msingi wakati ule Chuki Athumani).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kadhia ya Mwembechai ilikuwa kubwa na ilichukua sura ya udini na kidini zaidi kuliko kisiasa. Hata hivyo, tutosheke kwamba Polisi wa Tanzania waliwaua Watanzania wenzao kwa risasi za moto (tena kwa amri ya “piga yule” iliyotolewa na Kamanda wa Polisi).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Achilia mbali mauaji haya na yale ya kuuwawa kwa watu wasio na hatia waliosingiziwa ujambazi; tunawajibika kukubali kwamba Polisi wa Tanzania wamekuwa wakiwaua wananchi wenzao katika mazingira ya kutatanisha!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mauaji yaliyotisha sana ni yale yaliyofanywa kisiwani Pemba baada ya maandamano ya chama cha wananchi (CUF) kuzimwa kwa nguvu za kijeshi. Mwaka 2000 CUF iliingia kwenye Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar baada ya Muafaka wa Kwanza wa 1998.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo, kinyume na matarajio ya CUF, CCM walifanya “mchezo mchafu” na rafu za kisiasa hali iliyoifanya CUF kuyakataa matokeo ya uchaguzi na vilevile kutomtambua Rais Amani Abeid Karume.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Januuari 26 na 27 2001 na siku zilizofuata baada ya hapo zilikuwa za kutisha pale makumi ya watu walipouwawa na polisi na vikosi vingine vya SMZ.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inakadiriwa mauaji yale yaligharimu maisha ya watu zaidi ya thelathini na tatu (33). Pamoja na kusababisha umwagikaji wa damu na vifo vya wananchi wasio na ulinzi, machafuko yale yalishuhudia unajisi wa wanawake (kwa kubakwa) kulikofanywa na askari waliotumwa kuua, kubaka na kunajisi!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mauaji ya Januari, 2001 yaliushtua ulimwengu na kulaaniwa na mashirika mbalimbali ya utetezi wa haki za binadamu yakiwamo Amnesty International na ACAS (Association of Concerned Africa Scholars).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hali-joto ya kisaisa iliyotanda katika visiwa vya Unguja na Pemba ilipelekea kwa mara ya kwanza Tanzania kuzalisha wakimbizi waliokimbilia Shimoni, Mombasa (Kenya).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwenendo huu wa kuendesha mauaji ya watu wasiokuwa na ulinzi kunakofanywa na Jeshi la Polisi la Tanzania pamoja na taasisi nyeti za ulinzi na usalama wa nchi umekuwa ukichukua sura na mazingira tofauti kwa utashi wa kisiasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Taasisi za ulinzi na usalama badala ya kuaminiwa na raia kwamba ndio tegemeo la ulinzi wa hali na mali zao zimekuwa adui wa wananchi. Wakati wa harakati za kisiasa majeshi ya ulinzi na usalama yamekuwa yakiegemea upande wa CCM na kusahau dhima na wajibu wao katika kuwapatia ulinzi raia na mali zao bila kujali itikadi za kisiasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Viongozi wa majeshi ya ulinzi na usalama wamekuwa wakionekana kutoa usaidizi wa moja kwa moja kwa CCM ilhali wajibu wao kikatiba ni kutokufungamana na chama chochote cha siasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ikumbukwe hapa kwamba mwaka 2005 aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Omar Idd Mahita, aliwahi kutoa kauli tata juu ya CUF kwamba ni “chama cha kigaidi na kimeingiza majambia nchini ili kuleta machafuko na umwagikaji wa damu”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vilevile, wananchi tusisahau kwamba mwaka 2010 wakati tukielekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 31, 2010 ilitolewa kauli tata na Mnadhimu Mkuu wa JWTZ, Luteni Jenerali Afande Abdul’Rahman Shimbo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Imekuwa kawaida ya viongozi wa taasisi za ulinzi na usalama kujihusisha na siasa kwa kuwa ni utaratibu unaotumiwa na CCM katika kuwarasmisha viongozi wa kijeshi kwenye siasa na kuwapa nafasi na au vyeo vya kisiasa kwa mtaji wa kustaafu jeshi na kujiunga na siasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kuwa mauaji yaliyotokea Arusha yamekumbusha na yale yaliyosahaulika: Mauaji ya Bulyanhulu; Mauaji ya Mwembechai; Mauaji ya Mererani; Mauaji ya wafanyabiashara ya madini (waliouawa chini ya Kamanda Abdallah Zombe); na mauaji ya Pemba; ipo haja ya kudurusu na kufanya upitizi makini juu ya utendaji wa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vyombo vya ulinzi na usalama vya Tanzania havina budi kupitiwa upya na kama kuna sheria za kikoloni zinazowapa “kichwa ngumu” askari na viongozi wao kufanya kama vikosi vya kikoloni (motorised companies) na kuua watu wasiye na ulinzi, lazima sheria mbovu kama hizo zibadilishwe ili kwenda na mfumo wa demokrasia ya vyama vingi vya siasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pamoja inafahamika kwamba CCM inazitegemea sana taasisi za ulinzi na usalama kwa masilahi ya kibinafsi (kwa baadhi ya vigogo wa chama) na kwa manufaa ya kundi la mafisadi wa siasa wanaoyatumia majeshi kwa faida zao, lazima juhudi za makusudi zichukuliwe ili kurekebisha hali hiyo kabla hayajatokea maafa makubwa yatakayochafua sura ya nchi inayoimbwa ya “utulivu na amani”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Watu wachache wasitumie nafasi walizopewa na umma ndani ya majeshi kwa mafungamano yao ya kisiasa na au kirafiki na viongozi mafisadi wanaotaka kutawala kwa njia ya mabavu na utumizi wa nguvu za kipolisi na au kijeshi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mauwaji ya Arusha yawe kielezeo cha uhuru, haki, usawa, na uadilifu na yasichukuliwe kama yaliyotokea kisiwani Pemba kwa kuwa kama wananchi wataendelea kukosa imani na vyombo vyao vya ulinzi na usalama kuna hatari ya kumomonyoa uhuru na umoja kati ya wananchi na majeshi yao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama kweli tunataka kujenga Tanzania yenye amani na utulivu wa kudumu basi tuna wajibu wa kuhakikisha kwamba vyombo vya ulinzi na usalama vinatoa ulinzi kamili (na unaostahili) kwa raia na mali zao bila ubaguzi wala kuegemea upande wowote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na umefika wakati kwa CCM kuacha kuwatumia makada wa kijeshi katika kufanikisha mipango ya kutawala kwa nguvu ya amri baada ya amri. Hata kama CCM ni chama cha kijeshi isiwe sababu ya kupoteza mujtamaa wa demokrasia kwa wendawazimu wa udikteta. CCM iache demokrasia ishike mkondo wake; na ikumbukwe, “mauaji yakizoeleka, damu ya wahanga itaiathiri nchi na umwagikaji wake utaongezeka.”&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-4776825830056170548?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/4776825830056170548/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=4776825830056170548' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/4776825830056170548'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/4776825830056170548'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/01/mauaji-ya-kisiasa-arusha-intelijensia.html' title='Mauaji ya kisiasa Arusha: Intelijensia, Usalama wa CCM umehusika'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-3032369020019090671</id><published>2011-01-12T11:02:00.001Z</published><updated>2011-01-12T11:02:47.326Z</updated><title type='text'>Malipo ya Dowans, usiri wa nini?</title><content type='html'>Mwinjilisti Kamara Kusupa&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;NIANZE na kukiri kwamba nimeandika mengi kuhusiana na suala la Richmond na Dowans, hata hivyo wakati naandika hayo sikuwa nimepata ukweli wa upande mwingine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hii ni kwasababu sikuwahi kuwa na mawasiliano ya moja kwa moja na yeyote kati ya Dk. Mwakyembe, Spika Sitta, na Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Zuberi Kabwe, watu waliosema sana juu ya Dowans na Richmond.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Niliandika kutokana na hoja zao kama walivyonukuliwa na vyombo vya habari, na pia kwa kuisoma ripoti ya Dk. Mwakyembe kwenye kumbukumbu ya Bunge la 2005-2010 (Hansard).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini mara baada ya kupata ukweli kutoka upande mwingine nimeanza kuona mantiki ya madai ya Spika wa zamani mheshimiwa Samwel Sitta kwamba Dowans na Richmond ni dili ya genge la watu walioamua kuchota fedha za walalahoi wa nchi hii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kusema kweli imani yangu kwa serikali imepungua, na kupitia safu hii napenda kuifikishia serikali yetu iliyoko madarakani ujumbe huu kwamba iachane kabisa na usiri kwenye suala hili la malipo kwa Kampuni ya Dowans.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inabidi serikali iweke wazi kila kitu ili isitokee hali ya Watanzania wengi kukosa imani nayo, kwani kwa kadiri wananchi watakayokosa imani ndiyo serikali itakavyozidi kujipunguzia uhalali wa kutawala.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Suala la kupanda kwa gharama za umeme linawatia uchungu sana wananchi, na walio wengi wanalinasibisha na malipo kwa kampuni ya Dowans baada ya kushinda kesi ambapo sisi tumeamriwa kuwalipa mabilioni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mazingira yaliyopelekea Tanzania kushindwa katika shauri hilo, ama hali iliyoifikisha kampuni hiyo kwenye ushindi inatatanisha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Maelezo ya Mheshimiwa Waziri William Ngeleja kwenye taarifa yake ya Januari 6, mwaka 2011 kwa vyombo vya habari kuhusiana na tozo/uamuzi wa mahakama ya kimataifa ya usuluhisho, yameongeza utatanishi unaofanya wananchi makini wazidi kuishuku nia ya serikali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwanza, bado haijajulikana bayana hukumu ya mahakama hiyo ya kimataifa ilifanyika katika nchi gani ya dunia yetu, kwani wengine wanasema ilifanyika Paris nchini Ufaransa na wengine wanasema kikao cha Mahakama kilikuwa pale Kilimanjaro Hotel Kempsink. Je, ukweli ni upi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tafadhali serikali iliweke wazi neno hili na ikiwezekana mwenendo mzima wa kesi au “proceedings” zitolewe kwenye vyombo vya kuamriwa kulipwa kwa hayo mabilioni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama kweli kesi ilifanyika kwa uficho wakati inaeleweka kwamba kesi hii inagusa maslahi ya jamii? Ni kwanini mashahidi muhimu kama akina Mwakyembe hawakuitwa?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pili, uhalali wa kampuni hizi Richmond, Dowans ya Costa Rica na Dowans (T) Limited ya Tanzania uthibitishwe na kuwekwa wazi na msemaji mmoja wa serikali yetu ikiwezekana tamko litoke aidha kwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda ama kwa mwenyewe Rais Jakaya Kikwete.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sababu ya kusema hivi ni moja kwamba sasa kauli za mawaziri wake haziaminiki. Ninaposema haziaminiki sikusudii kuwavunjia heshima yao mawaziri wetu kwa kuchora picha ya kwamba siyo waaminifu la hasha!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bado nawachukulia wamezidi mno kutofautiana, karibu kila aliyejitokeza kusema, ametoa kauli yake tofauti na kauli za wenzake na hilo linatufanya sisi wananchi tuone kwamba wote wametoa hisia zao binafsi hakuna kauli inayotokana na kikao cha Baraza la Mawaziri.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mfano kulingana na Mheshimiwa Mwakyembe Kampuni za Richmond na Dowans ni kampuni hewa kwa maneno mengine ni kampuni za kitapeli.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwakyembe hajasema hivyo akiwa kama Naibu Waziri wa Miundombinu lakini taarifa yake bungeni akiwa kama Mwenyekiti wa kamati teule ya Bunge kwa ajili ya kuichunguza Richmond, ndivyo inavyosomeka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Siamini kama kuna tofauti kati ya Mwakyembe Waziri, na Mwakyembe mwenyekiti wa kamati ya uchunguzi ya Bunge, na hata kama kuna tofauti bado ukweli unabaki pale pale haubadiliki wala hautofautiani kwa sababu tu ya nyakati tofauti.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wananchi tunataka kujua kama kweli hizi ni kampuni “genuine” ama kampuni hewa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama itakuwa kweli ni kampuni hewa, kuna swali zito kwamba hiyo Mahakama ya Kimataifa ingewezaje kusikiliza hoja kutoka kwa kampuni ambayo kisheria haipo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivi ni kweli Mahakama ya Kimataifa iliyo makini inaweza kuamuru mamilioni ya fedha yalipwe kwa kampuni hewa na isiyotambulika kisheria kwamba iko?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapa kuna maswali mengi yanayoongeza mashaka dhidi ya serikali yetu kwamba hata hao hao wanaowasajili na kuwapokea wawekezaji katika nchi yetu hawako makini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mashaka yatakapoongezeka dhidi ya serikali, mwisho wake ni serikali kutoaminika na hao inaowatawala, na hatimaye kutoheshimika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ndiyo maana nasema inabidi sasa serikali iamke na kuondoa usiri wote uliogubika sakata la Dowans.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna kauli ya Mheshimiwa Samweli Sitta Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, amekuwa na ujasiri wa kusema yale yale aliyokuwa akisimamia hapo alipokuwa Spika wa Bunge, kwa hili namwona Sitta kama mtu aliyebeba dhamira ya kweli ya kupambana na ufisadi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sitta amenukuliwa kusema kwamba Dowans ni genge la watu watatu, na kwamba mabilioni ambayo yameamriwa kulipwa kwa Dowans ni mpango wa genge hilo kujikusanyika fedha kwaajili ya kampeni za urais 2015.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pamoja na kwamba hii ni kauli binafsi za urais tamko la serikali, bado wananchi tumeichukulia kwa umakini kwasababu Samuel Sitta siyo mtu wa kijiweni, ni Spika wa zamani Bunge la Muungano, na sasa ni memba wa Baraza la mawaziri, kauli yake haiwezi kupuuzwa na watanzania makini nahasa hapo inapojitokeza hali ya serikali yetu kuonekana inakubali kushindwa kirahisi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Serikali yetu inaonesha kuridhia na kuharakisha malipo ya dola za Marekani 65, 812, 630.00 ili deni hilo lisizae riba kubwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapa ndipo shina la uchungu linapochipuka moyoni mwa mlalahoi iweje TANESCO inayowakamua maskini bila huruma izitose milioni zote hizo kiulani kwa kampuni inayoshukiwa kwamba ni ya kitapeli?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ilipata mashaka juu ya utapeli wa Richmond LLC yafutwe kwanza ndipo tuje kwenye mjadala wa kwanini TANESCO (Tanzania) ilishindwa kirahisi kwenye kesi hii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mara ya kwanza nilipoandika kuwalaumu Mwakyembe, na Sitta kwa kuupotosha umma na pia kulishawishi Bunge kufanya maamuzi potofu nilikuwa na uelewa wa kwamba Richmond Development Company LLC (RDEVCO) ni kampuni halali na inayotambuliwa kisheria kwamba iko, kwani kwa uelewa wangu serikali makini isingeweza kuingia kwenye majadiliano na kampuni ambayo haiku (haina legal entity).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Niliamini pia wataalamu wa TANESCO wasingeweza kuingizwa mkenge na kuzidiwa ujanja na matapeli kwasababu wataalamu wetu wana elimu na uzoefu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia niliamini kwamba kwa jinsi ninavyouelewa urasimu wa kibenki kuanzia Benki za hapa nchini hadi benki za kimataifa, siyo rahisi benki iifungulie akaunti kampuni hewa na kuendesha “transactions” kadhaa huku kampuni husika ikiwa haina uhalali wowote wa kisheria.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwisho niliamini kwamba haingekuwa rahisi kwa kampuni ya Dowans kurithishana mkataba na kazi na kampuni hewa iitwayo Richmond, na kwa maana hiyo serikali yetu baada ya kubaini dosari za Richmond iliyoleta mtikisiko hata kwa baraza letu la mawaziri isingeridhia wala kutambua kurithishana mikataba baina ya Dowans na Richmond kwani ingekuwa ni ubatili kwa Dowans kurithi mkataba na kampuni ya Richmond ambayo serikali yote imejua kwamba ni kampuni hewa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kutokana na uelewa wa jinsi hiyo ndiyo maana nikawa nawaona Dk. Mwakyembe na Spika Sitta kama watu wanaoendesha siasa nyepesi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini mara baada ya hukumu kutolewa, inayoonyesha kwamba Tanzania imeshindwa kesi, na mwanasheria mkuu wa serikali kuishauri TANESCO iyakubali matokeo, hapo ndipo nilipozinduka kuona kumbe huko serikalini tuna watu ambao hawaisadii nchi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hii itakuwa mara ya tatu Tanzania kujeruhiwa sawa na mwanakondoo anavyoweza kularuliwa na kutafunwa na mbwamwitu akiwa hai.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mara ya kwanza ni kwenye ununuzi wa ndege ya Rais tukasikia serikali yetu ilimtumia wakala (Mhindi) badala ya serikali yenyewe kuwasiliana moja kwa moja na wauzaji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakala huyo huyo akatumika pia kwenye ununuzi wa magari ya jeshi letu, mbaya zaidi ikatokea kwamba ndege hiyo iliyonunuliwa kwa bei mbaya ni mbovu na sasa haitumiki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mara ya pili ikawa kwenye ununuzi wa rada, pia serikali yetu ikamtumia wakala badala ya kuwasiliana moja kwa moja na wauzaji, mbaya zaidi ni kwamba bei ya rada hiyo ikawa juu kuliko thamani yake halisi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ajabu ni kwamba ni Waingereza ambao walionyesha kukerwa na rushwa hiyo kuliko sisi Tanzania walipaji wa fedha hizo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mpaka hapo kwanini mwananchi wa kawaida asiamini kwamba serikali yetu imeridhia rushwa kubwa na inaonea walaji rushwa wadogo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rais wetu Jakaya Mrisho Kikwete hata baada ya kujua pasipo shaka kwamba kuna watu walionufaishwa kutokana na ununuzi wa rada, hakuonyesha ukali wowote walau kuagiza wahusika wachukuliwe hatua za kisheria.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hali hiyo imesababisha wananchi tujiulize hivi ni kweli wapelelezi wa Uingereza wa kitendo cha SFO ni waongo au viongozi wetu wa kitaifa ndio wasiokuwa na uchungu na kodi zetu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na kama hawana uchungu inakuwaje wakose uchungu kwa rushwa kubwa na wawe na uchungu kwa rushwa ndogo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapa ndipo yanapoibuka mashaka kwamba viongozi wetu wa serikali kuu wanahusika na rushwa kubwa na kama hawahusiki kwa njia moja au nyingine, basi walau wananufaika kutokana na rushwa hizo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hadi hapo tunafikia kwenye nukta ya kwamba serikali imefanywa kuwa mtuhumiwa na wananchi inaowatawala hivi kweli itaendelea kuwatawala wakati inatuhumiwa?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ndiyo maana nasema umefika wakati kwa serikali kujisafisha na kujiweka mbali na tuhuma ili kudumisha uhalali wake wa kutawala kwani tuhuma za mara kwa mara zinaipunguzia serikali yetu uhalali wa kutawala.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Namna ya kujisafisha ni rahisi sana ianze na kuondoa usiri kwenye sakata hili la Dowans iweke wazi kila neno hata pale ilipoteleza ama ilipopungukiwa umaskini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wananchi wakiwa hata pale ilipokosea wataisamehe na kuendelea kuiheshimu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Serikali iwatoe wote waliohusika na kuichafua iwaambie wazi wazi kwamba kila mmoja aubebe msalaba wake mwenyewe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rais Kikwete ajiweke mbali na kila anayetuhumiwa kukosa uadilifu vinginevyo kama ataendelea na utamaduni wake wa kutaka kuwa rafiki wa wote kwa wakati wote basi ajue kwamba kila mmoja kati ya hao walio karibu naye atakaponuka harufu ya rushwa, atamwambukiza na yeye ataanza kutoa harufu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Asije kushangaa kujikuta akizomewa na wananchi kwenye ziara zake za kukagua maendeleo. Wengine wana hasira ya kupandishwa umeme na TANESCO, majibu ya mheshimiwa Ngeleja hayatoshi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwandishi anapatikana kwa simu namba 0715 311422/ 0767 3111422/0786 311422. Au barua pepe kusupa@yahoo.com&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-3032369020019090671?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/3032369020019090671/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=3032369020019090671' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/3032369020019090671'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/3032369020019090671'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/01/malipo-ya-dowans-usiri-wa-nini.html' title='Malipo ya Dowans, usiri wa nini?'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-6157472821987675289</id><published>2011-01-12T11:01:00.001Z</published><updated>2011-01-12T11:01:59.512Z</updated><title type='text'>Mkurugenzi Manispaa ya Arusha anasubiri nini?</title><content type='html'>Ruhazi Ruhazi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;KWA mara ya kwanza upuuzi wa watendaji wanaopewa mamlaka ya kusimamia uchaguzi yameacha kovu la aina yake na kuchafua demokrasia nchini, hususan Tanzania Bara baada ya watu watatu kuuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa na polisi wiki iliyopita jijini Arusha.Kumwagwa kwa damu hizo za wananchi wasio na hatia, kumetokana na dharau na kiburi kisichokuwa na sababu za msingi kilichofanywa na Mkurugenzi wa Manispaa ya Arusha, kuendesha uchaguzi wa meya wa jiji hilo kihuni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mkurugenzi huyo, aliendesha uchaguzi kwa kile ambacho hajakisema lakini kinachoonyesha kwamba alipanga kukipa Chama Cha Mapinduzi (CCM), meya wa jiji hilo kwa kuendesha uchaguzi kinyemela baada ya kujua kuwa madiwani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) hawapo ukumbini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hili liliwalazimisha madiwani kutoka chama hicho kilichoshinda kiti cha ubunge wa Arusha Mjini, kuja juu na kuhoji uamuzi wake na uhalali wa kikao hicho cha uchaguzi wa meya, aliousimamia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Matokeo yake yalikuwa ni kudhalilishwa na kuvunjiwa heshima kwa madiwani hao wa CHADEMA pamoja na Mbunge wa Arusha Mjini, Godbles Lema, aliyepigwa na polisi hadi kupoteza fahamu bila sababu za msingi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbali ya kipigo hicho na udhalilishwaji wote uliofanywa na polisi, bado mkurugenzi huyo hakuona ulazima wa kukaa na madiwani wa CHADEMA na kuzungumza nao ili kuondoa msigano uliokuwepo na ikibidi uchaguzi urudiwe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Badala yake aliweka msimamo akijibu kwa nyodo na jeuri kwamba uchaguzi umeshafanyika, anayepinga na apinge lakini yeye hawezi akapoteza muda kuitisha uchaguzi mwingine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kauli hizo za kiburi na dharau ziliwasukuma madiwani na wabunge wao kuamua kulifikisha suala hilo kwa uongozi wa juu wa chama ili kupata namna nzuri ya kulipatia ufumbuzi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni hapo ulipoandaliwa mkutano wa hadhara, ambao ungetanguliwa na maandamano ya amani ya kulaani uamuzi wa mkurugenzi huyo wa kuitisha na kusimamia uchaguzi kihuni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni bahati mbaya kwamba Inspekta wa Polisi nchini (IGP) Said Mwema, amesahau wajibu wake, utu umemtoka kwa sababu ya ama kutaka kuwalinda ama kuwatetea waliompa ulaji huo, ama kwa sababu za maslahi fulani akawaamru vijana wake wapige watu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kweli vijana wakatii agizo lake wakapiga, wakajeruhi na mwisho wakaua.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sipati picha jinsi Mwema alivyojisikia baada ya mauaji hayo kwani hakuwa tayari kuomba msamaha, bali alipaza sauti na kusema mauaji na upigwaji huo ulikuwa halali kwa sababu watu hao walikiuka agizo halali la polisi la kutofanya maandamano hayo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ninaamini atatufanyia kiburi na mzaha hapa duniani, kwa sababu wanasheria wetu hawatampandisha kizimbani na hata ikitokea umma ukashinikiza hivyo, bado hakuna jaji atakayemtia hatiani kwa sababu iliyo wazi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini Mwema afahamu kuwa roho za watu hao watatu atakwenda kuzilipa haki zao kwa yule hakika asiyeonea, anayehukumu kwa haki, asiyekula rushwa ili kuchakachua matokeo, atambe na kusema kila neno atakalo kwa sasa lakini naamini siku hiyo atajuta na kusaga meno na atayakumbuka haya nimwambiayo leo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hao anaowafurahisha leo kwa kuua watamruka na kumkana, atabaki kusutana na roho za watu hawa aliowaua bila hatia kwa kisingizio cha kutekeleza habari zake alizoletewa na wanaintelijensia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chonde Mwema, huna cha kujitetea, kwa hili hutasema chochote jamii ikusamehe, cha msingi jiuzulu, uwasake ndugu wa wote waliouawa uwaombe msamaha, huku ukikesha kumuomba msamaha Mola wako.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kuwa chanzo cha yote haya ni ushabiki wa kisiasa, uliofanywa na Mkurugenzi huyu wa Jiji la Arusha, ninamuuliza anasubiri nini kujiuzulu hadi leo? Kwa nini asijiuzulu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Siku zote tunasema chanzo cha mauaji ya haliki ni uonevu na dhuluma za aina hii, inafikia mahali mamia kwa maelfu ya watu wanaamua kujitoa mhanga kwa kuutoa uhai wao kwa kupigania haki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ninajiuliza, kwa nini Mwenyezi Mungu hakumsogeza jamaa yeyote wa Mwema au mmoja wa viongozi wetu wa juu ndugu au jamaa yake asiwe mmoja wa watu ambao risasi zingevisambaratisha vichwa ama vifua vyao ili tulie sote?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;CCM, Mwema na polisi wenzake, wanasahau kuwa siku moja nao watakuwa wapinzani, je, hoja zao zizimwe kwa mabavu kama vinavyofanya vyombo vyao vya dola leo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna mambo ambayo yanapotokea lazima tukubali kukiri makosa bila kusubiri kukosolewa au kunyooshewa kidole na yeyote kwa namna na jinsi yoyote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mauaji ya watu wasio na hatia yataendelea kubaki kama moja ya doa baya katika historia ya utawala wa Kikwete.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kutochukua hatua za kuwawajibisha wawili hawa na wengine wote waliohusika kwa mauaji hayo kwa namna moja ama nyingine ni sawa na kulichimbia bomu ardhini, ambalo hata likikaa karne moja, kuna siku litalipuka na haitaangalia litamlipukia nani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jambo jingine lililo la msingi hapa ni kwa serikali kuamuru uchaguzi wa meya na naibu wake ufanyike upya, ushirikishe madiwani wote wenye sifa za kushiriki na kusiwe na hila za aina yoyote kwa nia ya kuchakachua matokeo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aachwe mshindi apatikane kwa kura halali, kwa kuwa madiwani wana utashi na uamuzi wao na ikumbukwe kuwa yeyote atakayechaguliwa, atafanya kazi kwa nia ya kuleta maendeleo kwa wananchi wa Arusha na si chama cha siasa anachokiwakilisha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwandishi wa makala hii anapatikana kwa simu namba 0784 au 0713- 765757, barua pepe:wiruhinda@yahoo.com&lt;br /&gt;juu&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-6157472821987675289?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/6157472821987675289/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=6157472821987675289' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/6157472821987675289'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/6157472821987675289'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/01/mkurugenzi-manispaa-ya-arusha-anasubiri.html' title='Mkurugenzi Manispaa ya Arusha anasubiri nini?'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-1760116643486704004</id><published>2011-01-12T10:59:00.000Z</published><updated>2011-01-12T11:00:25.870Z</updated><title type='text'>Uchaguzi kwa Watanzania haujaisha</title><content type='html'>M. M. Mwanakijiji&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;TUNAAMBIWA kuwa “uchaguzi umekwisha” hivyo tusiendelee na malumbano ya kisiasa. Tuaambiwa “uchaguzi umekwisha” na kuwa tuendelee na mambo mengine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na wengine wanasema “uchaguzi umekwisha” wakimaanisha kuwa wananchi wasifuatilie mambo yanayofanywa na viongozi wao na serikali yao kwani kwa kuyafuatilia kwa karibu ni sawasawa na kuendeleza kampeni za kisiasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mawazo ya “uchaguzi umekwisha” yameanishwa vizuri na Rais Kikwete katika hotuba yake ya mwaka mpya ambapo alinukuliwa kusema kuwa “Naomba kurudia kukumbusha kuwa uchaguzi ulishaisha Oktoba 31, 2010 na malumbano ya kampeni za uchaguzi yalimalizika wakati ule. Sasa ni wakati wa kuendelea kufanya shughuli zetu za kawaida za kujiletea maendeleo yetu wenyewe na ya nchi yetu. Kuendeleza malumbano na kuendelea kuishi kama vile kampeni za uchaguzi bado zinaendelea si sahihi hata kidogo.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ina maana gani kusema kuwa “uchaguzi umeisha”? Wanapotuambia kuwa “uchaguzi umeisha” maana yake ni kuwa wananchi wasifuatilie siasa za watawala. Hii ina maana ya kwamba wananchi wanasababu ya kufuatilia siasa za nchi yao wakati wa mwaka wa uchaguzi au wakati wa kampeni. Hivyo wale wanaotaka wananchi wasiwafuatilie na kuwahoji, wanataka watu wakubali tu kuwa uchaguzi umeisha?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wanaposema “uchaguzi umeisha” wanachotaka kusema ni kuwa tuwaache watawale wapendavyo. Kwamba, tukihoji maamuzi yao, tukiuliza kauli zao au tukiwapinga tutaonekana kuwa tunaendeleza “malumbano” ya kisiasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo, jambo jema kwao ( au kwetu kwa maoni yao) ni kuwa tuwaache wafanya kazi zao, waseme wanalosema, watende wanavyotaka; tusiwahoji au kuwapinga. Wanachotaka ni kuwa tuwape uwanja huru wa wao kutawala wanavyopenda kwani kwa vile wao ndio wako madarakani na wameshinda uchaguzi basi tuwaache wafanye tu wanavyotaka na tusubiri hadi mwaka mwingine wa uchaguzi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wanaposema “uchaguzi umekwisha” wanachotaka kutuambia ni kuwa wao waendelee na siasa sisi wengine tusiendelee nazo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Yaani, wao watamke jina la chama chao wanavyopenda, wao watangaze sera zao bila kuhojiwa na kuwa wao wajiimarishe wakitumia mgongo wa serikali huku wengine wakikaa kimya kwa vile “uchaguzi umekwisha”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wanachotaka ni kuwa wao waimarike kama chama cha siasa baada ya kibano walichokipata katika uchaguzi uliopita ili hatimaye wajipange vizuri.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo, wanachotaka ni kuwa vyama vingine, wanasiasa na wanaharakati wengine wakae kimya huko wao watawala wakiendelea kujiimarisha na kujijenga kisiasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ndiyo maana wanataka wengine waache malumbano ya siasa lakini wao wawendelee nayo. Wao wanataka kuendelea kupiga picha za ki - CCM, kutangazwa na vyombo vya habari n.k lakini wapinzani wakitangazwa itaonekana ni kuendeleza kampeni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hilo hata hivyo haliwezekani kwani katika demokrasia siasa ni maisha ya kila siku. Huwezi kufuta siasa kwa siku moja au kwa miezi hadi wakati wa kampeni. Siasa ni maisha ya watu, ni maamuzi ya kila siku na ni matokeo ya maamuzi hayo ya kila siku. Siasa ni sawasawa na pumzi ya kila siku ya taifa, hivyo haiwezi kutenganishwa na maisha ya taifa hilo. Hivyo, haiwezekani kuacha siasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini ukweli pia ni kuwa mwisho wa uchaguzi mmoja ndio mwanzo wa uchaguzi mwingine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kitu ambacho kimefikia kikomo mwaka 2010 ilikuwa ni kupiga kura siyo uchaguzi wenyewe. Uchaguzi kwa Watanzania haujaisha bado kwani kila siku wanajikuta wanafanya uchaguzi mpya au wanaendelea na uchaguzi ule ule. Walimaliza kupiga kura siku ile lakini wengine baada ya matokeo ya uchaguzi wamejikuta wanajutia uchaguzi huo na sasa wanaanza kufikiria uchaguzi mpya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Yote hiyo ni sehemu ya uchaguzi wa kudumu kwani ni katika kufuatilia siasa za nchi yao ndivyo wanavyozidi kujua mwelekeo wao wa kisiasa uwe vipi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni katika kusikilia maneno na kuangalia matendo ya viongozi wao Watanzania wanajikuta wanazidi kuelewa kama kura yao ya Oktoba 31, 2010 ilikuwa ni sawa au la.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Na ni kutokana na ukweli huu ndio maana basi tunaweza kusema kwa uhakika mkubwa tu kuwa mwisho wa uchaguzi mmoja ndio mwanzo wa mwingine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hii ina maana ya kwamba, kipindi cha kutoka uchaguzi mmoja kwenda mwingine ni kipindi cha kufuatilia na kuangalia wale walioshinda wanatawala vipi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Siyo kipindi cha kukaa pembeni na kukunja nne na kuwaangalia kutoka kwa mbali tu. La hasha kwani kufanya hivyo ni sawa na kuwaachia mbuzi bustanini ukitegemea watakula magugu tu ati kwa sababu hakuna mbuzi wengine karibu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Watawala wote duniani wasipoangaliwa na watawaliwa wao kwa karibu wana mwelekeo mmoja wa kuelekea ufisadi, kujinufaisha, kufuja fedha na matumizi mabaya ya madaraka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Itakuwa ni makosa makubwa sana kwa mpiga kura kukaa pembeni baada ya uchaguzi na kujisahau akitegemea kuwa watawala watafanya yote walioahidi bila ya kuwaangalia kwa karibu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni kwa sababu hiyo basi vyama vya upinzani vina nafasi ya pekee katika kuhakikisha kuwa chama tawala hakilali madarakani au viongozi wake hawatumii nafasi ya wao kuwa madarakani kutawala bila ya kujali. Wapinzani wana jukumu la kuendeleza siasa hadi uchaguzi mwingine unapokuja hawawezi kukaa pembeni na kutokuwa wapinzani vinginevyo waitwe wapinzani wa msimu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Upinzani wa kweli ni kufuatilia serikali iliyoingia madarakani kuanzia siku ile walipoapishwa kuingia madarakani. Upinzani wa kweli na imara ni ule ambao haufumbi macho hata sekunde moja ati kwa vile kupiga kura kulimalizika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kutokana na ukweli huu Chama cha Mapinduzi (CCM), hakina budi kutambua kuwa siasa hazijaisha kwa sababu siku ya kupiga kura imepita. Viongozi wake ni lazima watambue kuwa wanasiasa wa upinzani hawawezi na hawapaswi kuacha siasa ati kwa sababu wao (watawala) wanakereka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Njia pekee ya kunyamazisha upinzani na siasa kuendelea wakati huu ni kwa CCM na Serikali yake kupiga marufuku vyama vyote vya siasa, kukataza waandishi kuandika mambo ya siasa na ikiwezekana kuwatia pingu wanasiasa na waandishi wote ambao wanaendeleza “malumbano ya kisiasa”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hiyo ndiyo njia pekee ya kuhakikisha kuwa uchaguzi umekwisha kweli. Nje ya hapo, libeneke la demokrasia linaendelea na litaendelea.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-1760116643486704004?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/1760116643486704004/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=1760116643486704004' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/1760116643486704004'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/1760116643486704004'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/01/uchaguzi-kwa-watanzania-haujaisha.html' title='Uchaguzi kwa Watanzania haujaisha'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-5427988428954822267</id><published>2011-01-12T10:58:00.000Z</published><updated>2011-01-12T10:59:43.533Z</updated><title type='text'>Tumetapakaa damu hadi nafsini mwetu</title><content type='html'>Paschally Mayega&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;RAIS wangu, kama tutaendelea kufikiri hivi tunavyofikiri na kutawala hivi tunavyotawala nina hakika yote yaliyoandikwa katika kitabu cha Mwalimu Mkuu wa Watu yatatimia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Yametokea mauaji ya kinyama Arusha na bado kuna wanafunzi waliojeruhiwa katika mapambano kati ya wanafunzi wa Chuo Kikuu Dodoma na Polisi wa Serikali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bado tena tunasubiri maandamano mengine. Kwa nini tunataka tufike huko? Wote walio makini wanajua kuwa kama wale watu wangeachwa waandamane na wahutubiane hakuna ghasia zozote ambazo zingetokea. Lakini kwa ujinga wa mtu mmoja mikono yetu imetapakaa damu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hatupendezi tena mbele ya macho ya mataifa. Tunaonekana wauaji. Tumepandikiza chuki nzito ndani ya mioyo ya watu wetu dhidi yetu. Kutawala kwetu kuna utamu gani tena? Lakini na hukumu ya Mwenyezi Mungu dhidi yetu kwa mauaji haya iko pale pale!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rais wangu mtu mjinga hufikiri kijinga. Na kwa ujinga huo maisha ya Watanzania yamepotea. Wako wengi watakaobaki vilema siku zote za maisha yao. Mtu mjinga hajifunzi kutokana na yaliyotangulia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni mpinzani gani atakuja kuwa maarufu kama alivyokuwa ndugu Augustino Lyatonga Mrema wa NCCR Mageuzi? Idadi ya mabomu aliyopigwa Mrema na wafuasi wake inapita kiasi. Watu walipigwa na Polisi wengine ni vilema mpaka leo. Mungu bariki, mwana mwema Julius Kambarage Nyerere, Baba wa Taifa hili alikuwa hai. Alikemea akasema, “Acheni kupiga watu. Huyo anayebebwa muacheni abebwe hata kama wanaombeba watakuwa wanapokezana kama jeneza!”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Julius ulale pema peponi! Mabomu kwa Mrema yalipokoma na umaarufu wa Mrema ukakoma. Leo mwana mwema Lyatonga ukitaka kumsoma kama yuko upinzani mpaka uvae miwani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rais wangu tunaambiwa kuwa Yesu Kristu alipoona saa yake imekwisha aliinua macho yake juu akamshukuru Mungu akisema, “Baba nakushukuru kwa kuwa wote ulionipa sijampoteza hata mmoja!” Baba utakapokuwa unaondoka utakabidhi wangapi? Utakuwa umepoteza wangapi? Wote wanaopayuka hivi sasa na kutoa amri za kipuuzi siku yako ya kukabidhi mahesabu mbele ya Mwenyezi Mungu hawatakuwapo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Siku hiyo utasimama mbele ya haki peke yako! Msaada wako utatoka wapi? Tumeiacha njia ya kweli, tumwombe Mungu atufundishe kufanya ibada.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwana mwema aliniandikia akasema, “Mwalimu mkuu tusalie kwakuwa wewe Mungu wako huwa anakusikia!” Tumwombe Mwenyezi Mungu ashushe huruma yake juu ya watu wake, atuondolee viongozi wasio na busara.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukurasa wa nane kitabu cha Mwalimu mkuu wa watu tunasoma, “Maandamano yalijumuisha watoto, vijana, wazee, akinamama, na hata vilema na ulemavu wao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Waliendelea mbele na kukata kushoto kuingia katika barabara iendayo moja kwa moja. Hapo ndipo…lahaula! Walikutana na askari wengi wa kutuliza ghasia waliojisheheneza silaha nzitonzito. Basi bila onyo wala hadhari yoyote, na kwa nguvu kubwa ajabu, askari wale wa kutuliza ghasia walianza kutuliza ghasia ambayo kwa kweli haikuwepo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Walifyatua risasi za moto. Walifyatua risasi za mpira. Walifyatua mabomu ya machozi. walitumia virungu na silaha nyingine nyingi dhidi ya ule umati. Kwa kufanya hivyo, askari wa kutuliza ghasia wakawa wameanzisha ghasia kubwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ilikuwa tafrani kubwa patashika nguo kuchanika. Traa tra….. traa…bunduki zilifyatuliwa ovyo. Mabomu ya machozi yalilipuliwa na virungu kutembezwa ovyo. Waliopoteza maisha yao waliyapoteza. Waliojeruhiwa walijeruhiwa. Watu walikimbia hovyo kusalimisha maisha yao. Umati ulitawanyika na kusambaa huku na huko. Moshi wa risasi na ule wa kiwandani ulizagaa hovyo hewani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Patashika yake ilikuwa kubwa na matokeo yake yalimtoa machozi kila aliyekumbuka baadaye. Aliyesimuliwa alishindwa kuelewa ni kwa kiasi gani binadamu anaweza kuwa mkatili kwa binadamu mwenzake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Askari wa kutuliza ghasia walianzisha ghasia ambazo mwisho wake ulikuwa ni vifo, majeruhi, mateso na vilio vingi vya wale waliokuwa wakizitoa roho zao. Huo ndio ukawa mwisho wa maandamano ya amani”. Hapo serikali ikawa imejichongea yenyewe kwa wananchi.Ndugu Edward Lowassa alishauri wana wema wa Arusha wakae pamoja kama ndugu walipatie ufumbuzi jambo lililowasibu. Mawazo ya mtu mwenye busara. Lakini mwana wa shetani akampuuza. Sasa wana wa nchi hii wanauawa kama nguruwe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Busara imekosekana katika uongozi wetu. Huyu na mwenzake wa Arusha anayekashfu viongozi wa dini siyo viongozi wanaofaa. Ni watu wa hovyohovyo. Chuki wanayoipandikiza katika mioyo ya wananchi inaelekezwa kwa mkuu wa nchi maana ndiye mwenye dhamana ya kuwaadabisha. Mbele ya wananchi hawa hawana thamani yoyote!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rais wangu tuambie askari wa serikali walipowafikia waandamanaji walikuta ghasia gani? Walianzaje kutuliza ghasia ambayo haikuwapo? Malaika wa Mungu watoto wadogo nao walifanya ghasia gani? Wasafiri pale stendi walileta ghasia gani? Wote waliadhibiwa. Kosa lao shetani peke yake anajua. Unatulizaje ghasia kwa kumvua mwanamke nguo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baba kuua watu hapana. Waache Watanzania katika neema uliyowakuta nayo na Mungu atakubariki. Wameanza kuwa sugu kwa shuluba za polisi. Watakapoyakumbuka maneno ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere risasi za kuua mlizonazo hazitawatosha Watanzania wote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwana mwema Maturo akaandika, “Arusha imekuwa Kenya ndogo. Siyo tena raia bali polisi wanakimbia raia. Ningefurahi kama Kikwete na Makamba wangekuwa Arusha maana ndio waliosababisha hali hii. Kama kuongoza halmashauri wanatumia nguvu hivi, nchi itakuwaje?”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mtaua wangapi? Wako watakaobaki kwa ajili ya kuwahukumu wahusika. Kweli kweli nawaambieni mwisho wao utakuwa mchungu kuliko shubiri. Nao hawatachagua baba, mama, wala mtoto. Ole! wao watu hawa, kwa maana ingelikuwa bora kwao kama wasingezaliwa!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Josephine Mushumbusi mama mjamzito mwili wake ulitapakaa damu zilizokuwa zinamvuja kutoka kichwani! Wanyama wale walimpiga mama huyu mpaka wakampasua kichwa. Akiwa katika maumivu makali mama yule alilia, “Nipigeni! Niueni! Nitakufa kwa ajili ya kutetea wananchi wengi walio maskini na wanyonge.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama nchi imefikia hivi, hali si nzuri…mnanipiga kiasi hiki wakati nimeisha waambia nina ujauzito….hakuna neno. Damu mlioimwaga haitaenda bure. Lazima matunda yake yatapatikana kwani wananchi watapata haki zao. Hata huyo dereva mnayemtoa sadaka damu yake haitaenda bure.”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika mateso makali kama haya bado mama huyu hakujililia yeye. Anawalilia wananchi maskini na wanyonge. Mungu atambariki. Kilio hiki alilia Mahlangu mpigania uhuru wa Afrika Kusini alipokuwa anawekwa katika kitanzi tayari kwa kunyongwa na utawala katili wa makaburu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema: “Damu yangu itakayomwagika itazirutubisha mbegu za mti utakaochipua na kuleta uhuru wa kweli.” Kristu Yesu akiwa katika magumu aliwaambia wale wanawake waliokuwa wanamlilia, “Msinililie mimi, jililieni wenyewe na watoto wenu.” Walio wema huwaza wengine kwanza. Watawala wetu wamepofuliwa na umimi kwanza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Waliowatuma kutenda unyama huu walibaki katika makasri yao wakiangalia katika runinga vijana wao wakifanya kazi waliyowatuma. Mungu apishe mbali! Wasome ukurasa wa 60 katika Mwalimu Mkuu wa Watu imeandikwa, “Ala kumbe! Kila zama na watu wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Walikuwapo wafalme waliokuwa na mamlaka na majeshi yenye nguvu kupindukia. Watawala walioitawala dunia kwa upanga wa moto. Leo wako wapi? Hawako tena. Wamekwishapita.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Walikuwepo masultani waliofanya kila aina ya ufirauni, wao wakiuita starehe! Je, leo wako wapi? Hawako tena! Wamekwishapita.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Walikuwepo majemedari Nduli walioua raia na askari kwa maelfu kwa utashi tu na ujivuni. Lakini je, leo wako wapi? Hawako tena! Wamekwishapita. Na sisi tunapita!” Wako wapi kina Mobutu Sese Seko, Iddi Amin na wenzake? Wote nyama ya udongo! Mpumbavu hudhani yeye ataishi milele!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Atawalaye kwa upanga atakufa kwa upanga”.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-5427988428954822267?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/5427988428954822267/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=5427988428954822267' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/5427988428954822267'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/5427988428954822267'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/01/tumetapakaa-damu-hadi-nafsini-mwetu.html' title='Tumetapakaa damu hadi nafsini mwetu'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-401379058075210681</id><published>2011-01-09T08:23:00.002Z</published><updated>2011-01-09T08:25:32.979Z</updated><title type='text'>Slaa amkaanga Kikwete</title><content type='html'>•  Ataka iundwe tume ya kuchunguza mauaji Arusha &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;na Waandishi wetu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;   &lt;br /&gt;KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amesema Rais Jakaya Kikwete, anawahadaa Watanzania kwa kauli za kisanii na utani kwenye masuala nyeti yahusuyo taifa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Slaa alitoa kauli hiyo siku moja baada ya Rais Kikwete kuwaambia mabalozi wanaowakilisha nchi zao hapa nchini kuwa vurugu zilizotokea mkoani Arusha na kusababisha vifo na majeruhi kwa wafuasi wa CHADEMA ni tukio la bahati mbaya na anaamini litakuwa la kwanza na la mwisho kutokea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili jana, Dk. Slaa alisema Rais Kikwete hakupaswa kutoa kauli kama hiyo wakati huu na badala yake anatakiwa aunde tume huru itakayochunguza undani wa tukio hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dk. Slaa alisema tume ambayo Rais Kikwete anatakiwa kuunda, iwajumuishe majaji bila kuwahusisha polisi kwa kuwa hawawezi kutenda haki kutokana na kuhusika moja kwa moja katika tukio hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Kusema kwamba tukio hilo ni bahati mbaya, ni jambo la utani kwa Watanzania na ni usanii, anachotakiwa ni kuunda tume huru itakayochunguza tukio hilo, ambayo itaundwa na majaji bila kuwashirikisha polisi. Najua hawawezi kutenda haki,” alisema.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alibainisha kuwa vitendo vya polisi kutumia nguvu kupita kiasi vimekuwa vikifanywa mara kwa mara kwa lengo la kuwadhibiti wapinzani, hivyo ni vema wanaohusika wakawajibishwa ili hali hiyo isijitokeze.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aliongeza kuwa Rais Kikwete, hawezi kuonekana shujaa kama hatafanya jitihada za dhati za kuruhusu vyama vya upinzani kufanya shughuli zake kwa uhuru na uwazi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Kila mtu ni shahidi, nguvu zinazotumiwa na ndugu zetu polisi kuwazima wapinzani, hasa maeneo tunayotoa upinzani mkali kwa CCM, Kikwete awawajibishe, si kutoa kauli zisizotekelezeka,” alisema.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema anashangazwa na kauli ya Waziri wa Mambo ya Ndani, Shamsi Vuai Nahodha ya kutaka vyama vya CHADEMA na CCM kuketi mezani ili kumaliza tatizo hili ambalo ameliita ni la kisiasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dk. Slaa alimtaka Rais Kikwete kumfuta kazi Waziri Nahodha, kwa sababu ameshindwa kumudu majukumu yake ya kikatiba.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Nimeshangazwa sana na kauli ya Waziri wa Mambo ya Ndani, Shamsi Vuai Nahodha, yaani serikali mpaka watu wapigwe na kuuawa ndipo itambue tatizo, nilitegemea Rais Kikwete angemfuta kazi mara moja kwa vile ameshindwa kutimiza kazi yake kikatiba,” aliongeza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dk. Slaa na mchumba wake, Josephine, jana walikwenda katika Hospitali ya Taifa Muhimbili ambako walifanyiwa uchunguzi wa kina na kurejea nyumbani, kutokana na kujeruhiwa vibaya kwa kupigwa na polisi wakati wa vurugu zilizojitokeza jijini Arusha Jumatano iliyopita.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mkoani Arusha, Naibu Meya wa jiji hilo, Michael Kivuyo, amejiuzulu wadhifa huo kwa madai hawezi kushikilia nafasi hiyo huku akishuhudia damu ya wananchi waliompa nafasi ya kuingia madarakani ikimwagika kwa sababu ya uroho wa madaraka wa viongozi wa chama tawala (CCM).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Msimamo huo aliutangaza jana, ambapo alisema lengo la kuwania nafasi hiyo ni kuwaletea maendeleo wananchi lakini hawezi kutimiza majukumu yake ikiwa wale anaowatumikia wanauawa au kunyanyaswa pasipo sababu za msingi. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Mimi nilikuwa na malengo ya kutaka kuleta maendeleo katika Jiji la Arusha wakati nawania nafasi hiyo lakini kwa hali ilivyo sasa nitakuwa msaliti kwa wananchi wa Arusha kama sitajiuzulu, walionichagua wanauawa, sasa kwanini niendelee kung’ang’ania madaraka?” alihoji. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alibainisha kuwa mara baada ya uchaguzi wa meya na naibu wake kufanyika, alibaini makosa yaliyofanyika katika uchaguzi huo na kuamua kumfuata Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Isidori Shirima, ambapo alimshauri kuzikutanisha pande zote (CCM na CHADEMA) ili kusuluhisha tatizo hilo. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema pamoja na jitihada zake hizo ambazo kwa kiwango kikubwa zililenga kutaka mji wa Arusha uendelee kuwa kitovu cha amani na kivutio cha utalii lakini ushauri wake ulipuuzwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kujiuzulu huko kwa Kivuyo pamoja na matamko yaliyotolewa na viongozi wa dini kutomtambua Meya wa Jiji la Arusha kunakiweka katika wakati mgumu Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambacho kinadaiwa kufanya hila katika uchaguzi wa meya kwa kumjumuisha diwani wa Mkoa wa Tanga kupiga kura za kumchagua Meya wa Arusha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo Meya wa Jiji la Arusha Gaudence Lyimo (CCM) juzi alinukuliwa na baadhi ya magazeti kuwa hafikirii kujiuzulu licha ya kukabiliwa na shinikizo kutoka kwa watu mbalimbali wa ndani na nje ya Mkoa wa Arusha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika hatua nyingine, Chama cha TLP Mkoa wa Arusha, kimeilaani serikali na Jeshi la Polisi kwa kuhusika na mauaji yaliyotokea wakati walipoamua kuingilia kati na kuvunja maandamano yaliyokuwa yakifanywa na viongozi na wanachama wa CHADEMA Novemba 5, mwaka huu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akizungumza na waandishi wa habari, Mwenyekiti wa chama hicho mkoa na mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho taifa, Leonald Makanzo, alisema wanawataka Waziri wa Mambo ya Ndani, Shamsi Vuai Nahodha na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Said Mwema, wajiuzulu nyadhifa zao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Makanzo alisema kuwa viongozi hao wanapaswa kuchukua uamuzi huo kwa kuwa wao ndio walihusika na kutoa amri ya kuvunja maandamano kwani awali Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha liliyaruhusu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alibainisha kuwa ili kuonyesha kuwa TLP, imekerwa na kitendo hicho kilichosababisha damu ya watu isiyo na hatia kumwagika na wengine kufariki dunia, walimuagiza Diwani wa Kata ya Sokoni One, Michael Kivuyo, ambaye alichaguliwa kuwa Naibu Meya kujiuzulu wadhifa wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Makanzo alisema uamuzi huo umeamuliwa na sekretarieti ya chama hicho mkoa, umefanywa kwa kuamini kuwa CHADEMA walikuwa wakifanya harakati za kisiasa kupigania ukombozi wa demokrasia hapa nchini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema kuwa TLP ni wana mageuzi na wanaunga mkono jitihada zilizokuwa zikifanywa na CHADEMA, ambayo ilikumbana na nguvu ovu za polisi, ambao waliamua kutumia mabomu ya machozi na risasi za moto kukabiliana na waandamanaji.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-401379058075210681?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/401379058075210681/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=401379058075210681' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/401379058075210681'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/401379058075210681'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/01/slaa-amkaanga-kikwete_09.html' title='Slaa amkaanga Kikwete'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-3274098853500063502</id><published>2011-01-09T08:23:00.001Z</published><updated>2011-01-09T08:25:26.192Z</updated><title type='text'>Slaa amkaanga Kikwete</title><content type='html'>•  Ataka iundwe tume ya kuchunguza mauaji Arusha &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;na Waandishi wetu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;   &lt;br /&gt;KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amesema Rais Jakaya Kikwete, anawahadaa Watanzania kwa kauli za kisanii na utani kwenye masuala nyeti yahusuyo taifa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Slaa alitoa kauli hiyo siku moja baada ya Rais Kikwete kuwaambia mabalozi wanaowakilisha nchi zao hapa nchini kuwa vurugu zilizotokea mkoani Arusha na kusababisha vifo na majeruhi kwa wafuasi wa CHADEMA ni tukio la bahati mbaya na anaamini litakuwa la kwanza na la mwisho kutokea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili jana, Dk. Slaa alisema Rais Kikwete hakupaswa kutoa kauli kama hiyo wakati huu na badala yake anatakiwa aunde tume huru itakayochunguza undani wa tukio hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dk. Slaa alisema tume ambayo Rais Kikwete anatakiwa kuunda, iwajumuishe majaji bila kuwahusisha polisi kwa kuwa hawawezi kutenda haki kutokana na kuhusika moja kwa moja katika tukio hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Kusema kwamba tukio hilo ni bahati mbaya, ni jambo la utani kwa Watanzania na ni usanii, anachotakiwa ni kuunda tume huru itakayochunguza tukio hilo, ambayo itaundwa na majaji bila kuwashirikisha polisi. Najua hawawezi kutenda haki,” alisema.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alibainisha kuwa vitendo vya polisi kutumia nguvu kupita kiasi vimekuwa vikifanywa mara kwa mara kwa lengo la kuwadhibiti wapinzani, hivyo ni vema wanaohusika wakawajibishwa ili hali hiyo isijitokeze.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aliongeza kuwa Rais Kikwete, hawezi kuonekana shujaa kama hatafanya jitihada za dhati za kuruhusu vyama vya upinzani kufanya shughuli zake kwa uhuru na uwazi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Kila mtu ni shahidi, nguvu zinazotumiwa na ndugu zetu polisi kuwazima wapinzani, hasa maeneo tunayotoa upinzani mkali kwa CCM, Kikwete awawajibishe, si kutoa kauli zisizotekelezeka,” alisema.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema anashangazwa na kauli ya Waziri wa Mambo ya Ndani, Shamsi Vuai Nahodha ya kutaka vyama vya CHADEMA na CCM kuketi mezani ili kumaliza tatizo hili ambalo ameliita ni la kisiasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dk. Slaa alimtaka Rais Kikwete kumfuta kazi Waziri Nahodha, kwa sababu ameshindwa kumudu majukumu yake ya kikatiba.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Nimeshangazwa sana na kauli ya Waziri wa Mambo ya Ndani, Shamsi Vuai Nahodha, yaani serikali mpaka watu wapigwe na kuuawa ndipo itambue tatizo, nilitegemea Rais Kikwete angemfuta kazi mara moja kwa vile ameshindwa kutimiza kazi yake kikatiba,” aliongeza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dk. Slaa na mchumba wake, Josephine, jana walikwenda katika Hospitali ya Taifa Muhimbili ambako walifanyiwa uchunguzi wa kina na kurejea nyumbani, kutokana na kujeruhiwa vibaya kwa kupigwa na polisi wakati wa vurugu zilizojitokeza jijini Arusha Jumatano iliyopita.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mkoani Arusha, Naibu Meya wa jiji hilo, Michael Kivuyo, amejiuzulu wadhifa huo kwa madai hawezi kushikilia nafasi hiyo huku akishuhudia damu ya wananchi waliompa nafasi ya kuingia madarakani ikimwagika kwa sababu ya uroho wa madaraka wa viongozi wa chama tawala (CCM).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Msimamo huo aliutangaza jana, ambapo alisema lengo la kuwania nafasi hiyo ni kuwaletea maendeleo wananchi lakini hawezi kutimiza majukumu yake ikiwa wale anaowatumikia wanauawa au kunyanyaswa pasipo sababu za msingi. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Mimi nilikuwa na malengo ya kutaka kuleta maendeleo katika Jiji la Arusha wakati nawania nafasi hiyo lakini kwa hali ilivyo sasa nitakuwa msaliti kwa wananchi wa Arusha kama sitajiuzulu, walionichagua wanauawa, sasa kwanini niendelee kung’ang’ania madaraka?” alihoji. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alibainisha kuwa mara baada ya uchaguzi wa meya na naibu wake kufanyika, alibaini makosa yaliyofanyika katika uchaguzi huo na kuamua kumfuata Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Isidori Shirima, ambapo alimshauri kuzikutanisha pande zote (CCM na CHADEMA) ili kusuluhisha tatizo hilo. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema pamoja na jitihada zake hizo ambazo kwa kiwango kikubwa zililenga kutaka mji wa Arusha uendelee kuwa kitovu cha amani na kivutio cha utalii lakini ushauri wake ulipuuzwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kujiuzulu huko kwa Kivuyo pamoja na matamko yaliyotolewa na viongozi wa dini kutomtambua Meya wa Jiji la Arusha kunakiweka katika wakati mgumu Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambacho kinadaiwa kufanya hila katika uchaguzi wa meya kwa kumjumuisha diwani wa Mkoa wa Tanga kupiga kura za kumchagua Meya wa Arusha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo Meya wa Jiji la Arusha Gaudence Lyimo (CCM) juzi alinukuliwa na baadhi ya magazeti kuwa hafikirii kujiuzulu licha ya kukabiliwa na shinikizo kutoka kwa watu mbalimbali wa ndani na nje ya Mkoa wa Arusha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika hatua nyingine, Chama cha TLP Mkoa wa Arusha, kimeilaani serikali na Jeshi la Polisi kwa kuhusika na mauaji yaliyotokea wakati walipoamua kuingilia kati na kuvunja maandamano yaliyokuwa yakifanywa na viongozi na wanachama wa CHADEMA Novemba 5, mwaka huu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akizungumza na waandishi wa habari, Mwenyekiti wa chama hicho mkoa na mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho taifa, Leonald Makanzo, alisema wanawataka Waziri wa Mambo ya Ndani, Shamsi Vuai Nahodha na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Said Mwema, wajiuzulu nyadhifa zao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Makanzo alisema kuwa viongozi hao wanapaswa kuchukua uamuzi huo kwa kuwa wao ndio walihusika na kutoa amri ya kuvunja maandamano kwani awali Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha liliyaruhusu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alibainisha kuwa ili kuonyesha kuwa TLP, imekerwa na kitendo hicho kilichosababisha damu ya watu isiyo na hatia kumwagika na wengine kufariki dunia, walimuagiza Diwani wa Kata ya Sokoni One, Michael Kivuyo, ambaye alichaguliwa kuwa Naibu Meya kujiuzulu wadhifa wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Makanzo alisema uamuzi huo umeamuliwa na sekretarieti ya chama hicho mkoa, umefanywa kwa kuamini kuwa CHADEMA walikuwa wakifanya harakati za kisiasa kupigania ukombozi wa demokrasia hapa nchini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema kuwa TLP ni wana mageuzi na wanaunga mkono jitihada zilizokuwa zikifanywa na CHADEMA, ambayo ilikumbana na nguvu ovu za polisi, ambao waliamua kutumia mabomu ya machozi na risasi za moto kukabiliana na waandamanaji.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-3274098853500063502?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/3274098853500063502/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=3274098853500063502' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/3274098853500063502'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/3274098853500063502'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/01/slaa-amkaanga-kikwete.html' title='Slaa amkaanga Kikwete'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-3477551241113443769</id><published>2011-01-09T08:20:00.000Z</published><updated>2011-01-09T08:21:11.765Z</updated><title type='text'>Dowans mvurugano</title><content type='html'>•  Sitta akerwa, akiri ’wajanja’ wamewabana kila kona&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;na Waandishi wetu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;   &lt;br /&gt;KUNA kila dalili zinazoonyesha kwamba hukumu ya Mahakama ya Kimataifa ya Kusuluhisha Migogoro ya Uwekezaji (ICC) ambayo hatimaye imeridhiwa na serikali, imeleta ufa mkubwa miongoni mwa mawaziri na wanasiasa ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Daima Jumapili limebaini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Moja ya matukio ya hivi karibuni yanayothibitisha kuendelea kuwapo kwa mizozo isiyokwisha na misiguano ndani ya serikali kuhusu jambo hilo ni hatua ya Rais Jakaya Kikwete ambaye siku zote amekuwa mwepesi kutoa kauli kila linapotokea jambo kubwa na zito kukaa kimya pasipo kusema lolote kuhusu hukumu hiyo ambayo inaitaka serikali kuilipa Dowans fidia ya shilingi bilioni 94.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uamuzi wa Rais Kikwete kuamua kukaa kimya pasipo kulizungumzia wakati alipolihutubia taifa kwenye mkesha wa mwaka mpya na akaendelea kulifumbia macho hata alipozungumza na mabalozi wa mataifa ya nje juzi, ni kielelezo cha wazi kwamba uamuzi wa ICC ni shubiri kubwa serikalini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hatua ya Rais Kikwete kukaa kimya ilhali rekodi zikionyesha kuwa ama yeye mwenyewe au ofisi yake wamekuwa wepesi kutoa matamshi kila mara linapotokea jambo kubwa linalogusa sakata la Richmond au Dowans, kwa kiwango kikubwa imeibua maswali mengi vichwani mwa wadadisi mbalimbali wa mambo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukimya huo wa Kikwete ndio ambao kwa nyakati mbili tofauti hivi karibuni umesababisha Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa kuibuka na kumhusisha rais moja kwa moja na sakata hilo la Dowans na Richmond.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati Rais Kikwete akiendelea kukaa kimya kinyume cha desturi yake, viongozi wa juu watatu; Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema na Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja, kwa nyakati tofauti wametoa kauli za kuridhia kulipa mabilioni hayo ya fedha kama ilivyotakiwa kufanywa na ICC.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kiongozi wa mwisho kutoa kauli hiyo ni Ngeleja, ambaye juzi alizungumza na waandishi wa habari na kutangaza rasmi kwamba serikali ilikuwa imeridhia uamuzi huo wa ICC na kwamba kinachosubiriwa kwa sasa ni kusajiliwa kwa kesi hiyo katika Mahakama Kuu ya Tanzania kama sheria inavyotaka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kauli hiyo ya juzi ya Ngeleja, imemtoa ’mafichoni’ Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, ambaye jana alirejea tena msimamo wake wa kupinga hatua ya serikali kukubali kuilipa Dowans mabilioni hayo ya fedha kabla ya Baraza la Mawaziri kukutana na kujadili kwa kina suala hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sitta aliyekuwa akihutubia kwenye mahafali ya Shule ya Sekondari ya Maranatha mjini Arusha, alisema ni jambo lisiloingia akilini kusikia kwamba serikali inailipa Dowans kiasi hicho kikubwa cha fedha ambazo zinaweza kutumika kujenga shule 300 za sekondari.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Waziri Sitta ambaye kwa namna yoyote uamuzi wa serikali kulipa mabilioni hayo unamgusa moja kwa moja kutokana na ukweli kwamba ndiye aliyekuwa Spika wa Bunge aliyesimamia kijasiri uchunguzi wa sakata la Kampuni ya Richmond, ambayo mkataba wake ulirithiwa na Dowans, alieleza kusikitishwa na hatua ya Jaji Werema kukata tamaa ya kuendelea na kesi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Kitendo cha serikali kukubali kulipa mabilioni ya fedha kwa kampuni hewa ni hatari kwa jamii. Siku za usoni wananchi watatuhukumu kwa hilo,”' alisema Sitta katika kauli ambayo ilionekana kupingana na tamko la Waziri Ngeleja ambaye aliwataja kwa majina wamiliki wa Kampuni ya Dowans ambayo imesajiliwa kwa Wakala wa Makampuni nchini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; Huku akionyesha kumlenga mfanyabiashara mmoja maarufu ambaye pia ni mwanasiasa pasipo kumtaja kwa jina, Waziri Sitta alieleza kushangazwa na mfumo wa usajili wa makampuni hapa nchini ambao unamuwezesha mtu mmoja kumiliki kampuni 17 pasipo jina lake kuonekana popote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Tutafanya nini wakati wajanja wenzetu wameshatuwahi na kutubana kila kona, sasa tutalazimika kuwalipa mabilioni ambayo yangetusaidia kwenye shughuli za maendeleo,” alisema Sitta kwa masikitiko.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kauli hiyo ya Sitta inafanana na ile iliyotolewa na mwanasheria mmoja maarufu aliyezungumza na Tanzania Daima Jumapili hivi karibuni ambaye alisema upo uwezekano wa watu wenye hisa katika kampuni kama ya Dowans kutojulikana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwanasheria huyo ambaye aliomba jina lake lisitajwe kutokana na maadili ya kazi yake alisema, kumekuwa na mbinu nyingi zinazotumiwa na baadhi ya vigogo katika kuingia na kuwekeza ndani ya makampuni mbalimbali nchini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema moja ya mbinu za namna hiyo ni ile ya kuwatumia mawakala au mawakili kushikilia hisa zao wakiingia mikataba mahususi ya siri ambayo aghalabu haiwezi kujulikana kwa watu wengine wasiohusika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa mwanasheria huyo maarufu, sababu kubwa ya vigogo kutumia mbinu hiyo ni kukwepa tuhuma mbalimbali zikiwamo zile za kuonekana kuwa watu waliojilimbikizia mali kinyume cha maadili ya uongozi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Unajua viongozi wengi ni wajanja, wamekuwa wakitumia mbinu ya kuweka mawakala au mawakili kushika hisa zao ili kukwepa kuonekana wanajiingiza katika masuala ya biashara,” alisema.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alieleza kuwa taratibu na sheria za kuwekeza nchini zinamtaka mwekezaji kuijua nchi vizuri pamoja na kuwa na hati ya makazi (A) (Residensial Permit).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Kama mwekezaji haijua nchi atawekezaje? Ni lazima awe na hati ya ukaazi na tena awe na ofisi inayofanya kazi, siyo ofisi inayoishia kwa mwanasheria na hakuna sheria inayozuia mgeni kuwekeza binafsi….anaweza kuwekeza yeye na familia yake, mradi awe amefuata taratibu,” alisema.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-3477551241113443769?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/3477551241113443769/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=3477551241113443769' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/3477551241113443769'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/3477551241113443769'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/01/dowans-mvurugano.html' title='Dowans mvurugano'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-6828472738522689200</id><published>2011-01-09T08:19:00.000Z</published><updated>2011-01-09T08:20:23.405Z</updated><title type='text'>Tunamtenganisha vipi Kikwete na Dowans?</title><content type='html'>Salehe Mohamed&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;   &lt;br /&gt;UKWELI kwa kawaida huuma, na tulio wengi hatupendi kuambiwa ukweli hasa kwenye maeneo ambayo hatujafanya vizuri.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini ili tuendelee ni lazima tujenge utaratibu wa kuambiana ukweli na kukosoana kila tunapokwenda tofauti na inavyotakikana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa muda mrefu hivi sasa kumekuwa na mjadala wa malipo yanayopaswa kufanywa na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) dhidi ya Kampuni Dowans ambayo ilikuwa ikizalisha na kuuza umeme wake kwa TANESCO.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dowans waliamua kuwaburuza TANESCO katika mahakama ya kimataifa ya usuluhishi wa migogoro ya kibiashara ambako mwisho wa shauri iliamuliwa Dowans walipwe sh bilioni 185 (ingawa serikali imesema wanapaswa kulipa sh bilioni 94).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sina haja ya kuanza kujikita kwenye uhalali wa malipo hayo lakini ninalotaka kulihoji hapa ni jitihada za viongozi kadhaa wa serikali, chama tawala na ikulu kupinga Rais Kikwete kuhusishwa na sakata hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Binafsi sikubaliani nao hata kidogo kuwa Rais Kikwete hahusiki na sakata hilo, yapo mambo mengi ambayo yananifanya niwastaajabu wale wote wanaopinga kiongozi mkuu wa nchi kuhusishwa katika sakata hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uingiaji wa Kampuni ya Richmond ambayo baadaye ilizaa Dowans ulifanywa na Baraza la Mawaziri ambalo Mwenyekiti wake ni Rais Kikwete, hapa tunawezaje kusema Kikwete hauhusiki na Dowans?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbali na Rais kushiriki katika uamuzi huo lakini pia alikuwa akipelekewa barua kuhusu mwenendo wa kampuni hiyo na aliyekuwa Waziri Mkuu wa wakati huo, Edward Lowassa, je, alichukua hatua gani?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata baadhi ya magazeti hapa nchini yaliweza kuchapisha nakala za barua hizo zilizokuwa zikitoka kwa Lowassa kwenda kwa rais na kwa watendaji wengine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kibaya zaidi ni kwamba Rais Kikwete alishauhakikishia umma kuwa mgawo wa umeme utakuwa historia kwa kuwa serikali imeshapata Kampuni ya Richmond lakini matokeo yake kila mmoja ni mashahidi wa utimizwaji wa hiyo ahadi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama Rais Kikwete aliweza kuutangazia umma uhakika wa umeme wa Richmond ambayo baadaye ilikuja kubainika ni ‘hewa’, kwa nini tusiamini alihusika kwa namna moja au nyingine?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rais anatakiwa kuwa makini sana kwa kila kauli yake, taarifa anazopelekewa na wataalamu wake au kinachofanywa na walio chini yake, sasa kama anaweza kuitambulisha kampuni hewa kwa wananchi kwa nini asihusishwe na madhambi ya kampuni hiyo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Ikulu, Salva Rweymamu, kabla ya kupata cheo hicho alikuwa ni miongoni mwa watu waliokuwa mstari wa mbele wakati wa uingiaji wa mitambo ya Richmond, leo hii awezaje kuwa mtu sahihi kuzungumzia sakata hilo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Salva ni miongoni mwa waliohojiwa na kamati teule ya Bunge kuhusu Richmond na anavyomfahamu mkurugenzi wa kampuni hiyo na alichokisema huko sitaki kukizungumzia hii leo, yatosha kusema hana udhu wa kulizungumzia sakata la Dowans.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Binafsi naamini kuwa Rais Kikwete, anaijua vizuri Dowans na Richmond ndiyo maana aliweza kujitokeza hadharani na kuwapongeza TANESCO pale walipofuta hoja yao ya kutaka kununua mitambo ya Dowans.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lazima tuambiane ukweli kuwa Rais wetu huwa hapendi kuzungumzia mambo magumu na yenye kumharibia taswira yake bali hupenda yafanywe na watendaji wengine ili washambuliwe wao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nina hakika kama Rais Kikwete angekuwa jasiri na kulitangazia taifa kuwa tunainunua mitambo ya Dowans kwa wakati ule ilikuwa ikiuzwa sh bil. 86, tusingefikia hapa tulipo ambapo tunatakiwa kulipa sh bil. 94 na mitambo si mali yetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Angeamua hivyo asingepata upinzani mkali kwa kuwa yeye ni rais na muamuzi wa mwisho, hata wale waliokuwa mstari wa mbele kupinga jambo hilo wangenywea kwa kuwa kiongozi wao wa chama ameshaamua.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama Kikwete aliweza kuamuru mitambo ya IPTL ambayo ilikuwa ikitumia zaidi ya sh bilioni 20 kwa mwezi iwashwe, watendaji wakatimiza alishindwa vipi kuamuru ununuzi wa mitambo hiyo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna watu wanaojenga hoja kuwa sheria ya manunuzi ya umma ya mwaka 2004 ambayo inazuia kununua mitambo iliyotumika ingekuwa imevunjwa na kiongozi wa nchi, sasa kipi bora kuivunja sheria hiyo ili kuwa na umeme au kuilinda na kukosa umeme huku tukitakiwa kulipa bilioni 94.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Najiuliza wapo wapi wale waliokuwa mstari wa mbele kupinga ununuzi wa mitambo hiyo, je, wanafurahia giza na hasara wanayopata wananchi kwa sababu ya kukosa umeme?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sioni mantiki ya kutohusika kwa Rais Kikwete katika sakata la Richmond na Dowans hata kama watendaji wenye lengo la kuganga njaa (kulinda ajira) wataendelea kumtetea kuwa hahusiki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nitakubaliana nao kuwa Rais Kikwete, hahusika katika sakata hilo kama wataniambia alikuwa hajui na haambiwi chochote, na kama hivyo ndivyo ana sababu gani ya kuendelea na wadhifa huo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rais Kikwete angeweza kutumia taarifa za kiintelijensia kama anazozipata Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Said Mwema kuhusu wamiliki, uwezo wa Kampuni ya Richmond na baadaye Dowans kamwe tusingeweza kufikia hapa tulipo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je, taarifa za kiintelijensia ni kwa lengo la kuzuia maandamano ya vyama vya siasa pekee?&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-6828472738522689200?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/6828472738522689200/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=6828472738522689200' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/6828472738522689200'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/6828472738522689200'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/01/tunamtenganisha-vipi-kikwete-na-dowans.html' title='Tunamtenganisha vipi Kikwete na Dowans?'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-856034251040776172</id><published>2011-01-09T08:17:00.000Z</published><updated>2011-01-09T08:18:13.352Z</updated><title type='text'>Barua ya wazi kwa WanaCHADEMA</title><content type='html'>Padri Privatus Karugendo&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;   &lt;br /&gt;NDUGU zetu Wanachadema, poleni sana kwa tukio la Arusha, la viongozi na wanachama wenu kupigwa, kuumizwa, kudhalilishwa na kuwekwa ndani wakati wakipigania haki za msingi za Mtanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tumepata habari kwamba hata mama mjamzito alipigwa na kuumizwa, watu watatu wamekufa na damu imemwagika. Haya si matukio ya kawaida; yanachukiza, yanasikitisha na yanaamsha hamasa na hasira ndani ya jamii yetu. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwamba meya wa Arusha, alichaguliwa kinyume cha sheria na taratibu, ni kitu kilichokuwa wazi; kwamba serikali inayoongozwa na CCM iliutambua uchaguzi wa meya wa Arusha ulioendeshwa kinyume cha sheria, liko wazi pia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo nyinyi kusimama na kupinga kwa nguvu zote ni haki yenu ya msingi. Msingefanya hivyo tungewashangaa na kuwaita wasaliti.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa vile nimeshindwa kabisa kuwapata kwenye simu kuwapa pole, naomba mpokee barua hii kama neno la pole! Mapambano yanaendelea!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hivyo basi, tunaamini kwamba mlifanya maandamano kwa lengo la kutetea haki za msingi na si kutafuta sifa. Tunajua kabisa kwamba mlifanya hivyo si kwa vile chama chenu kilishindwa kuikamata dola.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pia tunaamini mlifanya hivyo si kwa lengo la kuleta vurugu na kuvuruga amani ya Tanzania na kuifanya nchi yetu isitawalike.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Yamesemwa mengi kutaka kupotosha ukweli. Serikali inataka kujikosha na kuwabebesha mzigo wa yote yaliyotokea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;CCM inasukuma lawama zote kwenu. Polisi inawalaumu nyinyi na watu wengine wasiokuwa na mapenzi na taifa letu;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;wanawatetea CCM na kuwalaumu nyinyi. Pamoja na yote hayo ukweli unabaki pale pale kwamba diwani wa Tanga hawezi kupiga kura ya meya wa Arusha. Kulikataa hili, mkapigwa, mkaumizwa na wengine kuuawa ni jambo lisilokubalika. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kitendo chenu cha kufunga vitambaa vyeupe kwenye mikono yenu kama ishara ya amani ni ushahidi wa kutosha kwa dunia nzima kwamba mlikuwa na lengo la kufanya maandamano ya amani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Watu waliostaarabika, watu wenye roho ya utu na kuheshimu haki za binadamu, wangeheshimu vitambaa vyeupe maana hii imekuwa ishara ya amani duniani kote. Hivyo msikubali lawama yoyote juu ya watu waliouawa na polisi ya serikali inayoongozwa na CCM.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hamkufanya kosa lolote, nyinyi mlifanya maandamano, kitu ambacho ni haki yetu kikatiba na kazi ya polisi ni kuangalia usalama wa raia. Mzigo na lawama za vifo vya vijana wa Arusha, uiangukie serikali kwa kubali kuchakachua uchaguzi wa Meya wa Arusha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lowassa, alisikika akisema Arusha isifanywe Ivory Coast. Sasa ajue wazi kwamba chama chake (CCM), kina mpango wa kuifanya Arusha kuwa uwanja wa mapambano na bila hekima ya kutosha, mapambano haya yataenea nchi nzima.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Watu wanataka mabadiliko na mwenye nguvu wa kuyazuia mabadiliko haya ni Mungu peke yake. Hakuna nguvu nyingi inayoweza kufanya kazi hiyo hata kama ni risasi na mizinga!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naandika barua hii ya wazi kuwapa moyo. Ninajua kabisa kwamba nyinyi ni binadamu na vitisho hivi mnaweza kukata tamaa. Msife moyo maana Watanzania wengi tuko nyuma yenu; polisi waandae risasi za kutosha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nina imani hawana risasi milioni 40! Pia nina imani hawana polisi milioni 40. Wananchi ni wengi; wananchi wamechukia, hivyo hakuna kurudi nyuma. Niwakumbushe historia kidogo; kwamba hakuna mtu yeyote duniani aliyejaribu kupambana na wananchi akawashinda. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Maandamano ya kupinga kupanda kwa bei ya umeme yabaki palepale. Hili nalo ni dai lenu la msingi; umeme unagusa maisha ya Mtanzania, unagusa uchumi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kupandisha bei ya umeme kwa lengo la kutaka kulipa deni la Dowans ni kitu kisichokubalika kwa wengi. Hivyo ni bora wachache wafe wakitetea haki ya wengi; kawaida ni kwamba akifa mtu mwingine anazaliwa. Tufe sisi tukitetea haki, ili watakaozaliwa waishi kwenye amani na utulivu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Maandamano ya kudai Katiba mpya nayo yabaki pale pale. Na hili nalo ni dai la msingi sana. Tunahitaji Katiba mpya na si viraka. Tunahitaji Baraza la Katiba na wala si tume. Wananchi wanaburuzwa, hivyo ni lazima wajitokeze watu wa kuwasemea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;CHADEMA, mmejitokeza kuwasemea wananchi; ni vyema kazi hii mkaiendeleza kwa nguvu zote bila kurudi nyuma. Tukikubali kuundwa kwa tume ya katiba, tutakuwa tumejiuza wenyewe, maana tume hiyo itakuwa imeteuliwa na rais na itakuwa inawajibika kwa rais.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nina uhakika rais hawezi kuwateua watu anaofikiri watatunga Katiba ya kukididimiza chama chake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ninajua jinsi CHADEMA, ilivyogawanyika na hasa wakati na baada ya mchakato wa uchaguzi. Mgawanyiko huu unasukwa na kusukumwa na maadui kutoka nje ya CHADEMA.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hekima na busara ziwaongoze kutambua mbinu hizo chafu na kujitahidi kuijenga CHADEMA moja, yenye mshikamano wa nguvu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Damu hii ya watu wasiokuwa na hatia iliyomwagika, iwe chachu ya kuwasaidia kumaliza tofauti ndani ya chama chenu ili kwa nguvu isiyogawanyika msimame pamoja kuwatetea Watanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naandika barua hii nikiwa Lushoto. Mji huu mdogo usomaji wa magazeti uko chini. Lakini siku ambayo matukio ya Arusha yaliandikwa magazetini, watu wengi walikimbia kuyanunua na kuyasoma.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Walichukia sana kusikia watu wamekufa; walisononeshwa na picha ya Mchumba wa Dk. Slaa, Josephine Mushumbusi, aliyepigwa na kuumizwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Walilaani vikali polisi kumpiga mama mjamzito. Walibeza msimamo wa CCM kumsimamisha mwanamke kugombea uspika, wakati bado haki za wanawake zinakandamizwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nchi zilizoendelea hata kichaa hawezi kumpiga mwanamke, achilia mbali aliye mja mzito. Kitendo hiki cha kinyama kililaaniwa na wananchi wa Lushoto mjini na wa kule vijijini. Nami niliungana nao kulaani kitendo hicho.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nafikiri baada ya maandamano ya kupinga bei ya umeme, maandamano ya kudai Katiba mpya, yafuate maandamano makubwa ya nchi nzima ya kulaani polisi kuwaua watu kule Arusha na kitendo kibaya cha kumpiga mja mzito.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Maandamano haya yawe na lengo moja la kuwataka wote walioshiriki katika zoezi hili la aibu kubwa kuachia ngazi mara moja.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwalimu Nyerere, aliunda vyombo vya usalama wa wananchi na wala si vyombo vya kuwaua wananchi. Utamaduni huu wa mauaji si wa Watanzania.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-856034251040776172?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/856034251040776172/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=856034251040776172' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/856034251040776172'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/856034251040776172'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/01/barua-ya-wazi-kwa-wanachadema.html' title='Barua ya wazi kwa WanaCHADEMA'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-2249960664026931817</id><published>2011-01-08T13:05:00.002Z</published><updated>2011-01-08T13:08:10.287Z</updated><title type='text'>TUCTA yawakataa CUF, NCCR</title><content type='html'>na Asha Bani&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;WAKATI Chama cha Wananchi (CUF) na NCCR -Mageuzi wakithibitisha kushiriki maandamano yaliyoandaliwa na Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA) ya kupinga ongezeko la bei ya umeme Katibu Mkuu wa shirikisho hilo Nicholas Mgaya amewakana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akizungumza katika kipindi cha asubuhi kinachorushwa na televisheni ya Chanel Ten alisema shirikisho hilo halina haja na kufanya maandamano na chama chochote cha siasa na kwamba TUCTA wenyewe wanajuana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema hii hoja inawaumiza Watanzania wote lengo ni kuitaka serikali kusikiliza kilio cha watanzania kupitia wafanyakazi lakini halitakiwi kuwa la kisiasa zaidi kama vyama vinataka kuandamana basi viandae maandamano yao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Sisi hatuhitaji maandamano yetu kushirikisha vyama vya siasa si CUF, CHADEMA, NCCR, TLP wala chama chochote hatukihitaji bali tunahitaji wanachama wa shirikisho hilo tu na kwamba wenyewe tunajuana,” alisema Mgaya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mgaya alisema wao wanataka kufanya maandamano ya amani lengo likiwa ni kupinga kupanda kwa bei ya umeme ambayo itasababisha ugumu wa maisha uliopo sasa kutokana na hata wafanyakazi wenyewe kupata mshahara usio kidhi mahitaji yao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema umeme unategemewa katika kukuza uchumi wa taifa na hata uchumi wa mtu binafsi hivyo ni lazima serikali ikafanya jitihada zozote za kutumia vyanzo mbalimbali vya maji ili kuweza kufanya upatikanaji wa umeme kuwa wa uraisi zaidi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akizungumzia kuhusiana na kusikilizwa mahitajio yao ambayo kwa mwaka 2010 walidaiwa kupamba vyombo vya habari kwa maandamano kila kukicha alisema bado hayajatatuliwa ila wanaahidiwa ahadi nyingine mpya na serikali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema kwa sasa ana imani kubwa na waziri aliyepo kwa kuwa ameonesha nia ya kuwasaidia kutokana na ziara zake mbalimbali alizozifanya na kukutana na viongozi kadhaa wa shirikisho hilo na kufanya mazungumzo nao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Sisi tunapenda kufanya kazi na viongozi wanaojali watu wanaowatumikia kwa sasa waziri ameanza vizuri na mwaka huu hatutarajii yatokee yaliyotokea mwaka jana kwa kuwa tayari tumekaa na waziri pamoja tumezungumza naye hivyo mwaka huu tunatarajia kuona mafanikio kwetu ya tuliyokuwa tunaahidiwa tangu malalamiko yetu yapelekwe serikalini,” alisema Magaya.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-2249960664026931817?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/2249960664026931817/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=2249960664026931817' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/2249960664026931817'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/2249960664026931817'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/01/tucta-yawakataa-cuf-nccr.html' title='TUCTA yawakataa CUF, NCCR'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-8522422947545555786</id><published>2011-01-08T13:05:00.001Z</published><updated>2011-01-08T13:05:31.164Z</updated><title type='text'>Noti mpya zazua balaa Mbeya</title><content type='html'>na Mwandishi wetu, Mbeya&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;UJIO wa noti mpya katika mzunguko wa fedha hapa nchini, umeleta hofu kwa baadhi ya wananchi na wafanyabiashara mkoani hapa kwa baadhi yao kufikia hatua ya kukataa kuzipokea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hali hiyo imesababisha usumbufu mkubwa kwa baadhi ya watu ambao tayari wameanza kuzitumia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Benki kuu ya Tanzania (BoT) iliruhusu kuingizwa kwenye mzunguko noti hizo mpya za viwango vya sh 500, 1000, 2000, 5,000 na 10,000 Januari mosi mwaka huu, huku ikitoa angalizo kwa wananchi kuwa noti za zamani bado ni fedha halali na zina thamani sawa na zile mpya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini katika hali isiyo ya kawaida abiria mmoja aliyepanda gari ya abiria kutoka eneo la Mbalizi kuelekea Sokomatola jijini hapa jana alijikuta katika wakati mgumu baada ya kondakta wa daladala aliyefahamika kwa jina moja la Suleiman kugoma kupokea noti mpya ya sh 10, 000, aliyopewa na abiria huyo kama nauli.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hali hiyo iliibua malumbano makali baina ya kondakta wa daladala na abiria huyo, jambo lililolazimisha abiria mwingine kuamua kumaliza sakata hilo kwa kumlipia nauli sh 300 abiria huyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo, baadhi ya abiria waliokuwa ndani ya daladala hiyo wengi walionekana kuiona kwa mara ya kwanza noti hiyo hali iliyosababisha kila mmoja wao kutaka kuishika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mmoja alisikika akisema, “Kwa kweli noti hizi za viwango vya kimataifa maana ukiwa na sh 1,000,000 kwa namna zilivyo utadhani umebeba fedha kidogo sana,” alisikika mmoja wa abiria hao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbali na kondakta huyo kuonekana kutokuwa na elimu ya kutosha juu ya ujio huo mpya wa noti za Tanzania, baadhi ya wafanyabiashara wa mazao katika masoko ya Mbalizi na maeneo mengine wamekuwa wakisita kupokea fedha hizo mpya kwa kutokuwa na imani nazo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Melezo ya elimu kwa umma yaliyotolewa na Benki kuu yalifafanua kuwa noti mpya zitaingia kwenye mzunguko sanjari na noti za zamani mpaka hapo zitakapotoweka taratibu na hatimaye kuisha kabisa kwenye mzunguko.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-8522422947545555786?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/8522422947545555786/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=8522422947545555786' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/8522422947545555786'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/8522422947545555786'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/01/noti-mpya-zazua-balaa-mbeya.html' title='Noti mpya zazua balaa Mbeya'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-4706979347985154499</id><published>2011-01-08T13:03:00.001Z</published><updated>2011-01-08T13:03:43.206Z</updated><title type='text'>Wafanyakazi TANESCO waikalia koo serikali</title><content type='html'>na Bakari Kimwanga&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;WAFANYAKAZI wa shirika la umeme nchini (TANESCO) wameitaka serikali na viongozi wa kisiasa kuacha kuingiza maamuzi yao ya kisiasa ndani ya shirika hilo kwani yanakwamisha utendaji kazi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kauli hiyo waliitoa jana wakati wakizungumza katika mkutano baina ya Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja, pamoja na wafanyakazi wa shirika hilo wa mikoa ya Dar es Salaam na Pwani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakitoa dukuduku lao, wafanyakazi hao walisema ili kuboresha miundombinu ya umeme nchini ni lazima serikali iepuke kuchukua maamuzi ya kisiasa kama ilivyotokea kwenye kampuni za IPTL na Songas.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akizungumza kwa niaba ya wafanyakazi katika mkutano huo mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi wa TANESCO, Abdul Mkama, alisema ili kuondokana na tatizo la umeme ni lazima maamuzi ya kisiasa yaepukwe na kuliweka taifa katika hali ya usalama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Ni lazima tusema maamuzi ya kisiasa ndio yanayokwamisha utendaji kazi ya TANESCO, miaka mitatu iliyopita Waziri Mkuu mmoja alikwenda katika visima vya gesi vya Songas na kuwataka wananachi kuhama ili kupisha mradi wa umeme lakini imekuwa kinyume; ni lazima hili lizingatiwe kwa makini ili kuliokoa shirika hili,” alisema Mkama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Aidha alisema kitendo cha serikali kutokuwa makini na mikataba hasa ya miradi ya umeme ya IPTL na Songas, kimesababisha kujengeka kwa chuki kati ya TANESCO na wananchi hali ambayo haitakiwi hasa katika zama hizi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika hotuba yake Waziri Ngeleja, alisema ukweli miongoni mwa wafanyakazi ni lazima uheshimiwe kwani kila raia ana haki ya kulisaidia taifa ili kuondokana na dhana potofu iliyojengeka hasa kwa wananchi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema kwa kulizingatia hili serikali ya awamu ya nne kupitia Wizara ya Nishati na Madini ina mikakati ya muda mfupi na mrefu ili kuhakikisha suala la mgao wa umeme linakuwa ndoto ifikapo mwaka 2015.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika hilo pia alisema kuna changamoto ya kuwepo bei ya umeme zisikidhi gharama halisi za uendeshaji na usambazaji wa nishati hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema ili kuhakikisha wanakabiliana na hali hiyo ni wajibu wa bodi ya TANESCO iboreshe huduma zake kwa wateja na kupunguza upotevu wa umeme na kuimarisha mifumo ya uzalishaji, usafirishaji na usambazaji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akijibu maswali ya wafanyakazi waliotaka kujua hatua ya serikalia juu ya hatima ya kiwanda cha magogo ya kiwira amabacho kinamilikiwa na TANESCO alisema ni jambo muhimu kukaa na kuzungumza kwa pamoja na kutoa mapendekezo yao kwa mujibu wa sheria.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Awali Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO William Mhando, alisema shirika hilo liko mbioni kuanzisha kituo cha miito kwa wateja ambacho kitaanza mwishoni mwa mwezi Januari.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema ni muhimu serikali kutoa msamaha wa kodi hasa ya kuagiza mafuta na vipuri vya mitambo ili kupunguza gharama za uendeshaji na kuunganisha umeme kwa wateja wapya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mhando pia alisema ni muhimu wizara iendelee kushauri na kuelekeza ili kutekeleza kikamilifu majukumu na azma ya kutoa huduma bora ya umeme kwa manufaa ya Watanzania.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-4706979347985154499?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/4706979347985154499/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=4706979347985154499' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/4706979347985154499'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/4706979347985154499'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/01/wafanyakazi-tanesco-waikalia-koo.html' title='Wafanyakazi TANESCO waikalia koo serikali'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-8313590770711528208</id><published>2011-01-08T13:02:00.000Z</published><updated>2011-01-08T13:03:03.727Z</updated><title type='text'>Polisi yaua raia Shinyanga, wananchi waja juu</title><content type='html'>na Stella Ibengwe, Shinyanga&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;WANANCHI wilayani Kishapu mkoani Shinyanga wamefanya maandamano hadi ofisi ya mkuu wa wilaya hiyo kulaani kitendo cha askari polisi kumuua raia mmoja kwa kukutumia risasi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbali na hilo wananchi hao pia waliandamana kupinga baadhi ya askari kuwabambikiza kesi wananchi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tukio la kuuawa kwa raia huyo lilitokea wakati polisi walipowavamia baadhi ya vijana waliokuwa wakinywa pombe katika eneo la mnada wa Mhunze Desemba 16, mwaka jana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wananchi hao waliandamana wakiwa wamebeba mabango yaliyotoa ujumbe kwa serikali, wakiitaka ichunguze tukio hilo kwa umakini na kusikiliza kilio cha wananchi hao na kudai kuwa wao hawana hatia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kufuatia tuko hilo wananchi hao wameiomba serikali kuwachukulia hatua askari waliohusika na uonevu huo sanjari na kukomesha unyanyasaji kwa raia na kuongeza kuwa hali hiyo inawatisha wananchi kushirikiana na polisi katika kukabiliana na uhalifu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akizungumzia hilo Diwani wa Kata ya Kishapu Daudi Matungwa alikiri kutokea kwa tukio hilo lililosababisha mmoja wa wananchi hao aliyejulikana kwa jina la Luhende kupoteza maisha baada kupigwa risasi na polisi siku chache zilizopita.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema kabla ya kifo chake, alipelekwa hospitali ya rufaa Bugando Mwanza na alifariki Desemba 19, mwaka jana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kufuatia kifo cha raia huyo diwani huyo alisema wananchi wa kijiji hicho baada ya kupewa taarifa ya kifo cha mwananchi mwenzao waliamua kususia mazishi hadi pale ambapo serikali ingetoa muafaka wa tatizo hilo ambapo baadaye mwili huo ulizikwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kaimu kamanda wa polisi wa mkoa wa Shinyanga, Hussein Kashindye, alipoulizwa alikiri kupokea taarifa hizo na kwamba ofisi yake inayafanyia kazi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naye mkuu wa wilaya ya Kishapu Abudullah Lutavi alithibitisha kupokea maandamano ya wananchi na aliwaasa kuwa wavumilivu wakati serikali ikiendelea na uchunguzi wa tukio hilo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Insured by Mafia Islanders
You hit me 
We hit you&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/5080764179713068946-8313590770711528208?l=mafiakisiwani.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/feeds/8313590770711528208/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=5080764179713068946&amp;postID=8313590770711528208' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/8313590770711528208'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/5080764179713068946/posts/default/8313590770711528208'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://mafiakisiwani.blogspot.com/2011/01/polisi-yaua-raia-shinyanga-wananchi.html' title='Polisi yaua raia Shinyanga, wananchi waja juu'/><author><name>Mafia Kisiwani</name><uri>http://www.blogger.com/profile/03434605677827786534</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-5080764179713068946.post-1582365566164358546</id><published>2011-01-08T13:01:00.000Z</published><updated>2011-01-08T13:02:03.199Z</updated><title type='text'>CHADEMA yagomea mazungumzo na CCM</title><content type='html'>•  Polisi waua Mkenya, ‘waharibu mimba’ ya mtu&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;na Ramadhani Siwayombe&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;KATIKA kujibu hoja ya Waziri wa Mambo ya Ndani Shamsi Vuai Nahodha aliyetaka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Chama cha Mapinduzi (CCM) vikae kuzungumza namna ya kumaliza mfarakano ulioleta maafa jijini Arusha, CHADEMA kimekataa pendekezo hilo kwa maelezo kuwa CCM na serikali yake ni katili na ya kihuni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akizungumza na waandishi wa habari jana, katika hospitali ya Mount Meru alikokwenda kuwajulia hali majeruhi wa vurugu hizo, akiwamo mchumba wake Josephine, Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Wilibrod Slaa alisema: ”Hatuwezi kukaa meza moja na serikali ya kihuni. Tumepigwa, tumedhalilishwa huku tukiwa na vibali vyote halali vya kuturuhusu kufanya mkutano na maandamano, halafu haohao wanasema tukae meza moja kujadili nini?”&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema pendekezo la Waziri Nahodha limechelewa na kwamba chama hicho kwa hivi sasa hakiwezi tena kukaa meza moja na CCM kujadili mvutano uliojitokeza kwani wakati serikali ilipoungana na CCM kuhujumu uchaguzi wa meya ilikuwa inajua matokeo yake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema pendekezo la mazungumzo sasa hivi ni ghiliba ya serikali kuhujumu harakati za mabadiliko ya Watanzania wakiongozwa na CHADEMA.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema kitendo cha serikali kushambulia, kupiga na kuua waandamanaji badala ya kuwalinda ni uhuni usioweza kuvumiliwa; na kwamba CHADEMA haiwezi ’kununuliwa’ kwa mazungumzo ya mezani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akizungumzia mchakato mzima wa kufanya mkutano na maandamano, alisema mchakato huo ulianzia mwaka jana ambapo yeye kama katibu aliwasiliana hadi na Msajili wa Vyama kuhusu suala hilo, tena kwa maandishi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema kuwa Desemba 22 mwaka jana alimuandikia barua Msajili John Tendwa kumjulisha suala hilo na yeye akaahidi kulifanyia kazi kwa kuwasiliana na mkuu wa jeshi la polisi na Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) George Mkuchika ili kuona uwezekano wa kuitishwa uchaguzi mpya katika maeneo yaliyokumbwa na matatizo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Januari 3 mwaka huu Msajili aliwasiliana naye kwa simu kutaka kujua makubaliano ya awali, akaahidi kuwa kabla ya Januari 4 angekutanisha pande zote kujadiliana suala hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jioni ya Januari 3 Tendwa alimpigia (Dk. Slaa) simu na kumwambia kuwa waendelee na taratibu zote za maandamano pamoja na mkutano wa hadhara na akashauri katika mkutano huo wazungumze kiistaarabu na wasitoe kashfa kwa yeyote ili chama kiendelee kupata heshima kwa jamii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa Dk. Slaa akiwa njiani kuelekea Arusha Januari 4, Tendwa tena akampigia na kumuuliza alikuwa wapi na alipomjibu kuwa yuko njiani kuelekea Arusha akamuuliza kama walikuwa tayari kuahirisha mkutano endapo waziri wa TAMISEMI angetangaza kurudiwa kwa chaguzi zote za mameya katika maeneo yaliyokumbwa na vurugu. Dk Slaa akamjibu kuwa ni vigumu kuahirisha mkutano kwa kuwa umeishaandaliwa kwa gharama kubwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;”Baada ya kuwasiliana na kuelezana hayo nilimtania kidogo Tendwa nikamuuliza kwa kuwa alikuwa nyumbani Same ’niambie wapi ntakuta mahindi yangu ya kuchoma ili nikifika Arusha nikayachome nile’ kwa kuwa huwa mara nyingine nataniana naye,” alisema Slaa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema kuwa simu za Tendwa hazikuishia hapo na baadaye siku hiyo hiyo saa 12 jioni alinipigia na barua kadhalika alituma.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Na mimi bahati nzuri nikafahamishwa na watumishi ofisini kuwa imeishafika, na hivyo Tendwa tena, akaniambia anawasiliana na Mkuchika kujua kama ameishatoa tangazo la kufanyika kwa chaguzi,” alisema.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika hilo Slaa alisema kutokana na hayo yote aliyoyafuata kitaratibu kufanikisha mkutano huo na barua ya mkuu wa polisi wilaya (OCD) kuruhusu kibali cha maandamano na mkutano na kuambulia kupigwa sasa, hawaoni sababu za kukutana na serikali ya aina hiyo kujadiliana nayo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Maaskofu walaani polisi, wamkataa meya Arusha&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika hatua nyingine, umoja wa maaskofu wa Kikristo Mkoa wa Arusha wametoa tamko kulaani ubabe na ukatili wa polisi kupiga na kuua waandamanaji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akisoma tamko hilo la pamoja kwa niaba ya viongozi wenzake wanaounda umoja huo jana katika hoteli ya Korridor Spring, Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Arusha, Josephat Lebulu, alisema Jeshi la Polisi ndilo chanzo cha ghasia na mauaji hayo na ndilo linapaswa kubeba lawama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema machafuko hayo kwa kiasi kikubwa, yalisababishwa na polisi iliyotoa maamuzi mkanganyiko yaliyowachanganya wananchi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Wao walitoa kibali cha kufanya mkutano na maandamano, halafu mara ghafla, dakika za mwisho, wanakataza maandamano; na kama hiyo haitoshi wanatumia nguvu kubwa kuwatawanya watu kwa mabomu na risasi. Kwa nini wanasababisha vurugu badala ya kuzuia?” alisema Askofu Lebulu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Askofu huyo alitamka wazi kuwa maaskofu hao, wakiwa sehemu ya wananchi, hawamtambui Meya Gaudensi Lyimo aliyechaguliwa kinyemela kwa kuwa hakupatikana kihalali; akasisitiza kuwa hawako tayari kufanya kazi naye.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema kuwa wao kama umoja wa viongozi wa dini mkoa wa Arusha wanaitaka serikali kuchukua tukio la Arusha kama jambo la kitaifa kwa kutoa maelezo ya kutosha na ya kuridhisha kwa Watanzania wote na jamii ya kimataifa ili kurejesha na kujenga upya imani ya wananchi kwa serikali yao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Sisi tunataka haki itendeke na haki ionekane imetendeka. Uchaguzi haukuwa huru wala wa haki, maana hata vyombo vya habari vilituhabarisha kuwa wengine hawakupiga kura na wengine wasiokuwa wakazi wa Arusha walipiga kura. Hili jambo linatakiwa nalo lifanyiwe uchunguzi,” alisema Askofu Lebulu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Alisema njia pekee ya serikali kuifanya nchi iwe na amani na kuongozwa kidemokrasia, ni kwa serikali kutenda haki kwa kufanya uchaguzi mwingine ambao utakuwa huru na wa haki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Idadi ya waliokufa yaongezeka&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati huo huo, idadi ya raia waliokufa katika vurugu hizo imeongezeka kutoka watatu hadi wanne, huku polisi wakibainika kumuua pia raia mmoja wa Kenya, aliyefariki katika Hospitali ya Mount Meru.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Awali, polisi walikuwa wametangaza kifo cha raia aliyetambulika kwa jina la George Waitara, lakini baadaye imegundulika kuwa marehemu hakuwa Mtanzania na jina lake halisi si Waitara bali Paulo Njuguna Kaiyela.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Njuguna amefahamika baada ya kupatikana kwa vitambulisho vyake ambapo kitambulisho chake kinamtambulisha kama raia wa Kenya kina namba 25066938 na sirio namba yake ni 218733089.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hadi jana kulikuwa na majeruhi 17 katika hospitali za Mount Meru na St. Theresa. Miongoni mwao, 11 walijeruhiwa kwa risasi na wawili miongoni mwao ndio waliotolewa vipande vya mabomu. Baadhi ya majeruhi bado wana risasi mwilini na wamelalamikia kuchelewa kutolewa risasi hizo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kati ya majeruhi hao, yumo mwanamke mmoja aliyekuwa mjamzito, ambaye kutokana na kipigo alichopewa na polisi mimba yake imeharibika na kutoka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Majeruhi mwing
